Nabarikiwa sana na huu wimbo hakika ni kwa ukuu wake tu Yesu, ❤❤❤❤❤❤❤
@babafranco3366
3 жыл бұрын
Mambo yote yatapita lakini neno litasimama
@mussaloyde7841
3 жыл бұрын
Hii nyimbo inanibariki sana!.. Asante sana kwa ku upload!.. barikiwa!..
@anafikamugisha8834
Жыл бұрын
Barikiwa Sanaa Anna wewe niambie nitume namba Gani maana hii ni sadaka Sio soda nilitaka nikutumie soda Ila nahukumiwa.Hiinyimbo ilinitoa mahali ambampo sikutegemea natokaje kwenye Kona nilipo wekwa nilikuwa kusanyiko nikamwambia Mungu nimekuja kupokea kutoka kwako kupitia waimbaji,& wahubiri Sichoki kuisikiliza hii nyimbo nilipo isikia Kwa mara ya kwanza iliimba ndani yangu miezi mitatu, Giza lililotanda nafsini mwangu sikuliona Tena nililifukuza Kwa wimbo huu nikavuka. Lilikuwa neno la wkt kwangu Barikiwa Sanaa
@ireneaurelian907
Жыл бұрын
Anaitwa neema benard
@berthanombo1703
Жыл бұрын
Naupenda sanaa,nikiusikia siwezi kaa kwakweli
@thehopeshow2488
Жыл бұрын
My all time favorite glory be to God ❤️💕
@marynyokabi1166
3 жыл бұрын
Nime barikiwa sana
@silverytesha6788
3 жыл бұрын
Fantastic message😍
@eliamagali2189
3 жыл бұрын
Powerful song
@godlovepenuel5645
3 жыл бұрын
Amazing...the best of all ⏲️
@matridakingunza4716
2 жыл бұрын
Wonderful song
@SetevenyAmony
8 ай бұрын
Nabalikiwa sana nanyimbo hiiiiii.waooooo.
@nsarilema6688
3 жыл бұрын
Utukufu ni kwa Mungu.namshukuru Mungu kwakunileta efatha.najua siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa kusudi la Mungu.mbarikiwe waimbaji wote wa efatha..
@godiankeezo3877
3 жыл бұрын
First like
@sabinapaul7910
2 жыл бұрын
Utukufu kwake Mungu
@samwelsabato7448
Жыл бұрын
Hakika mungu anatend mazuri efatha
@evamaryjeremiahdavid7559
3 жыл бұрын
Nani kama ww Mungu wa Baba Mtume na Nabii Josephat Mwingira Efatha oyeeeee
@charlesjoseph2092
3 жыл бұрын
Isaya 8:12 Yohana 14:15 Ufunuo 14:12 pia 1 Yohana 2:3-4 Soma aya hizo sasaivi
@Kariakoo_fasion
Жыл бұрын
nawapenda sana Mass kwaya Efatha😘
@isaackamando8484
3 жыл бұрын
ICT tunaomba na ile wimbo wa , ametenda makuu eee.... ametenda makuu eee ametenda makuu eee....
Пікірлер: 37