Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
@omariswafuru9399
4 жыл бұрын
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
@andreashayo6266
4 жыл бұрын
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
@lightmbasha6404
4 жыл бұрын
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
@doricegabriel2610
4 жыл бұрын
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
@frankmosha5854
4 жыл бұрын
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
@dianafyondi3265
4 жыл бұрын
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@isackndaki3059
4 жыл бұрын
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
@ziadasalim1459
4 жыл бұрын
Hahaha
@thadeiminja1855
4 жыл бұрын
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
@monicamonica4597
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
@ibrahimuhamzab.7129
4 жыл бұрын
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi. Mungu ibariki Tanzania , Mmungu mbariki Mh, Raisi John Pombe Magufuli
@abbasally6288
4 жыл бұрын
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
@dominikishilali194
4 жыл бұрын
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
@emmakelvinmeinyi1439
4 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
@joycehagman5622
4 жыл бұрын
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
@kenicemkaka2824
4 жыл бұрын
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
@ahdahmed8383
4 жыл бұрын
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
@oscarkasalile9367
4 жыл бұрын
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
@thegreatsource2953
3 жыл бұрын
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
@giftnyakipande1253
4 жыл бұрын
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
@AsiaMkusa
4 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
@salimmwanyae9894
4 жыл бұрын
Hata Kenya tunamtambua magu
@bonifacepontian1391
4 жыл бұрын
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
@seifmohamedseif9467
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
@Mkemia..Kirigiti
4 жыл бұрын
Hhhahhhah nmecheka xana
@salomejohnson346
3 жыл бұрын
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
@lulually6722
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
@jackleenmandary2632
4 жыл бұрын
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
@lazarojr8923
4 жыл бұрын
Mpiga debe kayataka mwenyewe
@selemanhamis4799
4 жыл бұрын
Xana2
@walikidali596
4 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
@banazoone2744
4 жыл бұрын
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
@suleimanpandu8955
4 жыл бұрын
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
@rahmakatotok3489
4 жыл бұрын
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
@deusdeditswebe8930
4 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais
@akwillahsegwa6940
4 жыл бұрын
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
@oscarkasalile9367
4 жыл бұрын
Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa
@gabrielisack7786
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
@subrynerysegerow1323
4 жыл бұрын
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
@ramadhanindevu6006
4 жыл бұрын
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
@stantz1798
4 жыл бұрын
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
@merryjulius4098
4 жыл бұрын
Haaha,alisahau jamani.
@saidinhomarwa5575
4 жыл бұрын
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
@mwanaisha522
4 жыл бұрын
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@ommylamam1463
4 жыл бұрын
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
@husnamohamed9245
4 жыл бұрын
Nakupenda sana makufili oyeeeee
@jeuritv156
3 жыл бұрын
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
@immaruzige1845
4 жыл бұрын
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
@lulually6722
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Msanvu oyeeee nimepamis
@uswizinyanginywa2498
4 жыл бұрын
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
@molasmusa3609
4 жыл бұрын
Pga kazi mzee
@alikhamisog3422
4 жыл бұрын
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
@tanzaniteinzanzibar6655
4 жыл бұрын
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@alikhamisog3422
4 жыл бұрын
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
@seifzongo320
4 жыл бұрын
😀😀😀
@nemricesoka8189
4 жыл бұрын
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@lukasochola576
4 жыл бұрын
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
@beatricedickson605
4 жыл бұрын
😂😂😂jamn simba mtoto
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Mwenye bahat habahatiki
@hansimwakyoma3042
4 жыл бұрын
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
@charleshaule4008
4 жыл бұрын
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
@hamisjahar756
4 жыл бұрын
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
@evcloudjuma9790
4 жыл бұрын
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
@judithmichael5155
4 жыл бұрын
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
@beatricedickson605
4 жыл бұрын
😁
@singirankabofabien4640
4 жыл бұрын
😹
@lindahwazir7209
4 жыл бұрын
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
@jumaselemani2720
4 жыл бұрын
Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂
@zachaamasta3298
4 жыл бұрын
#nakukubali raixi magufuli
@africa7479
4 жыл бұрын
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
@alyhamadi8033
4 жыл бұрын
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
@wannaproducts
4 жыл бұрын
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
@allysalum7158
4 жыл бұрын
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@wannaproducts
4 жыл бұрын
@@allysalum7158 Aisee
@festosanga1793
4 жыл бұрын
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
@GloriousRestorationTV
4 жыл бұрын
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji? Salange oyeeeeee
@pendomkumbo8262
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
@ratifamzima1255
3 жыл бұрын
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
@magdalinangussa8643
4 жыл бұрын
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
@augustinojohn4764
4 жыл бұрын
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
@abdillahkhamisally4818
4 жыл бұрын
poa nakuja
@user-je7jj1vi2u
3 жыл бұрын
😗from 🇧🇮
@salumnakauka5355
4 жыл бұрын
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
@evancegerald6281
4 жыл бұрын
Dictetor 1 africa
@julessebintu6525
4 жыл бұрын
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
@sondanzingulasondasam4029
4 жыл бұрын
Mimi sarangee hahaha hahahaha
@judithwirth2256
4 жыл бұрын
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
@masuseleman978
4 жыл бұрын
Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀
@FumorliongEagles-sl6mj
6 күн бұрын
Good. Jp
@fifo262
4 жыл бұрын
Love mh wa tz
@britonngale6644
4 жыл бұрын
This is Magufuli
@raymondysadick608
3 жыл бұрын
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
@jeradkanyuru5745
4 жыл бұрын
Kweli atutambata kama wew
@maxwellwilliam1663
4 жыл бұрын
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
@salummuhija4435
4 жыл бұрын
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
@giftnyakipande1253
4 жыл бұрын
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
@aminasalum1954
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
@ndikumanaally4952
4 жыл бұрын
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
@magdalinangussa8643
4 жыл бұрын
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆♀️🙆♀️🙆♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏
@mwajumakweli7931
4 жыл бұрын
Mamy mdogo Mamy lnisha Allah
@henrykishiwa6755
4 жыл бұрын
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
@aqwinatherhaule6228
4 жыл бұрын
Uwiiii we mama me staki kupata kufuru
@japhetisraelsmafie997
4 жыл бұрын
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
@ibrasound4943
4 жыл бұрын
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
@sasha-ri7tf
4 жыл бұрын
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
@evcloudjuma9790
4 жыл бұрын
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
@jamesmosha666
4 жыл бұрын
MH
@geoegedonard8548
4 жыл бұрын
Utakua senge co bure aisee
@evcloudjuma9790
4 жыл бұрын
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
@jonaslaiser6273
4 жыл бұрын
Hatamimi
@suzanemwangingo6932
4 жыл бұрын
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
@aminahussein5418
4 жыл бұрын
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
@BontamLee
4 жыл бұрын
Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
Пікірлер: 287