Umeuliza vizuli sheikh wetu kuto kongo ubalikiwe Dr sule naye namukubali Allah akujaliye 🙏
@samuelmweipongwe140
Ай бұрын
Mwenyezi Mungu shahidi tumetoka kuongea swala hilo leo saa tano.asubhi kuhusu mfano huo.wa majini wema kutumika katika wema, na.wale waovu katika uovu. Mimi.si muislam ila katika hili namuelewa sana Sule, huwezi kukataa undugu wa Imani kisha mukatae matumizi ya umma katika dinni.
@user-lq6kr2gl7n
Ай бұрын
Kifup mm nakuunga mkono pia Dr sulle namuelewa mno elimu ya hawa viumbe ni pana na si kila shekhe amesoma hiyo elimu majin wapo kweli na wamepewa uwezo mkubwa sana wapo waovu na wapo wema ki fup sulle anayo elimu ya kuhus hawa viumbe
@lilmojr7
Ай бұрын
Dr sule acha kulazimisha watu kutumia majini kupata mafanikio badala ya kumtegemea Allah ndiye anaetoa rizki acha kupotosha watu
@nuhukenny7183
Ай бұрын
Hajalazimish, sikiliza tena vizuli. Yeye iko anajibu maswali
@user-kg9fn1ph9d
Ай бұрын
swala la majini lipo kwenye Quran na kuna sura kamili ikiliongelea hilo , nakwamba wapo majini wema na wazuri nakwamba nabi Suleiman aliwatumia maafriti ( wakuu wa majini waliomba kumletea kiti cha balqis nk) watu wanaopinga pinga ima kwasababu ya ujinga wao au kwasababu ya kukosa kufatilia hicho wanachobisha.
@therealhajjkhan_
Ай бұрын
SOMA ELIMU
@HadinanKimimbi
Ай бұрын
Sikiliza maana yeye Anamuamini Allah ww pata elimu
Sheikh uk sawa sana wanaokupinga hawana elimu yakutosha. hakuna kazi ambayo haina upinzani wape elimu hao lakini naimani ipo siku watakuelewa tu maana wanapinga alafu bila hoja ya msingi nakukubali sana sheikh wangu sure kwaelim yako ya dini. nawashangaa sana masheikh. wakubwa ambao wana sema wewe nimshilikina alafu mbele jamii bila kufanya utafiti Mungu awasameh tu kwasababu hawajui
@tyivbra
Ай бұрын
Ckuzote mtiweny matunda hupigwa mawe
@AishaOmar-s9g
11 күн бұрын
Allah akulipe mi binamsi nakuelewa sana namada zako zote unazotuwa zinaeleweka isipokuwa chuki zawanada nnaelimu piy hawan inshaallah
@NiyoBuja
Ай бұрын
Dr Allah Akupe umuli mulefu Wanayo kuchukia wata nyonga acha neema za Allah ziku ziendeleye kukufikia Vinginevyo wanakufanyia fitina tu yawatu
@isarichard
Ай бұрын
I support you Dr. Sule those are tarnishing your name and who are becoming difficult at the knowledge they do not possess, yan tatizo lao mmojatu lack of understanding what,how,and who the unseen creatures are especially the Jinn kind Don’t be panicked with those people just tell them to back to class perchance they will have the opportunity to acquire such a piece of knowledge A big hand to you sheikh and continue doling out such lectures to people so that they stop living in the kiz and know the truth about the Jinn kind…
@hassanWanjiku
Ай бұрын
Utakumbukwa kwa kuharibu dini ya Allah kwa kuihushisha na majini mchawi wa kileo hadi mitandaoni elimu ulienayo ni batil kwa kauli ya mtume salallahu alayhi wasalam,,,,ataejihushisha na elimu ya nyota mchawi huyoo
@KhalidAlly-je8ky
Ай бұрын
Wewe sio DR ni professional
@PaulJospin-et7nu
Ай бұрын
Shalom, mwalimu Dr sulley aje RD Congo (Bukavu) akifika Congo na amini atrudi amesha batizwa.
