Camera zinasaidia sana lazma ujue miladiayo ni high bland , hata ukienda na komwe lako utang'aa tu
@edwardfaraji1133
5 ай бұрын
Akitaka kuingia kati chap au sio
@ed3ezekiel388
Жыл бұрын
Game ni ngumu ila tunatambalia humu humu ✌️ much respect my brother
@aziziamimu6011
Жыл бұрын
"Nasukuma Hip Hop gurudumu nakamaa humu humu"
@augustinompuju7603
Жыл бұрын
Isikuge usinise utafanya ukoo ukususe 🙏🙏 Good brother hakika mungu yumwema
@tumainmasuki7110
Жыл бұрын
AFSAAA Akili kubwa mjomba Yahitaji umakini ukimskiliza. Ana madini asee.💥🔥🔥🔥 Napenda kumskiliza mwamba💪
@moshielfesty7992
7 ай бұрын
Huyu mwamba anasauti nzuri sana ya hipop ya panchi kali sana namkubali lord eye
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Woohf big up Sana 💪 Lord izz auchoshag mzee kwenye interview pole Sana kwa kes kbao
@justinmoses3730
Жыл бұрын
Lord eyes good sana mm nakubali mwamba
@ubuntubantu2404
Жыл бұрын
May God's peace and happiness reign
@chunanachu2529
Жыл бұрын
The voice 😍 👌 🙌
@petermlundwa6399
Жыл бұрын
kuna funzo sana katika maisha, endelea kufunya mziki mzuri
@LydiaPeter-ix2sq
Жыл бұрын
The voice uwii u kill me softly 🌝
@floranusgwau7122
8 ай бұрын
Nimechukia sana Kwa sababu umeenda kusafisha meno,Moja ya identity kubwa ya Arusha ni meno ya colour
@salumchuma7762
3 ай бұрын
ONE OF THE BEST INTERVIEW...REAL G ,REAL THING ..IZZI WA UWAZI
@kingmichael1234
Жыл бұрын
Mshikaji yuko poa sana. Mwanaume wa ukweli. Real nigga 💯🙌🏽
@keyla3641
Жыл бұрын
We milad kaka watu anajielezea vizuri tu hamumfahamu mfalme zamaradi aliongea vitu vaajabu ulimfahamu na ukanyama hata mwaswali hukumuuliza😅😅
@aloyceiluminata3650
Жыл бұрын
Jamaa ana akili sana na IQ kubwa pia..fikiria vurugu zao mitaa ya arusha na huyo amekulia kitaani tena single mama na bado akaweza kusoma mpaka advanced level tena amefaulu vizuri saana.. big up mnyama
@aziziamimu6011
Жыл бұрын
Arusha SOWETO...He is still representing. Heshima za kutosha kutoka kwa wadogo zako.
@Mangala.
11 ай бұрын
AzWaWaa
@aziziamimu6011
11 ай бұрын
@@Mangala. Niaje kakaa?
@angelsblackboard8008
Жыл бұрын
Raha sana kumskiliza huyu mwamba wa Arusha.
@boniphacenkombe4868
Жыл бұрын
Kuna mtu alikua anaitwa Mabovu RIP..siwez sema aliweza Kum-copy Lakn alikua anaweza kutupa kitu kama cha Lord eyez!
@domplexafrosana5515
Жыл бұрын
Umelewa wewe, huyu na Alikua anamcopy Dark Master....
@bainolatino3412
11 ай бұрын
Kweli mabovu aliwwza kumkop huyu jamaa
@user-oc7kc5zm7z
Жыл бұрын
I understand a lot
@richardmaxwell3991
6 ай бұрын
lord ni story teller... safi sana
@moshielfesty7992
7 ай бұрын
Ila huyu mwamba ni mu handsome mpaka meno
@raphaelmwaura1648
Жыл бұрын
Kaza sana mzee apa 🇰🇪 ni uufuuuuvvv
@faithjonathan3845
7 ай бұрын
Kaka mali safi huyu..dah🙂👌yaani namwangalia mara kibao😥🙆
@dearmama7865
7 ай бұрын
namkubali sana LORD EYES
@fiziparadise7808
Жыл бұрын
Have you ever asked yourself naturally-born scientists think out of the box? Hip hop represents black doctrine and freedom struggles, whoever who’s REALLY doing it must be intelligent and mjanja…Bear in your mind that Fid Q is the greatest TZ hip hop and the most intelligent artist of all time so far. Respect from🇨🇩
@aziziamimu6011
Жыл бұрын
Respect from Mwanza you meant!?
