Vita nikali, mishale yote imenyoshwa kwangu. Wangapi wamesikia hio point. Gonga like hapa
@johnsebastian9552
Жыл бұрын
Habari jamani. Yesu KRISTO anakupenda wewe unayesoma huu ujumbe, mpoke Yesu leo. Sema hii sala. Yesu nakuamini kuwa Wewe ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu, naamini ulikuja duniani ukafa siku ya tatu ukafufuka, nisamehe dhambi zangu zote, namkataa shetani nakupokea Wewe Bwana Yesu katika maisha yangu, nifanye upya.. Amen
@methodykyando1364
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU 🙏
@williampeter6751
Жыл бұрын
Tusamehe Ee MUNGU kila tukiendapo kinyume na Mapenzi Yako.
@zenobyomary4351
Жыл бұрын
Amen
@tiger0gtiger0g32
Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏❤️
@samwelipaul9014
Жыл бұрын
Amen🙏
@ianshigali
Жыл бұрын
Bright mi nishabiki wako kuanzia enzi za Aibu' kazi nzuri bro💪 mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Miunokunoga
Жыл бұрын
Keep your mind set💪💪💪 umeimba uhalisia tuuu.. BILA MUNGU SITOBOI HATA MIMI..#manyoyamusic
@TheMeshYZee
Жыл бұрын
Mwamba amerudi🔥
@shaushaibu9792
Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana wewe ni msanii wangu toka kitambo sana nimemuona wimbo wangu pendwa
@NGULYATI
Жыл бұрын
Awike awike jogoo atupe taarifa 🔥🔥
@dasproz50
Жыл бұрын
Naomba tufanye wimbo ndugu yangu ni mimi Dasproz klok from Sweden.
@saibabatz_
Жыл бұрын
Marioo ndo alikupoteza na sio mwingine
@henrybovick93
Жыл бұрын
Massage nzuri sana big up bro bila Mungu sitoboi.
@kaditokenya6873
Жыл бұрын
You deserve more flowers from me 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🫂
@shouayzieomar534
Жыл бұрын
Mungu mbele sisi nyuma, Yeye ndie kiongozi wetu🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@chudjawewa2645
Жыл бұрын
Najiandaa kwa mapokezi maana ninauwakika aujawah kukosea ww mtu lete ngoma iyo mdogo wangu mafans wako tupo tunaisubiri kwa shaukkkkkk❤
@bright_tz
Жыл бұрын
Ameen kaka asante
@moshatheprince4714
Жыл бұрын
God is everything 🎉 chukua maua yako
@chudjawewa2645
Жыл бұрын
@@bright_tzlisubiri kwa hamu kubwa sana hii ngoma na nilijua tu ya kwamba autotuangusha mafans wako na ni kweli umetimiza jukumu lako na sasa ni wa kupokea maua yako 🎉🎉🎉
@tobiasamkeyia6465
Жыл бұрын
Wow bg up kaka kaza🔥
@Gmavoicetz
Жыл бұрын
Nakubal Sana mkal Bright 💪🔥🔥👊
@bright_tz
Жыл бұрын
Asante sana ninja
@danielowino3162
Жыл бұрын
I have known you because of this songs 🔥
@kingswadata
Жыл бұрын
Kaka wew ni fire naomba tufanye ngoma pamoja
@BostondawaKhan-jb3uy
Жыл бұрын
Naipenda sana kbs, bila mungu atutoboi sote
@Best_tz
Жыл бұрын
Daah Kama Picha La Ki russ unyama tu mwaka huu
@Vonkstar_KE
Жыл бұрын
Mungu atafungua njia 🙏
@marioarlindo5074
Жыл бұрын
Poa sana 🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🙏💪
@madders254
Жыл бұрын
🔥🔥🔥true bila mungu sitoboi
@charlesjacksonbusanda2568
Жыл бұрын
Aliyeangalia zaidi ya mara mbili kama mimi naomba like yake Ni bonge la song 🔥🔥🔥🔥🔥
@bright_tz
Жыл бұрын
Umetisha
@dastanijohnfupe1025
Жыл бұрын
@@bright_tzgood song sana mwanetu
@DontvRwanda
Жыл бұрын
Wow this sod cut deep God bless your work 🙏🙏🙏
@shabs221
Жыл бұрын
Naikubali hii ngoma. Message iko on point.
@BrysonMsonga-ts8el
Жыл бұрын
Melody mashairi Head voice chest voice zote ziko poa aseeee huyu kijana anadeserve kufika mbali sanaaaaaaa
@BongoMani-wv1ii
Жыл бұрын
Pongezi sana kazi nzuri
@nancolower_8032
Жыл бұрын
Mbona unachelewa huu wimbo kk😥
@saiko_solus_deus
Жыл бұрын
💯🔫
@chilomonidomtown3472
Жыл бұрын
Sikiliza vizur shabiki utaelewa iviiivi uwelew
@donalfa1850
Жыл бұрын
Nimeona comment yako kwa marioo Hili goma mbona linaenda mzee🚨🚨🚨💪
@nancolower_8032
Жыл бұрын
@@donalfa1850 comment ilikua wakat tunasubir wimbo
@donalfa1850
Жыл бұрын
@@nancolower_8032 gatchu
@DrNick-hg6il
Жыл бұрын
Hii ndiyo midundo sasa🔥🔥🔥🔥🔥
@t9tz264
Жыл бұрын
Safii mzee #bright Kongole kwa #Tawa..naona Mziki mzur unaendelea sasa
@luckychugu5416
Жыл бұрын
ile quality yako sasa💣💥
@kennedyvirtuoso9248
Жыл бұрын
Msanii wangu WA siku zote...
