Ukisikiliza interview inakupa nguvu ya kuendelea kupambana huku ukiamini kwa Mungu kuwa Riziki yako ipo tu ukifanya juhudi kwa talanta uliyopewa.👏👏👏👏 ngoja niendelee kusimulia simulizi
@aishawhite1107
Ай бұрын
Hakika
@ramadhanrobin-st6hh
Ай бұрын
Mtaalaam wa simulizi
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
Ай бұрын
@@ramadhanrobin-st6hh naam..
@ChenchiKing
Ай бұрын
Humu Tu Semaji La Wananchi💚💛💚💛💚💛
@JamalManzi
Ай бұрын
Tangu school Ally ni comedian pia, stay blessed bro😂❤
@fredyjunior6961
Ай бұрын
Frida is cute asee chaliangu
@FrankFrank-zs9xk
Ай бұрын
Il never understand why “unalipwa sh ngapi is a valid qn”..! Hii ni tz pekee😀! But good interview
@Tg.7_7
Ай бұрын
Very correct! Such an irrelevant and embarrassing question!!
@charlestobby6031
Ай бұрын
Ndio mana hajataja kiasi anachopokea pale yanga kwa iyo haijaathiri kitu chochote kwake
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
ukweli wachagga si asili ya kilimanjaro!!
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Unajua tuambie
@addenthogan9920
Ай бұрын
Semaji
@twiseghekisilu8845
Ай бұрын
Ni kweli ni sawa na Mbeya,Mbeya ni ya wasafwa lakini wanavuma sana wanyakyusa
@ibrahimomari2458
Ай бұрын
Kina ambacho hutakisema shekh...lkn pia wewe sio wale wale...njagu...😂😂😂 Big up bonge la interview
@Khmy54
Ай бұрын
Humu tuuh havae😂😂
@BenardChegere-nl4mj
Ай бұрын
Sema alikamwe naomba kuonana nawewe tushare mawazo hasa katika timu yetu ya yanga
@SautiYanguJr
Ай бұрын
Nilishaangalia interview za Ally kamwe akizungumzia maisha yake lakni kila mara huwa naona kama ni Ally mpya kila siku
@user-zb2mj5nd5g
Ай бұрын
Mirad Ayo, tafadhali sana mdogo wangu naomba namba ya huyo dada ana jicho hatari uvumilivu umenishida
@teddygabriel5662
Ай бұрын
😂😂
@jumannejackson759
Ай бұрын
😂😂😂😂
@GalaxyA-yw7eg
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-lh6zx1zw7l
Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@azizamvungi1871
Ай бұрын
Ni kweli umeongea ukweli
@godsonmngara5722
Ай бұрын
Ndugu yetu kutoka upareni
@BarnabaFidelis
Ай бұрын
Mndugu wetu wa kaya
@issabashingwa5688
7 күн бұрын
Hahaha et kaya
@lucyshayo5984
Ай бұрын
Kabla ya kuangalia interview lazima unywe strong dry gin
@ibrahimomari2458
Ай бұрын
Ila kamwe muda wote unamtaja frida tu hapo...mpaka mtoto nae kachanganyikiwa kila saa anahoji mshahara....😂😂😂😂
@user-mw3yp6kl5c
Ай бұрын
Ally ni mtu
@khatibmako3500
Ай бұрын
Maisha anayajuwa yy alivyokuwa anakitafuta
@user-dq2wh2zs8y
15 күн бұрын
Nisaidie mpare mwenzako jmn
@haidarysalehe9056
Ай бұрын
YEETONI ALI KAVE U MWASU HARIKAAA KARIBU KISHUMBA AVAE😂😂😂😂😂
@gadielreteu8944
Ай бұрын
Nataka kadi ya yanga
@SuleimanAbdalla-cn5ne
Ай бұрын
Broo nyote munaweza
@user-bo1xl6ec6n
Ай бұрын
😂😂😂💚💚
@hussenikija6699
26 күн бұрын
Ally herehoa avae?
@emanueljoshua6228
Ай бұрын
Ambiere evava
@peterlyimo6696
Ай бұрын
Neno wapaaare manake wapasue, wakati wachaga wanawafukuza wapare walikuwa wanawapiga na kusema wapareeee, na likawa jina lao walipoenda milimani huko
@gadielreteu8944
Ай бұрын
Aliyah nahitaji kadi ya yanga
@user-vi4ge8hm6o
Ай бұрын
hapana alli wachaga ndio wajanja
@azizamvungi1871
Ай бұрын
Sisi wote ni wajanja bwana tunajuwa kuitafuta pesa wote tena wapare wanapenda pesa balaa
@iddysuleimaniadam6027
Ай бұрын
❤
@johnjaspermawi1058
Ай бұрын
Bado hajui neno wapare ni la kichaga wao wanaitwa waathu
@stn4873
Ай бұрын
Ni kweli waparee ni kichaga, maana yake wapige wapige, sasa hapo katika kukimbizwa kutoka mjini kupelekwa milimani, sisi ni wathu
@CreatureIey-eh8nh
Ай бұрын
😂😂😂mjanja mchaga bna ee
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Uchaga umeingiaje kwa upare,
@azizamvungi1871
Ай бұрын
Wewe sisi ni wajanja balaa na pia pesa tunajuwa kuitafuta balaaaa
@ImanuelMwaipaja-wf7xq
Ай бұрын
Jamaa anaonge ukweli uyu siomwongo
@gadielreteu8944
Ай бұрын
Wewe unable akilil sasa
@Abdul-oc1ul
23 сағат бұрын
Hulipwi hela nyingi kuliko zaka ww muongo
@user-yc4tn2eg1h
Ай бұрын
Hivi ni kipi kipya ktk soka ww msemaji wa yanga,hivi hiyo hela mnayotumia kisa ubingwa si mngejenga uwanja hata wa mazoezi,kwa cku pale avic mnatumia tsh ngapi?jikwamueni kutoka ktk utumwa wa akili,acheni ubishooo,sio maajabu simba alichukua mara 4 mfululizo,na hakukuwa na sifa kama zenu,sichangai ulizimia baada ya yanga kuingia makundi,siwezi kuona ajabu,utawafuata simba walipo je nn kitafuata baadae,binadamu tunasahau ila ukijenga uwanja kamwe hatusahu,tujifunze sio kusifia tu,leo man u iko wapi,Arsenal haijawi kuchukua champion ligi tangu kuanzishwa japo kuna miaka ilikuwa bora sana,
@allanalli5173
Ай бұрын
huyu paka anaongea nn tena
@stellasheba842
Ай бұрын
Unawashwa ukiwa wapi??😂😂😂
@terrence9477
Ай бұрын
Alichukua (past tense), wanasema *** ya kali hayanuki!
@user-gi2tx2gv2t
Ай бұрын
Hela za watu zinakuwasha Nini kachukue kijiti ujikune wewe
Пікірлер: 65