Jameni haya mahuburi ya huyu Mchungaji Yani bariki sana 🙏🙏, na ninaamini yatanifungua kutokana na kila vifungo🇰🇪🙌
@NkamuhabwaFrolian
18 күн бұрын
Pastor ninayaelewa mafundisho, Mungu atupe neema ya kulishika neno la Mungu.
@loicesalano931
26 күн бұрын
Amen nimebarikiwa na mafundisho barikiwa pia🙏
@mrsdeborahurio
Жыл бұрын
Ninakuelewa Sana Pr. David; Mungu akufiche mbawani mwake, uzidi kumuanika ibilisi!
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@HuldaMadulu
2 ай бұрын
Nakuelewa sana kila ulichozungumzia n kweli maana mim nayapitia maishani mwangu naona Mungu amekutumia ili mm nijielewe na kuvunja hiz madhabahu asante sana
@pasteursimonnizigiye4642
Жыл бұрын
Nimeshukuru kwa mahubiri haya ufunguo wa kufungua Mambo magumu, ushuda wangu ni uyu walinipiga vita kanisani Ila mimi kwa Imani na Nia nilikuwa nayo yakumutumikia Mungu Niko imara hapo hapo Asante Muchungaji Mungu aongeze upako wa mahubiri
@Pendomabula
Жыл бұрын
Mahuburi Tv Mungu wa mbinguni awaangazie nuru yake ili mtuangazie,nabarikiwa mpaka natetemeka ndani ya moyo wangu.
@lilianlima8609
Жыл бұрын
Hili somo ni la kulirudia tena maana tulianguka sana bila hulifahamu hili, Mungu atusaidie sana
@JC-lk3me
Жыл бұрын
Asante sana mchungaji, umejibu maswali yangu karibu yote. Mungu akubariki wewe na familia yako🙏🙏🙏
@JosephMpangala-wd5mp
3 ай бұрын
Asante sana kwa ukweli wa sasa, Mungu akubariki sana.
@shukranjulius9526
Жыл бұрын
Hili somo vijana wetu wanatakiwa walielewe,wasikie sauti ya Mungu ikiita
@Joycependopendo-dv2tb
7 ай бұрын
Amen bwana akubariki pastor Na akupe afay njema Na ulinzi siku zote uingiiapo Na utokapo nimbarikwa Na somo hii
@AgnessMrutu
8 ай бұрын
Pr Mungu akubariki sana sana, hakika masomo haya yananibariki mno na kunikuza kiroho mno, yaana kuna jambo umesema mh, nilipitia kipindi kigumu ki uchumi, basi nikakutana na jaribu la kubembelezewa ajira, tena kwa kusifiwa sana, tunakupenda, wewe ni mchapa kazi mzuri, hapo ni kwenye simu napigiwa na watu nisiowajua, mimi nikaingia kwenye mfungo siku tatu kusemezana na Mungu, kuwa elimu yangu ni ya kawaida sana, wasomi wanazunguka na vyeti wanarudi hola, mimi kwa nini nibembelezewe ajira ya kuwa bilionea kwa muda mfupi? Siku moja nimejisahau nikiwa usingizini nikaota ndoto kuwa tuko ibadani, ibada yenyewe tumekaa shaghala baghala tu, ila mbe ya kibambaza cha hapo tunakofanyia ibada kwa juu kuna kichwa cha mbuzi ndicho tunachokiabu, asb yake ndoto ikawa inanisumbua sana kuwa nn maana yake? Ghafla napigiwa simu kuambiwa Agness njoo sinza mori tunakupenda sana tunataka tufanye kazi na wewe chukua usafiri tutalipia, basi nikasema naenda, nilivyofika wakalipia bajaji vizuri nakapokelewa kwa shangwe sana, lakina hapo na mimi nasali kimoyoyo, ila ule mkao nilioonyeshwa kwenye ndoto ulikua vile vile, , ni makampuni haya yanayofanya biashara za mtandano watu, nilipotoka hakika sikurudi nyuma tena.
@marthadaniel4904
Жыл бұрын
Ubarikiwe san Mchungaji David mbaga MUNGU endelea kukupa Afya njema uzid ukuhubir Mataifa yote🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇹🇿👈
@bellimarwa5454
Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana unaniinua niangukapo umekuwa mrezi wangu wa kiroho ahsante kwa huduma hii jina la yesu litukunzwe sana
@sarahndagile997
Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako Mchungaji ubarkiwe Sana.
