Sina mengi gaidi,last time Tumekaa Pamoja A-town tuliongea mengi.!.happy ulivyotapika Ili wajue yanayotusibu..😊Miss u Gang🫡we do recover💯Sempeo rare
@conboicannabino
Жыл бұрын
Nimependa sana hii big brother kufunguka , natamani aweze kushare kwenye miziki yake pia mziki utaishi na ushuhuda wake na ni funzo kwa wengine 🤍💯
@danielkenedy4357
Жыл бұрын
Do something with terror plz connabino
@richardjoseph2921
Жыл бұрын
Conboi umeongea fact, haswa jitahidi kucheza nae binafsi kumsisitiza afanye hiyo na ni kweli itaishi. Muziki na maisha yetu.
@DealDeskPro
Жыл бұрын
Lord Eyes ni bonge la celeb..nimeipenda sana hii interview..Big up Milard
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa,wizi hujifunzi..wizi ni asili
@stylishgenius9886
Жыл бұрын
Ongeleni sana wote,Lord eyes Asante kwa elimu mungu awabaliki sana nimeflai kuona eyes akimtanguliza mungu nice one.
@luganomwaigomole7441
Жыл бұрын
MTU WANGU STILL SAUTI IKO VILEVILE ..TRUE LEGEND...LORD EYES
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
Pole sana Lord. Thanks for speaking out. Always truth prevails. Yes am Freeeee!
@josehagafilo8820
Жыл бұрын
Lord eyez ni fimbo sana aisee nakupenda sana tangu enzi zetu mwanangu best interview! Mlitufanya tuenjoy ujana wetu sanaa kabisa. Hawatuwezi nako2nako soldiers iko wazi🎉
@mikemills9615
Жыл бұрын
Best interview ever with reality in our daily life.....as community we need to support people addicted in drugs" Ni utumwa mbaya wenye kuleta umaskini mkubwa na mahangaiko makubwa katika maisha"
@florencemlay9333
Жыл бұрын
Lord eyez, pole kakaangu, yaan wanaume kuna muda wanapokea lawama saana, ht Boby Brown alifundishwa drugs na Whitney but walimsema yeye ndo kamfundisha. Hongera mnoo
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Woohf big up Sana 💪 Lord izz nakuelewa Sana mungu Ni mwema kla wakat mungu ni mwema. weusii awanaga shda na wasanii wasanii ndo wanashda na weusiiii woof kwishaaaaaàaaa
@jenadiusnicholaus3238
Жыл бұрын
This guy is very genuine🧤
@SuzanMoshi-m1s
Жыл бұрын
Sema mependa umu lord kajiachiaa uwaga sio muongeaj kabisa
@itanzaniaAS
Жыл бұрын
The guy is so open. God help him never to return to drugs ever again
@JeronimoSimon65
Жыл бұрын
Here we go again. Interview ya bei ya juu zaidi with the Terror himself, GAIDI (GUIDE) la RAP. Asanteni AYO TV
@givenlyimo9199
Жыл бұрын
Best interview of all time
@salumjumah5648
10 күн бұрын
Hip hop bila madawa inawezekana mungu atulinde vijana wote
@mikemills9615
Жыл бұрын
I wish lord eyes atunge nyimbo kama nne hivi zenye kueleza uhalisia wa maisha yake" kwa kweli ni balozi tosha wa kupinga madawa ya kulevya na madhara yake"
@alvinchejo7800
Жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana hili ni darasa tosha apewe kitengo huyu cha kufundisha
@youngrappertz1735
Жыл бұрын
Kushundisha nini acha ushamba🤣
@chesterbrand6723
Жыл бұрын
Yes baba
@venusbeno4275
Жыл бұрын
@@youngrappertz1735@q
@isaacmunisi5559
Жыл бұрын
Aisee jembe anaongea kitu ambacho wengi wanapitia au wamepitia, nivyema watu tujifunze mengi kupitia yeye. Ila lord namkubali sana kinoma nimsela sana. hata mimi ni lsaac toka chuga.
