#Bright Ft. #KhadijaKopa & #Jumakakere & #Karen - Ndoa Audio Produced By Mocco Genius Video Production By Mr Ligo Follow Us / brightmusictz / brightmusictz
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
@tumainimhesi9689
4 жыл бұрын
dogo anajua mpaka anakera
@omboks
3 жыл бұрын
“Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nalingacomedian3848
4 жыл бұрын
Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
@saumuhajivuyaa6656
4 жыл бұрын
Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah
@rukiyahussan4190
4 жыл бұрын
Amiin 🤲
@fatmakiruwasha2378
4 жыл бұрын
Jamani baba napenda huyu
@mwanamisigulu2401
4 жыл бұрын
Amin
@salmahalfani6307
4 жыл бұрын
Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote
These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!
@azizaalwan8686
4 жыл бұрын
Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.
@finah791
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ariphkimani3790
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi
@fourteen_kiid
4 жыл бұрын
Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤
@aminatasongoro9592
4 жыл бұрын
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
@wishjuniortz7714
4 жыл бұрын
Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪
@theresiandasuya1849
4 жыл бұрын
Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur
@yvetteyvette202
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili
@danielburuna8409
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.
@edwardkairithia2651
4 жыл бұрын
Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@tumabhay8576
4 жыл бұрын
Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.
@brendachibura6040
4 жыл бұрын
Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki
@drizzyromeoscraface2442
4 жыл бұрын
E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni
@joselinejoseph9632
4 жыл бұрын
Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓
@deus8629
4 жыл бұрын
Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
Amiiiin👏👏
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Nipo apa
@najmaalbajun4686
4 жыл бұрын
Amina
@veelookie8430
4 жыл бұрын
☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo
@kistulavagen5096
4 жыл бұрын
Ndoa
@geelblessedone6071
4 жыл бұрын
Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..
@sulemanabdulaziz3682
4 жыл бұрын
nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️
@aminaali446
4 жыл бұрын
Inshallah pia mm ombi langu nipata mume mwema
@sportplatform4318
4 жыл бұрын
Nipo hapa mume mwema
@aminajuma1435
4 жыл бұрын
Mungu atatijaaliatu wajina… tuzidishe subra.
@hannahsanga5647
4 жыл бұрын
Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Allahumma amin
@aminahasan4250
4 жыл бұрын
Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha
@o.o.8074
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️
@diacynthedia6295
4 жыл бұрын
Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa
@sigitinjandi6014
4 жыл бұрын
Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak
@nestorcolonel7943
4 жыл бұрын
Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February
@marjankhamis563
4 жыл бұрын
Alaaaaaaaa!!!!! Na views, likes ziwapi banaeh!
@mnyamwezitv382
4 жыл бұрын
WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz
@mnyamwezitv382
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
Nimeipend xan
@salumkatembo4441
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa
@Offical_neyvoice
4 жыл бұрын
Saanaaaa
@jacobathanas995
4 жыл бұрын
daah bonge la ngoma congregation bright
@kilungodionizi1865
4 жыл бұрын
Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘
@maryviverlucas9182
4 жыл бұрын
Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae
@meloaunt2593
4 жыл бұрын
Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere
@shabanadnan4443
4 жыл бұрын
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
@legawayz6093
4 жыл бұрын
Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao
@adbellar338
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.
@happyeugen468
4 жыл бұрын
Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright
@mbarukgude5335
4 жыл бұрын
Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote
@janethmwanga7963
4 жыл бұрын
Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.
@fatumamtepa3163
4 жыл бұрын
Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..
@watotowamungubyfreconicide1505
4 жыл бұрын
Hongera sana Bright x Caren kwanza kwa ujumbe mzuri na pia kuwashirikisha hawa maLegend humu. Hii ni kazi tofauti na tamu mno na ndio muziki utakaoishi. Safi sana tunahitaji sana content za kipekee zinazoandaliwa vyema namna hii. Nautabiria makubwa huu wimbo 🙌👏👏👏 Mungu azidi kuwaongoza kufanya miziki yenye kuisaidia na kuburudisha jamii positively.
@hassanomary2491
4 жыл бұрын
Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa
@barikimaluli5836
4 жыл бұрын
Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana
@happymsaki1720
4 жыл бұрын
Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli
@hancybinho665
4 жыл бұрын
Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko
@anthonyodeba4137
4 жыл бұрын
The Karen girl souding like Nandy...amazing song, love from Kenya.
@vidahemmanuel8049
4 жыл бұрын
Nampenda sana bright yuko vizur na kareen
@selekidau.kidau.3939
4 жыл бұрын
Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi
@qasyem
4 жыл бұрын
Hizi ndo nyimbo zenye ubunifu na ujumbe ...👍👍👍nimekapenda karen 🔥
@jovitasaimon8744
4 жыл бұрын
Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja
@esthergambi8058
Жыл бұрын
uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤
@abdicousin5991
4 жыл бұрын
Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma
@kusinimediatz6747
4 жыл бұрын
Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi
@sophishebby9678
4 жыл бұрын
Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa
@anethanicet4786
4 жыл бұрын
Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande
@jaxplatnumz203
4 жыл бұрын
Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like
@jacklinibrahim8805
11 ай бұрын
Hizi ndonyimbo jaman skuiz hamna mziki wakufindisha mabint nikuharibu tuu
@amourmbago3640
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana ubunifu wa hali ya juu umeutumia kaka ..big up bro ...
