Huyu dada hajawahi muongelea Aslay vibaya kabisa kwenye interviews zake nilizowahi ona. Hongera sana Tessy
@evejap6887
11 ай бұрын
Kabsaa ..huyu dada nimempenda bure..❤❤❤❤❤
@hamissomary721
11 ай бұрын
Anaakili sanaaaaaa kwnza hapendi kuulizwa habari ya kuachana
@kekiplus1andonly
11 ай бұрын
Yaaani huu mwili alionao ndo mwili pambe🎉🎉🎉🎉watu hawajui raha ya kuwa kimodo jamani😮😮😮mi napenda sana kuwa na mwili wa kawaida,yaaani sijawahi ata kutaka kuwa mnene, haimaanishi sinenepi sometimes nikila ovyo,but nikiongezeka kiasi sipendi tu naanza diet.. Na siku ikitokea nikanenepa hakika nitakuwa sina furaha ila kwakuwa ntakuwa sina jinsi ,basi familillah 🙏 Mwacheni dada wa watu aenjoy mwili wake jamani,this is the best body,kila mtu apende anachopenda,kama unapenda ubonge kuwa,wa kawaida au wembamba pia waachwe
@SethPol-bk5vy
11 ай бұрын
Uwee bonge unakuw miss bant mwenye mvutooo
@hafsalucky1088
11 ай бұрын
Umefanya Vizuri Tessy Ni Undugu mzuri km Wazazi ❤
@sisifaty9183
11 ай бұрын
Uko na akili Tessy nakupenda , usiwasikilize wa tanzania namasutwa arengeje
@benedictomtanda
11 ай бұрын
Daah kumbe Aslay ile nyimbo anataja kaites alikua anamaanisha tessy 😢 what a pain for a long time 😢😢
@bizzyrayamon7091
11 ай бұрын
Napenda sana dadangu anavyojibu maswali hapa
@ngwacahnyagwaswa9979
11 ай бұрын
This lady is so matured ❤❤
@susankahindi244
11 ай бұрын
Natamani Sana siku moja murudiyani❤
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
Bora hasaa warudiane waowane kabisaa❤
@maryannqueen7356
11 ай бұрын
Matured lady!!!mtoto anajua mmeachani but mko sawa. halafu Media inataka uvuruge maisha ya mtoto..wakomee
@Youngchimodzi823
11 ай бұрын
Huyu ni mfano mzuri sana wa wadada wanaojitambua baada ya mifarakano ya mapenzi,IQ na emotional intelligence yake Iko juu. Atawasaidia sana wenziwe kwenye masuala ya counseling na mapenzi na mama Bora aweje.simuoni akipiga mayowe,kama baadhi ya wasichana wengine na ana malezi mazuri kwa mtoto wake asiwe mhanga wa ugomvi wao ambao yeye is innocent big up sana
@lucymtuka3199
11 ай бұрын
Hongera sana Tesy hupendi mambo ya mtandaoni kueleza mambo yako
@esterdoriye8377
11 ай бұрын
Tessy na aslay wote waelewa vichwa viwili vinavyochoma haviwezi kukaa pamoja
@mumumutale1142
11 ай бұрын
This young lady she is very genius
@joharikabalaza6899
11 ай бұрын
Sema namm ntapungua ngoja nipate hela nimekupendtaa Tessie 💕
@user-qr9gd3id1f
11 ай бұрын
Watu wakizaa kuachana ni ngumu ndo mana watu hatutaki wadada wenye watoto 😂 kama utaki bisha
@Tatuhamza-me6oe
11 ай бұрын
So na wadada wasitak wanaum weny watot??