@xenioribra3765
Ай бұрын
jamaa ana akili sana..... Mungu ampe maisha maref
@hassanWanjiku
Ай бұрын
Atapewa ila ajue akifa kama saii hayupo salama
@ginazngo4317
Ай бұрын
Masha alla ninajicubia kuwa muislam
@user-zm8nq6xv8o
Ай бұрын
DR SULLE NASHAURI SOMA KWANZA VITABU VIZURI. ALAFU HOJA ZOTE NILIZO ZISIKIA NAONA KAMA UNATAFUTA NAMNA YAKUJITOWA KWENYE MANENO YAKO YAMWANZO UNABADILIKA. REJEA TENA KWA ALLAH NA UACHE KUPANDIKIZA KITU KWA UMMAH AMBACHO KINAWEZA KUKULETEA MADHARA MAKUBWA MBELE YA ALLAH 😢
@abdullzahor3019
Ай бұрын
Dr sule majini achana nao pumzi zisikudanganye umri mdogo sana dunia isikutie kwenye shirki
@kerosenealimasi8019
Ай бұрын
Mungu akulinde sheikh
@Abdulrahmanhassan18
Ай бұрын
Mashaallaa Allah bariq mwenyenzi mungu akulinde shekh wetu mtaalam DR Sule. Wanaokutukana tatizo lao ni uchache wa maarifa tu
@zainabusagalo3031
Ай бұрын
Kweli kabisa hawajaruhusu tu akili zao kuelewa mambo beyond the body maana viumbe vyote vilivyoumbwa na Mungu ni energy na viumbe vyote vipo kwaajl ya manufaa na vinamtumikia mwanaadam kwa sababu mwanaadam yeye ndo khalifa.
@AbdillahAlly-fl4vh
Ай бұрын
@@zainabusagalo3031 good
@alkashaaiy9722
Ай бұрын
hii dini sio mawazo ya kila mtu , Huyo sule ni mwalimu kwa wajinga wenziwe , Hakuna mtu anayejua tawhiid na shirki akazungumza upumbavu mfano huo .... halafu wengine wanaleta theory za energy hapa , watu sijui ni wagonjwa kiasi gani
@zainabusagalo3031
Ай бұрын
@@alkashaaiy9722 Kama tawhid ni kumpwekesha Mungu basi hata Sule hajamfanyia Mungu mshirika. Acha kukaza kichwa ruhusu akili yako kuelewa point. Kwa taarifa yako nikisema energy namaanisha spirit,hii miili ni vazi la spirit tumefumbwa kuona vitu kutokana na hii miili tuliyovishwa unahabari hata jiwe ni spirit ila unaliona Kama ni jiwe kutokana na hilo jicho la nyama.
@alkashaaiy9722
Ай бұрын
Huo ni uchache wa elimu na kubobea sana kwenye sekula na kuchukua theory za sekula kuziweka katika khabari za ghaibu, Kwanza Tukisema ,Kila aliyesoma tawhiid ajua wasaail wa shirki ni kufungamana na majini hilo hata mtoto mdogo ajua , Sasa weww kama muda wako uliutumia kusoma theory za energy ukasahau kusoma tawhiid na shirki lazima mitego ya kufungamana na majini itakupata Allah anasema nini kuhusu habari za Roho ( Spirit?) { وَیَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلرُّوحِۖ قُلِ ٱلرُّوحُ مِنۡ أَمۡرِ رَبِّی وَمَاۤ أُوتِیتُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِ إِلَّا قَلِیلࣰا } [Surah Al-Isrāʾ: 85] Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu. SHIRKI HAIKUANZA ILA BAADA YA KUANZA KUFUNGAMANA MAJINI NA WANADAMU na Allah akasema { وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا } [Surah Al-Jinn: 6] Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi. HIZO AYA TU ZILIKUTOSHA WEWE KUACHANA NA KHABARI ZA MAJINI MAANA HAKUNA MWISHO MZURI HATA SIKU MOJA ILA MAASI AU KUTUMBUKIA KATIKA SHIRKI
@PaulJospin-et7nu
Ай бұрын
Nawatoleya salamu, namuomba Dr sulley aje RD Congo, akifika Congo na amini atrudi amesha batizwa.
