Allah Akbar,, Allah awazidishien Elimu Waislaam wote inshallah 🙏🎉
@josephlusava
3 ай бұрын
Itakuaje siku Ile Ile sule na ndacha kuingia jehanam na mwajua dini je mwajua mpenzi ya mungu kwa mwanadamu jihadharini Sana msije mkajipata pa Baya aminini mungu c dini
@AlliKibe
4 ай бұрын
Mashaallah dr sule allah akuzidishie inshaallah ❤️ ❤❤❤
@mwanarusiali4430
5 ай бұрын
Allah azidi kukupa elimu Dr wetu sule
@saudaumar3354
7 ай бұрын
Mashallah Allah akuweke Dr sule na group yote Inshallah ushindi wetu Inshallah.ndata hana lake jambo maskiin
@twahirshali8014
7 ай бұрын
Hongera dkt sule
@user-yf7yg6ow7s
4 ай бұрын
Uwislamu juuuuuu
@yusuphj7705
4 ай бұрын
uislamu ndio njia ya kweli
@FatmaMohammed-by9cg
3 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya Uislam❤❤
@user-di8me2wb7p
7 ай бұрын
MashaLLAH dr sule mwenyewe huyoo❤
@SmilingAcorn-yy4bv
4 ай бұрын
❤
@AshirafuShabani-gn4cr
6 ай бұрын
Allah awalipe kwaupambanaji nyinyipia nimiongoni mwa maswaba wa mtume Muhammad takibiiilii
@FatmaMohammed-by9cg
3 ай бұрын
Maswahaba niwale waislam tu walionana naMtume uso kwamacho halafu Maswahaba waliobeba vitu vingi sana,wamefanya makubwa mno nandio maana akitajwa swahaba watu humalizia kusema Radhia Allahu Anhu.
@StevenMgassa
3 ай бұрын
Dr sule humuwez Ndacha ww alafu mbona Pstor Ndacha mnakatisha hoja yake inakuwa fupi, waislamu mnafitina sana asa wewe uliye upload hii video uache roho mbaya
@user-xv1bg3jo7l
4 ай бұрын
Tayar allah ashamruzuku Dr sule anapepo yake namaua yake❤❤❤❤
@ibrahimmzungu3849
2 ай бұрын
Tu seme inshallah
@user-ly8sz7qv6i
5 ай бұрын
MashaAllah Dr sulle
@KassimOmar-rn3yh
Ай бұрын
MashaAllah allah awalinde naxhar za makafir
@allyhamida2233
4 ай бұрын
Mashallah dk sule Allah akuweke
@sakinahassani1455
6 ай бұрын
MashaAllah Dr sule
@user-iy8pc6pz4k
4 ай бұрын
Al Islam Dini
@youthmechanics6167
3 ай бұрын
Hakuna dini inayomzidi Yesu.Yesu ni Mungu.hakuna mtu anaweza fika mbinguni isipokuwa Kwa njia ya Yesu.nje ya Yesu ni motoni tu
@SangetNgoirien
3 ай бұрын
Kubishana hivyo ni vizuri ili kuweka mambo bayana
@youthmechanics6167
3 ай бұрын
@@SangetNgoirien *Ukristo ndiyo chanzo Cha Kila kitu humu duniani,wapi Wakristo walipo nyuma,Dini ya pili ilianziswa katika karine ya 7.haiikaribii Wala robo Imani ya Kikristo,kalenda ya dunia imetengenezwa na moja ya Ma-Popes wa Wakristo wakatoliki.siku za juma zimewekwa na wkatoliki,Ukristo unaongozwa na mtu alitoka mbinguni na ambae yupo mbinguni aridhi ilishindwa kumkamata,Ukristo Hauna mengi,Wala haupendi magigambo na Wala hawapigi makelele kuzikosoa Dini nyingine Kwa sababu Yesu ni mpole na mnyenyekevu,ninabahati sana kuzaliwa katika Ukristo