@dokasimwamlima3550
Жыл бұрын
Umefunika kweli kweli bila mungu hauwezi toboa kwel nice jumbe💪💪💪💪💪👈👈
@kipandemalengo7002
Жыл бұрын
Let's Gooo
@Lbfbeatz
Жыл бұрын
@lbfbeatz
@sknapoleonshoo3145
Жыл бұрын
Kiu halisia huwezi kutoboa bila Mwenyenzi Mungu.
@lavatone319
Жыл бұрын
Sikupingi ndg mungu ndo jibu hakika bila mungu ,,,,,,,,
@globalfilmsproduction
Жыл бұрын
Kali 🔥🔥🔥🔥
@hamisishaame1458
Жыл бұрын
Brother you are next king of bongo flavour and i belief on you
@fredrickkakui4391
Жыл бұрын
Wow 🔥 📛 👩🚒 🚒 🧯 🎆 🔥 from kenya 🇰🇪 with love
@simbampole4851
Жыл бұрын
Naupwilu nao huu wimbo daaah mungu ibariki kazi ya Miko yeke 🙏🙏🌹
@bright_tz
Жыл бұрын
😂😂😂noma sanaa
@israelbhai1340
Жыл бұрын
Ni zaidi ya wimbo...God bless your hustles
@leahdeogratius2069
Жыл бұрын
Nilisubiri kwa hamu!! I love your Music
@eliotimollely
Жыл бұрын
Nzurii sana
@mwizaluchiba6264
Жыл бұрын
Mungu abariki Muziki wako shem🙏🏻
@bright_tz
Жыл бұрын
Ameen shem🙏🙏🙏😍
@ebengapierre8826
4 ай бұрын
hizi ndongoma ambazo unasikia mpaka unahona inakugusa wewe kumbe siowewe uliye himba kumbe ni kweli ongera ❤❤❤❤❤ ndio bila mungu uwezi Fanya lolote mungu akuzidishie ili ufanye vyema 🇨🇩🇨🇩
@bright_tz
4 ай бұрын
🙏
@devibantostarbigboytz3182
Жыл бұрын
Kazi safi kaka ❤
@marrod-mj6gb
Жыл бұрын
Very nice song
@rajimaalik.nasheed4237
Жыл бұрын
Masha allah well done
@gastonpeter8885
Жыл бұрын
NI MUNGU KWANZA KWA KILA KITU TUKIFANYACHO 🔥🔥
@hajjiboyclassic
Жыл бұрын
Bila Mungu sitoboi..❤❤ good sound Nipo 🇰🇪
@remyboyvcb
Жыл бұрын
Nikweli bila MUNGU HUWEZI KUTOBOWA kaka yangu, ila usiache mlango open ukitumainia MUNGU ndiye atufunga, bro wangu jiongeze NB:NATAMANI SIKU MOJA NA WW UTOBOWE, MACVOICE NA IBRAH WAMAKONDE NI WATOTO WADOGO SANA KWAKO(GAME 🎶🎶) 🙏🙏 FANYA KWELI BRO WANGU AND GOD BE WITH YOU 🙏🙏❤️
@bright_tz
Жыл бұрын
Hakika kaka
@RemyBoyHunter
Жыл бұрын
Tutazidj ku kuombea MUNGU akutanguliye mbele
@afriwayfilms
Жыл бұрын
This song deserves to be translated to a million languages. 🔥🔥🔥
@Kizanda_84
Жыл бұрын
Great
@mbezzoprince9462
Жыл бұрын
Mkali wangu kaza buti unaweza sana
@DeborahMbise-zg5hr
Жыл бұрын
Nakukubal kaka hujawah niangusha,gud song 4 real touchable one.
@yahyaharun8334
Жыл бұрын
Mafanikia hayaji ila ncha ya upanga,mungu ndokila kituh waache waseme tuh watupandishe cheo wasizo ziona
@ShabikiWaYanga
7 ай бұрын
2024 bila Mungu sitoboi may God be my side
@kismatideboy
Жыл бұрын
Ukweli kabisa kaka bila Mungu ni noma,adui hana alama 🙏
@Chicoh.
Жыл бұрын
Mziki Mzuri😊
@sullehtz9327
Жыл бұрын
Ur kill it broo ✊
@emmanottytz
Жыл бұрын
BILA MUNGU SITOBOI ASEE
@bright_tz
Жыл бұрын
Kampuni
@emmanottytz
Жыл бұрын
Kuvumbi leo..kula chuma hichoo
@LehanaBanda-uf5wh
Жыл бұрын
Fanya hata ngoma 3 zaidi ya hapo amini utafika mbali.