@ramadhanmwandambotuntufye5972
Ай бұрын
Nakuelewa sana Dr. Sule
@abdullzahor3019
Ай бұрын
Maneno yako sule ni ushirikina mtupu allah akuongoze urudi njia ya sawasawa
@drsulletv9085
Ай бұрын
Toa ya kwako mazuri tujifunze
@ismailally3219
Ай бұрын
yeah! tupe ya kwak ambayo s ushikirikn tukapaja lesson today we are lesten for this time
@Hussein-gx4qu
Ай бұрын
@@drsulletv9085 huo ni ushirikina hauko kwenye Aya Wala hadithi
@al-miskrychannel478
4 сағат бұрын
Huyu mwamba km kuna uwezekano akatazwe kulingania watu kuhusu shirki, huyu ameshauva ujini sio binaadamu tena. Na kwa jamii yawaliowengi hawajasoma dini atapotosha sana huyu. Hili si la kupuuzwa - baada ya kulingania ucha mungu analingania watu wafanye shirki. Allah amtoe nguvu aache kupotosha watu kwa ajili ya maslahi yake binafsi.😢
@musalumbi8490
Ай бұрын
Wacheni kuuharibu Uislamu
@abdallahhamisi45
Ай бұрын
Sheikh nimekuelewa vyema sana na vyote ulivo visema haswa ile ya kusafiri ipo na wamefanya hadi viongozi sio tu mashehe. Tatizo letu sisi elimu hatuna na tunabisha kimasilahi. Wengine wanabisha sababu hawajui tu
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Dr suleee Allah hajaahidi kumlinda mtu kwa kutumia Jinni jmn ukisoma ayatul Kursiyyu wakat unatok ndan kwako Allah anakupa kikosi cha malaika cio majini pia ukitaka kulala ukisoma zile sura alizosema Mtume SAW bc Allah anakupa ulinzi wa malaika cio jinni jmn tumche Allah kuna majini maulamaa kweli inaez ukapatwa na shida akakusaidia lkn c tena aanze kukupa masharti au akupe pesa tenaaa heeee huenda anakusaidia km anataka tu ujira kwa Allah akusaidie kisha habar imeisha lkn akwambie uchome ubani au akupige mikwaju ukaswali au ukupe ulemavu mpaka ukubali uganga ili utibu watu huyo anataka kukutia ktk shirk Allah atuhifadhi
@shuitv9229
Ай бұрын
Allah amhifadh Dr sulle
@user-go4qe2xq7g
Ай бұрын
Uko sawa kaka
@ginazngo4317
Ай бұрын
Shehe tupe elimu tumekuelewa sana alla akubariki na mgeni wetuu 😂😂😂
@lightworkerplan1543
Ай бұрын
Kwel bn unajua Watu wengi wamekaririshwa wala hawana ufahamu mpana katika elimu nahawajui nini maana ya shirki
@SalmaSalum-p5o
6 күн бұрын
Ikumbukwe kua chanzo cha watu kufanya shiriki ni kwasababu watu wamemiliki majini leo unamtumia jini kwa wema kesho imani inabadilika unamtumia jini kwa ubaya . Watu wapo tayari kumlipa mganga ma bilioni ya pesa kwa ajili yakumua mtu je leo kıla mtu awe na jini lake ivi kuna atakae baki si tutauwana tu .mm siwafichi nina roho nzr lkn mtu akinikera nakua na hasira je leo nina jini si nitamtuma aje anilipie kisasi . Mtume alikua hawaombi majini bali majini wenyewe ndio walikua wakimfata mtume na hıı ni kwasababu yeye ni mja mwema lkn licht ya kua majini wanamfata mtume lkn mtume hakuwahi kuwaomba mali . Je Dr sule ukiacha Mtume kuna ata swahaba wa mmoja wa mtume aliekua akiwaomba majini watafutiwe mali au chochote kile .??
