Don’t say that bruv coz kwa saiv Kenya ao artist wakubwa wanaapreciate kitu kinachofanywa na wasanii wa Tanzania Watu kama hawa wanakua sio wasanii ni watu wa funny tuu Note this
@simbamiliki8701
3 жыл бұрын
😂😂😂
@simbamiliki8701
3 жыл бұрын
😂😂😂
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Mkenya wawapi?
@ghostelmendez7206
3 жыл бұрын
Gonga like kama umeirudia zaidi ya Mara moja .......
@nickomlimbila217
3 жыл бұрын
KAMA UMEMSIKIA HUA ANAKULA MAHINDI YA KUKAANGWA KISADO KIMOJA BASI GONGA LIKE TWENDE SAWA
@marcelmarco5182
3 жыл бұрын
👒😁😁😁👒🤣😇😇😇🤣😁🤣🤣🤣
@mashajohanes7727
3 жыл бұрын
Alieona meno ya lily wayne aguse like button apa 😅
@shebaminde7656
3 жыл бұрын
We Masha umenchekesha eti meno ya lily Wayne 😂
@priscallawendy4063
3 жыл бұрын
Haaaaa
@joycenicodemus.2232
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@marcelmarco5182
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁👒😇
@egideniyonkuru9705
3 жыл бұрын
@@shebaminde7656 ninatoka🇧🇮🇧🇮rakini umenichekesha kinoma yaani nimecheka yote eti meno yani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dicksonngaina6526
3 жыл бұрын
Achana na manzese ya kule daresarade😂 Kama umesikia hiyo honga like.
@amraniibrahim6906
3 жыл бұрын
Daresaladeeee
@bashirumwimba6494
3 жыл бұрын
Kumbe anaweza kuimba endapo atajifua lkn aimbe kiswahili anaweza kwani kuna mwingine amemuelewa kama mimi kwakuimba nyimbo ya kiba like twende sawa
@elishangoma8235
3 жыл бұрын
Mdogo wangu sijapata utaalamu😂😂😂😂
@salmaluhombero8466
3 жыл бұрын
Bless your heart mtangazaji angalau umemtoa atapata cha kucgangamsha kidogo awwww so nice of you
@georgeburchard4872
3 жыл бұрын
Kweli leo alikuwa amepooza! Safi Sana kwa mtangazaji kumuwezesha! Ubarikiwe!
@mojavestudio
3 жыл бұрын
Wakenya wako wapi...kama umetambua pia tanzania wanakula bangi sana pita na like
@tinalucas6284
3 жыл бұрын
Rasta mwenye nywele mchmbuko😂😂
@thebushguy5774
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@claramanwele2182
3 жыл бұрын
Nywele chambuu🤣🤣🤣👐
@bikyeobewalo8730
3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@charlesased
3 жыл бұрын
@Esperance Sumaili kweli kabisa 😍
@fortunatusgwaje2333
3 жыл бұрын
"Me ni rasta mwenyew nywele mchambuko" 😂😂😂😂😂😂
@angelsblackboard8008
3 жыл бұрын
Kuna watu wa Arusha alafu Kuna wenye Arusha Yao Sasa😂😂😂
@madyjr2249
3 жыл бұрын
Iyoo kweliii haaahahhahaa
@elizabethlizy2731
3 жыл бұрын
Kabisa😂😂
@salimmohamed3998
3 жыл бұрын
Uyu ndo mwenye arusha
@arafakiloli749
3 жыл бұрын
Umeona eeee
@hawaynatimam982
3 жыл бұрын
Alikiba njoo uchukue mtu wako huku 😂😂😂
@subiradalabu6616
3 жыл бұрын
Utajua t
@egideniyonkuru9705
3 жыл бұрын
Umeona eee😂😂😂🤣🤣
@hawahawa6915
3 жыл бұрын
😂😂😂
@gibsonmzuma3691
3 жыл бұрын
Hakuna sekunde ambayo nimeitazama bila kutabasamu ukiachilia mbali kucheka. Kipaji cha kufurahisha si kulazimisha bali kufanya kile ulichonacho katika uhalisia wake. Big up Majanaba.