@ahmedalsaadi7108
11 ай бұрын
Na bishaa
@user-qr9gd3id1f
11 ай бұрын
@@ahmedalsaadi7108 Rayvanny na Fei washarudiana /zari aliona wivu mond alipopigwa denda kwenye filam
@revocatuspaulo6716
11 ай бұрын
Na usisubutu kbs😂😂
@Swaumdodoma
11 ай бұрын
Mhhhhh
@annamnanka-qk1bx
11 ай бұрын
Umekonda umekuwa mbaya
@rahimaaaaa5682
11 ай бұрын
Tessy nakupenda❤❤❤❤
@RichardwambuaTiffa
7 ай бұрын
Aslay ...!my favorite
@allthingdranabeauty
11 ай бұрын
Ukifanya mazoezi unapungua bila dawa maana zile machine unatoa jasho Ila ujue tu jinsi ya kula wengi hapo pagumu ndio maana wanashindwa sio dawa
@Theraldylaniscool
11 ай бұрын
Beauty with brains
@ibrahimvcphilimoni7115
11 ай бұрын
Ila Kwa Maoni Yangu Mom Moz Mngerudiana kbsaaa Sio Poaaa Kwa Namna mlivyo mngefika mbaliii saaana
Tessy anajielewa❤Ila anenepe kdgo sura imezid urefu
@MwanaishaHemed-xi6rj
11 ай бұрын
Kapendeza ❤️❤️❤️
@hellenyyusuph
11 ай бұрын
Mbona mzuri tu jamani wabongo punguzeni maneno khaaaa🙄🙄🙄
@bonita329
11 ай бұрын
Kumbe wewe ndugu yangu Mnyarwanda mtanzania😂❤
@mayrose9772
11 ай бұрын
Kumbe sio mTz ni mnyarwanda
@alvinkulasare148
11 ай бұрын
Huyu ni mama Piano ni mwelewa Sana
@aystv5998
11 ай бұрын
Majibu yake mazuri huyu dada.....sio kama wengine...
@anithawidambe7543
11 ай бұрын
WEWE TESI MRUDIE MME WAKO HAO WENGINE NI WAONGO WAMEONA MNAPENDEZEANA WANAWAVURUGA TUU. NA NI WAONGO WANAKUDANGANYA SANA. TESI TESI MRUDIANE NA MMEO.
@vailetheanyambilile9749
11 ай бұрын
Dada a anaakili kwa kweli Mungu akupe mume wako
@Iddy-lg1ly
11 ай бұрын
Naludia tena wewe tessy unaakir kinoma
@SubirahJamson-tu7vx
11 ай бұрын
Nakupenda ❤❤❤
@rahmaabdulrahman5592
11 ай бұрын
Bangi tu iyo ahh
@husseinwemmar6217
11 ай бұрын
Tessy naomba msirudiane sisi ndio wachawi wenyewe 😂😂😂
@christinajisena2634
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣, Nimecheka kifala, da!
@mercimatengameda1534
11 ай бұрын
Millard Ayo ninalo lakuzungumza kuhusu Tessy ila Kama nitapewa nafasi asanteni
@masakakambesha4521
11 ай бұрын
Kwani kitu gani kiliwatenganisha hawa wawili? Huyu dada yupo vzuri kichwani na matured sana. Plz warudiane
@khadijamansoor7415
11 ай бұрын
Tesi ulichukua muda gani kujipunguza
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
ila akikonda sana mpaka fupa la shingo limemtoka mbaya kwa kweli
@jocelyneliaminarukundo3633
11 ай бұрын
true
@tareqnahad-gd5mb
11 ай бұрын
Dada rudi kwa slay acha kumlea mtoto km wale kuku wa kizungu wasio na baba.... nikwambie kitu wanaume wachache sana ambao wanaweza kuwa baba kwa mozzar lakin wengi watazingua tu hakuna mkamilifu ata utayemuona atafaa tambua pia anamapungufu je utaachana na wangapi" alaf na wew aslay kaen weken sawa hii kitu rudishen furaha yenu acheni mashindano ya kijinga
@irineadisa7289
11 ай бұрын
