Tumbatu home duuuuh vitu vya nyumbani. Mfunguo sita marahii Inshaalla natinga
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Maxoweya yamewafikisha hapo mtihani wako nyuma sana bado
@abdulwahababdulkadir9965
2 жыл бұрын
Ni mambo ya utamaduni huwezi kukataa na tuheshim mawazo yao muhim ni kua wanayo dalili kua kuna amri imekuja kuwafundisha hili na hivi ndio imetakiwa,kama hapana basi tuombeane kheri ili Allah atuweke ktk njia sahihi
@bakaribuyu5712
Жыл бұрын
yaa shekhe Abdullah qadril
@mngwalimngwali669
11 ай бұрын
Allah Barik
@lilianmakwati5228
3 жыл бұрын
Nimewapenda wazee
@user-bp6fb6wo5u
9 ай бұрын
Hawa ni wamasai ama ni dini gani hii??
@Lamapacha001
8 ай бұрын
Hii ni ibada ama sherehe??
@achahajigora4439
2 жыл бұрын
Mashaallah
@zainabrashid385
2 жыл бұрын
Manshallah
@aaaggdhbdgxhhdb2471
Жыл бұрын
Mashallah
@HafidhHafidh-bk3vl
Жыл бұрын
Dunia sasa imekuwa mtihani kila kitu bidaa
@hidayasaid9878
3 жыл бұрын
Sio ujinga sinatajwa aya za allah
@eddieeddie2755
2 жыл бұрын
Unachanganya aya za Allah (s.w.) michezo isio ktk dini?
@jeshiray7328
3 жыл бұрын
Twende weeeee
@munaisa5850
2 жыл бұрын
MashaAllah
@saalimkhan9318
2 жыл бұрын
Atr
@alihaji3236
2 жыл бұрын
Mashallah,
@yahyajuma5655
3 жыл бұрын
Duuu
@nurryally1777
3 жыл бұрын
Nzur sana huwa nakosheka sn
@amoursheha1458
3 жыл бұрын
Da
@dktabbaimran2002
2 жыл бұрын
Masha Allah
@saadmbaraqa5272
2 жыл бұрын
Uislam huu ulikuwa enzi za ujahilia mambo haya hakuna kwenye uislam ni upungufu wa elimu ni finyu hawana elimu
@eddieeddie2755
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@omarymakange8449
Жыл бұрын
😂😂Kwahiyo unamaanisha elimu ya sasa ni kubwa kuliko ya waliotutangulia..?? Dah mawahabi mtapasuka kwa chuki.. Acha sie tuendelee kujichotea mibaraka
@mtumwenikassim5245
Жыл бұрын
Dinii ndio ile ile ila nafsii zetu ndio tofauti tu uharam bidaa ndio zilozotawala kifuani mwetu!!!
@feisalfehaal
9 ай бұрын
Wanga wamo humo humo😅
@khamistano4848
2 жыл бұрын
Waislamu tunapenda kupingana kuliko kua kitu kimoja na ndio Mana tunatawaliwa na mataifa ya magharibi, hebu natukae pamoja ili tuambizane lipi sahihi na kila mwenye Hadith na aya atoe .maana watu wa maulidi na dhikir wanasema wako sahihi Sasa wakati apo Kuna watu wanapinga. Je sisi tunaofatia nyuma tuwasikilize Nani?
@eddieeddie2755
2 жыл бұрын
Kioo chetu ni mtume (s.a.w) alilo lifanya tulifanye asilo lifanya tusilifanye , UISLAMU NI RAHISI ILA UGUMU TUNAUTAFUTA, sasa km hayo wayafanyayo hayamo ktk Uislamu.
@aboutaki6039
Жыл бұрын
أهل الطرق خانوا أولاد المسلمين
@omaryshemndolwa832
3 жыл бұрын
Mtihani kwa kweli
@lilianmakwati5228
3 жыл бұрын
Mtihan gani
@omarabdallah372
3 жыл бұрын
Wallahy mtihani mkubwa. Sisi warithi mtume wapi alifanya mtume ama maswahaba zake. Tutakwenda kuulizwa jamaa . Subhanallah. Dhikri nikumtaja Allah Kwa majina ya 99
@omarabdallah372
3 жыл бұрын
Somu watu wasome dini hii ni ujahil
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/kYqq26mDo3ingaQ
@suleimansaidsalim6455
3 жыл бұрын
Upumbavu huu utaachwa lini Tanzania?
@mahfoudhjuma4833
3 жыл бұрын
Daimond na kiba sio wapumbavu
@mahfoudhjuma4833
3 жыл бұрын
Upumbavu huu utaachika pindipo ww mwerevu utauondosha
@eddieeddie2755
2 жыл бұрын
Huu upumbavu utakwisha in sha Allah, sijui wameitoa wapi?
@eddieeddie2755
2 жыл бұрын
Huu upumbavu utakwisha in sha Allah, sijui wameutoa wapi?
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
Wapo ktk upotevu wao.
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
Wapo katika haki
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@abubakarzamir6276 leta dalili.Kama hayo pia yamethibit au ni ktk Dini?
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u nikwamba mtajeni mola wenu hali yakuwa mmekaa au mmesimama, kimyakimya au kwa sauti . Pia kumsifu mtume ni ibada kubwa sana kwan allah mwenyewe amemsifu sana katika surat alkalam sasa naomba uniambie ubaya au upotovu ni upi apo
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
@@abubakarzamir6276 Hizo sio hoja hizo ni shubuha,Mim sisemi juu ya kumtaja Allah(Dhikri) Wala kumsifu mtume?Nazungumzia huo mkusanyiko wenu hapo Na hiyo kayfiyyah yenu hiyo Mmeotowa wapi?Dhikri ni Ibada na inafanywa kwa kimfuata Mtume namna alivyofanya haifai kujitungia.Si kukusanyika huko kwenu ni upotevu waz kabisaa na hayo myafanyayo hayakuthibit hata moja na maneno yenu ya urongo mtupu Na sie waislam twajua Kuwa uongo ni ktk Madhambi makubwa.Lete hojja au athari ya Maswahaba wap walikusanyik Wakaanza Kuimba imba na kukohoa kama wanyama Kama nyinyi Masufi Ambao ni Kama Mbwa anavyobweka ??Allah awaongoze ktk haqq
@lilianmakwati5228
3 жыл бұрын
Upotevu upi
@muhidinali8180
3 жыл бұрын
Hawa hawanakhabari na swala na hio kurukaruka ndio ibadakubwa kwao
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/kYqq26mDo3ingaQ
@suleimansaidsalim6455
3 жыл бұрын
Lakini wajuwe tu kuwa kurukaruka sidawa ya ulimbo.
@AmCool_
2 жыл бұрын
Hawasali au
@aliabdalla9297
2 жыл бұрын
Kwa fikra zako mbovu
@zahorsalum663
3 жыл бұрын
Nyy fanyeni uzushi tu ktk dini.Allah yupo.
@abdulwahababdulkadir9965
2 жыл бұрын
Ni mambo ya utamaduni huwezi kukataa na tuheshim mawazo yao muhim ni kua wanayo dalili kua kuna amri imekuja kuwafundisha hili na hivi ndio imetakiwa,kama hapana basi tuombeane kheri ili Allah atuweke ktk njia sahihi
@yussufali9088
Жыл бұрын
Kiufupi tusihukumiane duniani tusubrie iyoo sikuku ifike
Пікірлер: 78