Mimi ninaamini kuna Mungu aliye hai,ukikaa ndani yake,nayeye atakaa ndani yako, yeye ni mfinyanzi atakutengeneza upya,Hongera sana Mama Rose,nakuombea maisha marefu Duniani ili utimize kuzudi la Mungu,AMINA
@StephenKasolo
3 жыл бұрын
Rose ni Chombo cha kazi ya Mungu.
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hakika nakubali bro
@deDieu.irad8
3 жыл бұрын
Shomboshakazi
@stellaloves9879
3 жыл бұрын
Millard Ayo asanteni Sana kuleta mama Rose promote huyu mama arudi Tena zaidi kama kitambo Mungu mwema siku zote welcome back Dada rose
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Nimefurahi
@jescamaumbi1320
3 жыл бұрын
Mwenye mziki wake wa Injili amerudi Mungu mwema tunakupenda sana dada Rose 🙏🏻
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Umeonae
@el-gibbortv5564
3 жыл бұрын
Kweli mwenye muziki Wa injili karudi!
@johnmutevu196
3 жыл бұрын
Dada Rose God is using you. You have touched many broken hearts and families. God bless you and your family.
@Favourbles
3 жыл бұрын
For real mungu alijibu maombi yetu tuliomuombea ...mungu azidi kukuinua kabisa kabisa
@majaliwamsigwa3974
3 жыл бұрын
Hongera Dada Rose, Mungu amekufuta machozi
@sonicaghendewa9886
3 жыл бұрын
Nakupenda Sana Rose...Mungu Akubariki 😘
@emmanuelnzaligo6262
3 жыл бұрын
Mungu akutangulie mama napenda Sana nyimbo zako huwa nafarijika Sana ninaposikiliza.
@EK-kp2np
3 жыл бұрын
Rose Muhando, NAKUPENDA SANA, muimbaji wa injili mwenzio aliwahi kuimba “DHAHABU IKIPITA KWENYE MOTO UJUE ITANG’ARA TU, na jiwe likipita kwenye moto ujue litapasuka tu, ROSE, wewe ni dhahabu, unatumika kwenye jeshi la BWANA kwa uaminifu na utazidi kung’ara! Ole wao waliohusika kukushusha, OLE WAO!
@irenejohn8194
3 жыл бұрын
Hongera sana mama TRM twakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
@marymfugwa847
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dada Rose
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
Be blessed mama ur songs is inspiring more.
@mikesoin
3 жыл бұрын
Wakenya wapi likes za Rose muhando
@_mwakabungutz4187
3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda Legend wetu
@magrethsimtenda926
3 жыл бұрын
MUNGU akutunze Dada Nakupenda sana
@mwanahamis5487
3 жыл бұрын
Mimi Ni muislamu Ila Nampenda saan rozi muhando
@simonmdune9066
3 жыл бұрын
Mwana hamis Mungu akubariki sana kwaupendo ulionao kwa mtumishi wa Mungu rose 🙏❤
@setiempire
3 жыл бұрын
Waooh
@mwaminindayishimiye4434
3 жыл бұрын
Na mimi piya Muslim ila nampenda sana
@marthasumaye6017
3 жыл бұрын
Hata Rose alikuwa mwislam
@kyleyoung7141
3 жыл бұрын
Martha Sumaye ndio alikua muislamu aka convert,, she is now a full time Christian
@noelngowitechnicalsolution
3 жыл бұрын
Hongera Sana dada Rose Mhando
@lucienushindivainqueur7500
3 жыл бұрын
Mungu apewe sifa tena ku muponya my sister rose muhando
@yusuphotieno9837
3 жыл бұрын
Hayo yote Dada Rose Muhando ni kwa sababu MUNGU ni uzima wako.tembelea KZitem Channel yangu . Jina Yusuph Otieno Wimbo : MUNGU ni uzima wangu utabarikiwa.
@annepitasndungu4135
3 жыл бұрын
Am from kenya tunampenda huyu dada sanaa
@irenemumbisabino4988
3 жыл бұрын
Congratulation Rose your always the best.God be with you
@maishacenter-eastafricatv3976
3 жыл бұрын
Halafu msisahau kutangaza kwanza kwamba amani ni tele Burundi
@mrlawimusictv935
3 жыл бұрын
Nampenda sana rozi muhando...nyimbo zake zanibariki mno
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
Malkia wa mziki wa gospel ongera kipenzi ca watu ubarikiwe sana
@mathewskatjee3378
3 жыл бұрын
Amen My God bless you
@jantamwalei8046
3 жыл бұрын
Rose nyimbo zako unibariki sana naomba Mungu akushikiliea sana wale wanakuuwa watakufa wenyewe
@irenemmbando5871
3 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa my rose
@simonnembomadola7512
3 жыл бұрын
Tumtegemee Mungu, Mungu atakupa majibu yote na utajua njia zote utakazopitia.