@AMANISADIKIMLIPU
4 жыл бұрын
up kzitem.info/news/bejne/jpyQp594bmd1gZw
@kenjunior3443
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana big up kwa bright
@johpesa_the_money
4 жыл бұрын
Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba
@dizzohtz5025
4 жыл бұрын
Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo
@hellenalibaliwo5965
4 жыл бұрын
Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺
@marymichael6635
4 жыл бұрын
awww😍😍😍😍`niletee mjukuu nilee aje anikojolee'😁😁😁
@aishaabdullah2541
4 жыл бұрын
Mashallah.
@omarykingo5744
4 жыл бұрын
Ubunifu wa hali ya juu
@andreakulisha5144
4 жыл бұрын
For sure you always do the Best, it's a good idea and good melody. Thanks Bright keep it up!!!!
@jacquelineminja8769
4 жыл бұрын
Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija
@pampam5575
4 жыл бұрын
kutoka kenya npewe like
@ariphkimani3790
4 жыл бұрын
KILA SIKU LAZIMA NISIKILIZE HUU WIMBO.Messege nzuri sana
@fatmafetty4117
4 жыл бұрын
Nzur Sana huyu baba Jamani kumbe yupo daha niwasiku nyingi mno❤️❤️❤️
@elishaworkout6116
4 жыл бұрын
Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee
@abouawladsanzesanze429
4 жыл бұрын
Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa
@MohamedHassan-hm3gd
4 жыл бұрын
Daah huyu Mzee kakere nilikuwag nasikia tu ngoma yake '"kwa mala yakwanz ndo namuona hapa
@veredianamagesa5229
4 жыл бұрын
nyimbo nzuri bright yupo vizuri pia Karen kainogesa
@nasrikileo
4 жыл бұрын
Mdogo wangu. Umefanya kitu kukubwa mno humu
@lisalizzi8690
4 жыл бұрын
Haki l'm having Goosebumps kusikia this voice's nyimbo kama hizi ndio tume Miss kusikia Tanzania jamani.Nyimbo hii inaelimisha jamii welldone 🙌👍👏
@EphrembmcDamasene-kw6qq
7 ай бұрын
Nataka tufanye futuring mi nawewe
@totoozebingwatshumani4642
4 жыл бұрын
Woow mzee wangu Mungu akubariki Sana
@ezekielmdavid4887
4 жыл бұрын
Imekaa poa sana, Tangu mazonge, unga unga mwana na sasa tunatembea na Ndoa
@geofreyelneus622
4 жыл бұрын
EZEKIEL M DAVID kuna morogoro pia ya braght
@meriamsekei4054
4 жыл бұрын
Kaz nzurii sana 👏👏
@clementbenjamin9015
4 жыл бұрын
Aise kk hii nimeipendare aise collabo zawazee hizo tamu namafuzo juu keep going bro we start prayin for you man
@munmm3339
4 жыл бұрын
Khadija kopa Ni fundi
@bongotown1495
4 жыл бұрын
Safi sana bright umetisha sanaaaaa
@sophierashdy8716
4 жыл бұрын
Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌
@wardmilanzi600
4 жыл бұрын
Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake
@chy_nese
4 жыл бұрын
Nimependa. Love from kenya
@deogratiasyagomba287
4 жыл бұрын
Bright wewe unajua tulipo sapotiana hii ngoma nouma
@ombakihundo9526
4 жыл бұрын
Wow ...wow.... kali sana 🔥🔥
@kautharmasoud8806
2 жыл бұрын
Jaman me nmependa alipo imba juma kakere .
@saimonwoundermosses5118
4 жыл бұрын
Saf Sana nyimbo imeniburudisha Sana hongera kwenu
@almunirmaulid5502
4 жыл бұрын
Kazi nzuri na yenye ujumbee Safi Sana
@4zepeople316
4 жыл бұрын
Duuuuh!!!! sio poa kabsaaa, tukumbuke theory inasema "unavyofanya ndio utakavyofanyiwa". Mpaka Khadijah Kopa amekuwa na hamu ya kukojolewa na mjukuu
@orestleon50
4 жыл бұрын
Shikamoo mzee wangu Juma kakere
@kenphiskikeyaan7669
4 жыл бұрын
Bright alikuwa level ya kina Marioo. this is great to start 2020 for him
@fridolinefrance1353
4 жыл бұрын
Wimbo bora 2020 umejaa mafunzo
@Kaopipo
4 жыл бұрын
Nimependa hii chemistry ya humu🔥🔥🔥..jimbo kubwa.. what a song🔥🔥
@aziziteli7209
3 жыл бұрын
Mamb
@emmanuelluiso4872
4 жыл бұрын
Tuliokuja hapa kwa ajili ya Kareen tujuane kwa likes hapo chini😂
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nicr
@thabitmansourmikidadi9205
4 жыл бұрын
Nice
@pigapesa2366
4 жыл бұрын
Umewaza mbali kaka big up Sanaa.👍
@manstiko5890
4 жыл бұрын
Bonge la ngoma so basta. Mjue kusifia pia sio kufungia tu ngoma kali sana
@paschalboniface8319
4 жыл бұрын
Daa bonge ngoma dogo anajua sana
@emmanuelkakwamba9101
4 жыл бұрын
braza ngoma kali bongo fleva is back
@mckobatz5861
4 жыл бұрын
Dogo lao hii umeonesha umekua sana mziki utaishi daima huu
@yea_itsmanasseh486
4 жыл бұрын
Bright we mnyama sanaa💪💪
@ashamasaza4096
4 жыл бұрын
Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like
@EphrembmcDamasene-kw6qq
7 ай бұрын
Vip
@meshacksamsonmexher3377
4 жыл бұрын
Hii nyimbo nimeikubal kwa asilimia laki 5...ni safiiiiiiiiiii sanaaaaaaa!!!
Пікірлер: 773