Jesus they will never be the same dah poleni sana Mungu awafariji
@fatnamasinde877
Жыл бұрын
Ndivyo walivyo mungu atawalipa
@dennismedard7979
Жыл бұрын
Pole sana Uncle Leonard &Aunt Rebbeca..haikua rahisi kwetu sote kama familia..Mungu aendelee kuponya mioyo yenu..Na mdg wangu Innocent kumpoteza mdg wako..Mungu ndie mfariji wa kwel
@iteefmedia4485
Жыл бұрын
Mna 300M asee, Nami mwanafamilia 🥱
@mariahshirima1229
Жыл бұрын
ilipwe mapema sana kwa huyo baba tena ana akili nampongeza sana hyo baba maana ingekuwa basi limegonga tembo au mnyama wa porini kampuni wangepigwa faini vilevile
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Very good, mahakama imetenda haki, wanaokubeza kwa kudai milioni 300 hawajui uchungu uliopata kwa kufiwa na mtoto, wasamehe bure baba.
@heyumi2340
Жыл бұрын
kwa hiyo mtoto atarudi akishalipwa
@RuzoOwzy
Жыл бұрын
@@heyumi2340 Hatarudi, ila hiyo ni fidia ya tukio zima na gharama zilizosababishwa na hilo tukio.
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@RuzoOwzy gharama za nn kwani mtu akifa kuna kuna pesa hutolewa ili afe ama
@abigaelmassamu2970
Жыл бұрын
@heyumi 23 mawazo kama yako ndio yanasababisha uwajibikaji usiwepo,arudi asirudi wamewajibishwa. Check huko nje wanzetu wanavyodeal na haya mambo ujifunze bwana
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@abigaelmassamu2970 mzee kafurahi ajali kutokea kwa mwanae eeee milion mia 3kwa mfano angekuwa ndoo yy sasa anatakiwa alipe 😄🤣😂😆😄🤣😂angeharisha bila mpka utumbo
@ramadhanimkude5744
Жыл бұрын
Wanadharau sana matajili acha wanyooshwe wanatuonea sisi tusiojua sheria, hawana ubinadamu kabisa.
@elizabethmwafongo7829
Жыл бұрын
Mtoto afananishwi na chochote pumzika kwa amani mtoto
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Bus kuacha njia ni jambo la bahati mbaya na nikawaida sana na DEREVA Hana kosa lakini KAMPUNI ndio inakosa Kwa kushindwa kukata bima
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Bima n mhim
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Jofrey kabisa ndugu yangu 🙏🙏
@edwinalexander1170
Жыл бұрын
@ Big Boss basi kuacha njia si jambo la kawaida hawa madereva wa mabasi makubwa huwa wanaendesha vibaya sana, wana overtake hovyo. Madereva wa magari madogo watakueleza huwa inakuaje kwenye mabasi makubwa wanavyocheza rough wanavyo waovertake.
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Bw Edwin nilikuwa nakusudia kuwa sio mara zote ajali za mabasi ni uzembe wa madereva Kuna ajali zingine zipo nje ya uwezo wa binadamu ni lazima tukubali kuwa mungu nae anamajaribu yake ndio maana hata hao madereva wa gari ndogo nao wanapata ajali na wanasababisha ajali pia ila jambo la msingi ni kuwa Kuna ajali zitokanazo na uzembe na zingine zipo nje ya uwezo wetu sisi binadamu
@sylvestercameo6263
Жыл бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu Sababu kubwa ni gari tena basi la abiria kukosoa bima, ni kosa kubwa la kijinai sana. Kama gari lingekuwa na Bima fidia ingelipwa na Kampuni ya Bima husika, uzembe wa Kampuni ya basi imewagharimu, Lakini hata moyo wa ubinadamu wa kutoa pole hawana, inasikitisha!
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Pole Sana baba it's so sad
@jofreykilangila4118
Жыл бұрын
Kulipwa so sawa hakuna anapenda kupata ajali . Ml 300 so kitu sio kwamba inaweza kuziba pengo la mtu aliyekufa . Sana sana ni laana tu anaongeza
@RuzoOwzy
Жыл бұрын
Hiyo fidia usiichukulie pouwa kihivyo. Ndio haimrudishi mtoto, ila kumbuka umeambiwa mama hajiwezi tena na Baba inawezekana imemuharibu kisaikolojia. Hizo hali walizonazo wazazi zinachangia kushusha nguvu kazi yao katika utafutaji wa kila siku ili waweze kuishi. Hela kama hiyo inakuja ziba mashimo kama hayo.
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Wewe acha maneno yako yakinafki ungekua ww ungeiacha mtu anapogonga tembo au twiga nakulipa mamilioni anakua anapenda?? Au wao wangekua wameisababishia hasara kampuni ya Kilimanjaro unahisi wangeachwa?