@kennedymwagambo7197
8 ай бұрын
Nakubali
@Dakingyasta
Жыл бұрын
Huyu jamaa kumuelewa inatakiwa utulize kichwa sana maana kuna muda anawacha kabisa vidox na frida kuna muda hawaelewi kabisaa
@elisharaphael8680
Жыл бұрын
Mi mwenyewe namsikiliza lakini simwelewi kabisa
@garajulieth5352
Жыл бұрын
Millard yenyewe haelewi kitu hahahahahahahha
@user-uc6fd9md2q
11 ай бұрын
Nakupenda bule.kwamaelezo Yako.
@lazaromaria5334
Жыл бұрын
Arusha kama Compton 👊🏿👊🏿👊🏿
@elishaishmaelkivuyo4150
Жыл бұрын
Big interview #okoa mtaa
@EdgarLema-qi9or
10 ай бұрын
I remember back in the day HARD-CORE UNIT
@ayoubbilali1050
Жыл бұрын
ibra da husla alikua real sana hata kama ulimkingia kifua.. ila ka mkubwa ulikua bize sana na ray c kundi ukaliyumbisha
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
I like interviews za huyu jamaa #terror. Naomba na Joh afanyiwe interview ndefu hiv. Wakali wa interviews
@millardayoTZA
Жыл бұрын
AGIZO LIMEPOKELEWA FRESHI
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
@@millardayoTZA Asante Blue Boy wa kishua 🙌🙌
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
Part 2 please
@geofreybarama4000
Жыл бұрын
Uyu jamaa namkubari sana acha mb zangu ziishe..
@saadatiyahyashabani-yg2xy
Жыл бұрын
We sindo ulileta furugu juz kati pale kaloleni ukapiga watu wote baa
@ModestaRwiza-kq7em
Жыл бұрын
Napenda izo vidole vyakeee jmanii mtoto wa watu nitaiba hati ya nyumba nionge
@meckytossy9160
Жыл бұрын
Amebadilika kuna kitu tutaona mbel
@NoelChambo
11 ай бұрын
Hata 2 pac alikuwa moja kati ya hip hop icon lakini alikuwa Bishoo tu kama Lord eyez
@DennisDidas
Жыл бұрын
Nadhani ingekuwa vizuri sana ukirudi shule kujiendeleza kielimu wakati huo huo unaendeleza mziki.
@IbrahimMohamed-of3sl
Жыл бұрын
elimu gani
@nelsonibrahim6844
Жыл бұрын
oya @millard tunaweza sikiliza hii podcast spotify au streaming platforms nyingine
@angelsblackboard8008
Жыл бұрын
Ila waliokudhalilisha ule wizi wa ommy inabidi umlabue ata mmoja
@jonsjones2580
10 ай бұрын
Namkubali Lord ila apa kwenye hii interview hajatuliaa
@rasmbegu
Жыл бұрын
Saluti sana my king nimependa mahojiano yako
@africanasplumbing8780
Жыл бұрын
Jamaa ni hatariii sana
@josephk90
Жыл бұрын
Huyu jamaa ana vocal lenye ujazo asee🔊🔉🔈
@tuzovenant1848
Жыл бұрын
mimi nilikataa kabisa jamaa kuiba vitu vya gari la dimpoz
@josephk90
Жыл бұрын
@@tuzovenant1848 Paliwahi kusemwa kwamba aliiba???
@damariszuckschwert9489
11 ай бұрын
💯
@mafioso26411
Жыл бұрын
His out of his mind lord eyes 🔥
@veronicangwale7159
Жыл бұрын
Mkaka handsam huyuuu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@tuzovenant1848
Жыл бұрын
sura ya Hip hop
@DannyWiston-rb9cl
9 ай бұрын
All time looking for frida kizuri sana kinajifanya tu gangster,ila very natural
@officialmsigwa5069
11 ай бұрын
Anaongea point sema mbwembwe nyingi anaharibu content ya maongezi
@user-nc3eh6sj8b
7 ай бұрын
Akili nyingiii sana 🫡🫡🫡🫡
@Kiddomafiaso
Жыл бұрын
Daz uncle wangu huyo uncle Dasi
@user-mg1vf5gv3p
9 ай бұрын
Kakaangu namkubali sanaaaaa
@martinasenga7496
Жыл бұрын
Lord eyez
@perfectpixelsstudio3603
Жыл бұрын
Muarusha mwenye lafudhi ya kipemba 😂😂😂
@mikekileo1186
Жыл бұрын
One thing I like from our #Nothern_Zone tuna Artists ambao ni #Elites. Yan wapo na Bigger Mind >🧠
@eveliynejoseph7944
Жыл бұрын