@agnesseunice5632
Жыл бұрын
Mungu awabarikini Sana tuko pamoja, katika ibada kila ninaposikiliza, amin
@rodahadhiambo3637
Жыл бұрын
Mungu atukuzwe , Kwa kutujulisha mengi na makuu, ubarikiwe pastor
@crispuskasanga8487
Жыл бұрын
SANTA YESU NIMEBARIKIWA NIKIWA HAPA KAUNTI YA MAKUENI NCHINI KENYA
@mbarikiwambarikiwa6479
Жыл бұрын
Ohhoo Baba wa mbinguni umenifungua macho Leo nimeona . Mwenyezi MUNGU aliye juu ya vyote anisaidie na kunisimamia.
@florenceowino3436
Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji hata mimi kuna vifungo vikubwa tunapambana navyo kwenye familia yetu natamani kukupata lakini imekuwa ngumu mchungaji wangu nakuomba ukipata mda niombe na familia yangu naamini
@user-os3vo4sm2n
7 ай бұрын
Amen
@zlpporahgechemba3111
Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor mafundisho Yako yamenifanya mimi kujigundua ninani Miele ya mungu.
@user-iy9px3kr8z
8 ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu,ubarikiwe sana
@golasrichard4400
22 күн бұрын
Be blessed,
@jeremiahlugembe4939
Жыл бұрын
Pastor, nilijikuta nimeoa kwa njia ambayo sikuwa nimetarajia kabsa yaani tulichukuwana tu bila kufata utaratibu, nimekuwa na hangaika na hatia moyoni Japo tunaishi vizuri tu, nimetambua tabia hii ni ya ukoo maana ktk familia hakuna aliefata utaratibu, Je! Niendelee kuishi katika ndoa hii? Pia nawezaje kuvunja roho hii isije tokea kwa watoto wangu? Tayar Nina mtoto mmoja.
@hellenratemo2813
Жыл бұрын
Amen God bless you pastor
@hamisibruno8663
Жыл бұрын
I like your preaching...God continue protect pr David.
@user-qo8tm4sn3s
10 ай бұрын
Be blessed kila ninapokutazama napata jambo jipya from kenya
@fridahsarah775
Жыл бұрын
AMEN, MUNGU akubariki mtumishi
@zeliageorge3311
Жыл бұрын
Amina, barikiwa Pastor tunaendelea kupona.
@janengaga2928
Жыл бұрын
Mungu turehemu.Barikiwa KWA mafundisho haya.utukufu KWA Mungu muumba❤️🙏.Yesu mwema❤️🙏😍
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@rosemshana7885
Жыл бұрын
amina Kwak somo pastor
@user-uj4rg1xo1h
9 ай бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@lucynyigana2801
6 ай бұрын
AMINAA💯
@olphanyamweya3154
9 ай бұрын
Ni kweli pastor,nimesikiza Satan ameniteka nyara na uzingizi 😢
@hellenokere7989
Жыл бұрын
Amen pastor
@ridanceemmanuel479
Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Pastor
@eliudmaburi4948
Жыл бұрын
Nakupongeza mnoo mchungaji wangu natamani kujua ni kwa namna gani unaweza kuvunja madhabahu hayo. Maana kwetu kuna madhabahu ya watu kujiondoa uhai kuanzia babu, baba, naona mpaka sasa kaka yangu hiyo roho ishamvaa tiari naomba nisaidiwe!
@kennedymomanyi3048
Жыл бұрын
mungu akupaliki nimejua mengi kutokana na mafusho yako
@isackbilili2004
Жыл бұрын
May God bless you.
@elizabethgodfreytondo3052
Жыл бұрын
Amen,Pastor,Mungu akubariki kwa somo hili.hakika nakuelewa kwani kuna mambo yanaendelea kwenye familia zetu ni laana tupu.Mungu atusaidie kupitia maombi tukavunje laana zote kutoka kizazi hadi kizazi.
