I'm in Nairobi Kenya I support Pombe for presidency
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Asante kipenzi chetu
@nrwawanndeny7394
3 жыл бұрын
Kwa maana we ni mlevi
@emmanuelreuben5014
3 жыл бұрын
Thank you
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Nakupenda raisi wangu Allah kadir akutangulie akujalie ushinde
@josejbkbazenga3016
3 жыл бұрын
I support pombe from kenya
@lawrencegwerino1656
3 жыл бұрын
Ona heshima ya raisi wetu ,yeye mwenyewe kapanga foleni
@del-mohaa7527
3 жыл бұрын
Ingekua ni kenya rais au makamu wa rais asingepiga foleni angewekwa mbele au kuingia direct lkni angalieni huyu hana majigambo hana makuu aki ningekua mtanzania ningempigia mm na familia yangu yote nakuombea ufanikiwe na afya njema uzidi kuijenga tanzania
@presseg.6362
3 жыл бұрын
Mi nilimpigia kura na ndugu zangu na marafiki zangu wote pamoja na majirani
@francischipangapole7671
3 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@emmanuelreuben5014
3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutambua hilo
@mikidadiharuna9906
3 жыл бұрын
Nakupenda laisi wangu
@lovvy854
3 жыл бұрын
BABA Umeshashinda hata usiwe na khofu mungu anakuongoza kwenye ushindi insha'Allah Khair 🙏
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Amin amin
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
Amina
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
Ameen
@zenj1986
3 жыл бұрын
Mzee bora upishwe na ukapige kura hako na ukapumzike. Usibirie kutangazwa na kuapishwa ili uendelee na kazi.
@jhfgbn87hshswj17
3 жыл бұрын
Baba usiagaike nakupaga mitano tena niyako
@prosperkullaya4529
3 жыл бұрын
Neno
@suleimanqassabi6602
3 жыл бұрын
Magufuli inshallah upate tena miaka 5 Ameen Ameen Ameen
@dd-yc1mw
3 ай бұрын
Rais wangu bora wa muda wote. RIP shujaa wa Africa
@jabalimikechi7750
3 жыл бұрын
What a leader you are salut Sir, tanzanian you guys are very lucky to have him as a president MAGUFULI hoyeeee 🇿🇦🇿🇦🇨🇩🇨🇩
@maidamwaipopo7645
3 жыл бұрын
Huyu rais nampenda mpaka naumwa.mtu mwenye upendo sana
@deborahkiunoswaf5907
3 жыл бұрын
Ana mke lakini?
@hassanmpwepwe8258
3 жыл бұрын
God bless my present jpm god bless Tanzania
@lovvy854
3 жыл бұрын
Your 🎁🤣🤣🤣
@allpotentials8420
3 жыл бұрын
@@lovvy854 he is right men you never know may be he mean president as his zawadi from heaven 😁
@hadijachakori2352
3 жыл бұрын
Mung akulinde sana rais wetu tz ya amani
@albanimusa9133
3 жыл бұрын
uliona wapi kiongozi apanga foleni kama si uyu..5 tena
Mkuu tano yako unayo mungu akupe afya njema umeufanya kazi kubwa kwa nchi nzima tumekuamini umepitia inshaallah 🙏🙏🙏🙏💓❤️♥️🇹🇿
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
Ameen
@thuvakonde2584
3 жыл бұрын
Mungu akujalie ushindi wakishindo ila ningekuomba ukisisitiza amani usisahau n haki pia mana bila haki amani inakuwa ya uwoga n uvumilivu kwa raia wako leo hii uhuru amna freedom of expression and speech uhuru wa vyombo vya habari amna mitandoa yamekosea nn leo mpka imetenguliwa
@rukundoibrahim807
3 жыл бұрын
masha ALLAH raisi docta John pombe josef maghufuli atashinda uraisi kwakishindo ALLAH amuezeshe ili aendeleye kwa majukumu yalio bakia.
@lovvy854
3 жыл бұрын
Ameen yarabill alamin insha'Allah Khair 🤲
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Amin
@africandarling6925
3 жыл бұрын
Magufuli Oyeeeee tena kwa Magu wake Oyeeeeeeeeeeeeee
@mohammedkimanga8960
3 жыл бұрын
Allahuma ameen ya rabbali alameen
@rukundoibrahim807
3 жыл бұрын
@@africandarling6925 kinacho nifurahishaga kwake namna anachukia dhulma kwa waja wa ALLAH.
@mohammedhusssein8734
3 жыл бұрын
Mitano tena magu👍
@kulwamanzimoto9578
3 жыл бұрын
Magufuli Ni jembe, miaka Mia 💪
@mussamchena9595
3 жыл бұрын
Mitano tena huna mpnzani
@xkingx8041
3 жыл бұрын
Unapanga msari kwenye foleni nawewe babaangu!! Tupate wapi rahisi kama wewe!!! UBARIKIWE SAAANA.