@hafidhikasimu7436
Жыл бұрын
Huyu mwamba leo ndo nimeanza kumwelewa yess Big song for now
@didasmashwilili
Жыл бұрын
Kazi nzuri sanaa kumbe bongo flavor bila mapiano inawezekana 🎉🎉🔥🔥🔥
@brianomondi1018
Жыл бұрын
Kazi Safi bro, bila mungu hauwezi ukatoboa🙏🏽🙏🏽🙏🏽🔥🔥🔥
@pedebway
Жыл бұрын
Kazi nzur mdg wng naiman inakuja kujenga katka nchi yetu kwetu wote
@victorcephas3618
Жыл бұрын
Angepita Kontawa humu ilikuwa balaa zito
@farajakayuki
Жыл бұрын
Oooh bila Mungu sitoboi😢
@edenbettnasibuziege
Жыл бұрын
Mwana aje aje nimeipenda mdundo ujumbe Kila kiTu kipo shwareee nimeipenda
@BrysonMsonga-ts8el
Жыл бұрын
Kwann nyimbo kama hizi huwa hazifikishi views million alafu ni nyimbo kubwa sanaaaaa
@lelomellowtz
6 ай бұрын
Unapambana sana my brother, Hujui tu ni kwa kiasi gani hii ngoma itaacha alama kubwa sana kwenye jamii juu ya mziki wako. Usichoke, keep up with the hustle, una uandishi mzuri, na hata kwa mziki kama huu Mungu anakubariki...YOU ARE SUPER TALENTED. THIS SONG IS TOO GENERATIONAL, YAN MPAKA WAJUKUU ZAKO WATAKUJAGA KUSIKILIZA HII NYIMBO. HONGERA. I AM YOUR NO..ONE FAN.
@bright_tz
6 ай бұрын
Asante Sana
@malkavoice2570
Жыл бұрын
Utatoboa tu boy,jiamini tu hakuna asiye na mungu ila kutoboa ni juhudi tia bidii kama hivyo yani..
@celiony257
9 ай бұрын
Hii ndo ya kwanza kwangu nikiwa na uzuni nayi play ❤❤❤ Love from Celio kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@bright_tz
3 ай бұрын
🙏
@Fananisha_house_upvc
Жыл бұрын
𝐁𝐢𝐥𝐚 𝐦𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐬𝐢𝐭𝐨𝐛𝐨𝐢🙏 𝐢𝐦𝐞𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐡𝐢𝐨𝐨
@ttttt300
Жыл бұрын
Unyama mwingi yaani from USA hapa
@theophilwhiteheart1997
Жыл бұрын
Kaliii sanaaaa kaka 🔥🔥🔥🔥🔥
@braymusictz5221
Жыл бұрын
Wimbo mzur sana 🔥🔥🔥
@elizabethjuma1548
Жыл бұрын
Kaka nakubali kaz nzuli sana 💪💪💪💪💪
@esamidarious5410
Жыл бұрын
wimbo mzuri...
@LukangujimussaLukanguji-qh8wt
Жыл бұрын
Kaza sana dogo nahisi marioo ndo kaichukua nyota yako
@stamilimakurunge9305
Жыл бұрын
nice song brother
@Shafii_mohamedi17
Жыл бұрын
🔥🔥🔥umetisha sana bro kazi mzuri
@Majestino
Жыл бұрын
Kontawa ana igwa na rosa rée, afu brihgt anafata
@Mjboy242
Жыл бұрын
Pa1 kaka kazi nzuri🙏
@maxpmama8669
Жыл бұрын
❤❤❤
@frankngawina1720
Жыл бұрын
Hongera Ngoma kaliii.....!
@elvismbogo9755
Жыл бұрын
Tunao mkubali brigth
@chabahaya7823
Жыл бұрын
👏👏toka nkuone ukiwa unashut leo ndio umeitoa duu
@gentlemenempire9350
Жыл бұрын
Bila MUNGU hata Sisi hatupo.......wapi like ya Bright ❤❤❤❤❤
@mandosylverclassic8931
Жыл бұрын
Broo umeweza sana hapa song yenye hope na mvuto kaka nakubali hapa
@afterfull-time1348
Жыл бұрын
❤❤❤❤huu Wimborne mtamuuu❤
@starkid3075
Жыл бұрын
Fireeeee dam
@kissflavour-bp8lr
Жыл бұрын
Oya kaka umetisha, iddy mrangi hapa temboni
@alexkapange663
Жыл бұрын
Uko vizur endelea kukaza Una kipaji cha Hari ya juu
@enockfrancis211
Жыл бұрын
Amen broo umetishaa sana MUNGU ndo mfanikishaji
@ebenydavid5067
Жыл бұрын
Your Always doing Bright Music like your Name God is good all the time lets go to the fullest Nigga, Champions never come easy, Fighting is a spirit Forever🙏 God Bless all the Works of our Hands "Ameen"
@jobomanga1215
Жыл бұрын
trust me if you set that one as your morning alarm you will be in a happy mood whole day
Пікірлер: 451