Mashaallah mh/ kaongea kwa busara zaid namkubali saana huyu mwamba
@aminanamoyo83
Жыл бұрын
You deserve hiyo nafasi 👏 👍👌
@chiconinde8135
Жыл бұрын
"Mimi naionea wivu sanaa yenyewe kukutana na wakati mzuri kama huu"... Hapo tu utajua akili ya huyu jamaa🙌
@annamwakibinga527
Жыл бұрын
Hongera mwanangu Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza
@JohnDoe-ly2lp
Жыл бұрын
G.O.A.T ...one of the best. Much luv bro
@Udindigwa
Жыл бұрын
Inapendeza Sana Mwenyezi Mungu Asimame Nawe
@allysaid7108
Жыл бұрын
usipo niheshimu mm utaheshimu Hela zangu, hongera sana brother una deserve kabisa kiti ulichopo pata
@brightonsichone4161
Жыл бұрын
Mikono salama kabisa 🙏🏽
@gaudencemaumba7594
Жыл бұрын
God's time is the perfect time🙏.. Neva Give Up in Life💪. Hongera Mheshimiwa NW USM💥💥💥💥
@feisalkhalid1210
Жыл бұрын
Jamaaa jembe sanaa 🎉 Allah amjaaalie safari yake iwe ya kheri❤
@aminaomary5567
Жыл бұрын
Ongera sana mhe.
@mohamedihassani9363
Жыл бұрын
p1 sana nakubali bro uko vzr kitambo sijaona unafeli hongera mama samia mungu amzidishie uwezo kwakua na ubunifu wa uteuzi
@mariumukasiba-nq6uz
Жыл бұрын
Kupitia Hilo wanamziki mnatakiwa kujitazama upya nyinyi ni kioo na nyinyi ni wanafahisi vipaji mlivyonavyo mvitumie vizuri na hata inapofika mmeanguka kimziki msikimbilie katika madawa ya kulevya na ulevi kupindukia na kufanya vitu ambavyo vitaondoa heshima yako. Kuna Maisha baada ya kupitia mziki unaweza ukawa hata Rais maana siku zote mnachokiimba ni kile jamii inakiishi mi Naona mna nafasi nzuri ya kufanya poa ktk uongozi kwakuwa mnakuwa na mashujaa na mnaweza kuuishi uhalisia wa Maisha ya uraiani . Mwamba hongera kaitumie hiyo nafasi vzr na utambue vijana wenzio wanahali ngumu haswa wanapoanguka kimziki big up
@user-wk1ix1gm1p
Жыл бұрын
Mungu akutangulie Na muongozo uwepo ili tuweze kusikiliza, ngoma zako zinaishi Na zinatufundisha Na zinauzito kwenye maisha ya wengi
@defxtro
Жыл бұрын
😎 #NWUSM #Binamu 💪🏽
@saketnicholaus9962
Жыл бұрын
A right person in right position and ay the right time the same to Hon. Bashe
@evanamkondya4257
Жыл бұрын
Nakupenda bure kaka huna baya aseeh god bless brother
@saadamoshi1478
Жыл бұрын
Safi mhe. Mwana FA
@sampatrick308
Жыл бұрын
Time will tel
@user-zh8wg3lc4i
Жыл бұрын
Mungu akujaalie Mwanangu uwainue wenzio vyema.
@husseinally3015
Жыл бұрын
Huyu muelewa sana cheo kingine kitafata INSHAALLAH
@shabanihusseni8210
Жыл бұрын
Good
@allysudi4429
Жыл бұрын
Mungu akuongoze Ankal FA.... Hip hop iinuke Sasa saidia hop hop jamii ijifunze, matus yamezid sana mitaan na ngoma za kishenz alafu copied
@mohamedswaleh9616
Жыл бұрын
Big up bro, kazi iendelee
@basilajohn8910
Жыл бұрын
Hongera sana
@aminashabani9637
Жыл бұрын
Hongera nw
@victorjames3730
Жыл бұрын
Mwamba anastahili hii kazi
@kuruthumchinenda4342
Жыл бұрын
Hongera kk!!
