No wigi, no makucha bandia, no mkorogo... very beautiful.
@btylove1870
2 жыл бұрын
Beautiful interview 👌 Tessy uko msupuu pia unaonekana umekua na unabusara mashaallah. Mungu azidi kukubariki mama🙏💕
@mwash7777
2 жыл бұрын
Wanadada wa Tanzania si ni warembo, kaumbika kweri. Watanzabia ni wanakaa vizuri sana sana kwa maongeo na tabia. I love u tanzanians. Much love from 254
@user-br1mq1ue9b
2 жыл бұрын
🤣
@mwash7777
2 жыл бұрын
@@user-br1mq1ue9b acha kunicheka seriously
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😎😎
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
Ata Kenya pia Kuna warembo jamani na mimi napenda wakenya wanavyoongea kiswahili ila apo kwa mke nyie mnaita bibi huwa inanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
Alafu Mombasa wa naongea vizuri kiswahili si kama Nairobi yaan ni tofaut kabisa utafikiri si nchi moja
@piusundisputed
2 жыл бұрын
This woman is so bright, I like her
@sistersade9039
2 жыл бұрын
Ndo tusistaajabu kwanini Aslay alioza juu ya mama moza. Tessy kakua, katulia kajifunza mengi kwenye changa moto alizopitia sasa kazidi uzuri kawa msichana wakusifika. Mungu akulinde na akutimizie ndoto zako.
@ummuadam2423
2 жыл бұрын
Tunaoomba warudiane na aslay tuweke👍
@mfungoramdhan9837
2 жыл бұрын
Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anijalie mwanamke Kama wewe ntashukuru Sana, inshallah
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
Amin
@sultansallah8772
2 жыл бұрын
Kama uyuu???
@nurunjwete5965
2 жыл бұрын
Mimi APA nmekuja😂😂😂😂😂
@zenadaudzena2849
2 жыл бұрын
Yuko single
@mfungoramdhan9837
2 жыл бұрын
@@zenadaudzena2849 kumbe loooooo vp wewe pia upo single?
@theresiamartin3008
2 жыл бұрын
Tessy my role model nakupenda dear
@Deonfnyoni
2 жыл бұрын
Tessy nakupenda sana kwanza una hofu ya Mungu pia upo natural
@juliethygerald1150
2 жыл бұрын
Wangap Tunaangali interview tukimaliza tu naenda kuitafuta nyimbo ya Kaites
@priscillahsirya6544
2 жыл бұрын
Tessy Niliipenda hiyo nyimbo sanaa Ilanikama ilifutwa mana ukii search haipatikani Bt love you guys ASLAY & KAITESSY NAIKUMBUKA HIYO NYIMBO TUU
@kingyeskingyes2263
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y3-B2oJskIeEmG0 F hi
@juliethygerald1150
2 жыл бұрын
Ipo
@zuriathabdallah9492
2 жыл бұрын
@@juliethygerald1150 hapanaa
@priscillahsirya6544
2 жыл бұрын
Waah nitaitafuta tena bax mana nilikua nime give up
@bennyweisikojohn5975
2 жыл бұрын
Daaaaah! Naona kama mtu kapoteza kitu! Sikufahamu Tessy ila tu nimependa majibu yako makini sana. Popote ulipo... Big up! Nimekuelewa vizuri. Kila la heri.
@kingyeskingyes2263
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y3-B2oJskIeEmG0 do
@preccypressy2226
2 жыл бұрын
Huwa mustaarabu sana na hakuna siku utasikia akiongelea mzazi mwenzake kwa ubaya nampenda sana huyu dada
@harunkabalika
2 жыл бұрын
@@preccypressy2226 I LIKE HER. HATA ANAVYO JIELEZA INAONESHA NI MWANAMKE ANAYE JITAMBUA SANA. HAKIKA ANASTAHILI KUWA MKE. MUNGU AMJALIE APATE MUME ATAYE MPA FURAHA MAISHANI MWAKE.
