Wallah unautia aibu uislam muogope mungu hio ni shirki
@user-kj2xh6bt5y
sheee Yuko sawa sawa munguu kupe maisha marefuu
@user-zh6xn8jr2c
Majini n'a mwanadamu, ni ushirikina sana.
@musanike3079
Dr. Sule Mabruk💯👍
@IssaMuhibu-nc8ji
Waislaam tuache tamaa za kidunia huyo kw sas yup kidunia zaid siyo kidini dr sule acha kupotosha umma mche allah
@MinaNillan
Mashaallah
@YeremiaKuyangwa
Mungu asimame mwenyewe
@user-zh6xn8jr2c
Hakuna mahusiyano ya majini n'a mwanadamu.
@muhammadkhamis9396
Muogope mungu kwa kunyoa style
@yahayaisrael6510
Uyo anaitaji kuelimishwa msameh bule
@PastorPhilipMbaabu.
Hiyo ring ni ya kijini. Sana sana Shariffu.
@ochuMay05
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
@ratohabi6459
Why, kwa nini serikali isi walazimishe watu wanao tajirishwa na jini kulipa taxes?? Kama wengine wote wanaolipwa na sources za aina yoyote?
@audifansisafari5587
Jino kwa jino hakuna injili
@hajihaji123-lp5lx
dr sule umezingua sana maana hiyo habari ya kutumia majini umekanyaga kanyaga tuu ukasonga mbele,sema tuu ungesoma dini ila habari za falsafa na kuuza dawa za nguvu za kiume haitoshi
@RadjiNimpano-bl9xz
Baba Sule Anakupa directly
@AyanIbrahim-qq9dp
Uwonlugo
@HamisJMB
Kumtegemea majini huo ni ujinga na ushirikia na hakuna zambi kubwa kama shirki watu weng san wanpenda kupindisha maneno ya dini kwa matmanio yao binafs hile khofu ya kumwogopa mungu imetoweka tena 😢
Пікірлер: 114