Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏
@danielmwamahonje9852
Жыл бұрын
Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.
@morrispeter239
Жыл бұрын
Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5
@fatimasalim597
Жыл бұрын
Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI
@MD-sz5ti
Жыл бұрын
WONGO ...milion 250 kipindi icho so mia 200...aseme ukweli tu kwamba ilikuwaje akapata mtaji wa kununua hayo mabasi...aache kutu pigisha story za binuasi
@erickdioniz8277
Жыл бұрын
Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana
@mwigakatumpula5695
Жыл бұрын
Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
@benyavan5774
Жыл бұрын
Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi
@didasseveline9013
Жыл бұрын
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
@nevershymagava6940
Жыл бұрын
Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!
@Afya-Break
Жыл бұрын
Hongera sana Mhe.Shabiby
@emmanuelmasanja6040
Жыл бұрын
Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
Nidarasa tosha unakuta jitu unalipa mtaji hata laki tatu linaona mdogo
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@ameenaameena1224 hatari sana!!
@salamasefu5494
Жыл бұрын
Kazi kwenu haya yakuigwa
@fauziajuma923
Жыл бұрын
Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
Upo vzr sn Mh.Sabiby unamalengo mazuri na vijana wako hongera
@riazshaikh8577
2 ай бұрын
Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani
@manenoramadhan1432
Жыл бұрын
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
@abdulrahmanmohammed4449
Жыл бұрын
Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano
@davidezri4117
Жыл бұрын
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
@godfreymasondaabel1904
Жыл бұрын
Ahsante mzee
@user-bu9wj5pi3t
Күн бұрын
Hard TRUTH shabiby...🎉🎉
@zaidihussein4311
Жыл бұрын
Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie
@murattywamuratty9778
Жыл бұрын
Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi
@msowamhokole7714
Жыл бұрын
Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka
@konshazikonsha6180
Жыл бұрын
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana. Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
@murattywamuratty9778
Жыл бұрын
@@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.
@samifxwingspipstherapist6098
Жыл бұрын
Ni possible mtu wangu
@michaelmwedimage5515
Жыл бұрын
Asante Sana Kwa kusema Ukweli
@aishaamwalimu2887
Жыл бұрын
Safi Sana,👏👏👏.
@vincentauxerbius7554
Жыл бұрын
Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣
@zakaliajoseph7705
Жыл бұрын
Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏
@petromkana8172
Жыл бұрын
Daaaa aiseee kweli kabisa bhana
@upendohalisi5763
Жыл бұрын
Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.
@emmanuelmgwasi2296
Жыл бұрын
Shukran mzee kwakutumotuvate vijana
@leonardrevelian4733
Жыл бұрын
Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno
@sadockchengula5542
Жыл бұрын
Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.
@frankhoffa8356
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee
@nicetasndekubali7105
Жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿
@juliusmoivana9844
Жыл бұрын
Sav Sana mweshimiwa shabb
@sundayharris8549
Жыл бұрын
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
@mujahidmark9116
Жыл бұрын
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
@florianmalle-xr1ob
Жыл бұрын
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
@mhandodanny4256
Жыл бұрын
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
@racheljacksoneliudimassawe218
Жыл бұрын
Big up mhe mbunge
@kelvinimasagasi7398
Жыл бұрын
Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha
@evalinemao4003
Жыл бұрын
Inspired
@francemaranda3206
Жыл бұрын
Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.
@pound_tz7248
Жыл бұрын
Motivation
@chidrashid3797
Жыл бұрын
Mashallah mashallah maneno mazuriii sana
@Bahandastar
Жыл бұрын
Great news
@irakazaeriekim4753
Жыл бұрын
Asanteni sanaa
@ellytozy2216
Жыл бұрын
Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute
@songweairport7602
Жыл бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@fanuelsulle8144
Жыл бұрын
Ely Tozy Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁
@amiriramadhan7753
Жыл бұрын
Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂
@jescajovin9257
Жыл бұрын
Hongera sana mh shabby mitano tena
@EunikeChifuka
3 ай бұрын
Hongeraa muheshimiwa
@alexanderdustan8872
Жыл бұрын
Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr
@jastinlihawa4654
Жыл бұрын
Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka
@ShabiruMsabaha-fm3bg
Жыл бұрын
Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!