@jalliahrasheed4494
2 жыл бұрын
Angekua mwingine angesema kaanza na mtaji wa laki na hajawahi kukopa 💝😘ILYSM
@gracesilayo7670
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@josephinesam6487
2 жыл бұрын
Mbona kama viddo umemkubali sana tessy yaan una maswali yeny hisia kama unamlengeshea kwako😹😹
@yasintawalyuba2444
2 жыл бұрын
Hongera San Tessy ,NAKUPENDA SNA
@UgandanAllstarTales
Жыл бұрын
ebana itabidi mnigeeee connections za huyu mtoto. first time im hearing about her but,she is so calm and collected . from what im hearing she is a well establisehd young entrepreneur. grown mind in a young soul. she is a visionary
@mwanaidihamisi2879
2 жыл бұрын
Huyu binti ,Mungu amfikishe mbali ila kuachana nae na baba Moza kuliniumiza nawapenda sana natamani warudiane hata leo,Mungu awabariki
@millymack1370
2 жыл бұрын
Ako very real,beautiful,smart and well spoken...kazuri
@abdullatifhassan5427
2 жыл бұрын
Daaah aslay angemuoa tuu huyu walahi🙌🏿❤️
@sophiamfikwa7340
2 жыл бұрын
Waooh she's spk good🥰MashaAllh
@iramjumaa3052
2 жыл бұрын
Napenda vile ambavyo unaongea inapo fika sehem anazungumziwa Aslay👍👍
@clintonmoglin3053
2 жыл бұрын
Jamani huyu dada yelewomiiiee ❤
@auntdorah9141
2 жыл бұрын
Kweli kulea bila baba hata kama una pesa bado kuna mahali utatamani muwe pamoja ktk malezi na mtoto awe na baba karibu mfn pale mtoto anaugua au sherehe yake nk...na pia aonje upendo wa baba au mama.
@vivianlucas6389
2 жыл бұрын
Yaan kbsa
@carolinaadolf6955
2 жыл бұрын
Nakupenda Dada tessy 🥰
@isayaanthon7063
2 жыл бұрын
So composed. Hongera Mrembo
@yasinthaprosper4226
2 жыл бұрын
Mungu akufikishe mwaya dada mzuri. Halafu jina la Kaitesi ni jina kinyarwanda vile nayaelewa majina ya Kule. ♥️♥️Hongera dear.
@zawadimushi4319
2 жыл бұрын
Nimekupenda sana unajibu kiustarabu bila panic mstarabu aiseee big sana
@dawhacker2216
2 жыл бұрын
Huyu Tessy akili mingi sana. Nimempenda bure angeojiwa nani😅😅 you know nyingiii
So beautiful and i loveu so much tessy chocolate.....mwaaaah
@josephinemateru5151
2 жыл бұрын
huyu dada mstaarabu na anajibu kwa akili sana...nimempenda
@rubbymusa1971
2 жыл бұрын
Hongera sana, ur so smart, wanawake kama wewe mpo wachache sana,
@marthamushi9390
2 жыл бұрын
Yani haka kadada ni kanajielewa sanaa hakuna interview aliyofanyaga akaongea upuuzi any time yuko real nakapenda mnoo wallah🥰
@fraitmgala5966
2 жыл бұрын
Always mwanamke anayekuzalia mheshimu sana mpe thamani yake hata kama huna hela muonyeshe uwezo wako ngoja mtoto yoyote yule wa mama mkwe aje anizalie 🌚🌚🌚
@rehemakawia2828
Жыл бұрын
Love u mdada your my role model, Fighter, beautifully
@luckyonek5336
2 жыл бұрын
Niko kenya na kufuatilia uko mwanamuke bomba kabisa hongera sana
Hakuna Kitu kinaumiza kama Single Parents, ukishakua Mzazi watoto wanapitia Changamoto nyingi hasa wanapozidi kukua,
@abdulikimario5082
2 жыл бұрын
Nna omba namba za mtangazaji Ayo tv please yoyote
@zainabramadhani9838
2 жыл бұрын
Mashaallah wewe ni mwanamke wa shoka
@utamuwaleo1970
2 жыл бұрын
Beautiful
@kisalaTV
2 жыл бұрын
Hapo kwenye mwanaume usafi hata mm 🏒
@breezybabe0019
2 жыл бұрын
the attitude is perfect,,, shes kinda like me..always loyalty kweny mahusiano ni kitu kikubwa, money si kitu kila mtu anatafuta kwa urefu wa kamba yake...independence is the key!
