Ndoo wajifunze Wanawake wenye tamaa na waume za watu😢
@rukiahassan7001
4 ай бұрын
Waume za watu kwio..mbona ata huyo mke WA kwanza Hana Raha yoyote anayoipata..huyo mwanaume mshirikina TU.hakuna mwanaume zawatu..km nihivyo bc kusingekwa Sheria ya kuoa hadi wa nne.
@user-io6wt5qk4x
3 ай бұрын
Sanaaa
@user-uk8ys4kb8d
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 huyu manyanya imekuwa kheri hajafa...angekufa hii filamu ningegoma kuitazama😊
@Efootball2028
4 ай бұрын
Unaweza sana kicheche 🎉🎉 from USA 🇺🇲🇺🇲 apa kama unamkubali kicheche weka like apo 🎉🎉🎉wakwanza leo
@smartdeleon3942
4 ай бұрын
Wakwanza kuangalia mm leo like 50 tuuu
@kambandefusaidi6966
4 ай бұрын
Hii ni bonge ya story kubwa Sana Nawaza tu kicheche aliwaza Nini kwenye hii story anacheza chief malangalila na wake zake 🎉🎉👏👏
@zatchardzknestor
4 ай бұрын
Mungu upewe sifa kwa uponyaji wa MANYANYA mzee wa mathematical love
@user-eo6jj2ew4f
4 ай бұрын
Daaa sema hii movie inatupa funzo kubwa sana kama ukiangalia hii movie na ukatoka huja gain chochote bc utakuwa huna akili timamu 😂😂😂 kama movie hii unaipenda gonga like hapa
@agnesjohn9382
4 ай бұрын
Penzi mteketezo 😂😂😂 sina mbavu na huyu jamaa
@ziromind7592
4 ай бұрын
😂😂😂
@fatumajuma9388
4 ай бұрын
Duh kwl mapnz yana nguvu msomi kamuuwa ddke kisa mapnz tu😢😢😢😢Alfu huu utajir wa Chief wangp wanauchukia angusha comment tukisonga mbele😫😫Much love from 🇰🇪🇰🇪
@user-ir5dq3rq2e
4 ай бұрын
Makini Sana mzee wakitalamu ila sijapenda ungempa ata azabu kidog
@muhammedkhamis2566
4 ай бұрын
😢😢dah hata mm pia
@jembelakijiji
4 ай бұрын
From kenya wa kwanza nipee like madaftari amerudi na sumu yake 🤣🤣🤣🤣🤣
Пікірлер: 1,2 М.