@zuberiimamumhina5164
Ай бұрын
dr ifike wakati uache kubishana na watu ambao hawana elimu fullstop #HAWANA ELIMU jua hivyo profs heb ach kupotez muda na wao niki skiliz hoj zao hazina mashiko mmoj anasema majini hawaonekan dr sule kawaon vp na mungu kasem sis hatuwaon wao wana tuon nika pat jibu hawa jamaa hawana elimu kuwahus hao majin nabii suleiman ali waon vip
@anynarmdan312
Ай бұрын
❤❤❤
@arrisalastriker9813
Ай бұрын
Njaa yakusumbua sule dunia mapito tu Mzee.
@GitanoGitano-dx7bb
Ай бұрын
Kusoma sana ni shida kwa upande mwingine ,majini wanaotii sheria za Mungu ni kwa kuabudu MUNGU tu,Na wale majini wanaofanya mabaya ndio wale wanafanya shirk kama kuwapatia watu kuua,katika mijaraba,katika albadiri wala si kazi nyingine,Ndio maana hukumu siku ya kiama itawahusu binadamu na majini tu, tuache mixing katika dini,
@beyondsavanna6028
Ай бұрын
Uyu doctor yuko vizuri sana
@husseinshehuna68
Ай бұрын
Soma tawhiid... Na uisome dini akhy...
@saidinsenda954
Ай бұрын
Amsaidiyi bali anamshawish ama kumuamrisha mema kiswahili kieleweke
@isarichard
Ай бұрын
Good jins encourage people to do good and guide people to good things and not commanding people to do good whilst evil jins they command and guide people to evil as well as doing bad things…
@michaeljoseph3118
Ай бұрын
Acha Kupotosha Watu
@drsulletv9085
Ай бұрын
Sawa
@user-td8bp9kz8d
Ай бұрын
Kweli sheikh Suley umetoa Siri za watu
@user-zm8nq6xv8o
Ай бұрын
Shehe acha kutumia sana Mifano kwenye dini ya Allah Tumia saaaana Qur an na Sunnah
@cavanindimbe1670
Ай бұрын
Dk Sule hii nchi inakuhitaji sana kulko wew kuhitaji hii nchi mi nakukubali uko sawa sana wanaokupinga hawakupendi tu
@IdrissaMoussa-tx7jy
Ай бұрын
Innalillah wa innalillah rajiuna sule acha tama yamaisha. Majini ni majini na sisi watu ni watu,tumikana na watu majini nao atatumika namajini acha wunafiki,maisha nimapito tu.
@dicksonmbuvi2756
Ай бұрын
Mi mkristo ila nakupata iddrisa atapotosha na kutokomeza wengi zaidi
@KomoraMohamed
Ай бұрын
Dr Sule nmekuelewa vizur sna kwli masheikh google kma kina bachu
@khadijaomar7529
Ай бұрын
Dr sule hongera yako hao majini yako yame juwa kukupa umarufu kama kawaida yao wanavyo fanya mana umevuma sio mchezo ela haya tutaona mwisho wako wewe na hawo majini yako si letu jicho tu
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Unajua Dr Sule ww unaitwa mshirikina kwa jambo la kumtii uyo unomuita jini uchome uban mashtaka au uvae pete au usome jina fulani la Allah hayo ni mashart unayatekeleza tena mengine kwa cku maalum au kwa wkat maalum uo ndo ushirikinaaaa hupaswi kutii amri kutoka kwa jini Allah atuhifadhi
@amina2044amin-zv2gh
Ай бұрын
💙💙💙💙
@user-zm8nq6xv8o
Ай бұрын
SUB HAANALLAH
@user-wg2lb8dp8i
Ай бұрын
Acha ushirikina baba
@user-bc5hf6zq4o
Ай бұрын
Unaweza kuwa hujuwi na hujinjuwi kwamba huyuwi tusitetee mambo yetu tukaharibu wengine ukiwa na Imani za kishirikina mwisho Yako unakuwa mmbaya tujitathmini sana...