Sure akil kubwa 👍👍
@user-zm5sm2qs1c
Жыл бұрын
Most of Milliard Ayo presenters/crew are chaga's
@geremanamzoo-up2og
Жыл бұрын
Wachaga kama wahindi tu kuvutana
@stevenmwaiko801
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Empire
@michaellagwen8198
Жыл бұрын
Ayo Mmeru bwana
@PeterNMzee
Жыл бұрын
😁 Issa bana
@matendoandrewmgeni1135
Жыл бұрын
Msanii wangu wa mdawote napenda slang yake ....hii story yake inaonekana niyakweli kabisa
@dearmama7865
7 ай бұрын
meeenn huyu ni hip hop artist asee
@khadijahbanana5602
Жыл бұрын
Chugastan,atown,acity,chugani,chuga republic, ar,arachuga,arusha,Geneva of africa
@ailtonngunyali5840
Жыл бұрын
Part 2 lini
@EdisonGodwin-lb7il
11 ай бұрын
Wasanii bongo,,,, inabidi tuwape heshima yaooo asa awa HP
@bardiesaa5326
Жыл бұрын
Mkaka mhandsome jaman🥰🥰🥰♥️
@faithjonathan3845
7 ай бұрын
Sanaaaaa...mie namwangalia tu hapa yeye 😀😀
@CoachHafidh
Жыл бұрын
A wa Hesabati🔥🔥
@michaelyohana5874
Жыл бұрын
we mwenyew umekopi kwa dark masta bhana huwezi kua hapo bika dark
@salummtutala-bh4xk
Жыл бұрын
I'm a tanzanian. I live in varazdin
@salimisaganga4688
7 ай бұрын
Miaka kadhaa ilyopita kwenye interview alipigiwa sim na clouds kuhusu tukio ambalo hawezi sahau kwenye maisha yake ni kufukuzwa shule arusha sec, na kushindwa kuendelea.
@athumansaid796
Жыл бұрын
Lord sinawah kuangalia intavew yake nikajutia mb zangu nakukubali kinoma dam yangu
@officialmsigwa5069
Жыл бұрын
❤
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
Жыл бұрын
Jamaa kafanana na mwamba eddykenzo
@ramadhaniselemani9416
Жыл бұрын
Nikweli mzee anafanana eddy kenzo
@ludarkiller2902
Жыл бұрын
Sio kweri
@shyfettymtunda4619
Жыл бұрын
Watakuwa wana undugu....😝 Just kidding
@josephnyahori3881
Жыл бұрын
Eyez VS DMX
@yusuphroy6692
Жыл бұрын
Ila
@charleskandonga-lq5fx
Жыл бұрын
Sasa mbona izoo mark's za form alivyo taja kamaa sio two ni one
@iddwangway9403
Жыл бұрын
Marking scheme zinachange Kila baada ya muda so maybe katika kipind chake hizo alama alizopata zilikuw zinagonga kwenye II
@DannyWiston-rb9cl
9 ай бұрын
All in all nshamic ibrah
@amirishauur5795
Жыл бұрын
daa hii interview tam sana ila bando ss
@user-ww9up5oq8i
6 ай бұрын
Kilema kwetu...jombaa
@user-vc2cz9ys4u
11 ай бұрын
Kumbe ni burthmate wa diamond
@NoelChambo
11 ай бұрын
Joh makini standard 7 daraja 2 primary 3 lakini ukimuuliza anasema o level.😂
@Aaron-nu7dv
Жыл бұрын
Frida is so fuckin beautiful...
@NoelChambo
11 ай бұрын
Tatizo Ana u gangster
@afisamipango005
Жыл бұрын
Kuna namna bwana Isaka bado hajakaa vizuri japo alishaachana na sembe. Mzingatie jinsi anavyoongea, jinsi anavyojibu maswali 😅 yaani inshort anafanana na Chid kwenye uongeaji.
@suleymanmakiwa1651
Жыл бұрын
Umeona nilichokiona ila nilikuwa nashindwa kujua nakiwekaje! Huenda kaacha kabisa lakini naona hayupo ile 100% okay!
@aloyceiluminata3650
Жыл бұрын
Concentration bado haijakaa sawa..hasa mtu akipata ile mental Ilness akiwa katika recory State
@shedracelia1267
Жыл бұрын
Unaguswa ww
@afisamipango005
11 ай бұрын
@@shedracelia1267 haihusiani na hii conversation
@Thadeus97
Жыл бұрын
Terror Lord Eyez
@SleepyBloomingFlower-dq9gv
2 ай бұрын
Ololooo gang's
@ghatichomete74
Жыл бұрын
Msanii wang
@ChoicesBeauty-bn7gi
9 ай бұрын
Mbona waandishi wa habari wa Tz hamuwezi ku reason haraka
Пікірлер: 210