Lala salama magufuri Nione like za kamanda wetu R.I.P
@bigdreamer8857
3 жыл бұрын
Wanaotazama kazi za huyu jemedari wakati yupo mwanza kuagwa nipe like zoote,.. R.I.P our president
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
We are so many
@DottRoBroc
3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@abednego3876
5 жыл бұрын
Anaye muangalia huyu mwanaume wa shoka 2019 alike hapa
@bundalamakanga9133
5 жыл бұрын
Mtambo huu
@godlovekasaka4166
5 жыл бұрын
huyu sio wa sport sport
@richardtv8339
5 жыл бұрын
Ajanza leo😂😂
@rajabomary4222
5 ай бұрын
Tulioangalia mwaka 2024 tulike hii...
@gitiganiibrahimdanhi7692
3 жыл бұрын
Tutakukumbuka Daima Mzee Magufuli ulisimamia ukweli na hukutaka kuyumbishwa na mtu yeyote. Rest easy our Hero JPM ♥️♥️♥️
@baloziwairamba7945
8 ай бұрын
Anayeangalia hii Video Dec 23/2023 plz like hapa 😢
@carubryant6471
3 жыл бұрын
jamani nipo apa 2021 an dah naumia sana 😢😢😢
@kishimbamusic5116
4 жыл бұрын
Ambaye anafuatilia 1 Julai 2020/shughuli za Magufuli Alisa waziri was ujenzi. Gonga like.
@xkingx8041
8 жыл бұрын
Ubarikiwe Babaangu
@claramhina9605
3 жыл бұрын
Da Mungu hii Damu ispotee bure usikae kimya. Alikua anapenda Watanzania Siku nyingi
@RD-ml7pi
3 жыл бұрын
Mungu akulaze mahari pema pepon msema ukweli,mchapa kazi mungu akutangulie🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@josephatkiliko2546
3 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani Dk John POMBE JOSEPH Magufuli Mungu Akupe pumziko la milele.
@uwezo86
5 жыл бұрын
My Fellow Tanzanians, let’s support our President.
@yohanamaiga3031
6 жыл бұрын
you deserved to be a president Dkt. Magufuli
@daudimlamka1239
6 ай бұрын
He was a pure African who loved his continent with her people
@marcodominico9503
4 жыл бұрын
NDO MAANA HUWA TUNASEMA MTU UWA HAFI MOJA KWA MOJA. AKIFA HUWA ANA KUWA CONVERTED KWA NJIA NYINGINE. " NYERERE IS BACK "
@idrissapetro6515
5 жыл бұрын
Wewe Rais tulikutarajia Hawa kunguni wanaongata makario Yao acha waendelee wewe chapa kazi mungu akulinde
@geopolitics94
3 жыл бұрын
We will forever miss you President JPM 💔
@saimonpeter3788
3 жыл бұрын
Utabaki kuwa rais wangu milele we baba ulale Salam mpendw 🙏🙏😭😭😭😭
@mathiasbuyobe3512
7 жыл бұрын
KAMANDA ON ACTION
@salarytz6911
5 жыл бұрын
Mh rais weng wetu tumerud ccm kw ajir yko hongera sana
@vince_vinson.2083
4 жыл бұрын
Hapa alikua waziri
@mariethapesha2845
7 жыл бұрын
mweshimiwa jpm we nikiongozi2 hakuna mwingine uko juu big up kwakweli
@saidiomali3324
5 жыл бұрын
Kumbe toka kitambo mkuuu uko sawa.
@yustojastine9236
7 жыл бұрын
good mtafiti
@williamenos7641
6 жыл бұрын
Ulitisha na unaendelea kutisha ntaendelea kuangalia KZitem kazi zako za nyuma
@lawrencem3682
9 жыл бұрын
kiongozi bora huletwa na mungu,huyu mzee nimzalendo,pia nimkali sana. kwahapa tulipofika tanzania tunahitaji rais wa dizaini hii,umenishawishi na kura yangu ikuongezee ushindi JPM
@hamismbotoni5531
5 жыл бұрын
Hapo tu ni wazir angalia anavyo jituma wanao muona anatumika madalaka vbaya watakuwa wanamkosea sana yy ndio utendajiwake huwo apend kuleta siasa kwenye ukwel yy kaz tu 👍
@ibrahimovicstanson3761
3 жыл бұрын
Dah rest in peace magu
@danielyohana5965
3 жыл бұрын
Inauma sana huyu mzee daaaa
@anthonykusita7102
7 жыл бұрын
Rais J.M.P nimzalendo wa ukweli Tz sijawahi kuona kwa kweli kwa sasa.
@tugesyegemwakatumbula9857
4 жыл бұрын
Jembee letu hilii
@frankvianey2438
6 ай бұрын
Aisee kumbe mzee alianza ukali na ufuatiliaji wa mambo zaman sana
@smstore5535
3 жыл бұрын
Dah😢sidhan kama tutapata jembe kama dk magufuli tena... Alikua na upekee wake.. Mungu amlaze mahali pema ameen!!
