ASANTENI KWA WOTE MLIO NISAPOT KWAANZI MWANZO MPAKA MWISHO WA TAMTHILIA YETU PENDWA SINA LAKUSEMA ZAIDI YA KUWAAMBIA NAWAPENDA SANA❤ NAITWA MAKOTI 🙏
@judithpendo9985
Km ukiangalia family ya kicheche toka mwanzo adi final like apa😂♥️♥️💞💞💞🇰🇪🇸🇦🥵❤️
@MaarufuAmani-bq6qc
Kwel mapenz hayachagui mtu ni moyo tunaona Amin nguvu ya mapenz katika maisha ya binadam gonga like
@Marcus92378
Sisi waliyo anza mwanzo Adi mwisho naomba like zenu from RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kicheche ni noma😂😂
@georgebaitu6356
Daaa mm sjawah omba kbsa like jman naombeni leo bac kw final
@FattyDapetty-tj9vr
Katika muvi yote nilikua napakubali Sana kwa chief malangalila tulowakubal mwanz wakaz ad mwsho tujuane kwa like apa pamoja Sana Kaz nzuli tupo tayar kwa mext❤❤❤❤❤❤❤❤
@TuzoMtuku-ju6id
😢😢 familia ya mzee kicheche imekuwa tamu sana kwann imeisha mapema hvo kama umeangalia toka mwanzo like hapo 😊😊😊😊😊
@MariaLukasi-oh9bl
naombeni like jamani tumefika final
@SarahAntony-dv2co
Chapombe katoa hisia zake leo kama unakubaliana na mm gonga like
@ramadhanpeter
Kam ww ni mpnz wa kicheche like apa ( kicheche apewe mauwa yke🌹🌹
@Nkurunzizaidrissa
Niliwaza mimi niwakwanza kutoka burundi kumbe
@NdayishimiyePacifique-xo7ry
Kicheche karibu tena Burundi
@mohammedkidody5618
Mwisho wa filamu yetu hii pendwa ndo mwanzo wa filamu nzr nyengn tunakukubali sana kicheche mbwa ww Pamoja na timu yako mmetisha sana❤❤❤🎉🎉🎉
@priscakimburi-sl9ml
Wenye tulianza mwanzo hadi mwisho piga kelele kwa bwana kicheche AkA makoti❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@PascalWaprince-ww1du
Mimi watatu leo jamini nipeni like zangu, kicheche wewe noma sana from Congo 🇨🇩 hapa yaani kazi zenu nzuri sana boss 🎉
@SONGA_TALENTY
Tuletee mwendelezo wa PESA NA MATATIZO mbwa kicheche amrishipull chizi upwiru❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Nextboy001
😢jamaa hizi like ni za nini aki jamani ❤hii tamthilia ilikua nzur sana naona hii ndio best ya mwaka kicheche bro uko juu sana pongezi sna shida kumaliza movie fanya kazi kw Hilo ❤❤❤penda sna kutoka Kenya
@user-cr8cs2qc8f
Jamani nimewapnd wote waliogiza kw hii movie mko poa san.kicheche safi San mung akuzidishie inshaallah.tunasbr nyngne sasa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@liylahahmed829
Safi sana natumai kuna kizuri zaidi kinakujaaaaà InshaAllah 🙏🎬❤️
@rostamkombanila9329
mi wa kwanza jamni mnaotamani fmlia ya mzee kicheche isiishe tujuane kwa lke❤❤
Пікірлер: 2,3 М.