Aslay anamwamke mwingine na watoto wawili my,mbona Tessy arudi
@karangwakagaba7358
11 ай бұрын
Hivi Kaiyesi ni mzaliwa wa wapi jamani
@CatherineChales-gf1uw
11 ай бұрын
Nikweli wakati unateseka namwiliwako hatukuepo kwahiyo tuache tu tuendelee nasegelezetu
@alicenice1711
11 ай бұрын
Huyu kapunguwa kama wema 😂😂
@khadijamansoor7415
11 ай бұрын
Uliichukua muda gani kujipunguza
@MCNgakungaJunior
11 ай бұрын
RUDIANENI BHANA KAMA INAWEZEKANA
@nanyangeclara2222
11 ай бұрын
Nisaidieni jamani nini? maana ya Singe mother
@Iddy-lg1ly
11 ай бұрын
Tessy unaakir kinoma ila unafeli kitu kidogo mnoo muongee mkae whote bhn
@DevothaFanuel
11 ай бұрын
Amekua kama kabibi
@maryamtanzania9743
11 ай бұрын
Tesu anajielewa sana
@ThobicoMollel
11 ай бұрын
😂😂 waache ushamba hao wa kudanganya wa2 wazma, wakae pamoja wamlee mtoto waache hzo kiki
@JanetAhmad-v3h
11 ай бұрын
Wengi hawasemi ukweli wanatumia vitu hawa
@nashfatmohamed5072
11 ай бұрын
Mimi nampenda anajielewa sana😂
@jamesking9891
11 ай бұрын
Mrudie mjuba wewe awo wengin wanakuchezea
@azizahmkindi393
11 ай бұрын
🎉
@kabwelasutiviraka4765
11 ай бұрын
Ila Tanzania kulivyo kuwa kwa ovyo na asilimia kubwa wana ukimwi , usijekukuta huyo ameathirika anajifanya kupungua kwa hiyari kwa diet! Ni sawa na Mange kimavi anaonekana kama ni muathirika yaani ana mwili wa ugonjwa
@rayanndizeyes3161
11 ай бұрын
pubafu,wapi na wapi mwenyenye kuasilika anaweza kutumiya dawa ya kupungu kapubafu
@MozaniNalapa
11 ай бұрын
Kwel uso umekua km farasi WA ottoman bey😂😂😂
@grolyjepha5771
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 watu bwana eti unakuta kaathirika anaxema diet
@ayk20
11 ай бұрын
Interview na mahojiano ni vitu viwili tofauti eti wadau?nipeni elimu kidogo
@Tdm1389
11 ай бұрын
Interview inaweza kufanyika kwa njia tofauti km kwa kupitia simu, ana kwa ana na zingine. Mahojiano ndio interview ila hapo ni tofauti ya lugha
Wakat mwengine maumivu ya mapenzi yanapunguza mwili bila ata dayat wala mazoezi
@happylynguya3464
11 ай бұрын
@@MonaAlmona-c1n 😂😂😂😂
@MonaAlmona-c1n
11 ай бұрын
@@happylynguya3464 cheka ndugu Waweza sema mtu kuna vitu afanya ndio maana anapungua kumbe kuna mtu anamumiza moyo hasemi anaungulika tu yani mimi sisubutu kujihini kula kisa kupungua
@queenmilan2024
11 ай бұрын
Tessy alikuwa anatembea na Jembe ni jembe. Mbona hiyo inajulikana
@King_Of_Everything
11 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍。
@JansanMokiwa-hr6hl
11 ай бұрын
Huyu dada namchukia sana , Kamtesa sana Aslay huyu kisa tamaa za pesa🖕🖕
@mimihuyo8239
11 ай бұрын
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza.
@HadijaZabroni-pu1lt
11 ай бұрын
Mmmmh
@odalomary5446
11 ай бұрын
Sasa makasirika ya nini..yani aumizwe aslay wewe uumiye kaa😂😂😂..sasa cha jabu .uwoni apo kazi anasapiti ..wewe baki na chuki yako😂😂
Пікірлер: 108