@mussamgonola3983
3 жыл бұрын
Jaman jaman jaman
@olaislukumay2208
5 жыл бұрын
Huyu jamaa anauchungu na nchi hii Mungu amlinde
@johnpesambili4806
5 жыл бұрын
Kabisa hii ni zawadi ya watanzania kutoka kwa mungu.
@edwardedward2520
6 жыл бұрын
mh. jpm mungu aendelee kukulinda una moyo wa dhati kuleta mageuzi ktka taifa.
@abdulkarimjumanne4693
6 жыл бұрын
Gd
@zachariasinda4844
8 жыл бұрын
Huyu Mzee namkubali sana HAPA KAZI TU
@sameermilo2492
4 жыл бұрын
Magufuli 💯💪🏻🇹🇿❤️
@petromwamlima4120
9 жыл бұрын
Tuache mbwembwe, huyu ni kiongozi bora.... anae bisha sitaki ubishi wakati you tube ni watunza kumbukumbu anagalia mwenyewe..... waziri gani amejituma kama yeye Mh. Magufuli? Amefanikiwa kuninasa na kura yangu ameinasa pia, nimejiridhisha na utendaji kazi wake
@eliasnavytanga
8 жыл бұрын
+petro mwamlima MATATIZO WAKO wangapi kama yeye CCM? Kazungukwa na majambazi tuu. Atafukuza kila mtu.
@masasirichard2709
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 safi sana
@msafiriabdallah7648
8 жыл бұрын
JPM waonyeshe jinsi ya kufanya kazi mawaziri utakaowachaguwa!
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
A real man that was very patriot to his country!! RIP
@alfazaalhaji5988
5 жыл бұрын
Kiongozi bora
@faustintour8513
9 жыл бұрын
Huyu ni kiongozi
@geraldjacksonmasalu4989
9 жыл бұрын
mabadiliko ya kweli yanatoka kwa magufuli. Sina shaka na ww pia kura yangu umeipata.
@chrismutisya
8 жыл бұрын
Imagine...wakati huu Dkt. Magufuli alikuwa tu waziri
@jasjay4887
8 жыл бұрын
imagine!!!
@martinswai8031
3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani JPM. Umefanya kazi kubwa nchi hii
@jumakapo9914
5 жыл бұрын
Kweli baba mungu alikuteuwa uwe mkweli na mkombozi wa Tanzania Tanzanian owe owe
@furahafedrick8501
3 жыл бұрын
Tbc muwe nakipind maalumu chukuen krip zake toka nyuma akiwa wazir watu wajifunze cyo mpaka mtu afe ndo mwanze kutuwekea maklipu nawaombeni
@carubryant6471
3 жыл бұрын
comment yako inanitoa machozi 😢
@mathewbahati2831
3 жыл бұрын
Hata mimi naumia sana
@mjuba
4 жыл бұрын
Najua wew ni jembe la kazi na ndo maana nilikupa kura yangu
@nuhakamgisha3505
6 жыл бұрын
ndo maana nilimpgia kura...cz alionekana before..mungu azidi kumbariki raisi wetu
@gideonkalumbu5220
4 жыл бұрын
Huyu ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli tumsaidie huyu ndiye Rais wetu.
@dechardavid2555
Жыл бұрын
Tutakukumbuka dingii
@hamismbwani4655
6 жыл бұрын
He is a competent leader since born
@bundalamakanga9133
5 жыл бұрын
Sanasana sasa wewe ndo mwenye maamzi njoo hata huku kigoma uone Mzee mambo hayaendi mkubwa
@tzkwanza3861
5 жыл бұрын
jpm nakuibiya Siri njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba yani uone vituko uku
@amangervacy879
3 жыл бұрын
Daaaaa jamaa kalala jamani R I P
@margarethsolomon9823
2 жыл бұрын
Baba ulikuwa mwamba hata kabla ya kuwa Rais. Nilikukubali ndani ya moyo wangu. Rest in peace daddy.,💔💔💔🙆🙆
@allymkwepu7949
5 жыл бұрын
Mzee huyu ana uchungu xana na hii nchi
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Mm natazama akiwa hatunaye tena..... hawa watu wa aina hii wapo wengi sana nchi hii ILA kuwapata ni kazi sana kutokana na mfumo wa kujuana uliokithiri nchi hii..... Hawa watu huzaliwa hivyo hivyo kama walivyo wala sio kitu cha kufundishwa au kuadopt, when you adopt things, later on tends to filter out and things remain same..... But huu mwamba ukianza kazi walisema nguvu ya soda, baadae wakakubali, wakasema vyuma vimekaza, baadae wakazoea wakafurahia maisha, wakasema atapoa, yeye akazid kuchemka tu mpk wakawa wanaomba poh😂😂😂... Hizi ni karama mtu anazaliwanazo...MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI DR JPM
@hasanelisha2576
2 жыл бұрын
mungu akulaze salama
@mohamedykabwanga1647
5 күн бұрын
Nipo hapa 8/9/2024 namuangalia mwanaume
@user-eh5fw5gj4c
5 ай бұрын
2024
@hassanlamata2312
2 жыл бұрын
Nimefatilia crip nyingi sana za Magufuli amin nawambia huyu mtu hakuwa mtu wa kawaida aliandaliwa na allah hakika kwanza hajawah acha kuvaa beji ya africa kwenye koti lake la suti kama alivyokuwa gadafi
@material_liv4674
5 жыл бұрын
Message sent and message delivered 😂😂😂😂😂
@leamgonja680
5 жыл бұрын
Safi sana shujaa wetu
@joelnnko5578
6 жыл бұрын
Ilikua nzuri
@man.lule.585
4 жыл бұрын
Kikwete mwenyewe alimpa jina lá tingatinga gurubosa huyu mheshimiwa anamisimamo ya kuitakia maendeleo Nchi yetu ya Tanzania tangu akiwa Waziri.