@kingyeskingyes2263
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y3-B2oJskIeEmG0 F h
@carenalphonce5013
2 жыл бұрын
Mtaratibu mpk raha🥰
@yudaaraphati9673
2 жыл бұрын
Teessy nimwanamke Bora sana ngoja following anahofu ya mungu
@omobabaoluwo3003
2 жыл бұрын
Penye miti hakuna wajenzi....Sijajua Aslay alikwama wapi.. Enewei sijui nyuma ya pazia ila kwa intaviu hii ni wazi kwamba Tessy unajielewa..Big up Tessy Chocolate luv you.
@rahimaaaaa5682
2 жыл бұрын
Nampenda sn uyu dada💞💞
@ummykhanifa962
2 жыл бұрын
Mtangazaji bomba masha Allah 💥
@asifiwemama7286
2 жыл бұрын
She is so beautiful
@aloycesimon4143
2 жыл бұрын
'Nataka nizae na mwanaume ambaye atakuwa Baba wa watoto wangu wote' Girls take this Point🔥💘
@araphatimura9299
2 жыл бұрын
Yaaa nimekubali sana ...dada yupo fiti ...pia Kuna media imempost huyu dada wameandika upuuz tofaut na interview ilvo ...wapuuzi sana
@barnabasbunto9002
2 жыл бұрын
Dada una akili nyingi sana na unajua kucheza na akili za waandishi, ww ni mwanamke bora sana.
@maniscamullah6282
2 жыл бұрын
HII INTERVIEW NI KUBWA MNO HUYU DADA AISEEE ANA APEARNCE KALII ILA PIA NA AKILI YAKE NI KUBWA MNO
@marymkhandi2868
2 жыл бұрын
This gal is so smart
@beniardajuna2580
2 жыл бұрын
Video kaka napenda unavokuwa unauliza maswali kama hutaki NATAKA aiseeee hongera 👊🙏🙏
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Asante Beniard
@beniardajuna2580
2 жыл бұрын
🤝🤝
@benjaminlijongwa3715
2 жыл бұрын
Dada kanyoa lakini mzuriiiii kuliko waliosuka
@blandinamyinga9489
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisa
@jelistinajoel5888
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
@ChugganBoy
2 жыл бұрын
Mchumba mkali zana daaa aslay kasinguw Sana mameni
@calvinloveambroce842
2 жыл бұрын
Nilijua wanawake km huyu mwanamke walishapoteaga duniani ila kumbe bado wapowapo
@janethkomba4485
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@niveselias4416
2 жыл бұрын
Ndo uyo apooo 🤣
@zainabuchembela1902
2 жыл бұрын
Akili kubwa ❤️
@ayshamahariq6665
2 жыл бұрын
Kwer
@amysafi3032
2 жыл бұрын
💪❤
@rashidkayugwa7109
2 жыл бұрын
Yani Giggy money akiiangalia hii atajiona watofauti sana
@claudia1500
2 жыл бұрын
Yule Ana akili pia sema mlevi tu
@rajabdibwa6415
2 жыл бұрын
@@claudia1500 Sema heshima na baba mtoto wake hana!
@joycekikome383
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aaaaaah290
2 жыл бұрын
WATU HAWAWEZI FANANA
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Mashallah, uyu mimi kabisa, ila sijafanikiwa kama wewe Tessy,ila maelezo yako najiona kama mimi kabisa.
@bizzyrayamon7091
Жыл бұрын
I love and and admire the way you wise on love matters
@janethkomba4485
2 жыл бұрын
daaaa kweri kapoteza MTU muhimu sanaaaa🎤ebu Tunga nyimbo nyingine uwenda Akalejea🙄
@sarahsalum9963
2 жыл бұрын
Smart minded♥️♥️
@GeraldSpack-gm9fz
10 ай бұрын
Hawa madem wanaodate na ma star Wana kasoro Sana hawatulii wanataka kuwa ma star kwenye mapenzi
@bkaokot.i1667
2 жыл бұрын
Nakupenda Tessy
@fredyhappy769
2 жыл бұрын
Very smart
@murtan5027
2 жыл бұрын
Inshaa allah atapata kama kweli anayosema yanatoka miyoni oky ipo siku atapata tu
@kingyeskingyes2263
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y3-B2oJskIeEmG0 do
@aronmwaisumo170
2 жыл бұрын
Mungu akujali Ukweli hakika Humweka mtu huru.
@soitapasline7332
2 жыл бұрын
Wishing angerudiana na aslay they looked good together kaites
@bekatv1009
2 жыл бұрын
Huyo mtoto ana sikitisha sana...she's fighting for her life...
