WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI
@givenessdavid3743
15 күн бұрын
Àsante Millard Naamini umetubariki wengi
@EliberthaKazaula
13 күн бұрын
Eda kama Eda very smart hongera sana my Met Ngaza1 hiyooo
@kekiplus1andonly
15 күн бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha. Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe. God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,
@RutaEmmaMachumu
16 күн бұрын
Nimeipenda sana ni nzuri, tupe kazi hiyo Madam Eda
@djurio
16 күн бұрын
Hongera kwake. Kuna kujipata kwa kushikwa mkono na familia (family background) alafu kuna kujipata kuanzia zero ..wewe kama wewe. Wengi waliofanikiwa hawaweki wazi wamefanikiwa vip. By the way maisha yana formula na kila mtu anaformula yake. Ijue formula yako tembea humu....
@tasokwamichael2433
16 күн бұрын
Exactly 💯
@yusuphkayuni8188
16 күн бұрын
Napenda sana moment kama izi uwe unatupa mara kwa mara
@lydiaaugustino6417
16 күн бұрын
Hongera sana CEO kwa kutupatia solution ya afya zetu kwa kuleta mkeka wa mbao na bedhaa ambazo ni unic 🔥
@classicfinishestz
15 күн бұрын
Asante sana
@dominiclyochindilla1093
14 күн бұрын
Helloo my dada! I bless you... Tunashukuru kwa kujitolea Mkeka kwa Kanisa letu!!! God bless your family and your business!!
@givennsamweli
15 күн бұрын
Hongereni sana, wale tunaofanya interior designing na ujenzi tuwashauli wateja wetu wachukue hizo bidhaa nzuri na adimu, binafsi nimezikubali, unique & bright ideas za madam
Kongole kwako dada Eda,kweli mtafutaji hachoki… furahia matunda ya juhudi na kutokukata tamaa💪
@SarahtzWilliam
6 күн бұрын
huyu dada ana background nzuri sana na anajisoma pia ana moyo wa kuelewesha wengine
@kelvinkibenje
16 күн бұрын
Safi sana. Kuna mengi ya kujifunza kwake
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Asante sana
@habaritvtanzania5562
13 күн бұрын
Kaka mkubwa
@MtegekiKaijage
15 күн бұрын
Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson
@user-qe4yi8hl6n
15 күн бұрын
atamimi biashara mbili sasa
@hannahriichie2004
15 күн бұрын
She is so inspiring ❤
@samnyambabe2529
15 күн бұрын
She is so cute
@ishekellyfredy9714
16 күн бұрын
Kitu kizuri sana👏 sema wabongo kama tunavyo wajua wakiona hiii watu wengi wataiga mnooo tutarajie kuletewa feki za china sasa😂😂😂
@vom84
15 күн бұрын
CHINA hizo zipo na ndio wazalishaji , ulaya wananunua china pia,
@mrambadiana9678
12 күн бұрын
She is 2 natural cutieee❤🙌
@marthahiliyai5181
14 күн бұрын
God Bless you
@user-ru6ct4rh3t
16 күн бұрын
Waaooo!🎉❤
@leaherasto929
15 күн бұрын
Very beautiful with brain
@spency2371
16 күн бұрын
Aiseee so impressive 😊❤
@lotionetv2833
15 күн бұрын
Inaamsha akiri, Hongera Eda
@judithsalvatory2892
15 күн бұрын
Wooww kumbe kunahamishwa
@allenmushema5844
15 күн бұрын
that winning mind >>>
@revocatusmishelyludovick
15 күн бұрын
Enough to inspire ! #GoBigEda
@mamelithaemmanuel2976
16 күн бұрын
Vizuri sana mdogo wangu ubalikiwe ❤❤
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Asante sana
@aloycemathew3926
16 күн бұрын
Boss wanguuuuuu
@user-xn8jh1yw1h
15 күн бұрын
Hongera sana Asiimwe.
@deboramsuya2940
15 күн бұрын
Hongera sana Eda
@DosianaLulakuze-bv7fg
15 күн бұрын
Da Mungu nione na Mimi nimeteseka sana kuthubutu nathubutu sana
Leads elewaha hapo mtaji alipata kwa kupata support kwa ndugu na jamaa😂😂
@pceodhc
15 күн бұрын
Congratulations!
