Mashallah shekh wetu ,kupitia ww hatutakiwi kukata tamaa tuzidi kumcha allah na kufata mafundisho ya mtume wetu ishaalh tutafanikiwa akhera na duniani
@IBRAHIMKATANA-ux7ne
5 ай бұрын
inshaallah
@saeedsaeed7381
7 ай бұрын
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek sheikh🙏🙏🙏
@user-vl7sx9zw3e
7 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wa barkkatuhu Sheikh Athman Michael. Nakupenda kwajili ya Allah. Sijaona Sheikh kama weye anafundisha wazi njia za kufanikiwa . Haufichi Elimu kwa hio naomba Allah akupe kila la kheri duniani n'a Akhera.
@Sam-hk9hi
7 ай бұрын
Jazakalah kheri shekhe. Dua zako ni mubashara sana kwangu. Allah akihifadhi. Amiin.
@zahraabdul9652
7 ай бұрын
May God lead you in every way of your life live Long our sheikh ❤❤❤❤❤ jazakallakher.may God reward you Jannah. Me nimeshona viatu watu wakawa wanacheka mwanamke kushona viatu ila nilipendwa sana na nikawa na castomer .ila Bado kwa yote nashukuru Mungu .
@user-wn8oi3zh4e
7 ай бұрын
Jazaakallahu khair sheikh. Shukran sn Kwa elim nzuri. Ila sheikh mimi ni tatizo nimekuwa mawaidha yako vizuri lkn naishia kukata tamaa subhaanallah. Tafadhali niombeeni Dua ndugu zangu waislam
@falidiamiiamii-jz5pf
4 ай бұрын
In sh allah utafanikiw
@user-mx4wi8ic5e
4 ай бұрын
Fanya subra yote hiyo nimajaribio ..utafika in sha Allah
@aminaaziz7227
7 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh, may Allah reward you abundantly, kwa hili kisomo, limenifaa sana alhamdulillah. 13:47.
@mariamally836
29 күн бұрын
Mashaallah mungu azid kukuweka shekhe kiukwel napenda kusikiliza mawaidha yako,kiukwel umenibadilsha sana
@nuria7223
6 ай бұрын
Jazakalahu kheir sheikh may Allah reward you
@user-yy5fh5fv6q
7 ай бұрын
Mashallah shekheh anamaneno yakumtia mtu nguvu jamani Alhamdulilah
@maulion5733
7 ай бұрын
Mashallah Allah azidi kukuweka tuzidi kupata elimu zaidi inshallah
@najjatyussuf-fz7nf
7 ай бұрын
.k
@user-px4pj6lo7e
Ай бұрын
Asalam aleikom mimi ujifunza mambo mengi sana na shekh wetu ninge penda sana kumwona naishi canada insha ALLAH nikija africa kwa uwezo wa ALLAH ninge penda kukuona shekh
@ladyr.r9964
7 ай бұрын
Mashallah Mungu akutanguliye kwa kila jambo lako🤲🤲🤲sheikh tupe dua ya kushika ujauzito
@firstlady9848
7 ай бұрын
Mswalie mtume sana na baada omba kila siku fanya elfu saba ama uwezavyo
@ladyr.r9964
7 ай бұрын
@@firstlady9848 Shukran sana inshallah lazima elfu saba kisha niwe na tasibihi ili nijuwe ama???