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Huyu alikuwa Rais wa tofauti Sana ,alijishusha Sana, ndiyo maana Mungu alimuinua Sana,
@ashaa497
3 жыл бұрын
Baba usijali tano tena
@isejemedia6760
3 жыл бұрын
Kweli baba una moyo wa upendo,,,had folen Mungu akubaliki sana,,rais wetu mpendwa ,
@africandarling6925
3 жыл бұрын
Mueshimiwa Raisi wetu namini hutashinda tu raisi Hili ukatekeleze majukumu yako baba yetu mpendwa Magu
@antonykomba6020
3 жыл бұрын
We have individuals both internally and externally, that tries desperately to smear JPM's image, demonize him. But the irony of it all is that he's still the best president of this country since sliced bread
@johnsonbubinza4646
3 жыл бұрын
i salute you anko magu
@kisumbalufuor8512
3 жыл бұрын
Suis congolais mais j'aime vraiment le président Magufulu👌👌👌 nous avons besoin de tel président en Afrique
@kazadilwaboshi8235
Жыл бұрын
Exactement 👏👏
@user-wi1zl6ip5p
3 ай бұрын
Vraiment, est ile vivon
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Tumuombee kwa Allah inshallah Allah akawe na wewe kwenye ushindi inshallah amina thuma amina🙏🙏🙏
@jamesmwaurakuria1848
3 жыл бұрын
My president 2022 in Kenya
@maryanmmmaryam8070
3 жыл бұрын
Mungu ibalki tz napata tabu royangu kukosa kuw tanzania kura yangu kwa jpm namuombe pia rais wangu +254
@madamboss348
3 жыл бұрын
All the best Pombe ...
@mariamswaleh7869
3 жыл бұрын
Tanzania kwanza
@hamissahamissa105
3 жыл бұрын
Yani baba unamakuu kabisa
@zawadiathumani5404
3 жыл бұрын
Magufuli High tu sana
@eliudgathuthi8601
3 жыл бұрын
I support Magufuli for presidency. Kenya I have never seen them lining up. A down to earth president heko
@lewismugo4070
3 жыл бұрын
looking for votes in africa they behave like angel's
@samsonykulindwa3132
3 жыл бұрын
No one like Magu
@prosperkullaya4529
3 жыл бұрын
Neno
@husseinbakromar5865
3 жыл бұрын
Namuombea John pombe magufuli ashinde awam ya pili azidi kuonesha mifano kwa Marais wa bara Africa waliozembea utenda kazi na kuweka ubinafsi ukabila na uwizi
@andreabatut3780
3 жыл бұрын
My too
@hamissahamissa105
3 жыл бұрын
Baba mitano yako iyo tena ainaubishi
@issakomoroware8000
3 жыл бұрын
Rais muadilifu john pombe magufuli
@christophersikaonga8714
3 жыл бұрын
Nami nikawe kama magufuli e Mungu mubariki Raisi m
@djafromoviestv679
3 жыл бұрын
magufuli atachagua nani kua raisi wake ama atajichagua
Daa umenifurahisha kwenye eneo husika umefuata utaratibu wakupanga foleni safisana. Mi5 tenaaa JPM
@harunilibangite7205
3 жыл бұрын
Mbona tokea enzi ya nyerere kwenye folen wanapga. Huu ni mwendelezo tu. Congrats alot our chief pombe
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Tunakupenda makufuli tunakupenda usiwe na wasi Tanzania ni yako wewe
@shedadiabdul6585
3 жыл бұрын
Waliokuwa wanatukana Sasa hivi Aibu ya nani?Watanzania wanaelewa co Wajinga Nani Mtanzania anapenda kuongozwa na Rais anaependa Ushoga?Sisi Tunaojielewa tumempa kura lukukiiiiiii ✊tena
@juliethhouseofdesigns147
3 жыл бұрын
Watz wamenifurahisha sana safari hii
@fordraymondjohnson2380
3 жыл бұрын
Mpaka Lisu wao aliewadangnya watanzania kuandamana barabaran keshasepa zake ubelgiji
@rashidkalimbo2451
3 жыл бұрын
Angekuwa UHURU KENYATTA angewapita wote kisha na BODYGUARD WATANOWATANO ufanye mchezo wewe uone.... I will always SUPPORT ❤️ PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI❤️ Nakuombea Mzee kwa ukarimu wako na kujali citizens❤️ Mungu Akulinde❤️ #KENYA.
@andreabatut3780
3 жыл бұрын
Naamini mungu atasaidiatuuu
@magdalenaedward1014
3 жыл бұрын
Congratulate predzaa
@dullybrown3635
3 жыл бұрын
Mhahahaha uyu raisi wetu me namkubali sana kwa hivi anavyojishusha.
@gospeltv8095
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/06ysyWdmo5qWqaA SOLUTION YA TATIZO LA KIMTANDAO HILO APO FREE TUTORIAL
@saasitacomedian1144
3 жыл бұрын
Kenya tutapata wapi prezo Kama Huyu pombe...