@yasini5794
3 ай бұрын
Umerogwa wew 🤣🤣🤣
@SwahibuAthuman-yv2mn
3 ай бұрын
Mungu gani anakufa zinduka
@afandehassan1
2 ай бұрын
Na Neno Linasema Yeyote Aliyesulubiwa Huwa .... Malizia Wewe Jahili
@AleMohamed-wg1fj
3 ай бұрын
Manshallah doctor sure❤❤❤
@HassanMadura
4 ай бұрын
Masha anlla
@OthumansaidDimwaya
3 ай бұрын
Maashallah doctor sure wafundishe ili waijue njia sahihi ni ipi
@Thabit-ix1yr
6 ай бұрын
Maashaalhawh mungu akuhid
@NurdinismailKisika
3 ай бұрын
Mashaallh
@user-py4wc7cy7d
6 ай бұрын
Mashallha
@nakundwamkubwe7823
7 ай бұрын
Dr Sulle uyooo ❤❤❤
@Prime-ur6cz
6 ай бұрын
Mashallah😀
@NdumeKabue
2 ай бұрын
Dr sule unayoyaongeya siivo
@PurtyEramson-vw1fo
4 ай бұрын
In jesus name❤❤❤❤❤❤
@FauswalHamadi
3 ай бұрын
Uyu dokta sule ni Hatari sana dini ya kweli ni wiislam
@user-yf7yg6ow7s
4 ай бұрын
Mashallah Dr sule mtape ndacha atapike ajue dini ninini Hana lolote jacho linamtoka hajui afanye nini
Dr sule ukienda kwamungu utakuta mauwa yako waache wakrist maana wanajifanya hawaelewi
@user-ys8hi7iy5j
3 ай бұрын
Nyie waisilam sijui mlilogwa nanani mna penda Vita Sana nakama nyie ndio mnadin yakweli kwann waislam wengi mnamajin Imani zenu zinajenga watu hofu
@mohamedmwabeha
3 ай бұрын
Waislam takbir❤
@ChejoBuchejo-mm8bb
3 ай бұрын
Badala ya kuangaika na asili yenu ,,,,mnaangaika na mambo ya waarabu na wazungu .....YAANI NGOZI NYEUSI NI LAAANA TUPU vicwa ni maji kabisa ......apo unakuta ata utamaduni wa kabila lake haujui
@user-ks9fm1pp8d
5 ай бұрын
Asalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh
@user-ys8hi7iy5j
3 ай бұрын
Alafu hawajiuliz hiodin yenyewe niluga ya warabu
@HABAKUKVUSAKA
3 ай бұрын
Mbona yesu ndio Ali fungal kula na kunywa si Muhammed io ni upuzi
@juliusandason
2 ай бұрын
Shida hapo tofauti ni kwamba hamwelewi maana ya ukristo, alafu kitabu hicho Yehova matatani sio biblia
@benedictmatheka9775
3 ай бұрын
Waislamu mtafute mdahalo wote ndo mjue sule kaoshwa si vipande tu
@ASIFONLINETV-gb4no
3 ай бұрын
Ndacha unauwezo wa kushindana😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@FauswalHamadi
3 ай бұрын
Ukrsto ni Dini ya Mashetani
@user-vb4ek9jd7x
4 ай бұрын
Kiristo ni dini ya kweli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@SaidiMussa-zk8tp
4 ай бұрын
Umwpotea ww
@RamaNinga-jv2xw
3 ай бұрын
Kristo ni jina la mtu iweje dini iwe na jina la mtu.