@omarymnuru8746
Жыл бұрын
Viongozi wetu jitahidini kuwaletea maendeleo wananchi Ili waweze kuishi maisha mazuri kama nyinyi mnavyoishi(mna uhakika wa maisha 100%)
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Mtambue sanaa syo bongo fleva na bongo movie...simamieni sanaa zingine,na michezo mingine pia
@abiboseleman1649
Жыл бұрын
Hii suti ya mwana fa million ngapi mana sio kw mafuta hayooo nice ones
@motrathefuture
Жыл бұрын
🤲🏾🤲🏾🤲🏾
@kennedysimon6707
Жыл бұрын
🔥
@sheikhmakaramatv3413
Жыл бұрын
Ninachoandika hapa kitaishi milele huyu Mwana fa atakuja kuwa raisi wa nchi hii ya Tanzania huu ni utabiri wangu
@manilabonalumanula9210
Жыл бұрын
Utabiri wako huo, lkn kitaendelea kuishi ikiwa una umaarufu ama ukiendelea kufuatilia unachokitabiri na kutujuza kila hatua bila kuchoka maneno na makelele ya watu
@madpusher2036
Жыл бұрын
@@manilabonalumanula9210 fact
@lama6310
Жыл бұрын
Hivi unajua maana ya urais,, ww unalinganisha mtu aliyechaguliwa na Rais na Mtu aliyechaguliwa na Wananchi..
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Dream thinker awalali
@lodrickmwambene133
Жыл бұрын
Hatakuwa raisi bora sana nitapiga kura kwa Mara ya kwanza
@samsonisamsonilaizer4042
Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@hanskiula
Жыл бұрын
Good
@kamanyile
Жыл бұрын
safi
@Legends_Interviews
Жыл бұрын
Mwamba yupo makini👏👏👏
@bakariabdallah8702
Жыл бұрын
😂😂😂 ngoma zipo
@shedracelia1267
Жыл бұрын
Wakikuuliza naendelea je waambie vizuri zaidi ya jana , mungu Ana maguvu sn
@lodrickmwambene133
Жыл бұрын
Jamaa ni humble sana toka uingereza
@Wamoyothenumberone
Жыл бұрын
Tufanye kazi
@pastoraile7195
Жыл бұрын
Baba na mama tashatabili nitakufa tajili
@Johnny-b4i
Жыл бұрын
Binafsi niliamini hawezi kuwa na kinyogo kwa Steve maana hapa nielimu sass inafanya kazi hogera kwa maneno ya hekima
@nnekiaalpha9162
Жыл бұрын
Raisi ajaye...miaka mingapi itachukua huyu Bro kuwa Mr President, kiukweli me sijui...but as long as Mungu atampa uzima, time will tell...atakuja kuwa Raisi wa Tanzania, stay tune!
@matolasalumu2625
Жыл бұрын
Nimekuwerewa kk tangu enzi ya Mimi na mabinti damdam sasa utanifanya na Mimi nihingie studio gadeeemiti,
@hazjay4671
Жыл бұрын
Angemtoa #Nchemba Amuweke #FA Kweny #Uchumi
@ebrahimosman5477
Жыл бұрын
🤲🙏
@petrochikawe1797
Жыл бұрын
Acha maisha yaendelee
@catherinemasiga6666
Жыл бұрын
Jitahidi basi waweke Diamond alkiba na Harmonize pamoja kaa nao waunganishe tena hata kama walikoseana basi wasameheane
@pastoraile7195
Жыл бұрын
Kwel dunia hiyiii America Kanye west Anataka kuwa Rais
@marrymenas
Жыл бұрын
Aache uwazir aendelee kuimba kwan tatizo liko wapi?
