Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
@khalidmwakabuta5045
4 күн бұрын
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
@MamboMbuli
4 күн бұрын
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
@josepahatmargwe6504
5 күн бұрын
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
@user-qy9fj3yo2t
5 күн бұрын
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
@yohanalungwa7960
5 күн бұрын
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
@MohamedChillo
4 күн бұрын
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
@GodfreyJames-zt6ig
5 күн бұрын
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@aminaomary5567
3 күн бұрын
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@daudinyello4033
5 күн бұрын
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
@user-yh3dv2bl7u
5 күн бұрын
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@khalidmwakabuta5045
4 күн бұрын
@@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
@samadady7795
5 күн бұрын
Mwanangu unaongea ukwely sana
@user-hu4el2rx2u
5 күн бұрын
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
@salimmalaka256
5 күн бұрын
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
@LupatuDaiya
4 күн бұрын
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
@SalhaSuleiman-y8m
30 минут бұрын
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
@kefamahenge5187
5 күн бұрын
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
@AbbasyMdabwa
5 күн бұрын
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
@beatussoka9517
5 күн бұрын
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
@user-mw5xs2wx8n
5 күн бұрын
Kweli wanawapiga misumari sana
@salimmalaka256
5 күн бұрын
HIYO 100%
@user-hu4el2rx2u
5 күн бұрын
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
@salimmalaka256
5 күн бұрын
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
@HamadSuleiman-e1x
5 күн бұрын
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
@hamidudigogo5863
4 күн бұрын
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
@user-id5oc7hm4n
5 күн бұрын
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
@Bboy-ek8vn
5 күн бұрын
Yanga wamemchukua tena pa jobe
@salimmalaka256
5 күн бұрын
NDIO ZAO HIZO
@SalhaSuleiman-y8m
28 минут бұрын
Nasisitiza kazi ya upishi
@fidelismwakanyamale6787
5 күн бұрын
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
@user-os7yv7gg1s
5 күн бұрын
😂😂😂GB bana
@KuchbyMskude
3 күн бұрын
Shabiki mwenye akili hold up broah
@sedekiantibahoha2245
5 күн бұрын
We ndo huna akili sio gb
@DonatelaSanga
5 күн бұрын
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
@daudinyello4033
4 күн бұрын
HUYU JAMAA KUMBE TAAHIRA
@komboarts7110
5 күн бұрын
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
@user-xc8jp2ol4m
5 күн бұрын
Umetufumbua macho blo
@user-wk2bg8zf3l
5 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA
@ibrahimusagondo5228
4 күн бұрын
Hili la kuwaroga wachezaji wetu ni kweli kabisa
@HamisiAthumani-vz1oi
5 күн бұрын
Hakika inatakiwa wasomewe dua🙏🙏🙏
@salimmalaka256
5 күн бұрын
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
@user-pz9nd8ys8o
2 күн бұрын
Gb yupo sahih
@josepahatmargwe6504
5 күн бұрын
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
@salimmalaka256
5 күн бұрын
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
@Mwnashabani
4 күн бұрын
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
@JohnMpemba-in1jm
5 күн бұрын
Gb upo saw bro
@THEOBALDNGOBYA
5 күн бұрын
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
@user-hu4el2rx2u
5 күн бұрын
Mo oyeeee nguvu moja
@danielpeter8085
5 күн бұрын
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
@abuusadick9891
5 күн бұрын
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
@salimmalaka256
5 күн бұрын
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
@SilivesterHasunu
5 күн бұрын
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
@dalalfundikila507
5 күн бұрын
G waambie utopolo walozi sana
@salimmalaka256
5 күн бұрын
TENA WANAUWABUDU
@mtulivu-ir1nq
5 күн бұрын
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
@eliadaimon804
4 күн бұрын
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
@lemamolelilemamoleli7740
5 күн бұрын
Nakweli
@KABIBIPETER
2 күн бұрын
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
@jumanneshego3308
4 күн бұрын
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
@MohdRehan-v9l
4 күн бұрын
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
@marshangeka712
Күн бұрын
Kweli kabisa mwamba
@chiefnumborecords4819
5 күн бұрын
Huyu kashalewa mbona
@salimmalaka256
5 күн бұрын
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
@amirihabibu8892
Күн бұрын
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
@user-wp9wf3et1n
4 күн бұрын
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
@justinazakayo6152
4 күн бұрын
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
@godwillrichard7017
5 күн бұрын
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
@aminaomary5567
3 күн бұрын
❤❤
@emmanuelthomas1078
4 күн бұрын
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
@Daniel-u5q
4 күн бұрын
Uko sahh mwamba
@mosesmachumu7423
5 күн бұрын
right
@Licky_boy_tz
5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Amonationtv4551
5 күн бұрын
Daah
@maikomatayo2794
5 күн бұрын
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
@alimohammedomar3412
5 күн бұрын
We mpumbavu. Hao unaosema wameisha ndio hao waliokuliza nje ndani.
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
@yakoubaliy7559
5 күн бұрын
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
@JohnAloyceSanane
5 күн бұрын
Asa anamgombesha Nan huyo 😢😢😂😂
@salimmalaka256
5 күн бұрын
WEWE
@AwadhiHashimu
5 күн бұрын
Vp unawasifu tena kak
@JohnHerbet-os7uh
5 күн бұрын
Huna hela 0 hajielewi
@4gfashion
5 күн бұрын
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
@salimmalaka256
5 күн бұрын
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA
Пікірлер: 183