@FatakiEspoire
10 ай бұрын
Jambo mupendwa wa Mungu uko bien ae kule kunyumba
@bernadethaprosper
Жыл бұрын
Amina nimebarikiwa mnoo
@Truegospelchannel1
10 ай бұрын
Shukrani sana mtumishi
@tugemwakatumbula7851
Жыл бұрын
Mungu tusaidie 🙏
@eustina837
Жыл бұрын
Asnte Mungu atulinde jaman
@davisomanga4777
Жыл бұрын
Aliye na sikio na asikie haya
@RambartGakinde
Ай бұрын
❤❤❤
@saighilunyangusi4986
Жыл бұрын
Mung akubariki mtumishi nimeguswa sana
@johnstephano6486
Жыл бұрын
Imekaa vizuri sana hii.
@dismondamwoka3563
Жыл бұрын
Mafunzo mazito kabisa nimeelewa!!!!!
@winniengogo2759
Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana sana tumechoka
@shukranjulius9526
Жыл бұрын
BWANA AKUBARIKI SANA PASTOR
@lilianlima8609
Жыл бұрын
Hakika tunahitaji neema🙏🙏
@marymwinga985
Жыл бұрын
Waiting
@duluxbahrain6429
Жыл бұрын
mungu tusaidia
@sharonetsisiche5184
Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@franciselectronicrepair2823
Жыл бұрын
mmh barikiwa sana
@josephmwita996
Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na hili somo la leo
@EvangalistmediaTv
Жыл бұрын
Amin
@rastarasim5810
Жыл бұрын
Amen!
@jacksonkavoijunior5716
Жыл бұрын
Mm ni Jackson from Kenya mafundizo yako yamenibariki xana
@denisbogomba7720
Жыл бұрын
Mawaida mazuri paster
@joycemaxmillian4909
Жыл бұрын
Pastor,Mungu aendelee kukutunza ili tuendeleee kupata elimu hi ya mbinguni
@MN-hi8ll
Жыл бұрын
Ni kweli watoto wanautawala wao
@samomarr8550
Жыл бұрын
God bless u pastor
@mariamaswani832
Жыл бұрын
Ni njia gani ya kuvunja madhibahu ya kifamilia
@jofreysilyvester1263
Жыл бұрын
Balikiwa zaidi
@chirstinapoul6107
Жыл бұрын
Nimekuelewa. Mchungaji. Mmbanga
@MN-hi8ll
Жыл бұрын
Watoto wanautawala wao
@nicholasmomanyi959
Жыл бұрын
pastor mm natokea nchini Kenya naishi uarabuni napitia magumu xn naomba maombi yako
@youthtechnologies
Жыл бұрын
Mungu hata sasa amekutendea, AMEN
@MN-hi8ll
Жыл бұрын
Nakuombea
@vickybwire4049
Жыл бұрын
Pr. Naomba unisaidie ni kwa njia gani naweza kuvunja madhabahu ya mtu mwenye urahibu wa pombe? Namaanisha nina mtu ana hili tatizo natamani nivunje hiyo madhabahu kwa ajiri yake. Siwezi ongea mengi hapa, lkn pr. Napitia changamoto ngum sana kupitia huyu mtu.
Tunafundishwa kwamba Mungu ni mwenye huruma.. sasa vp mtu ukiwa unaroga alafu unapata hela si siku ya mwisho utaonewa huruma na utaachiwa uingie mbiguni ?
@alphoncearmony9116
Жыл бұрын
Apana bado tupo katika kipindi cha rehema na mda si mrefu utafungwa tuwe tayali Mpendwa
@youthtechnologies
Жыл бұрын
Ndio Mungu ni mwenye huruma, atakuja kuangamiza dhambi, hivyo yeyote aliyena dhambi ataangamizwa laikni walio samehewa dhambi watahurumiwa.
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
@piscaskatembo3909
Жыл бұрын
Kama mtu amejigengeya mazabau Katika njia mbovu ya ngono anaweza samehewa ?na kubadilisha maisha kuwa kiumbe kipya?
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
1 Yohana 1:9 Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
@michelinaakope761
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga a Asante sana pastor ,naomba uniombee mimi na familia yangu maana Kunamadhabahu inayo endelea kukututesa.
@naominaelijwa-gz2bf
Жыл бұрын
Amen
@godfreybruno3443
Жыл бұрын
Amen
@carolinemwugusi8945
Жыл бұрын
Amen
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
Amen
@apiamtega8643
Жыл бұрын
Amina mchungaji nashukuru sana kwa mafundisho yako ,yananipa nguvu ya kiroho
Пікірлер: 91