@mariammwiso
6 ай бұрын
Jamani I love how soft spoken you are. MashaAllah
@user-hu3uw4pd7y
5 ай бұрын
Shekh unafani nyingi sana Allah akupe Kila lakher
@ashashaban6484
7 ай бұрын
ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU JADHAKALLAH KHER ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA WOTE INSHALLAH
@user-ym7dc2jf4n
7 ай бұрын
Mashallah mashallah Sheikh Allah akulinde na akupe kheri
@zeinabathman4969
7 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah fih mashallah mungu azidi kukupa afya inshaallah napenda sana kukusikiza mashallah allhamdllh all the way from Kenya
@user-ht5fo9sn7f
6 ай бұрын
Mashaallah kupitia ww nimejifunza kutokukata tamaa ALLAH Akuhifadhi
@tutuuab5655
6 ай бұрын
Mashalwah Mungu atupe kila la kheir tunalomuomba na cc
@user-tv8fv8gd8z
6 ай бұрын
Mashallah mungu akuweke ili uzidi kutuelimisha❤❤❤❤
@user-ir9xj5yt5p
6 ай бұрын
Amini inshaallah, naomba nmi nwe miongon mwa wenye kurudukiwa km ww shekh.mashaallah mungu akuongezee zaidi inshaallah
@mohamedimuhango4440
7 ай бұрын
Mashaallah Sheikh othuman Allah akujaalie afya njema ili tuendelee kupata elimu hizi
@miishhassn
7 ай бұрын
Dug kwel watu wanametoka mbal na wamepitia meñg allah akulipe kila la kheri akulinde na husda shekh we ❤
@zeinabathman4969
7 ай бұрын
Subhanaallah mashaallah takbir allah akbar mashaallah mungu akupe ilmaa nnafia ameen inshaallah ameen
@AminahMtwa
4 ай бұрын
mashaAllah,shukrn shekh Allah akuhifadh.shekh na dua yakupata ndoa tafdhar🙏
@ZuraAdam
6 ай бұрын
Masha Allah 🙏 sheikh
@user-ck4yi5ul3g
6 ай бұрын
❤❤❤mashaallah mungu ni mkubwa
@Weirdguy777
4 ай бұрын
nimejifunza kuhusu istoria hii mashaallah❤
@zuramarakia8467
7 ай бұрын
Sheh sisi hatujui izosura twambie zigine zakuleta mali za Allah samahani Niko vibaya😢😢
@user-ep1qw4nq5i
2 ай бұрын
Subuhana Allah akuzidishie kher na umuri
@user-yf3cw2yd8b
7 ай бұрын
Aslaam alykum ,ahsante sana mungu akuzidishie je,pia kwa sisi tusio jua kusoma
@SUFOAbudo
2 ай бұрын
Masha Allah sheikh
@rashidawangara1318
7 ай бұрын
MaashaAllah, sheikh natumai siku moja nitakuona.
@NajmaAlly-gt6nw
4 ай бұрын
Mashanllah shekhe allah atujaalie na sisi tusiwe wenye kukata tamaa hakika kumpenda allah na mtume wake ni nusra kubwa
@AminahajiNk
7 ай бұрын
Mashalla mungu akubark ishaalla
@AndulHida-hs5py
7 ай бұрын
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri
@user-ob8yz1dv8h
6 ай бұрын
Sheikh Allah Akulinde na Akuhifadh.
@mumtazaidarus1330
7 ай бұрын
Mashallah mashallah Allah akujazi kheir kwa kula jambo lako from USA
@saumusulaiman4742
5 ай бұрын
Maashaalah Allah is great🙏🙏🙏
@farhannahomary5505
7 ай бұрын
Sadaka za kutoa ni nzuri mno jmn kutoa ni kuzuri Allah Atujalie sote
Mashaallah shekh Allah akuzidishie kila kheri uzidi kutufunza
@lovedloveboy
7 ай бұрын
subhaana-llah-allah-akpe-subra-katika-maisha-yko
@MSalem786
4 ай бұрын
Duaa inaanza 13:00. JazakAllah 🎉!