@abigaelmassamu2970
Жыл бұрын
Mjinga kweli wewe,kwahiyo kudai haki ni laana??
@peninashungu6633
Жыл бұрын
Bus Lina abiria alaf halina Bima alafu serikal ipo kweli
@amstain4990
Жыл бұрын
So bus ni lory coz Kilimanjaro pia ana malori
@mariahshirima1229
Жыл бұрын
ipo tu wala habar hawana
@RuzoOwzy
Жыл бұрын
@@amstain4990 Mtangazaji amesema; "moja ya basi lake kuhusika........" 00:07
@barakarobert1029
Жыл бұрын
Kwel aisee serikali ipo likizo mama anapiga mwingi 🤣🤣🤣🤣
@akidahamad142
Жыл бұрын
Daah ok sema angekua hana kitu jaji asinge sema alpwe hapo na jaji amesha kula zake tu ukiona hvo hapo pana kitu
@captenndunga6745
Жыл бұрын
Yani ni sawa na kuchukua basi moja la kilimanjaro na kuwapa wafiwa.
@thebushguy5774
Жыл бұрын
Bus moja ni milioni 800 tajor
@ramadhanimkude5744
Жыл бұрын
Hacheni kubeza matajili na madereva wanadharau sana kesi za bara barani na nijambo la kawaida sana wanasema nagonga nalipa faini 30000,
@Mimi-wf7mb
Жыл бұрын
Watanzania bado tuko nyuma sana. Nchi za wenzetu wameweza kudhibiti ajali za kijinga kwa kukazia sheria. Kwa ujinga wetu tunalalamika sheria inapochukua mkondo wake. Sisi ni wajinga na ndo maana viongozi/watawala wanatupeleka watakavyo
@jackmabirangacharles9398
Жыл бұрын
Shida Moja inaanzia Kwa matrafic basi linatembeaje Barabarani bila Insurance , Uzembe wa Dreva pia kuendesha Basi pasipo Bima Kibaya zaidi hata dreva kama angegoma kuendesha basi bila Bima angefukuzwa kazi Huyo tajiri wa Mabasi hayo ni Jeuri balaa naona kwakuwa ni Mahakama atawajibika
@tanzaniamycountry9308
Жыл бұрын
Ubinaadam kwanza Sidhan kama kuna mtu ataona hii kitu aendelee kuwa mteja wenu , Kama ni kwel jirekebishen ikiwemo kuomba radh Kwa jamii
@ramadhanimkude5744
Жыл бұрын
Uzazi Wa mpango.
@mariamgodfrey53
Жыл бұрын
Wamekutana na mjua sheria ingekuwa kina sisi kajamba nani wanakuja trafiki wanapima uongo na kweli mwisho wa siku unaambiwa wewe ndio una makosa imeisha hiyo.
@dicksonedson9883
Жыл бұрын
Duh imeniuma Sana wangepigwa2 400miloni wanajiona wanapesa Sana mahakama hongereni kwa kutenda haki
@yusuphmruma1232
Жыл бұрын
Magu angekuwepo iyo kampuni ingefungiwa
@roselugendo6943
Жыл бұрын
Dah gari yakilimanjaro halina bima? Aise hatari sana. Haya mabasi tunavyoyaamini.
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
tamaaa tu.kwani. izo million Mia 3 ndio.marehemu atafufuka? sasa kama kila ajali tutaenda mahakamani kudai malipo itakuaje? kosa lake ni Kua gari.haina bima tu sasa ulipwe million Mia 3 ili.iweje? au kifo.umekifanya mtaji
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Hujui uchungu wa kufiwa mtoto kaa kimya acha kubeza watu
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@calistjohn1469 kwa ivo.wewe.unaejua machungu ya kufiwa mtoto ndio. akipewa million mi 3 yataisha? ujinga tu na Tamaa angekua dereva amelewa ningeona sawa mana ni uzembe lakini ni bahati mbaya ajali tu.sasa kwani yeye ndio wa mwanzo kupata ajali?
@abdibilali4186
Жыл бұрын
Hio ni Sheria acha kubisha usiyo yajua
@charlessomba2783
Жыл бұрын
Watu wa magari wanadharau sanaaa acha Mzee awanyoosheeee!!!