@nasrahozza9231
15 күн бұрын
Hongera sana
@alexmwalingo5020
7 күн бұрын
Hiyo nzuri sana❤❤
@AluminiumMandela
16 күн бұрын
Vijana wengi Wana uwezo shida ni mtaji
@user-ex6vo5wu2x
16 күн бұрын
Shida sio mtaji @AluminiumMandela vijana wengi hawana uwezo wa kufanya biashara wengi tumekosa elimu ya kuendesha biashara h
@ndukulusudikucho_
16 күн бұрын
@@user-ex6vo5wu2x uko sahihi Saaana tena saaana
@classicfinishestz
15 күн бұрын
Uko sahihi pia
@erickashindi2666
15 күн бұрын
@@user-ex6vo5wu2xukweli ndo huo pia hakuna uwaminifu
@joycekaje8755
15 күн бұрын
Zipo huku Europe, hilo ni kapet la plastics lkn kuna mbao kabisa ambazo ni LAMINAAT
@girabayanyambeta9001
14 күн бұрын
Good struggling
@user-pr8cm5ne5c
7 күн бұрын
Hongera mno dada
@Leeeeeeee-96
16 күн бұрын
dada asante nimedaka kitu hapa
@yaredamos7664
16 күн бұрын
Hongera
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Asante sana
@mercyipokela
16 күн бұрын
Dada wewe umetisha maana mtu aliyewaza kufanya kitu kama Nicholas, kila siku naangalia movie za Kenya najiuliza hizi Floor ni marumaru au ni floor ya kawaida, now iam happy
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Thank You so Much
@anthonyjoseph1675
16 күн бұрын
Nice
@hassankongolilo8408
15 күн бұрын
maashaallah
@isunga1964
15 күн бұрын
Mume wa maana kabis😂😂😂
@janethmustapha5727
11 күн бұрын
😂😂
@mr.yahzadochuno7914
16 күн бұрын
Smart
@ahadisalum1989
16 күн бұрын
Part two please
@trecygohy7847
16 күн бұрын
That's nice, nimeona wanawake wana improve sana kuliko men
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Asante sana
@jrsaid4270
15 күн бұрын
Improve na wewe
@trecygohy7847
15 күн бұрын
@@jrsaid4270 hahahahahaha, usijali
@isikesamike
15 күн бұрын
Most of wealthy people in the world ni wanaume. Wewe hiyo research yako ulifanyia wapi?
@trecygohy7847
15 күн бұрын
@@isikesamike wealthy people n wanaume yes I agree ila unajua hata wanawake pia wana hela ?
@mozaathman7861
15 күн бұрын
❤
@Hellostranger-wy1gx
14 күн бұрын
❤❤
@silivestatesha9262
16 күн бұрын
Chali yamta utajikomboa mwenyewe
@user-fi3hc5gt3i
14 күн бұрын
Yeye mwenyew amebeba ajira Kwa iyo anajiajiri tu
@neemamkami2029
15 күн бұрын
Wengi tumeanguka sanaa ila tunazidi kupambana hatukati tamaa
@girabayanyambeta9001
14 күн бұрын
Leta branch kahama
@user-jf7is4fk2v
16 күн бұрын
simu yake
@sirizavitabu
16 күн бұрын
Yes kuanguka mara nyingi ni lazima ili usimame🎉
@classicfinishestz
16 күн бұрын
Kabisa Asante sana
@MtegekiKaijage
15 күн бұрын
Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji
@internmoses
Күн бұрын
Vijana sasa tuelewe kwa sabab Ana watu waliomsaidia nyuma lkn angekuwa anahustle mwenyewe sio kirahisi
@JoelKakizibaJK
13 күн бұрын
Exposure ni kitu muhimu sana
@user-nf5gi2ff6i
14 күн бұрын
Bei ya huo mkeka wa mbao ni sh ngapi? Mfano chumba cha mita 3x3x room 4?
@@aishaabrahaman9957 usikate tamaa mimi sasahiv nasumbiliwa na mtaji tu lakin nimepata idea moja ya kuniinua sana
@salmaalimusa6809
16 күн бұрын
@@khamisswalehetushee mawazo ndh
@hellenmassawe7284
15 күн бұрын
Utajipata tuuu
@jacobsimon9649
16 күн бұрын
bei yake inaendaje
@mohammedkhimji7505
15 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@efraimjohn4956
16 күн бұрын
ulikuwa nazo maana wengine akianza biashara na akapoteza mtaji kupata tena ni issue
@user-uo8xw9kr4b
16 күн бұрын
Ni kweli wengne wana wat wakuwashika mikono hat km sio pesa ila akadhamin upate pesa mahal.