@user-zk8cd3ge8t
3 ай бұрын
Mashallah dr sule ,mazinge na mr mweipop mung amjaalie huko aliko
@LawrenceLucas-ue9gp
3 ай бұрын
😂😂😂😂 ukiwagusa wao kesho utawakuta barabaran yani wakristo wangekuwa na mioyo midogo inchi isinge tawarika arafu chajabu maneno yao mengi watu ata awangaiki nao ndipo utapo gungua vichwan mwao😂😂😂😂😂 kwan nani kawauriza mbonq mishipa inawatoka
@samuelondieki9164
4 ай бұрын
Ibilisi alikuako kabra ya kristo inakuaje Sasa ndio mkiristo wakwanza
@josephcharo1356
3 ай бұрын
Uislamu ndio njia ya kweli maana ukifika upigania Allah utarithi mabikira 72 mbinguni
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.. Tuna gombaniya bure
@jacksonmusyoka8837
2 ай бұрын
Uislam ni ushetani.ibada ya majini na kuosha matako bila sabuni
@hamisimuhammad3656
3 ай бұрын
Mbona makafiri siwaoni ktk comment 😅😅😅
@user-wm9hr7fx9l
3 ай бұрын
Kafiri ni nani? Au unaongea tu
@peterleadilesela9878
4 ай бұрын
Muhammad Pekee ndo anakiri uislamu ni dini ya kweli,lakini yesu alituambia njia yeye ndiye njia y kweli na haki!
@user-jf2gp7wb9i
6 ай бұрын
Sasa kitabu cha mchungaji ndio mnafurahia ujinga aliyo andika mchungaji korofi kweli uislam sio dini wala sio njia ya kwenda peponi ni motoni
@user-ct7zd6he2j
6 ай бұрын
😂😂sasa inatakiwa ww na wachungaji wenzako inafaa muandamane myafute maandiko ya pasta mkorofi sasa unatuambia sisi tukusaidie na nini❓
@edithnimubona-uq1es
6 ай бұрын
P ndacha atajuwa hajuwi hana lolote Dr sule Allah akujalie umri mrefu uendeley kuutetey uisilam manshallah
@bahatigwivaha2201
6 ай бұрын
Uislam ulianzishwa na Muhammad huoni kama Dr anatafuta maokoto tu kwa kuwafurahisha
@maandikotv5953
6 ай бұрын
Unaona upuuzi ulio mwingi? Kwa Nini mmeweka kipande chenu tu?, mnaogopa maana mnajua hapo Kuna msumali ndo maana, kiukweli hapa ilitakiwa uweke mdahalo wote kama unajiamini.
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@twahirshali8014
7 ай бұрын
Mpashe askie ndacha
@kyalomasai4553
6 ай бұрын
mwongo sana daktari , waliungana na kanisa meaning there already was a chucrch less the name
@user-rf7ep1gg6g
6 ай бұрын
Ndacha lopolopo kumbe hamjui
@Jilani-jr
3 ай бұрын
😅😅Sule acha upunguani... Una kifua tu na hauna elimu
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@whitetigerprincy5882
3 ай бұрын
Kwani tangu lini daudi Kawa nabii 😀🤣😂🤣😅😂
@binnassorabdallah37
4 ай бұрын
Ibilisi ndie kafiri wa kwanza nae ndio mkiristo wa kwanza na yesu ni muislam Allah akupen kher maulamaa wetu wa kiislam wafundishen wasojua haki hao mpk waelewe.
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@user-hx8gn5yx8c
4 ай бұрын
Kwani unafikiri mijadala ni dhambi? Si ndo watu wanapata kujua unwell?
@user-ei3iy5fu1i
4 ай бұрын
Kubukeni yesu akuzariwa musikitni warakanisani arizariwa kwamwanamuke abae akujua kutawaza
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@augustinomhanje9225
3 ай бұрын
Hivi ni nani mwenye uhakika kwamba ni dini yake ndiyo ya kweli?. Halafu dini zote zimeletwa na waarabu pamoja na wazungu huku afrika sasa wewe mwafrika mwenzangu unachoongea kwa waafrika wenzako unajiona upo sahihi kweli.
@user-jf2gp7wb9i
6 ай бұрын
Sasa kumbe Ibrahim Musa Nuhu ni wa kristo
@user-kf6tz1px6f
3 ай бұрын
Inapendeza uzungumze jambo unalolifahamu kulikokuzungumza jambo usilolijua,dini zote zimetoka magaribi na mashariki hivyo sisi tulikuwa na dini zetu za asili hivyo kama wewe sio mkristo Acha kabisa kuzungumza maneno na kama wewe sio mwislamu usizungumze uislamu maana hapo kila mtu na njia yake.