@georgedeo3726
2 жыл бұрын
Dada Anakilisana tukipata 10 Kama hawa basi wengine wafetu
@hollnessmollel7253
2 жыл бұрын
Tupo lakn wanaume mnafli sana broo
@hollnessmollel7253
2 жыл бұрын
Tupo sana
@kadigatanzaniya4792
2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@mariamkavishe4813
2 жыл бұрын
Nmecheka
@manajr9155
2 жыл бұрын
😜😜😜 acha ungese boy😆😆
@aishaabrahaman9957
2 жыл бұрын
Upo kama mimi ma X wanguu tunawasaliana na tunafanya biashara wote hakuna kununiana
@sir_ENOCKMACHA
2 жыл бұрын
Duh wapo wengi eeeh
@aishaabrahaman9957
2 жыл бұрын
@@sir_ENOCKMACHA wapo wengi lakini sikudate nao
@omarmahewa928
2 жыл бұрын
Nimefatilia kwa maka interview nimegundua ni mwanamke anaejitambua sana mwanaume atakae kua mume wake atakua amepata mke ni zaidi ya mwanamke safi sana
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Wasalimie Maka na utuombee dua
@hidayamussa2589
2 жыл бұрын
Well said binti
@scholarkini3343
2 жыл бұрын
Ila dada una sauti kama mama p wa rich mitindo
@cuthbertbruce2098
2 жыл бұрын
Vido amepwaya Tessy amemzidi mbali anamuhoji Kama hana taarifa zake anaogopa kuhoji tetesi zake za kutoka na diamond anamuuliza Mambo kuhusu aslay2
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Nilikuwa Naujua Ukweli Ndiomana
@namsintimbwa4661
2 жыл бұрын
Uko vizuriiiii sana 👏
@tigerclassic7340
2 жыл бұрын
Tessy n mustaarabu nmependa
@SalasSERO
10 ай бұрын
Kwel mwanamke kama uyo naweza kuhishi nae naweza kumupenda sana
@hadiadaoman1981
2 жыл бұрын
Nice interview yaan I love u umeongea fact sana
@malapakipochi3317
2 жыл бұрын
Hongeraaa dada umekomaa...unatosha kuishi mjini
@loulumony8519
2 жыл бұрын
Napenda San Ayo Tv 😘😘👌👌
@yasinomar1982
2 жыл бұрын
AKILI MTU WANGU ✊
@costantinejoseph4907
2 жыл бұрын
dada kaupiga mwingi kuliko mtangazaji
@gtv3409
2 жыл бұрын
Dada mim ndo Miongoni mwa hao Wachache unao wataka labda usinipende wew TU but Sina hela Tessy labda Apo kwenye Urefu na ufupi....ndo Ntafail😱
@amanzingena5388
2 жыл бұрын
Aslay alipata mwanamke bora xn jmn duuuh!
@irineadisa7289
2 жыл бұрын
Asante Tessy....mimi pia nitawatafuta Exes wangu ishirini na saba wanipe namba tena.
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣nakila mmoja umuombe laki moja
@irineadisa7289
2 жыл бұрын
@@kimsamespa8490 millioni 1 za biashara
@zawadinzunda7133
2 жыл бұрын
Duniani dada hakuna mutu sahihi kwanza heshima ianze kwako wewe je upo sahii
@esperancehavyarimana8649
2 жыл бұрын
Sometimes unene sio uzuri kbx tessy utafikiri ni mtu mzima mnoo japokuwa sio kiivo duuuh
@rachelaisha5084
Жыл бұрын
Pole saaaana
@jsmastory5770
2 жыл бұрын
Yupo smart sana uyu Dada jaman
@fatmahamad6177
Жыл бұрын
Aisee unavitu vingi umepitia ambavyo mm nimepita nakuelewa sana
@erastomwingira8003
2 жыл бұрын
Daaah uko poa sana Tessy
@lafaelimgata2966
2 жыл бұрын
Uyo dada mtalatibusana
@joycehosea3947
2 жыл бұрын
Tessy intervew ya mwisho ulisema unadate n mume wa mtu na unampenda🤗
@rechobakar3842
2 жыл бұрын
Mh jamani mh ila mapenzi mahusiano na ndoa mungu pekee ndo ajuwae
Пікірлер: 359