@k4cmmhcn297
Ай бұрын
Dr kaeni chini kama waislamu ALLAH amewapa jukumu zito la kuhakikisha gurudumu hili linasonga mbele ila mkiwa mnapingana wenyewe kwa wenyewe hamuoni kama mnatugawa makundi kwa makundi Allah atawauliza kuhusu ili mkumbuke jamani sisi wengine elimu yetu ni ndogo sasa mkihitilafiana wenyewe kwa wenyewe sisi wanafunzi wenu mnatuweka kwenye fungu gani??
@SaidiBakari-kl1gu
Ай бұрын
HUYU SULE NI MSHIRIKINA MKUBWA . FALISAFA YAKE HAIKO MBALI KUFFARI SELEMANI RUSHDI. HUYU SULE KINACHOMSUMBUA NJAA, TAMAA NA SIFA
@allyswedi7420
Ай бұрын
Upo sahihi kabisa sijui kwanini hao mashekhe wengine hawataki kuongea ukweli jini na mwanadamu wameambatana wakati wote wa maisha yao
@datswewagoldi
27 күн бұрын
Yuko sahihi dr sule
@mchakhamis-fr5nc
Ай бұрын
Dr sule Bora mukutane na stdh shafi uso kwa uso mujadili kuhusu iyo ishu ya majini na mapete sio kutupiana maneno au maandiko
@drsulletv9085
Ай бұрын
Acha dharau ndg
@Mohamedbomeza
Ай бұрын
tatizo la watu wengi hawa elimu ya hayo mambo kwahiyo wao wanakalili majini wote ni mashetani ..uko sawa binafsi nakuelewa sana
@muznazahra455
22 күн бұрын
MTUME WAKE ALLAH HAWEZI KUSAIDIWA NA MAJINI KWANI MTUME WAKE ALLAH ASILI YA UOVU ILI HATA ASAIDIWE KWANI YEYE NI MAASUMU HANA HATA KITU ANACHOWEZA KUKOSEA KATIKA MAISHA YAKE YOTE NA HATEGEMEI MWINGI ASIYEKUA ALLAH S.W...,MFANO WA NABII YUSUFU ALIOMBA MSAADA KWA ASIYEKUWA ALLAH S.W NATUNAONA NABII YUSUFU NATIJA YA KUBAKIA KATIKA JELA KWA MDA WA MIAKA SITA ,KWA KUTAMKA TU NIKUMBUKEKWA BWANA WAKO,BADALA YA MOLA WAKE,SASA ITAKUWA MTUME SAW,AHIFADHIE NA MAOVU NA ILI HALI MTUME HAFANYI DHAMBI HADI AJE KUTUMIA JIIIIIINI ,KWA KUMUINGIZA MTUME KATIKA KATIKA HAYO MAZUNGUMZO HAYAENDANI NA MTUME SAW...SI DHAMBI ANAFANYA WALA HAGHAFILIKI , WALA KUSAHAU...HIZO NI KWA UMATI ILI WAJIKINGE NA VIUMBE VIBAYA ,LAKINI MTUME SAW ASILAN DARAJA YAKE HAINAUHUSIANO WA KUZUIWA MAOVU KWANI HANA SIFA ZA UOVU WALA KUFANYA DHAMBI HADI JINI AJE KUMZUIA,HAYENDANI NA MISINGI YA DINI YA KIISLAM,KAMA ULIVYOMUINGIZA MTUME SAW KATIKA WANAOSAIDIWA NA MAJINI...HAPO MIMI SIKUBALIANI NA MAZUNGUMZO YAKO...NA ELIMU YA MAJINI SIYO WATU WOTE WANAISTIIDAD YA KUELEWA KWA HIVYO ELIMU ZINGINE NI MAHDUUD KWA BAADHI YA WATU ,KWANI WASOELEW UTASABABISHA WENGI WAUKASHIF UISLAM...KWA KUTOJUA KWAO..NA WEWE NDIYE UTAKUA MASUUL KWA HAYO INSHAALLAH WABILLAH TAUFIIQ.