@kennedykisasatibarasa8664
5 ай бұрын
Mbona nyinyi msiweke ndacha akijibu huyu dakitari wenu wa dawa wanafiki nyinyi
@peteremanuel8022
6 ай бұрын
Ibirisi siyo mkiristo. Ibirisi ni mwislam
@saidahmed5214
4 ай бұрын
Ushahid hoja kama unayo sio maneno tu
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@RamadhaniRajabu-zk7wi
5 ай бұрын
Hii tv yenu akisimama ndacha mnakuwa mmefunga episode kwann, au unaficha majibu sahihi anayotoa Past Ndacha
@user-oh6pc7zd4s
5 ай бұрын
PANNA MAJIBU SAHIHI GANI HAPO TENA ,AU UNAJIZIMA DATA.,KUZALIWA KWAKE NI TAREHE YA UONGO,PASAKA UONGO,EASTER NI UONGO,HATA SALAMU YA BWANA YESU ASIFIWE NI SALAMU YA UONGO YASU HAKUTOA SALAM HIYO.UTATU MTAKATIFU NI UONGO MTUPU,YESU NI MUNGU YEYE MWENYEWE HAKUWAHI KUSEMA HIVYO,ANASEMEWA NA PAULO,HUTSKI TU KUTUMIA AKILI YAKO NA KUTAFAKARI OOHH POOR ON U POOR MIND POOR THOUGHT.
@apollokidakule-vg3lz
3 ай бұрын
Ila waislamu ni wabishi mnajua kweli lakini mmepotea kabisa
@henrymatebe
6 ай бұрын
Huyu mzee chizi kweli
@user-pl8pn7qb9e
6 ай бұрын
Kubali kushindwa pasta ndacha huna hoja huna lolote
@victorlaurent3293
6 ай бұрын
Hiyo ni dini ya mtu ww
@NASIBUMAWAZO-we4uj
4 ай бұрын
😂😂😂Leo mbona sioni comments za Makafiri humu ndani, wako wapi 😅😅😅 Mungu akuzdishie Elimu Dr. Sulley
@desirengenerwasobanuka9015
4 ай бұрын
Kwani hujui kwamba waislamu ndo makafiri pekee? Aachane kuwa munajifariji. Chunga siku inakuja mutaisoma namba. Porojo tu nyingi lakini hamna maneno ya uzima.
@hackazteach
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@jovinmancomedytz
3 ай бұрын
Kafiri mamaako
@user-yi9ib5qz1u
3 ай бұрын
Kafiri wa Kwanzaa ww
@mutiithidaniel6846
3 ай бұрын
Unajua maana ya jina kafiri kweli katika kiswahili?
@athumaniwaziri6676
3 ай бұрын
Uislam ni njia ya kuzimu 😅😅😅😅
@salimmaluki5551
6 ай бұрын
Swali langu mbona makanisa ni mengi na majina tafauti na maombi pia ni tafauti kuna wenye kufunga macho wengine kutumia alama ya msalaba yakufata ipi ?
@muniraally4091
4 ай бұрын
Dr sule bendera chuma mlingoti chuma anaekataa hana hoja hata moja
@deogratiusmrosso7400
4 ай бұрын
Wewe na msufuria wako kichwani Ni kuzimu inayo tembea hapa duniani,pole ndugu kabla hata hujaoncha umauti upo kwa baba yako shetwani
@hawamoshi5139
4 ай бұрын
wambie ukweli kabis😅😅😅
@henelckneatunga2720
4 ай бұрын
TENA NINYI MASHEHE MNAJUA UKWELI WOTE ILA MNAWAPOTOSHA WASIOJUA NA HAMTAKI KUWAAMBIA WASOME ILI WAJUE UKWELI,UTAMFUATAJE MTUME HASIYEJUA AENDAKO?
