Mwanadada Dina ni mmoja wa watu wanaoshangiliwa sana hapa Tanzania. Ameotesha mizizi ya ushawishi kwa hadhira yake kupitia umaridadi alionao katika 'media' na harakati za kuwaleta wanawake wa kitanzania pamoja. Lakini nani ajuaye kuhusu mapito yake na kilichomfanya asimame na kuwa mfano bora hata leo? Hapa anatoa hamasa ya maisha. Na zaidi sana anatoa mawazo yake juu ya kinachopaswa kufanywa na kila mwanajamii mwenye kiu ya kustawi.
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Usiache kutoa maoni yako ili jukwaa hili lizidi kuwa bora kwa ajili yako, tuandikie kupitia hubofwisdomorg@gmail.com. Shiriki mijadala hii kwa njia ya WhatsApp kwa kutuma neno WISDOM kwenda namba +255 753 825 794.
Tembelea chennel ya Dada Dina ujifunze zaidi kutoka kwake @dinamariostv7211
Furahi!
#maisha #mapenzi #mafanikio #wisdom #dinamariostv #h.w.tv
Watch More, Be More!
Негізгі бет DINA MARIOS ANATOA FUNZO KUBWA KUTOKA KATIKA HISTORIA YA KUSISIMUA YA MAISHA YAKE. HAMASIKA!
Пікірлер