@majutojuma7654
16 күн бұрын
Tukubali jini hawezi kumsaidia mtume kufanya wema. Je binadamu anaweza kumsaidia mtume kufanya wema? Kama jibu sio, maswahaba walioshirikiana na mtume katika vita mbalimbali walikua wakimsaidia mtume kufanya uovu au wema? Je? Kama Sule hana dalili ya kutumia majini katika kufanya baadhi ya kazi wewe una dalili kwamba kutumia majini ni kosa?? Naomba unisaidie.🙏 Sina dalili ya swali langu lakini nimejaribu kutafakari naomba unielimishe.
@zahorokasentisenti6761
Ай бұрын
Tatizo la sisi waislam Kila kitu ni ushirikina ndo maana tuko nyuma sana na weng wanabak kuwa ombaomba Dr sule upo sahihiiiiiii sanaaaaaaa
@MdasirHamisi
Ай бұрын
Lakini shekh jitahidi kuboresha huduma zako za tiba maana yangu unakuta kuna wangine 1wapo mbali alafu wanaumwa alafu ukiangalia hali ya kipato ipo chini mtu huyo unamsaidiaje ili apate huduma yako kwaiyo sisi kama wadau wako tunaomba lifanyie kazi hilo maana unapo sema mtu mpaka aje ofisini kidogo inakua ni ngumu unakuta labda kuna wengine wanaishi kigoma alafu wanaumwa sana jitahidi kuboresha huduma ili usaidie jamii yote
@kugotwa004
Ай бұрын
MI NAKUELEWA KUWA HUSEMI TUTEGMEE MAJINI KAMA WANAVOELEWA WASIO NA UELEWA
@RahmaKassim-vf6tv
Ай бұрын
Sule ni wacace wata kudos elewa ila uko sahihi kbs wata kuelewa wamecelewa usikate Tama kama uko kwemye haki
@musalumbi8490
Ай бұрын
Watu hawana shida kuwa majini wapo wabaya na wema; hoja ni wewe utamjuaje kwamba huyu ni jini mwema na huyu ni mwovu wakati waovu wote- binadamu na majini hujisawirisha kwa umbo la wema? Maovu yote duniani yamepambwa kwa uzuri na mvuto. Sule ujue kwamba hakuna jini anayetaka kukukufurisha atakayekuja kwa kwa sura ya uovu. Mungu peke yake ndiye wa kuombwa msaada wala sio kiumbe kingine
@saidiathuman-og6bc
Ай бұрын
Sule umeisha Imani huna
@saidymbagalla6622
Ай бұрын
Binafsi mi Dr sule namuelewa sana fact zake anachosema kinaingia akilini
@fundimagari5825
Ай бұрын
Iyo iyo sulat nahl aya ya 2...inasema mwenyezi Mungu uwashusha maraika na roho kwa mja wake ampendae...huyo roho ni kiumbe gani ...