@mathewskatjee3378
3 жыл бұрын
Yes it's truths My God Bless you
@emmanuelmuhando1052
3 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu za uvumilivu dadaa Kwa njiaa unazo pitiaa
@scolapius1884
3 жыл бұрын
Hongera sana Yesu akuinue zaidi
@lewinakilana7375
3 жыл бұрын
i feel proud ninapokusikia rose mhando
@elizabethambani5896
3 жыл бұрын
Rose rose rose rose rose rose u r bless may th Lord Jesus Christ cover u with his blood
@benjaminjoseph1747
3 жыл бұрын
Nafurahi umerudi. Missed you sana. Mungu akupe afya ili uzidi kumtangaza kwa kinywa chako kupitia nyimbo
@avitdeus8407
3 жыл бұрын
I love you my mom Mungu akuzidishie nguvu uendelee kuinjilisha injili ya Bwana
@officialimmagrape5813
3 жыл бұрын
3:20 POINTI SAAANAAAAAAAAA MUNGU AKUSIMAMIEE
@georgemaduga2406
3 жыл бұрын
Marikia wa nguvu rose mhando ridhiki ni kama mwanga kwenye giza lazma utaonekana😘😘
@bonifacesimiyu5481
3 жыл бұрын
Dada rose kweli mungu akupenda , mungu ni mwema kwetu
@faidamisalaba5759
3 жыл бұрын
Nasubr hii album nakupenda sana
@agnesmwende1104
3 жыл бұрын
Love the swahili...purest of all
@nancylangat5970
3 жыл бұрын
Congratulations sister rose
@setiempire
3 жыл бұрын
Mama unakitu kikubwa sana, unajua kuongea kiswahili fasaha, unajua kizungu lazima uwe wa level ya KIMATAIFA... Sasa hivi badilisha tu style ya uimbaji kulingana na majira ya sasa
@marthatindwa5359
3 жыл бұрын
Hongera Rose... MUNGU azidi kukusimamia.
@babajoyce7955
3 жыл бұрын
Mungu mwema dada rose
@linshiro89
3 жыл бұрын
Mama na mtumishi wa mungu twakukubali na twakupenda sana sana
@faustinsirili3480
3 жыл бұрын
Dada rose mhando Ni shida. Dada tunakukubali sana
@edifonceleonard2343
3 жыл бұрын
Hongera sana dada rose nakukubali sana mdada
@lizmass4253
3 жыл бұрын
LA Queen
@RoseRose-qj5pw
3 жыл бұрын
Namesake Mungu akuzidishie na akuongoze hongera
@merymrema420
3 жыл бұрын
Nakupenda sana my love nakukubali sana
@julianankulila1277
3 жыл бұрын
Shetani huwaaminisha watu uongo kabisa.Ubarikiwe sana 💖💓❤️
@naamohamed9964
3 жыл бұрын
Kapendeza kanenepa
@nyamogafamily4262
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mama,nakupenda mno❤️❤️
@stephenjefaofficial
10 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mama songa mbele
@leahnyambeki842
3 жыл бұрын
Dada Nakupenda sana Mungu awe nawe Daima Siku Moja tutaonana.
@eliakimchaiikobellah358
3 жыл бұрын
Kweli Mungu ni mwema sana kwako Da Rose
@pastoryalfred1508
3 жыл бұрын
uyu mtangazaji amepaka lipstick au
@esthernyaboke1764
3 жыл бұрын
Kubali yesu kwA mpigo mum you are more than a conquer
@shabanfitnesstv3977
3 жыл бұрын
Mungu yu pamoja nawe Rose mhundo
@camilajohnson9059
3 жыл бұрын
I love you BIG sister Rose
@reginanampala729
3 жыл бұрын
Wewe ulizaliwa kuwa ushuuda wawatu usichoke kumtumikiya mungu nakupend sn mungu akutanguliye sn
@getrudajonathan4007
3 жыл бұрын
Mungu ni mungu tu hakuna kama yeye na ametenda makubwa
@duncanmulu2450
3 жыл бұрын
Hongeraaaa!!!