@adrianignas5119
3 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na huyu jamaa kitu kimoja tu, mwaka jana alishiriki lakini hakupata nafasi ila mwaka huu amekuja tena licha ya kuwa alishindwa na kuonekana kama kituko tu. jambo jema la kujifunza ni hili tusikate tamaa na ndoto zetu hata kama tumekutana na kikwazo kikubwa kiasi gani simamia unachokiamini, dunia isikuyumbishe wala uvumi wa maneno usikutoe mahali ulipo. Bruce Lee aliwahi kusema, nanukuu " mtu mwenye hekima anaweza kujifunza kitu kikubwa kwa maswali ya mpumbavu kuliko mpumbavu kwa mwenye hekima" hiyo ikawe tafakari yetu sisi Vijana ambao kila siku mpya tunakuja na mipango mipya isiyotekerezeka.
@lusajomwaitalako2361
3 жыл бұрын
Ishii xanaa mzee
@madyjr2249
3 жыл бұрын
Fact tyupuu Adrian
@DjmubaTechServices
3 жыл бұрын
pamoj sn
@godlistentv9576
3 жыл бұрын
Hakika
@Tanzanian395
Жыл бұрын
Asantee
@samkiria450
3 жыл бұрын
Rasta nywele mchambuko 😂😂😂 Hii dunia sii yetu kidela 😂😂😂 My home town A... Toooownnn
@rachelsilas2303
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@abdulrahmankanduka1977
3 жыл бұрын
Mshikaji umemuelewa na kihispanyola chake gonga like basi...
@mashombomashombo9233
3 жыл бұрын
Mjasiriamali mwenye Rasta ake nywele mchambuko
@chale0ify
3 жыл бұрын
*Mtangazaji:* _Leo unashiriki kwenye mashindano?_ *Kidela:* _Kwakweli ntajaribu kushiriki_ 😂😂😂
@fatumagodfey8838
3 жыл бұрын
Huyu mtangazaj noma ndiye aliyeibua hizi talent za Arusha
@godfreychaba9673
3 жыл бұрын
Chuga nawakubali sana,
@sheillahowitti9725
3 жыл бұрын
i love him. he can do comedy and shine from +254
@goodluckmomburi5372
3 жыл бұрын
I love the guy he's so really 😂😂🙌
@ashaally6993
3 жыл бұрын
Yeh baba🔥 Kumbe hata wewe umeona kwamba king hana mpinzani 😂😂👌
@hamadshein498
3 жыл бұрын
Ndugu upo.
@oscaroscaroscar7974
3 жыл бұрын
Muogope Mungu we kideraa😂😂😂😂
@chunzaalex6275
3 жыл бұрын
Kipaji walai yeye unibamba na hizo meno Kama za lil Wayne ,big up Ayo Tv ,Kenya mwakaribishwa
@jumaibrahim4297
3 жыл бұрын
Rasta mwenye nywele mchambuko, Dah asee hii ni talent kubwa sana
@mwahijahamisi9846
3 жыл бұрын
Jamaa Ana Talent yuko Fullpackage
@sandrakamikazi1943
3 жыл бұрын
Ooh meen🙈I just looove this guy🙈🥰
@gloriousn6425
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣, I am literally rolling ,Huu mkoa uuzwe tu kila mtu apewe kama ni jero au buku buku zao wasepe
Watoto Kama majanaba wanasumbua Sana huko tumboni kwa mamazao uspo mzaa utaumwa chango Sana😅😅😅😂🤣🤣
@mwanalimagamunda997
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣,Yani utaumwa chango usiyo na dawa paka ufe nayo,
@oliverkadege1455
3 жыл бұрын
🤣🤣
@juliethmwakanyamale9155
3 жыл бұрын
Yaaan unapata kansa ya kizaz na kifafa kabisa
@mwanalimagamunda997
3 жыл бұрын
@@juliethmwakanyamale9155 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wazirisukari5178
3 жыл бұрын
Hahaaaaaa shauri yenu nyie wakina mama
@sellah4603
3 жыл бұрын
Rast nyewele mchambuko
@kingsmusicfans1416
3 жыл бұрын
Mwamba katisha🔥🔥
@imanuelimangesho6881
3 жыл бұрын
Ichukuwe kaipost kwenye acout ya 👑 music
@shedrackmwaipopo9427
3 жыл бұрын
Mnulie ata 📻 sasa
@tompatel849
3 жыл бұрын
I love this guy he is so funniest.