@mushaijamulokozi4620
Жыл бұрын
Huyu jamaa anavyojibu maswali kijanja sana!!
@millardmbaraka6114
Жыл бұрын
Yaani lord hamalizii maneno mwana ni mnyamwezi sana dadeki (swagz)
@georgenyoni9879
11 ай бұрын
Just for today ,My thoughts will be on my recovery living and enjoying life without drugs,Kweli lord tumeteseka sana na hayo madude ,ila siku Leo , program tukiifanyia kazi inafanya kazi
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Milard ayo ebu fanya kumleta bou Nako au ibra da hustler au hata Fido vato kubalance stori za nako2nako
@badmanno.1650
4 ай бұрын
Mbona unataka kukalia ugomvi
@adolfmathew9698
4 ай бұрын
@@badmanno.1650 sio Kwa ubaya dingi nimejaribu kutoa mtazamo wangu tu km inafaa fresh. Aifai inaachwa
@kingmichael1234
Жыл бұрын
Mnyanwezi poa sana . True story teller 😄😄👊🏾
@babap-dn7wq
Жыл бұрын
Huyu master kumuelewa inahitaji PhD ya Utulivu 😂😂😂😂
@angelsblackboard8008
Жыл бұрын
Ana mdogo wake nilimuona pale Arusha mwaka jana, anatia huruma, ana alama za sindano mwili mzima, amsaidie pia.
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Yupo pande ggani Arusha? Nasikiaga watu wakisema tu
@zuumlondwa9518
Жыл бұрын
Nimependa hii interview jamaa uchoki kumsikiliza😂😂
@chaulachaulaya5259
Жыл бұрын
Hii sio interview, hili ni DARASA.
@Thisisviisugarboy
Жыл бұрын
I love this 🔥
@Empoaka
Жыл бұрын
Much respect brother Lordy eyes..... ,,,,Naifanya Kwa hii ndio reason. 🌼🔋🤲
@magdallenarichard4629
Жыл бұрын
Handsome boy
@issaomary7718
Жыл бұрын
Kuhusu madawa (heroin) na vitu kaa izo, tuzingatie sana mazee
@venerandamangore1384
Жыл бұрын
Uzuri wa Interview za Lord lazima ucheke 😂 Love me some Terror woooofffff 😂
@reinerbrainer811
5 ай бұрын
Sema Lord ni muongo sana.. Eti hata Ganja alikuwa havuti???
@SuzanMoshi-m1s
Жыл бұрын
Sema lilord lizur bana me na watt wa Arusha nawapenda sana ❤😂
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Zuri balaa
@jescaonesmo3199
Жыл бұрын
😅litamu balaa
@MalkiAbdalah
4 ай бұрын
Saluut sana kaka mkubwa iizi nako wako maemc wengine wanashidwaga kufunguka kama wewe wakiulizwaga maswali wanajikanyaga kanyaga 2 hawanyoshi maelezo ila nazani watajifunza kupitia wewe kaka mkubwa izi wa wazi saluuti sana👊🏻👊🏻👊🏻
@mikekileo1186
Жыл бұрын
Siwezagi kuangalia interview ndefu hivi. Ila hii ya #Terror na #Mallard_Ayo surely hamu haishi kuangalia. Big up sana homies ✌️
@rab792
Жыл бұрын
King Eyes Bravo
@ntimimalamula2104
Жыл бұрын
Napenda sana interview zako milladi zinafundisha kinoma
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Jaman mim simuelewi Lord anavyoongea,,au wenzangu mnamuelewa ?? Stor zake??
