Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
@japhetstanislaus7956
14 күн бұрын
Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa
@ndojes711
14 күн бұрын
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
@kelkel4483
21 күн бұрын
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
@alicejohn2567
21 күн бұрын
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
@dionizcyprian2023
14 күн бұрын
Mungo mbariki Pastor Tony muinue zaidi kwa viwango Vyatumbo Jud sana’Much respect Baba keep the good work Baba uwezi kuanguka IJN Amen
@JenniferAela
14 күн бұрын
MUNGU mbariki Pastor Tony
@cydrahope5251
14 күн бұрын
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
@AmyeSanga
21 күн бұрын
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
@tujajackson8142
21 күн бұрын
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@mashande2373
14 күн бұрын
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako
@jacquelinephilimon5163
14 күн бұрын
😅😅😅😅😅 Dah any way I love PT for life nampenda sana Baba yangu wakiroho Pastor Tonny Osborn kapola baba your new Generation is on fire 🔥
@JACKLINEMAHENGE
14 күн бұрын
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
@shavasjohnkay-cw8lg
14 күн бұрын
Tony Kapola may God keep you and increase you.
@user-ru6ct4rh3t
21 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
@user-yz3rl8pd6q
21 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi,
@princenelsonsinko5237
21 күн бұрын
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;
@edwardpapianomigembe7553
14 күн бұрын
WE LOVE YOU PASTOR TONYY ❣️❤️❤️❤️❤️
@Here.there24
4 сағат бұрын
Pastor Tony is preaching the truth...a true gospel. Jesus came for the lost. God loves all. We should stop judging people.
@Leah-mbilizi
21 күн бұрын
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi
Пікірлер: 1 М.