@kalumbugideon4159
3 жыл бұрын
Wapo vizuri Sana Arusha.......
@mtabeagusti4553
3 жыл бұрын
ujasiria mali wa kuokota vigaron vya watu
@johnsombi545
3 жыл бұрын
Maana yake alikuwa anawaibia aisee
@charlzcon6812
3 жыл бұрын
Mimi hao walioshinda BSS hata siwajui namfahamu tu Makuba all the time😄😄 huyu ndo mshindi wangu.
@rajabuhassan4678
3 жыл бұрын
Huyu jamaa ndio ametuletea msemo wa na nusu Kama hubishi weka like
@francomwacha2262
3 жыл бұрын
Jina lenyewe ni cheche😅
@subiradalabu6616
3 жыл бұрын
Shauri yako
@roseboaz1819
3 жыл бұрын
Wameru wenzangu mpooo....aloskia maboboroo gonga like twende sawa...😅
@ibrahimmpallnjo1828
3 жыл бұрын
Kanikumbusha mbali sana😂😂😂😂
@Ndu-wa.uroony2
3 жыл бұрын
Mbee jamaa ulya anshikumburusa maboboro!
@ramadhanikibenga6317
3 жыл бұрын
Hamna kwere kweche dingilii HAHAHAHA CHUGA NI SHIDA DUNIANI DAH
@ummytv5164
3 жыл бұрын
Hii video nimei watch zaidi ya mara kumi mpka nimeamuwa nii download 😂😂😂😂 from 🇧🇮 muogope Mungu we kidela 🤣🤣🤣🤣🤣
@nozgeniuz1812
3 жыл бұрын
Daaaa aiseee CHUGAAAA PAACHENIIII TU
@madyjr2249
3 жыл бұрын
Kwelii man
@rosehillary8742
3 жыл бұрын
Yaani BSS napasubirigi kishenzi maana nachekaga hadi naumwa Kichwa🤣🤣🤣🤣🤣
@abrahamcharles8895
3 жыл бұрын
😂😂🙌
@ambitiousholyspirit395
3 жыл бұрын
Kweli yaaan chuga wanaume hawalambi icecrem!
@lucasdiscoveriesmedia3695
3 жыл бұрын
Iyo logo ya Millard Ayo mngeiweka pembeni , itoe Hapo katikati mwa screen bana
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
Daah huyu jamaa ni nyoko sanaaaa,😂😂😂😂
@mandyfitnesstv6738
3 жыл бұрын
Jamaa ana kipaji sana. Angepewa nafasi angefanya jambo kubwa
@mgmiles1138
3 жыл бұрын
Kusoma na simu changamoto Sana , Yani Nina Pepa leo Ina nilivyoona jamaa nimeshindwa kujizuia kumcheki nikasema dk 4 sio kitu😂😂😂
@addelineantony3622
3 жыл бұрын
Nifanyie vibe interview inoge
@ERIMINATSHINE
3 жыл бұрын
Chezea mtu wa Arusha , yani aongee bure watu wacheke bure apoteze muda wake kwenye kamera akalale njaa wakat muuliza maswali hela inaingia? Ana akili sana na ndio zetu
@nehemiaelias5535
3 жыл бұрын
Best interview kati ya za Millard
@amaningobayi7114
3 жыл бұрын
Huyu jamaah Yuko vizur anahitaji mtu anaeye husika na ushauri wakaribu... Wanao omba Ayo TV wahusike na afya ya akili ya uyu jamaah aacha like
@BataBatanii
3 жыл бұрын
Oyaaaa We Fanya piga nae hata lisaa limoja mzee ....,,,
Пікірлер: 747