Katika kumtumikia Mungu zipo Faida mbalimbali pale wateule/watumishi wa Mungu tunapofanya kazi/huduma kwa kutegemeana kulingana na vipawa vyetu mbalimbali alivyo tupa Mungu.\
katika Episode hii tutakwenda kuangalia na kujifunza mambo mengi mbalimbali na faida za kutegemeana kila mmoja na kipawa chake.
Негізгі бет EP01 - ZIFAHAMU FAIDA ZA KUWA NA UMOJA KATIKA HUDUMA
Пікірлер