Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe
@tumainimwaifunga3884
4 күн бұрын
Mwinyi oyeee
@awatifalghanim1106
2 күн бұрын
Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.
@awatifalghanim1106
2 күн бұрын
Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.
@atifsaid2608
15 күн бұрын
Hongera Sana Dr Mwinyi
@AbdillahSOthman
16 күн бұрын
Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.
@user-rk9qj9ob1p
16 күн бұрын
Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa
@saidmuhd611
16 күн бұрын
Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.
@jumaothman9449
16 күн бұрын
Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu
Пікірлер: 11