@lucykinabo
Жыл бұрын
Yan 😄😄
@mrambadiana9678
Жыл бұрын
Ukikaa Chuga ungeelewa
@FarajaClement-r6w
Жыл бұрын
Huelew alaf unasikiliza
@abuuayoubayoub9260
Жыл бұрын
Hata mim nashangaa unasemaje humuelewi na huku umetulia unamsikiza
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Dah and all this time mimi najua ni wewe umemfundisha na kumuelekeza ray c huko,
@hajisaidy3081
Жыл бұрын
Lord eye lifestyle yako ni sawa na kile ulichorap kwenye verse yako ya Nightmare.
@vincentnkana4921
Жыл бұрын
God bless you Eyes
@paschalliving657
Жыл бұрын
Mandez wanasem eazy wa waz kadata..matoz wanaeleza wanavyopgwa mambataa...🔥🔥🔥eazy
@benjaminedward2279
Жыл бұрын
Dah god is great... Kuna haja sana ya kusikiliza sana ushindi mkubwa Kama huu
@ekkymumba8566
Жыл бұрын
Nilikua nawapenda Nako 2 Nako jamani sema nilikuaga zangu mwanza ningekufata aise maana sio kwa u handsome huu duuh!, sema nishaolewa
@jacqueisaac8155
Жыл бұрын
😅
@alfredlaurent1728
Жыл бұрын
Yaani mimi nakunywa maji,chakula,juice,sigara na pombe kidogo!! Gaidi ugaidini
@aminammbaga7736
Жыл бұрын
Kwahyo sasa hamna anaeona dental formula ya mnako lord
@mondewaldemar5632
Жыл бұрын
Dental formula imenyooka aisee, nmeikubal
@Chingagirl123
Жыл бұрын
Mimi nimeona
@Babu_Njenje
Жыл бұрын
This man is Arusha's Finest 💪💪💪
@officialtaslima5409
Жыл бұрын
Yan mwanangu hapo kwenye wa blue nimejikuta nacheka mwenyewe
@Chrishenryson-beats
Жыл бұрын
You have been doing this since way back Millard. Tukabidhi mic wadogo zako. Natamani nikusaidie sana hapa kwanye interview
@sinyorithababy1764
Жыл бұрын
OG....usijieleze sana, ukijieleza maana yake unataka kuaminisha watu...nimeipenda hiyo
@eddytheblayze3810
Жыл бұрын
Nahii ndo story ya izzy wa wazi .👊🏾 👑
@nicky3025
10 ай бұрын
moja ya interview bora sana nmewahi kuangalia
@crispingerald3000
Жыл бұрын
Ili jama interview zake nikali sana sjui kwanin alikua hafanyi interview anafa kua prezent🔥🔥🔥
@shabanmaganga9972
8 ай бұрын
Unga mwanzo unakuwa mzuri sana na ukivuta unajisikia poa Sana binafsi nilionja lakini nashukuru Mungu wife nilikuwa nanuogopa Sana haswa nikiwa tz
@yasinimalya4001
Жыл бұрын
Ila kwa ushauri au tungerudisha wakati nyuma mi naona ungeamua kumsaidia Ray C Dah ! Mngekuwa great couple , kama Aika na Nah reel, that’s tru love man! Maybe you didnt see that, butvlife goes on that was your gift you to be with her, she just needed a little polish to shine and be Great, ila dhahabu mpaka ing’ae lazma ipitie motoni ila wewe Lord uliogopa kuungua na moto pamoja na Ray C 😂, One Day I will want to have interview with you, Big up Ayo TV. Greeting from Colorado
@davidkamando9630
Жыл бұрын
😂😂 wabongo bana eti great couple... Daah!!
@zitongwang6278
Жыл бұрын
Where is Ray c if I may ask you ??? I have heard she is Paris ? She z clean and married..!!!!
@richardmagoda5107
Жыл бұрын
The best interview
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Ila huyu kaka mtamu jamani😆
@lovesallu5292
Жыл бұрын
😃🤣😂teh teh
@sakinaomary7207
Жыл бұрын
anaongea vizuri
@stankim5884
10 ай бұрын
Majibu ya lord bwana 😅😅
@adolfmathew9698
Жыл бұрын
Lordeyez Nako 2 Nako soldier
@violethnatai7890
Жыл бұрын
Best interview
@kayjuma2629
Жыл бұрын
Lord eyes 💪🏽💪🏽
@georgenyoni9879
11 ай бұрын
Broo ,Rudi kwenye meeting ku share na wanachama, program inasema,We never fully recover,no matter how long we have been clean, complacency is the enemy of the members with substantial clean time.