@davidnyambuche352
Жыл бұрын
Ngoma zipo
@bainolatino3412
Жыл бұрын
Mwana bado tu nahitaji uwezo wa mistari yako katika bongo fleva
@johngyunda3094
Жыл бұрын
Bnam
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
"Sina mia ata urithi hivi vyote ni vya kwangu"
@foodbasiccourt2028
Жыл бұрын
Hivi kumbe ni waziri nilijua ni naibu
@shabanipanya1033
Жыл бұрын
Jamani wote tunajua matatizo ya watanzania na wote tunajua maana ya maendeleo na wote tunazijua nchi zilizo endelea raisi wetu samia amefikiria weee akaona amchague huyu jamaa katika kusaidia mambo hayo matatu na kusaidia ufumbuzi wa matatizo ya watanzania kwa mujibu wa wizara husika huyu ndio mtu mlio chaguliwa maoni yenu tafadhali
@simonsadala2386
Жыл бұрын
Najua ww ni shabiki wa Kolo yaaani kolo pure jitahid ufanye manuva tuchukue ligi kuu msimu huu
@musahamadi4682
Жыл бұрын
Ila tutapoteza Mwamba AKA mkongwe
@bullermgana213
Жыл бұрын
Unene wake achana nao jali biashara zako... Mtu na heshima zake, mara mojamoja kaunda suti tumekukumbuk bro- binamu
@eliyamwaipopo5873
Жыл бұрын
Kwamunguakunamjunguongelasana
@aminaomary5567
Жыл бұрын
😁😁😁😁
@rahimaaaaa8699
Жыл бұрын
Mbona anamfanana Kikwete au.ninmtiti wake
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Kama wewe ulivyofanana na mizengo Pinda
@veronicatweve8908
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 😂😂🤣🤣
@saidatisaid150
Жыл бұрын
Watu wa pwani wanaufanano saana nakuna unasaba wa dam sie ni watanzania
@lucykapinga369
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 hahahahah
@sonnyr1899
Жыл бұрын
Lete mawe muheshimiwa tena sasa hivi kaziya sana ktk maswala Ya jami kukemeya mauwaji Ya albino nyie ndio wakusema sasa.
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Aliwatukana sana akina Juma Nature wakati yupo East Coast na Wanaume TMK kama mmesahau sisi wengine huwa hatusahau na akiingizwa mkenge ili awashugulikie WASAFI nasema ataondoka yeye maana WASAFI ndio Tanzania 🇹🇿 kuna nguvu ya MUNGU nyuma ya WASAFI au WCB
@joycemfuru4752
Жыл бұрын
Ushabiki maandazi kwanza kumbuka wasafi ina wenyewe wala siyo diamond halafu huyo Ana degree yake ni msomi siyo wa kuokota hawezi fanya ujinga jiulize kwa nini ameteuliwa licha ya kuimba hata kichwani kuna kitu
@ramadhannasibu7753
Жыл бұрын
Hiyo ya "...aliwatukana TMK..." itakua umejiongeza. Nakumbuka wakati uli kulikua na kama umizani tu wa majigambo baina ya wa mijini UPANGA na uswahilin TEMEKE. Lakin hakukuwa na matusi.
@mariambilonkwa5183
Жыл бұрын
Kwani WASAFI ni ya Diamond??
@fredylucas2484
Жыл бұрын
Sikiliza kwanza interview yake na ulinganishe na za kina Diamond na Hamornize, utaona utofauti mkubwa sana. Hayo mambo labda kwa wasioenda shule kama hao watu wenu kina Diamond
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@joycemfuru4752 mitaara ya MKOLONI ndio iliokujaza ujinga na upumbavu 🤣 hivi unakijua chuo alichosoma hapa uingereza ingia kwenye profile yangu ili ujue unaongea na nani na niko wapi jinga kabisaa ww 🤣🤣
Пікірлер: 89