Moja ya wachanaji bora kabisa wa muda wote Bongo Lord Eyes ni moja ya watu muhimu sana katika Hipho ya Bongo,hadithi ya maisha yake ina mafundisho makubwa,struggles alizopitia sambamba na changamoto za kimaisha kama matumiz ya madawa ya kulevya yanamfanya kua moja vioo kwa vijana wanaochipukia,allingiaje na akatoka kwenye madawa,hii ni sehemu ya hadithi ya maisha yake.
- 5 ай бұрын
THE CLASSIC LORD EYES:NILIKUA MTEJA SIKUA MWIZI/NILISINGIZIWA NIMEMUIBIAOMMY DIMPOZ/NAKO VS KIKOSI
- Рет қаралды 6,400
Пікірлер: 26