@tzkwanza3861
5 жыл бұрын
njoo kwenye barabara ya mtwara Tandahimba uone vituko wameanza kujenga nyumba zao za kukaa Na bati juu zimeaza kuingia kutu bado barabara aijaisha
@solomonrugaimukamu1302
5 жыл бұрын
Hakika ulistahili Viatu hivi Baba ,Kanyaga twende.!
@yohanamaiga3031
6 жыл бұрын
jembe sana mhe. Magu
@paschalsamwel5921
5 жыл бұрын
Najivunia kuwa Na Rais anayepigania maslahi ya watanzania,hakika watanzania tupo nyuma yako Mh Rais Magufuli.
@mathiasnsegenelo7598
5 жыл бұрын
Wewe shikamooo!!
@lawarencemacheta7326
5 жыл бұрын
hapo alikuwa ni waziri tu
@temkezatv4381
4 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@fredycrisant2862
4 жыл бұрын
Magu kama mag
@hojajmagingila1099
5 жыл бұрын
Mawaziri wa sasa, hebu jaribuni kufuatilia clip za Mh. Rais Magufuli akiwa waziri.
@derickjuma4251
5 ай бұрын
2024❤❤❤
@rutakihama3523
2 жыл бұрын
Daima utabaki mioyoni mwetu
@ibrahimkasimo7870
4 жыл бұрын
hongera mh rais
@georgekapongo962
4 жыл бұрын
Jembe kama Jembe, Magufuli the boss
@davidmihambo3051
7 жыл бұрын
is the best leader ever but is it 30 ft or 30m road reserve ?
@vpangani1036
6 жыл бұрын
Big up
@shukurusaid2159
6 жыл бұрын
Du hatar iiiiiiiiiiiiiiiiiii magu
@jeremiahmasunzu3437
3 жыл бұрын
Ulidesrv siku nyingi kwa utendaji
@neymamchau7311
6 жыл бұрын
Jamaa uyo alieshika cm simuelewi anampa lais cm au anamrekon mbona hana heshima
@tuphujekumuhkunonyiile3739
6 жыл бұрын
neyma mchau hahahahahaha
@martinswai8031
3 жыл бұрын
Alikuwa waziri kipindi hicho
@yusufuheri6524
4 ай бұрын
Hapa alikua waziri wa ujenzi ila hii dunia ina neema nyingi sana neema ambazo huwezi kuziona mpaka neema hizo zikutoke
@denistarange5580
3 жыл бұрын
Pumzika Rais wa watu
@hindisaid2413
2 жыл бұрын
Mungu hafundishwi alijua alichokipanga.
@thomasmartinez786
Жыл бұрын
Tuendelee kupata madini 2022✅️✅️ like hapa🔩
@cosmasmpwage2576
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 leo umeenda zako
@cosmaspeleka6767
9 жыл бұрын
huyu ndie ataleta mabadiliko
@josephkabalila1435
5 жыл бұрын
Hongeramaguful
@laurentnkanga9944
5 жыл бұрын
Cosmas ndo yule was vtc kwa askofu?
@naseebmshuzatz2224
3 жыл бұрын
Uju jamaa alikua wapekeake
@mangegervas9651
4 жыл бұрын
Kumbe kutoka zaman ulikuwa c mbabaishaji!!!
@mamlee7983
Жыл бұрын
Alikua mtu wa kazi kweli kweli lkini shida alokua nayo ni ukatili na uuwaji hakutaka kukosolewa
@user-zx3he3lp3o
Жыл бұрын
Rest in peace magufuli ulikuwa jembe jwa ufisadi n nchj ilipata maendeleo
@mabulamahozola5317
2 жыл бұрын
Nomaaa sana huyu mwamba
@vladiminlenin8883
4 жыл бұрын
Kura yangu haikupotea 2015
@billionaresadx7505
3 жыл бұрын
2021
@Satier47
Жыл бұрын
💔🤔
@mangegervas9651
4 жыл бұрын
Rais saaafiii mno. Angekuwa China angenyongwa
@vodaphone9825
3 жыл бұрын
Dah! Kwakwel huy rais habatis,
@mhojamsafiri2273
4 жыл бұрын
Huyu jamaa kumbe mwendo wake ni huohuo?hana mchozo toka kitambo
Пікірлер: 137