@anitakamene5073
3 жыл бұрын
Hongera
@taitanicbway525
3 жыл бұрын
Mungu akueke Sana mamaa
@pendorose8056
3 жыл бұрын
God bless you mamy sauti yako sasa😘
@agnesslyatuu8026
3 жыл бұрын
Nakupenda sana dada Rozi
@jumaephraim5949
3 жыл бұрын
Shetani ni muongo tangu mwanzo wa duniaaaaaaa
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hahahaaa shetani nimuongo sana hakika sana
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Jamani rose muhando km ebitoke wanja wake, utabakia kuwa juu mpk unaondoka duniani
@francinendihokubwayo7822
3 жыл бұрын
Rose muhando tunakupenda sana
@alicekyai2746
3 жыл бұрын
Nakupenda Sana rose natamani nikuoe
@d.methuselah9329
3 жыл бұрын
Huyu Mama Mungu Amutunze Na Mpenda Sana
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Rose kanenepa sanaaa,kwa Waafrika eti unene ni ishara ya kuwa na pesa.
@zaza8625
3 жыл бұрын
Karibu Burundi Rose
@wang_youmuhoza6643
3 жыл бұрын
Hongera sana
@sharifaabdullah6825
3 жыл бұрын
Umenenepa masha allah
@ikrissaidrissa8613
3 жыл бұрын
God bless you mama † Nakumbuka wakati unatoa nibebe nilikuwa napata komunio ya kwanza nilibebwa mgongoni 🤣🤣🤣
@yussufhussein1954
3 жыл бұрын
Hahahaa
@HelbethMlelwa
3 жыл бұрын
Hivi waimbaji mna shida gani??. Najiuliza ni Mungu gani ambaye anakupa neema unayezini na menager wako. Acheni mzaha na Mungu.
@musachacha495
3 жыл бұрын
Hiyo Neema ya mungu
@shabanfitnesstv3977
3 жыл бұрын
Amina sana
@rithakuyala9951
3 жыл бұрын
Hongera sana mama rozi Mungu azidi kukubariki
@risperkerubo5184
2 жыл бұрын
Mutumishi wamungu Rose usuhuda wako unanitia nguvu kwa mapido yangu
@maishacenter-eastafricatv3976
3 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
@grolyqueen5833
3 жыл бұрын
Hakika Mungu akiamua kukuheshimisha hakuna wakupinga🙏
@yusraibrahim9021
3 жыл бұрын
Nice
@evelynsalila9700
3 жыл бұрын
😘😘
@angeltesh858
3 жыл бұрын
Swali langu ni je anafafanya na Nathan mbado amrudishe nyuma vile alimfanyia? Naomba tu aimbe nyimbo zake akijisimamia kila kitu asikumbali contract tena na Mungu atamsaindia
@jacklineakoth1016
3 жыл бұрын
Hongera rose lkn najua pastor nganga Ata jisifu ati alikuombea adi ukapata kikombe najua nganga
@valenakomba4453
3 жыл бұрын
sasa hizo Show unazosema hivi ni za kumsifu Mungu? au ni kwa ajili ya kutengeneza Pesa Tu.Hivi kweli waimbaji wa nyimbo za Mungu wanaweza wakasema eti nina show nyingi? Jifikiri Zaidi kabla ya kuongea.Naamini kwenye hizo show kunakuwa na vilevi , ambavyo wateja hununua ii kijiburudisha kwenye hiyo show , Hivi kweli hapo kuna Mungu kweli?. Unajidanganya, na pia unadanganya wale wasio ona mbali.
@clausemsemwa297
3 жыл бұрын
Heshima YAKO iko pale pale!
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Pesaaa hizo
@beatricembokigwe492
3 жыл бұрын
Hakika Mungu yu mwema
@princessvyona994
3 жыл бұрын
Nambona tuzo yakaa kama nyoka??vile imejicoil na juu mwisho wake wakaa kichwa ya nyoka na pembe,kama vile nyoka inapanua mdomo
@irenealucas4439
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@SamuelErnest
3 жыл бұрын
MUNGU HATAACHA KUFANYA KAZI YAKE KWETU
@bethuelkonyuniofficial7930
3 жыл бұрын
Change the cover photos u have chosen, it's not impressing viewers ndio maana likes chache na viewers chache too
Пікірлер: 152