@harunilibangite7205
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti prezoo kama huyu pombe
@emmanuelreuben5014
3 жыл бұрын
Ipo siku mtapata,muombeni mungu
@salimalaquimane2640
3 жыл бұрын
Viva JPM JPM
@prosperkullaya4529
3 жыл бұрын
Arutakontinua
@prosperkullaya4529
3 жыл бұрын
Ccm damu
@mamukassim4075
3 жыл бұрын
Sio mitano tu. Atawale. Mpaka mwisho. Sisi wananchi tushampa dhamana tumekuamini
@manenokmazachi1334
3 жыл бұрын
Duu
@safielfadhili8307
3 жыл бұрын
Ajiandae kisaikologia tu
@makulaikuku6909
3 жыл бұрын
Mwambie lisu sio jpm ndio rais wetu
@shedadiabdul6585
3 жыл бұрын
Wewe ulieamdika
@jackmichael1953
3 жыл бұрын
majibu mmepata na saikolojia yenu ipo poa
@shujaabrave5766
3 жыл бұрын
kwa heri magufuli
@jackmichael1953
3 жыл бұрын
kwa heri lisu
@emmanuelreuben5014
3 жыл бұрын
Kwa heri lisu
@peterjohn4818
3 жыл бұрын
Turudishien access ya mitandao y kijamii
@asrashseif6532
3 жыл бұрын
Uspate shida dowload VPN
@emmanuel1479
3 жыл бұрын
@@asrashseif6532 kudownload kwenyewe haiwezekani
@benbranco3688
3 жыл бұрын
ata huu n mtanda wa kijamii ha ha ha
@josephinaclement6847
3 жыл бұрын
@@emmanuel1479 naenda Google andika VPN app then download
@jumammanga0297
3 ай бұрын
usaniii mtupu
@user-yu3ff9eb4t
3 ай бұрын
Hongera sana.
@eliahmashala5180
4 ай бұрын
Daaah alikuja lakini hatukumwona,,na hata tulipomuona hatukumtambua
@user-tx6zs1dh2q
8 ай бұрын
Huyu ni kiongozi wa ukweli kabisa Duniani
@wilfredmaimu1958
8 ай бұрын
Nikiangalia napata uchungu sana moyoni lakini tumwchie mungu
@yasintakahamba1320
Жыл бұрын
Yaani Mimi Nina shangaa kwanini huyu Samia aliebaki sasahivi hataki kuweka siku aliokufa magufuli kwenye karenda tukawa tuna muenzi maana alikuwa anaupendo wa kweli Rais Gani uliona anapanga foleni
@juniorsonofgod5675
Жыл бұрын
Huyu baba alikua mzalendo Sana sijawahi ona kwenye hii dunia
@kelvinmhina1685
Жыл бұрын
Movie. Casts wote kwenye hii filamu ni planted.
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Kupiga kura au kuiba kura?
@josephmaduka468
Жыл бұрын
Atakumbukwa milele hakuna kiongozi mnyenyekevu kama huyu duniani
@emmanuelbonifas2804
Жыл бұрын
Kweli kifo akina huruma tulipoteza mtu wa kuokoa taifa letu mungu akulaze mahali pema baba
@frolasospeter6000
Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima mpedwa wetu
@ramadhanisalum7476
Жыл бұрын
Daaa nahisi vibaya kama nikimuona baba yetu mzee wetu ndugu yetu muheshimiwa raisi wetu Magufuli Mungu ailaze roho yake peponi amina Mungu aisaidie familia yake yote iliyo naki hapa duniani
@kalumbugideon4159
Жыл бұрын
Rais Kikwete pia alifanya vile....
@athumanjafar8718
2 жыл бұрын
Innaalilah wa innaah ilyh rajuun
@eliasilivester37
2 жыл бұрын
gonga like kama umegundua aliyeko nyuma ya magufuli ni Bodyguard wake.
@luzigachunchu9244
Жыл бұрын
Sio bodyguard Ni mpambe wa Rais
@abubakarikisuju80
2 жыл бұрын
RIP MAGU
@kinyageganja2995
2 жыл бұрын
U
@explorelondon3695
2 жыл бұрын
Ni kilio kikubwa dunia yote, Baba J P M Hatutamuona Tena😢😢❤️
@mosesshagembe6402
3 жыл бұрын
Why no security?
@mwanaarabumnyanga2715
3 жыл бұрын
R.I.P
@marygaspar6429
3 жыл бұрын
Ee lazima apange mana siyo Raisi kwa sasa! ni raia tu wa Tanzania lazima tuwe waelewa hapo aidha apate au akose muda tulompa mwanzo umeisha anawania tena awamu nyingine!
@regonmshanga8989
3 жыл бұрын
Safi Sana muheshimiwa rais
@abuumariam2259
3 жыл бұрын
usanii tu
@venancemalima1181
3 жыл бұрын
Haijawahi kutokea Duniani jamani ni mpango wa Mungu tu Kuwa na Kiongozi kama huyu.
@hechaaclassic
3 жыл бұрын
Exclusively💥
@dmochiwana2241
3 жыл бұрын
Brother k akitubu mbele ya make wake
@eddykaswa8935
3 жыл бұрын
We mzee ndio maana nakukubali saaaaaana naona Kama Mungu katupatia mfalme suleiman wa pili Una hekima Sana lord will be with u forever ameen
Пікірлер: 171