BM coach ni kampuni ya usafirishaji iliyo na makao makuu yake mkoani morogoro na Kilimanjaro express ni kampuni ya usafirishaji iliyopo Dar es salaam. Katika video hii tumekuletea mpambanisho wa jumla Katika utoaji huduma baina ya kampuni hizi mbili.
Tupe maoni yako kwa mtazamo wako ipi ni bora na kwa sababu gani?
#kilimanjaro #Bmcoach #morogoro #Daresaalaam #mabasi #mikoani #Tanzania #Ubungo
Enjoy the video pia comment,like Pamoja na ku subscribe vitu hivi ni muhimu Katika ukuwaji wa channel hii
Негізгі бет BM COACH VS KILIMANJARO EXPRESS Nani zaidi ?
Пікірлер: 15