Barikiwa mtumushi wa Mungu asante kwa kutufungua macho ya kiroho wakristo wenzangu tumgeukie Mungu maana n nyakati za mwisho yesu yu karibu!!!!!!😢😢😢😢😢eeh Mungu 🙏🙏🙏 tuongoze katika safari ya wokovu kutokana na misukosuko ya kiimani dumisha ushirika wangu na www
@EstherBaby-t8g
Ай бұрын
Amen Mungu akubariki kwa kutufungua macho ya kiroho Mungu atusaidie tuzidi kufahamu nyakati tuishizo eeh Mungu 🙏🙏🙏🥲🥲🥲 nakuomba unifungue macho ya kiroho nizifahamu nyakati tuishizo ili nizidi kuutafuta uso wako ili utakapo rudi kuwachukua wateule wako niwe mmoja wa wanakondoo wako🙏🙏🙏3
@LucasLaizer-if2du
Ай бұрын
Barikiwa sana mtumshi wa mungu hata wakati wa nuhu hawakumwelewa
@user-dt5wp5qo4n
Ай бұрын
Wakristo wenzangu tusichukulie mzaha haha mahubiri,nimungu ndie anayenena kupitia kwa mchungaji,ndugu wapendwa wakristo,tafadhali huu ufunuo kutoka kwa mchungaji,tufungue masikio na tuyashike,na tuchukue hatua turudi kwa mungu,ili hayo yoote yatakapo tokea tuwe tayari kuenda na yesu paradiso,tusingoje changamoto ndio tutubu hapana,tutubu kila wakati ili tuwe tayari kila wakati
@JacklineMroso-gy6ej
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@mwambakibucheche1119
Ай бұрын
Amina Yesu ni Bwana
@barikimaluli6107
Ай бұрын
Ubarikiwe kijana wa injili shetan alitaka kukuua kwenye ajali aliyaona haya akaogopa mungu akakuokoa sasa mpe dozi shetan na manabii fekiiii
@MwanahamisiHashim
Ай бұрын
Mungu atusaidie maana ni nyakati za hatari kila mtu anapaswakusimama kwa miguu yake mwenyewe
@malkiarosemuhando3310
Ай бұрын
Kazi yako sio Bure mtumishi, saa inakuja watakuelewa,watu hawataki maonyo kwa nini????
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
MBINGU ZIKU BARIKI MTUMISHI WA MUNGU ACHA TUIPAZE SAUTI ENDELEA PIA KUWAKUMBUSHA WATU NA FATILIA SANA HATUWA ZAKO BWANA AKUPE NAFASI YAMANENO MAWILI MA3 YAKUWA KUMBUSHA TUNAELEKEA MWISHO UBARIKIWE NA KUOMBEA❤❤❤❤
@lydiahnabwire128
Ай бұрын
Kabisa Amen Amen barikiweni sana wachungaji wetu sisi@@paschalcassianoriginal9411
@Khadija-f7b
Ай бұрын
Amina mtumishi ,hata wakati WA nuhu watu hawakuwa wanaelewa kitu mpaka pale galika lilianza kugalikisha Dunia ndo walikuka kujutia,hivo mwinjilisti hubiri ,na mungu akubariki mno
@SamweliKayanda
Ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana, Mungu Atusaidie kwa hizi nyakati
@blessingjob5258
Ай бұрын
God have mercy on us
@user-dz8qh6yb2x
22 күн бұрын
Amen
@blessingjob5258
Ай бұрын
Ameeeeeeeeen 💕
@ZakayoSanga-ge4jr
Ай бұрын
Mtumishi wa mungu Kila napo sikiliza mahubili Yako nagushwa, mungu akutie nguvu,
@DanielNasibu
Ай бұрын
Mungu atusaidie katika ulimwengu huu ubalikiwe mtumishi 🙏🙏🙏🙏
@user-cr6fc7nt8k
Ай бұрын
Fanya kazi yako yenye mungu amekupa usaidie wa2
@lydiahnabwire128
Ай бұрын
Eeeeh Mungu mwenye huruma tuhurumie sisi wakosefu
@irenemuia2718
Ай бұрын
Amen Amina 🙏❤️
@sarahmwasyoge1830
Ай бұрын
Amina...nabarikiwa. kwa hiyo kitu kinachoitwa unyakuo hamna katika Biblia?
@jovettedenise2591
Ай бұрын
Amina Mungu azidi kukutumikisha ili watu wawokolewe🎉🎉🎉🎉
@user-dt5wp5qo4n
Ай бұрын
Amina amina mungu akubarki sana
@user-ro2fl1py6m
Ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi😭😭
@ryobanchagwa2499
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ Mungu nisaidie
@OscarMwakingwe
Ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@AmaniMunuo-jq8ew
Ай бұрын
Amina mtumishi
@patiencehumbled3519
Ай бұрын
Niliona Dunia ikitikiza ,Mungu atusaidie
@hasanygodda9242
Ай бұрын
MUNGU AKULINDE MTUMISHI
@ManasejacksonPaulo-bs6qb
Ай бұрын
MUNGU akutie nguvu
@LindaJohn-fy1in
Ай бұрын
Oooyesu nihurumie
@onesmosizinga7413
Ай бұрын
Koma kuhusisha viongozi wetu wa dini na unabii wako
Пікірлер: 37