@shabbymakapane
3 ай бұрын
Waislamu tunasona VITABU , nyinyi ndio Hamsomi Mnabeba BIBILIA Kama Mapambo ,🤣🤣🤣
@kimanzitheguitarist7924
3 ай бұрын
Uislamu ni ushetani mtupu
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@user-oe2ty7ds4g
6 ай бұрын
Waambie ukweli,maana wakristu ni dini ya ushabiki hata wakiambiw ukweli,uislamu dini ya Haki.papa anataka wawe mashoga,hiyo ni dini?
@danielchamoto9376
4 ай бұрын
Kubishania dini ni ujinga tu na hii sijui kwanin hasa kwa waislamu mnapenda sana mabishano ya dini
@omarratibu9709
4 ай бұрын
Kuelimishana sio kubishana
@mussajuma-ow7ry
3 ай бұрын
Kama Wakrosto wangekua hawapendi kubshana wasingeenda kwenye midaharo sa
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@desirengenerwasobanuka9015
4 ай бұрын
Kwa kweli naona waislamu munazidi kupotea na kupotosha watu wa Mungu. Nyinyi Mungu atawaadhibu kwa kupotosha watu wake. Quran 3:55 Mwenyezi Mungu aliposema: Ewe Isa, nitakukumbusha na nitakunyanyua kwangu na kukutakasa na wale waliokufuru na nitawaweka wale waliokufuata juu ya wale waliokufuru mpaka Siku ya Kiyama. Akhera ndio marejeo yako. kwangu, kisha nitahukumu baina yenu katika yale mliyokuwa mkikhitalifiana.
@nourdinpro
4 ай бұрын
Yani unaipinga biblia
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@desirengenerwasobanuka9015
3 ай бұрын
Vitu vyetu ni vipi? Nyinyi waafrika mumejiumba wenyewe?
@Nolithajack12
4 ай бұрын
Hamuna elimu kabisa wisamu niwujuga
@johnsonhunterofficial8046
3 ай бұрын
Wa afika tuna ji sumbuwa bure, ivyo vitu havi tu husu.
@charleskuyeko4400
4 ай бұрын
Ibilisi ndiye aliyemletea Mohamed qurani na kumsilimisha.
@SMKF4
4 ай бұрын
Muongo huyu eti ibrisi ndy mkristo wa kwanza muongo sana , mtumikia majini,
WEWE MWENYE KUSHIKA NJIA ILIYONYOOKA,MBONA HUNA NGUVU ZA KUKEMEA PEPO?JICHANGANYE KWANGU WAKATI MAJINI MNAYAFUGA HADI NDANI UTAPIGA MWELEKA HADI KANZU IVULIKE.
@omyboy0027
4 ай бұрын
Ndacha wafundishe ukwel
@Aisha-qx7kz
4 ай бұрын
Ndacha nakujua ww ni bwana wa kueka viraka maandiko...tumekuzowea hata hutusumbui namuomba ALLAH amjalie dr sule umri mrefu azidi kutu fundisha njia ya haki
@igurusitv6553
4 ай бұрын
Hivi Mungu alishirikiana na nani kuileta Quruan?
@chuseboy
3 ай бұрын
@@igurusitv6553na baba ako na mama ako😂
@nicksonwekesa1725
6 ай бұрын
Ndacha nakukubali sana Ukweli mchungu lakini waambie wasije wakasema Hawakuambiw😅😅
@shabamuhidin634
6 ай бұрын
Sisi Wakenya tunamjua Ndacha vizuri sana,kuna Wakristo wenzake wanampinga jinsi anavyoharibu maandiko,ivi tunavyoongea amefukuzwa Sda church😄Wenzake wamemktaa ako na uongo mwngi sana na kuchomeka maneno yeye na msomaji wake,ila ww inaonkana uko hapa kiushabiki huezi liona hilo
@binnassorabdallah37
4 ай бұрын
ndacha hana elimu ni njaa tu inamsumbua
@benedictmatheka9775
3 ай бұрын
😂😂😂msomaji though.. umesema mawhat those... English is not englishing 😂😂😂
Пікірлер: 207