@homeandaway2811
15 күн бұрын
Ni kweli nami nimeona hilo mtaji alikuwa nao au alikuwa na watu wa kumsaidia. All in all hongera kwake kwa juhudi mana pesa bila juhudi haisaidii.
@davidlelo6192
15 күн бұрын
Unapatikana wapi dd
@DevothaMhaiki
16 күн бұрын
Hongera, Tuambie Duka liko Kariakoo Mtaa Gani. Duka linaitwaje. Tunaomba Namba ya Simu
@engineeragri293
16 күн бұрын
Kariakoo, mtaa wa kiungani na nyamwezi
@millardayoTZA
16 күн бұрын
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@azzaalmalki41
16 күн бұрын
Arusha mko sehemu gani
@vanessapatrick4542
15 күн бұрын
SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA
@rosinamtauka9933
16 күн бұрын
naomba namba zake za simu
@millardayoTZA
16 күн бұрын
0735282811 na 0747753566
@liannsambu7264
11 күн бұрын
🎉
@kibibiproductszanzibar9085
15 күн бұрын
Kwani hii sio carpet
@kevinmary7129
15 күн бұрын
Husband business in her name
@KhadijaAli-zd8jq
16 күн бұрын
Naomba namba zako mm naitaji
@Bless-sk8uv
15 күн бұрын
Mme nani?
@asiamalonji5962
14 күн бұрын
Uwe unaleta story kama izi sawa Millard ayo
@seifkulwa3346
10 күн бұрын
Nyuma ya Biashara ya a mwanamke Kuna mwanaume awe baba/Mme/hawara/kaka nk
@MussacharlesSongo
14 күн бұрын
The problem mbona inakuwa nyingi.
@mpefu_4936
16 күн бұрын
Weka simu au Arusha mko wapi
@millardayoTZA
16 күн бұрын
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@user-pu6gy2nh4q
15 күн бұрын
Toto kafanana babake.cheus beauty
@beatriceclemence
15 күн бұрын
nimedrop hii 4th times
@mpefu_4936
16 күн бұрын
Mawasiliano dada
@millardayoTZA
16 күн бұрын
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@redemptaanisio2770
16 күн бұрын
Tunaomba namba yake ili waje watuwekee kwenye nyumba zetu
@millardayoTZA
16 күн бұрын
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@marykennedymarwa1641
15 күн бұрын
Niko belgium, hilo ni plastic tena halihamishiki , good idear kwa matumizi ya kitchen floor, and birthroom floor sababu iko na water resistant. Sema sio kitu cha kudumu na kinaharibika haraka na ni cha bei rahisi. Tofauti na laminaat.
@razackaigarula2291
15 күн бұрын
Usitutishe na Belgium Yako bhn😅
@CasmirKiwale
17 сағат бұрын
Kwa hiyo mda huu unapoandika upo ubegiji 😂😂
@user-td3ss6nk2d
14 күн бұрын
Sijui ni mimi tu au na wengine siamini katika kipato cha mtu kupitia biashara anayoisema,watu wana siri sana......mhm..labda mawivu yangu....😢
@fredrickbuteye7153
13 күн бұрын
Mawivu yako tu😅
@moidasilwamba5712
12 күн бұрын
Mawivu yako
@elikananzibanka4186
12 күн бұрын
Vipi kuhusu moto? Mkeka wa mbao ukiangukiwa na Kaa la moto una resist vipi?
@kelvinmwambona5395
16 күн бұрын
🎙Nakubali Mwasha
@edwigashayo2127
4 күн бұрын
Bei yake ikoje? Niko Arusha nikitaka?
@african342
15 күн бұрын
Bro how can I get her business number....???
@elikananzibanka4186
12 күн бұрын
Bei ipoje?
@lamayaniOlesaruni
9 күн бұрын
Tutakupataje
@ibratetv1590
16 күн бұрын
Garama zake zikoje , nibadulishe dukani ,kunasakafu 2
@millardayoTZA
16 күн бұрын
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@ElgoodnessRwoto
13 күн бұрын
Eda robozi.. Your contact
@mzalendomzalendo2567
16 күн бұрын
Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali
Пікірлер: 206