@benardmwakilasa3969
29 күн бұрын
Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers
@notickasimchimba7310
Жыл бұрын
Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja
@issahassani9293
Жыл бұрын
Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi
@yordanyona1234
Жыл бұрын
vijana waache siasa za omba omba katika siasa
@williambranham6341
Жыл бұрын
Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k
@rehemayona2223
Жыл бұрын
Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️
@dominicfrancis4073
Жыл бұрын
Respect
@mohamedrobleh9105
Жыл бұрын
Shabiby is hustler big time
@robertmwamengo5167
Жыл бұрын
Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu
@hawa6052
Жыл бұрын
Allah amfanyie wepesi
@user-zd5pc5nc9c
4 ай бұрын
Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.
@benjaminmasasi6892
Жыл бұрын
Inspiration ya maana sana
@avilanicholaus6602
Жыл бұрын
Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Exactly
@nativeGold.10
Жыл бұрын
Yeah ofcourse 😎
@yassinkimolo2943
19 күн бұрын
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.
@user-rx5jx5wt3t
Жыл бұрын
Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar
@alpheomwashiuya198
Жыл бұрын
Mzee unasema ukweri mungu akusadie
@alhajibsaidi2049
Жыл бұрын
Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫
@hamisipolenisanaissa8859
Жыл бұрын
umeongea vizuri
@EliyaGwaydesh
13 күн бұрын
Shabby umetisha baba
@godfreysammy1716
Жыл бұрын
Fact
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno
@ezekielmabwai482
Жыл бұрын
Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela Kama watatoka basi ni asilimia moja!
@mujahidmark9116
Жыл бұрын
Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala
@jumannerajabu8259
Жыл бұрын
nikweri kabx mzeee
@maxmilian2511
Жыл бұрын
HIVI WABUNGE WOTE WAKIWA KAMA SHABIBY TANANIA ITAKUAJE 2030?
@abdulrahmanmohammed4449
Жыл бұрын
Mbon hpo sjkuelewa miak 19 basi1 na 21 mabas matano...haiwezkani kuna chanzo chengin cha pesa sio basi lamwanzo.....umerithi bwaaanaaa
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
Jaman nimejifunza kitu
@wailesmsongole1914
Жыл бұрын
Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake
@josephkulija293
Жыл бұрын
Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?
@mbagaherbal4796
Жыл бұрын
Daah nalo nenoo
@mohammedikingazi5109
Жыл бұрын
Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana
@loshipangoipa5810
Жыл бұрын
Ok. Mozzz
@filbertcarlos2946
Жыл бұрын
Goloko gweyee kunikumbusha katali mboga setu ikolobwe na fushe khaaaaaa
@yusramadodo8269
Жыл бұрын
Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana
@safhe-mpungi6075
Жыл бұрын
Ukweli usio pingika, Sante kwa elimu hii.
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Pokea utajiri Kwa jina la shabibi
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Kweli maisha ni juhudi na sio janja janja na Mimi naliamini hili
@ahamadially8351
Жыл бұрын
Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito
@AbedShabani-ne9zh
Жыл бұрын
Kweli bro maisha nikupambani tu no way out
@mahwabashiri5467
Жыл бұрын
Great leaders inspires their followers
@emmanuelymeresta4892
Жыл бұрын
Na kweli maisha yanaanza mbali sana
@kisantamarwa8551
Жыл бұрын
Hakika Mbunge shabby ni mfano WA kuigwa na viongozi wote tunge kuwa na watu WA aina yake 200 tu kwenye nchii Kwa jinsi anavyowasaidia vijana kijiajiri Kila mtanzania angekuwa tajiri
@isackyohana2707
Жыл бұрын
Mbunge wetu nolo wa bahi unaona hiyo...saidieni kwa mtindo huo..
@user-mp4lf4ji8k
11 ай бұрын
Kweli baba
@deokessy6596
Жыл бұрын
Mbunge bora Tanzania
@mathayomwashambwa1238
Жыл бұрын
ASANTE KWA KUMWAGA MADINI YA UFAHAMU KWA WENYE AKILI, WAPUMBAVU HAPO UNAPOTEZA MDA, HONGERA SANA....VIJANA TOKENI KTK MAWAZO MGANDO...
@mathayomwashambwa1238
Жыл бұрын
ASANTE HATA KAMA NIKO DAR ES SALAAM, NIMEFURAHI, VIJANA INUKENI HARAKAAAAAAAAAA....
@user-wj6zj1ly4e
2 ай бұрын
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
@joshuanyanda6880
Жыл бұрын
Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa
@agustinohizza1395
Жыл бұрын
Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka
@jafarimruke9111
Жыл бұрын
Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?
@omaryyahaya2116
Жыл бұрын
Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako
Пікірлер: 243