@user-xu2kx6iv4h
6 ай бұрын
allah akufanyie wepes
@arturmassoud2512
6 ай бұрын
Mansha Allah 😭macozi yanatoka
@ZainabuOmary-nt7xf
7 ай бұрын
Mii ndo maisha napitia hasadi imenizidi mpaka naendea kumaliza mtaji nilikuwa nsomesha watoto sasa hivi nashidwa niikuwa na akiba nimeimaliza nisaidie nahisi kufunga ata hii biashara yangu
@sharifasuleiman8297
7 ай бұрын
Mashaallah nakushukuru sana shekhe najifunza mengi sana kupitia wew alhamdullilah 🤲🤲😭
@khadijahamina8457
7 ай бұрын
kabisa allah ampe itaji lamoyowake nasisi sote insha allah
@asmahtamla4749
4 ай бұрын
Shukran Sana ndugu 🙏
@salamavuai3903
6 ай бұрын
Barakallah
@ZahraShariff-dm2jf
3 ай бұрын
Assalamaleykum sheikh Mimi pia napitiya chagamoto katika maisha Nina mume pia mambo yake hayapo Sawa je nifanyeje nikidai talaka najuwa sio Sawa dhambi je nifanyeje miaka 3 sasa bwana hujafaulu kazi 😢😢😢😢😢😢
@MariamNgwali
4 ай бұрын
Mashallah❤
@user-id6fk9hr9q
5 ай бұрын
Kwa mimi mkristo sasa sijui kusaliii wala sijui duaa
@MaheenMaheenna-zv9hm
5 ай бұрын
Mashallah jifunze
@MariamNgwali
4 ай бұрын
Mashallah mungu akubarik inshaaalah
@user-jk6xk7id3q
7 ай бұрын
Allah akuzidishiye 🤲
@user-en5ng4sc2x
7 ай бұрын
ماشاءاللہ تبارک وتعالیٰ
@IsmailLutanile
3 ай бұрын
Mashallah
@NshimirimanaAnnemarie
7 ай бұрын
Assalam walaikum warakmatullah wabarakatuh, Allah akupe sheh ,naturahisishiye
@binthasan7532
7 ай бұрын
Mashaallah
@shabinamunir2203
7 ай бұрын
mashallah,,,sheikh wasoma kila siku ama ?na wasoma hizo mubeen saba wafatliya na waqiya pia zitakuwa saba..
@ArafatiZinu-gi8qv
7 ай бұрын
mashalaah
@buhitexmohamed4785
7 ай бұрын
Mm nisaidie kwa hayo yakukataa nikoba ya uchaei sasa wasiwasi ni kutolewa kafara tafadhali
@amidanibimenya9692
7 ай бұрын
Subira ninjema Allah alitaka ufanye kaziyake.huko kote kulikuwa sikwako.
@saidkingirawima5272
3 ай бұрын
Manshaalhaa
@khadigajessica991
7 ай бұрын
Du watu wanatoka mbali sana
@AshaSalim-xd8xp
7 ай бұрын
MASHAĹLAHSHEIKMUNGUAKUTANGULIEINSHALA
@buhitexmohamed4785
7 ай бұрын
Mashallah shekh , but wandugu wengine wafa yia mazuri wanakulipa husda
Sheikh sura hizo sizijui naswali na sura ndogo tu dua naomba kiswahili tu nifanyaje
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Acha uongo rizki ilishafunguliwa na allah mtoaji.sasa unaposema kufungua rizki nani kafunga na nani kampa uwezo aliyefunga.huu si ndo ushirikina na ushenzi tu.rizki zetu zimeandikwa na allah tukiwa tumboni alafu unatudanganya kufungua ulizifunga wewe.
@omarjr1791
5 ай бұрын
Kaka msilize vizuri kwanza
@omarjr1791
5 ай бұрын
Pia kaka tunapitishwa ktk haya ili tuutambue uwezo na kubwa wa ALLAH hivyo usibishe kaka
@nasirmohamed1589
5 ай бұрын
@@omarjr1791 nijibu swali moja tu hiyo riziki iliyofungwa imefungwa na mwamba gani mwenye uwezo zaidi ya allah aliyeandika kwetu na akaahidi tutapata na kweli akatupa nijibu hapo tu.
@nasirmohamed1589
5 ай бұрын
@@omarjr1791 we uliyemsikiza vizuri swali langu nani kafunga hiyo riziki make allah mtoaji hajatuambia nitafunga riziki bali alituahidi ataturiziki ndo maana alituumba
@user-jh6uu1td1i
5 ай бұрын
Unaweza ukawa umeandikiwa rizki na mola ila ukawa una llaana za allah za ukoo ndoman tukaamlishwa tumuombe Allah ata kijiko cha chai basi ujue allah ni mkubwa sana ukitaka adhina ya mfalme lazima unyenyekee kwaiyo usiseme hivyo
Пікірлер: 121