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
@@charlessomba2783 hahahaha
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
Mwacheni baba wawatu alipwe fiia,kurudi harudi lkn acha alipwe. Mna wivu mpaka na fidia
@dennismedard7979
Жыл бұрын
Hehe umenifurahisha..wivu hadi kwenye fidia..yan hata jeneza hawaku gharimikia..mimi ni mdg wangu alie fariki
@thebushguy5774
Жыл бұрын
Kilichowacost kilimanjaro ni kukosa kuwa na Bima
@magembesitta5657
Жыл бұрын
Mbn ni hela ndogo sana
@kulatendaudi7671
Жыл бұрын
Izoela ni nying sanaaa wakate rufaaa naomba
@ibraheemiddy8612
Жыл бұрын
Ka kate wewe uhai na milion 300 kipi bora
@musason1680
Жыл бұрын
Fala sana ww ajali umeutoa uhai wa mtu unasema m 300 n nying pumbavu kabisa
@mwitamalwa2773
Жыл бұрын
Ww jaman huon kama huyo bint alikua bado ana soma wakat agetapa ata kazi ya kulipwa kama million 6 kwa mwezi je ndan ya miaka miwili anapata ngap
Kwa aliyesikiliza hii habari vizuri hawezi kucoment upuuzi wakusema mzee kakosea kudai fidia %kubwa matakoni hawana utu kabisa
@magembesitta5657
Жыл бұрын
Walipe mbwa hao kilimanjaro
@chrisloken2634
Жыл бұрын
Acha Tamaaa muombe Mungu akusaidie but mil hizo ni Sawa umemuuza mtoto wko
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Hujui uchungu wa kufiwa mtoto, kaa kimya acha kubeza watu.
@ismailchibonda5005
Жыл бұрын
Wewe mpumbavu bus lina abiria na halina bima hapo ndo utajuwa umuhimu wa bima mshenzi wewe.
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@calistjohn1469 kwa atarudi mtoto akipewa hizo pesa huyo anataka atajirike kwa kupitia mtoto wake
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Hata kama mtoto hatarudi Bali mahakama imetenda haki kwa kuwafuta machozi mahani mabasi siku hizi yanaendeshwa na wahuni hawajali usalama wa abiria.
@dennismedard7979
Жыл бұрын
@@heyumi2340uyo ni uncle wangu na sio masikin kama unavyo dhani.ni mfanyakaz wa Un.. uwe unasikiliza vitu mpaka mwisho wao walitaka mazungumzo watuhumiwa hawakutoa ushirikiano na ndio sababu iliyo pelekea kesi kugeuka kua madai..baada ya kudharauliwa
@leviskahonga3985
Жыл бұрын
Anageuza mtoto kuw gari la milioni 300
@BIGBOSS-hl3bu
Жыл бұрын
Haya mambo yanalipwa hapa hapa duniani atakuja kupata tatizo kama hili hili kama sio yeye hata wajukuu zake,au pesa zinaweza asifanyie la maana Kwa sababu ni kuto kuamini kazi ya Mungu ,lkn mtu kama huyu utamkuta msibani anasema kazi ya Mungu Haina makosa huku anaendelea na kesi,so sad
@calistjohn1469
Жыл бұрын
Hujui uchungu wa kufiwa kaa kimya acha kubeza watu
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@BIGBOSS-hl3bu anataka utajiri kwa kupitia mtoto mali kma hizo hazidum
@leviskahonga3985
Жыл бұрын
@@calistjohn1469 kama anauchungu asinge pokea Mali maan zitaongez uchungu au asinge angaika kwenda maakamani maan itakup maumivu. Kwaiyo apo atakuwa amemuuza mtoto Kwa million 300
@abigaelmassamu2970
Жыл бұрын
Kuna ujinga mkubwa sana Tanzania acha tuendelee tu kutozwa ma tozo maana hata haki zetu tunazidefine vibaya,kuwajibishwa nako tunaita tamaa..kweli bongo bahati mbaya!!!!
@amirikoshuma6022
Жыл бұрын
Pesa hairudishi mwili hata Kama atalipwa iyo pesa lakini haitasaidia kitu
@mariasafari1004
Жыл бұрын
acha alipwe kabs itakuwa fundisho kwa wengne
@Mimi-wf7mb
Жыл бұрын
Itasaidia sana kurejesha gharama ikiwemo ya gari la huyu baba. Hivi watz ni wajinga kiasi hiki? Mnamtetea mkosaji? Hizi akili zetu finyu ndo zinawapa mwanya hata hawa watawala wetu kutufanya wanavyotaka. Ingekuwa nchi za wenzetu wenye akili hiyo kampuni ingefungiwa kabisa. Kukosa bima ni kosa kubwa pia
@abdallahdataguy
Жыл бұрын
Mtoto kafa unadai fidia ya fedha. Wachaga wana roho mbaya sana kwenye fedha utu huondoka 😏
@abigaelmassamu2970
Жыл бұрын
Acha tuwafundishe haki zenu,wachaga si fala kama wewe!issue sio hela ndugu hii inaitwa uwajibishwaji...umekosa exposure wewe
@hatibuyusufu4668
Жыл бұрын
Kama una Cha kuandika Kaa kimya
@richardbenny156
Жыл бұрын
BOSS WA KILIMANJARO NA WAFANYAKAZI WAKE MAFARA SANA. HIVI MMEUA ALAFU HATA POLE HAKUNA ? WALA KUWAFARIJI FAMILIA? MBWA KABISA HIZI.
Пікірлер: 91