Dar es Salaam. Ni miezi mitatu imepita tangu Rais Samia Suluhu Hassan amteue Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Mohamed Besta, Julai 13 mwaka huu.
Mhandisi Besta kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa huo Tanroads alikuwa Mkurugenzi wa ufundi wa Wakala wa Usimamizi wa Usalama wa Usafiri wa Anga wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (CASSOA).
Mtendaji mkuu huyo hivi karibuni amefanya mahojiano maalum na Mwananchi Diital na kuelezea, hali ya mtandao wa barabara nchini, miradi inayotekeleza, udhibiti wa rushwa kwenye mizani pamoja na gharama za matengenezo ya barabara kila mwaka.
Hii ni sehemu ya kwanza, usikose sehemu ya pili.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #mbowe
Негізгі бет #EXCLUSIVE
Пікірлер