#CgOnlinetv
Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha ameagiza Polisi kukamatwa kwa Diwani wa kata ya Ufuruma Wilayani Uyui kwa tuhuma za kutafuna pesa za wakulima wa Tumbaku katani humo
Rc Chacha amechua hatua hiyo ya kumkamata Diwani huyo jana 29 Aprili alipokuwa akizungumza na kusikiliza kero za Wananchi wa Kata ya Ufuruma kijiji cha Chesa.
Негізгі бет DIWANI AINGIA KWENYE 18 ZA RC TABORA, "NANI MWINGINE ANAWASUMBUA HAPA?"
No video
Пікірлер: 10