@aishaalizubeir7964
Ай бұрын
Roho hpa ni jibril alyhsalam...ukiona kwny quraan limekuj neno roho...ujue ni jibril alhysalam
@aishaalizubeir7964
Ай бұрын
Jibril ni kiongozi wa malaika
@ARSHADOTHMAN-hs3mf
Ай бұрын
Ukweli haupingiki dk sule ukosefi wa elimu tu ndomaan wanapinga
@nabiljumaothman5912
Ай бұрын
Huyu Sule anatuharibia uislam Yaani kajiharibia mm ntamkumbuka kama Mshirikina
@fatumatandika6220
Ай бұрын
Nakuelewa sana na naelimika pia na nina mtoto nimegundua ana jini nilikuwa nadhani ni kifafa kwa miaka mingi hivyo napokea elimu hii nilikuwa siijui na ninakuelewa kabisa kwa vile ysmenisibu
@user-tc9mf9om2b
Ай бұрын
Jeee ww umemsalimishaa
@AbbMotors-pc4rx
Ай бұрын
Endelea kutupa elimu achama na kelele za watoto
@HatibuHatibu-cd7hs
Ай бұрын
Sheikh kusoma sio kuelewa...
@user-ru3vn9lc5b
Ай бұрын
Watakuelewa tu. Tatizo watu vichwa vigumu na elimu hawana. Yani shekh wewe uko sawa sana, na wanaopinga hawataki watu waelimike juu ya hili. Hii aitaki tochi. Imeenda hiyo !!.
@suleymanmrutu9498
Ай бұрын
WATAKUELEWATU
@oscarngowi4750
Ай бұрын
Kweli hii sio dini najivunia kuwa mkristo kwenye biblia majini yote ni mabaya hayafai viumbe vya Mungu ni malaika
@user-oe2ty7ds4g
Ай бұрын
Nyingi husda,hayo yote nayakubali ingawa elimi yangu sio kubwa
@user-ef6mp6yd7p
Ай бұрын
Selemani unakoelekea si kuzuli yaani hata maongezi yako si ya ki shekhe tena kaa ujitafaka pengine unaelekea kuchanganyikiwa
@tyivbra
Ай бұрын
Kinacho nishangaza ni waislam kuyakataa maneno ya shehe wao
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Shekh kiduku A k A mganga wa jadi, wasio ijua dini washaanza kumuelewa hahaaa
@user-wg2lb8dp8i
Ай бұрын
Wewe Sule ruhusa ya kutumia majini umetoa wapi wacha ushirikina
@nuhukenny7183
Ай бұрын
Dr Sule, mimi nakubaliyana na wewe 100% wenye kupinga ni ilimu ndogo.
@muhsinkimaro4283
Ай бұрын
Kitenda cha kusoma quran, halaf mkaona hakuna dalili kisha mkahamia kwa jin kutaka msaada huo ndo ushirikina, kwamba Allah ushamweka pemben na unamtegemea jini
@HamidaMohamed-be5kg
Ай бұрын
Sio kweli Mtu akiubwa bro hana jini lolote ila upande wakulia kwake ana malaika upande wakushoto yupo malaika haya we wasema mtu akizaliwa hua ana majini wawili huo sio ukweli
@user-ef6mp6yd7p
Ай бұрын
Tatizo wewe unajifansnisha moja kwa moja na manabii
@user-vo4ld1iu3x
Ай бұрын
Ni kweli tatizo elimu
@mussakisope7207
Ай бұрын
Sheikh kiduku endelea na ujanja wako
@user-zs6qg7ql1i
Ай бұрын
Kesi za Majin babu yng shekh sleman nin Alawiy alikuw htr ww km Kuna jini kashinda niletee mim spotez muda wa kukesh na mgonjwa usiku mm Sina mda huo dakika 5 nishamalizan nae
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Washirikina tu nyie,badala mumtumie Allah mnatumia majini kutoa majini,,
@taurehassan7399
Ай бұрын
Alouliza swali kwamba Allah kwann hakuwatuma majini amewatuma malaika,hpa tpo kt ya mwanadam na jini,kw mungu haulizwi maamuz yke,c lazima atumie jini,uwezo wake ni mkubwa,swali uliza kw jini na mwanadamu tu,c kw Allah na viumbe vyake
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Washirikina nyie,Hamna lolote.waganga wote wa kienyeji majina ni sheikh omary,,sharifuu majini,, Yani ulishasikia mkristo mganga?