@georgenyoni9879
11 ай бұрын
We presenter acha uongo nguzo za hip hop hazihusiki hapo,,hizi ndio nguzo za hip hop Dj,Mc, Graffiti ,break dance,Producer
@doubleseven7750
Жыл бұрын
Du oi mi mtu wenu sana namkubali mwamba yupo kibingwa sana
@hamisiali-tq7yx
Жыл бұрын
Mlete chidi Benz hpo millad tumskie kama atafunguka kama lord eyez
@fauziayassin7987
Жыл бұрын
I don’t know y but I think atarudia ila namuombea mungu yy na sisi sote tuondoke kweny ulimwengu wa starehe
@sidiqmhina7823
Жыл бұрын
YES AM FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
@Patrisami
Жыл бұрын
Bonge la Inteview ✌️✌️✌️
@saleheabdallah5461
Жыл бұрын
Great of all time or havy weight rapper
@moizjohnston3841
10 ай бұрын
Terror kanichekesha bn,eti yaani mm nakunywa maji sana,chakula,sigara na pombe kidogo...!
@jimmykivagi8415
11 ай бұрын
People Places and Things
@issasaad3403
Жыл бұрын
Hii n zaid ya darasa
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
KWANI LODI ANAONGEAJE 😄😄🤗
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Kiselaa 😂😂😂
@TumainiMosha
Жыл бұрын
Vp brother kolabo mtu mzima chindo
@LivyLebayos
Жыл бұрын
❤
@willsonjames3659
8 ай бұрын
Interview kali kinoma
@dearmama7865
10 ай бұрын
albadiri ya kihindi
@aishaa2930
Жыл бұрын
Jamani huyu kaka amefanana na rafiki yangu ana itwa prospar 😢😢😢😢
@seifsaidnshuti9812
Жыл бұрын
Acha tamaa tulia na prosper wako😅
@aishaa2930
Жыл бұрын
@@seifsaidnshuti9812 Sina tamaa ila ni muda sana sijamuona
@antildandege4972
10 ай бұрын
@@seifsaidnshuti9812 hahaaa
@salumchuma7762
7 ай бұрын
ONE OF THE BEST INTERVIEW...Real Motherfucking G things...Sheets happen
@dicsonmollel5915
Жыл бұрын
Amesafisha meno nni ,amekuwa wack huyo chalii
@baricktumain
Жыл бұрын
King Iz
@jenipheremanuel5884
Жыл бұрын
Nampenda sana lord eyes
@DespereuxRaizo
Жыл бұрын
Wtf
@westcijosh
Жыл бұрын
Mtunuku kitumbua hcho
@tanzaniaoman6423
Жыл бұрын
Leo ni happy tu kwenye kipindi🔥🔥🔥
@BahatiJuma-m2i
Жыл бұрын
Wanaume wachuga ❤❤❤❤❤❤❤❤
@mussaagrey5679
Жыл бұрын
Big up sana
@StanleyRuta-gu7tz
Жыл бұрын
King ezy Kuna interview ulifanya miaka ya nyuma kidogo clouds FM na Adam mchomvu,uli complain kuwa weusi kama kundi wanakubania, ukweli uko vipi
@emmanuelShayo-dk6vf
Жыл бұрын
✊
@erickendrick3330
Жыл бұрын
Gaidi la Rap
@khadijahbanana5602
Жыл бұрын
Lodiii kama lodiii
@officialbntrasool5223
Жыл бұрын
Anavyohadithia jins walivyoanza na ray c m hoi 😂😂😂
Пікірлер: 166