@abdallahhamoudalmughayri4583
Ай бұрын
Kuna tofauti Kati ya KUNIAMRISHA na KUNISAIDIA, acha kupotosha
@BofuMlanzi
Ай бұрын
Shekh Sule ungetukumbusha amri moja tu ambayo Mtume saw aliamrishwa na jini au jambo gani Mtume Saw alisaidiwa na jini lete dalili ya vitabu.
@drsulletv9085
Ай бұрын
Endelea kusalia hapa yaja
@alimsaid1494
Ай бұрын
Mtume nafasi yake ni kupata msaada au maelekezo ya Allah kupitia malaika kwa sababu yy ni MTUME.
@abdallahkiliaki3744
Ай бұрын
Iweje watu tunaunganisha majini na Uislamu wkt ufanunuzi umeshatolewa kuwa majini ni viumbe tu km viumbe wengine? Hakuna viumbe wa Kiislamu wala wa Kikristo wala wa Ki-Confucius.
@user-gm8xx9vn1g
Ай бұрын
Dokta isikupoteze miluzi nakuomba kwamungu
@user-zr2pn5uv8b
Ай бұрын
ielewe dini kama walivyoielewa Maswahaba shida yako unaitumia akili yako na bado sifa na misingi ya kutumia akili hunijui na Tawhiid pia inaonekana bado haijakaa vizuri
@moussam4198
Ай бұрын
Asalam alaikum sasa apa tuna mbiwa Jini la Mtume lili silimu nandio mana aliwezi kumsawishi. je jini lako vipi alisilimu vile vile
@user-bo1ew3xq6w
Ай бұрын
Wamaakhalaqtul jinni wal insi illa liabudoon.hiyo ni ayyah kuhakikisha kuwa majini pia allah anamalengo pia ya kuwatia peponi kama vile wanadamu.
@richardmshiu5118
Ай бұрын
Hivi niulize nyingi waislam,1.kitabu chenu wapi kimeandika umtegemee jini akusaidie?,2.je mungu wenu kwa nini msimtegeme na mnahusisha jini?.
@mwawekomiuda9779
Ай бұрын
M'mungu anataka tumuabudu, tumtegemee yy peke yake si vinginevyo.
@richardmshiu5118
Ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 Kiukweli fanya utafiti wako hakuna mganga wa kienyeji mkristo,, utasikia sharifuu majini, Sheikkk Abdul, sheikh omary nakadhalika.hutasikia majina ya kikisto kwa sababu hatuna ushirikinaaaaaaaa
@BURUNDIB
Ай бұрын
Hakuna mungu apo ni shetani tu na Muhammad 😂😂😂
@saidjuma4547
Ай бұрын
sule unamsingizia mtume mm sikusamehe
@saidjuma4547
Ай бұрын
sule anataka kuwa kama nabii suleiman huwezi usiwadanganye watu
@esirmviha583
Ай бұрын
Kwan mdahalo hakuna leo
@kheirahmad4064
Ай бұрын
Hakuna Al haj hapo.
@AbdillahSaleh-og1gu
Ай бұрын
Al hajj Dr Sule. Allah akuzidishie ilmu. Akuhifadhi. Na mashekhe wanajua ilmu hii. Hakuna shekhe wakisawa sawa amvao hii ilmu hawajui. Watakukashif kwa majina tofauti. Wewe songa mbele utupe ilmu. Kama ni matusi na majina ya ajabu , yasikutie dhiki. Allah akuhifadhi.
@hassansheha1092
Ай бұрын
Duuu Huna akili
@SaidiBakari-kl1gu
Ай бұрын
HUYU SULE SLOGAN ( KAULI MBIU) YAKE INATAKA KUFANANA NA SELEMANI NA L. L. SELEMANI RUSHDI
@issaabdallah1205
Ай бұрын
Sule umuongo na visa vyako vya uwongo haviko ktk vitabu vya hadithi
Пікірлер: 206