I never new Gwajima was such a clever and intelligent man . Kongole Askofu .
@janethjustin5256
3 жыл бұрын
Is very very clever my friend
@anicyaedward5605
3 жыл бұрын
Ngwajima namuelewqga sana congratulations it’s yr relevances examples
@yasintakahamba1320
3 жыл бұрын
Rais wetu wa badae karibu Tanzania mpya ya mafanikio👏👏👏👏
@celinamgundoi8420
3 жыл бұрын
Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen
@marynghumbu8437
3 жыл бұрын
Hongera Askofu Gwajima.
@rahmaramadhan9773
3 жыл бұрын
Mambo yako motoooooooo iwe na maendeleo hivyo hivyo hongera Sana gwajima hatujakosea kukuchagua piga kazi babaaaaa
@esterdaudi9614
3 жыл бұрын
Gwajima auchoshi kukuangalia big up piga kazi babaa😂😂😂
@hamislipangine9649
3 жыл бұрын
Hahahahahaha..... Safi Sana Gwaji boy.Nimekuelewa moto umeshawaka.
@rehemasaid796
3 жыл бұрын
GWAJIMA JIFUNZE KUWASHA MIKE OK! HAKELUYA
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
Kawasha dude
@cydrahope5251
3 жыл бұрын
Kweli kabisa tumechagua ccm kwasababu yako jpm
@presseg.6362
3 жыл бұрын
Kwa kweli kazi yako inaongea kila jimbo, ndo maana wabunge wengi wameshinda Wa Ccm, mungu azidi kukulinda Rais wetu Magufuli
@alfredaloyce6835
3 жыл бұрын
Hoo aliesikia gwajima akisema kwenye majimbo mengine hatukuitaji kupiga ila kulitaja jina la raisi
@fancytulula9537
3 жыл бұрын
God Will take him far.... One day, he will be Tanzania President, he will make it, he works hard, he deserves it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
@barakarobert9516
3 жыл бұрын
Me nlisemaga hyu mwamba ni chuma watu wakaanzaa kumtolea maneno ya dharau,ila hyu jamaa hata nchi anaweza ongoza
@seleseleli7064
3 жыл бұрын
Kwa kipi apo sasa mavio
@johnassilvester1600
3 жыл бұрын
Sure men
@dornita6660
3 жыл бұрын
Si uongo
@hashimsleman1371
3 жыл бұрын
Haaaaaaa ndugu kwaku ita watu mmbwaa kwakweli 2025 agombee uraisi
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.
@emmanuelnzaligo6262
3 жыл бұрын
TUNAJIVUNIA Dr JOHN POMBE MAGUFURI.
@presseg.6362
3 жыл бұрын
Kabisa
@mashramadhani1989
3 жыл бұрын
Waziri Gwajima oyee
@saidmasoli1367
3 жыл бұрын
Vp
@apolnarytv1074
3 жыл бұрын
Kawe hamjakosea 🔥🔥🔥🔥
@ramahamis5793
3 жыл бұрын
Gwajima hongera sana umemfanya raisi wetu j p m kufurahi SANA
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Gwaji boy
@syriacussylivester4594
3 жыл бұрын
Mungu ni mwema,Raisi barkiwaaa,Askofu barka kwwko na pia nchi mzma kwa ujumlaaaaa .
@martinchiteji5772
3 жыл бұрын
Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Ujinga mzigo alimshinda nani huyo mfilaji wa waumini wake na kura za wizi ccm chali
@farajakasikile8846
3 жыл бұрын
@@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
@@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu
@bonnyngowo7567
3 жыл бұрын
What about phoney votes that enabled him ?
@janekikoti2179
3 жыл бұрын
@@emmapaul1766 Acha kutapa tapa mlishabamizwa chini mkubali tu acheni matusi na uongo Mungu atawapiga tena Gwajima hoyeee mpaka kieleweke
@jumamkokota8564
3 жыл бұрын
😃😃😃😃 wagogo wamepanua masikio aaaaah
@sofiasuleiman8474
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dimaika_
3 жыл бұрын
Acha matusi kijana haya maisha tu
@ashuuuaisha9122
3 жыл бұрын
Mtani wetu huyo tunajuana wenyewe mgogo na msukuma ndio mtani wetu wa jadii😂😂😂nimefurahi tu
@selector728
3 жыл бұрын
Wagogoooo😝😝😝😝
@joharyjumakazala3813
3 жыл бұрын
Tujuane wa 2021 Aug nimependa sana gwajima alivotoa speech yake mbele ya ya hayati magufuli
@hoseamgema9107
3 жыл бұрын
gwajima ni mashine. . big up sana comred . .
@emanueldaud2360
3 жыл бұрын
Mungu mkubwa tanzania itafikaa mbali xaana mungu msaidie rais wetu azidi kuwa njemaa
@peternoga
3 жыл бұрын
AMINA
@fatumahassan8212
3 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA
@mangapineema7652
3 жыл бұрын
GWAJIMA ni 🔥 🔥 🔥 🔥
@kapembamahaanga3129
3 жыл бұрын
Heshima no 🔥🔥🔥
@mutindamusyoki9622
3 жыл бұрын
Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe
@derickmoshi6409
3 жыл бұрын
Miladi Ayo shukran Sana taarifa yenu hua ni shuri Sana, hamnaga maneno tunasikiliza na kijionea wenyewe. Kazi nzuri
@jocety4426
3 жыл бұрын
True, Big up 💪💪@Millad. Nawapata vzr Sana frm👉🇴🇲
@francismngumi5125
3 жыл бұрын
Daah nimesikiliza zaid ya mara tatu
@coffeemuya618
3 жыл бұрын
Gwajima hatar sana
@heavenlymusicproduction4360
3 жыл бұрын
Gwajima una kipaji mkuu hongera wanaokusema vibaya Achana nao ni (mbwa wakibweka we achana nao la nongeza mwendo hahahahaaaha i like it)
@fatumahassan8212
3 жыл бұрын
Litakuwa bunge la kihistory hakuna mapepo mwaka huu bungeni
@hbdina
3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli ❤️❤️❤️❤️
@MS.independent8934
3 жыл бұрын
Gwajima 🙌🙌🙌🙌🇹🇿
@richardmsat5312
3 жыл бұрын
Ametisha
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Change has come for magufuli naiona tz mpyaa inakujaa
@EvelyneChacha9
3 жыл бұрын
Alisifiwa pia katika uhai wake😍😘😘
@stevenmasato5787
3 жыл бұрын
Gwaji boy yuko fit duh. alafu anajua kupangilia speech mpka raha. hongera sana
@michaelsiweya6500
3 жыл бұрын
Wala haujakosea aisee...Mimi mwenyewe nilitamani aendelee tu kuongea
@hidayaswai3119
3 жыл бұрын
Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM
@manyaraspringwater8807
3 жыл бұрын
Nakubali sana
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
Mwenyewe najikuta Sina chama tokea enzi za mkapa lakn Magu Kama ananivutia hivi.
@PAMBAZUKATVONLINE
3 жыл бұрын
Namupenda sanaNgwajima na Magufuri
@DottRoBroc
3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@thierry3318
2 жыл бұрын
I am Burundian but I was a big fan of J.P. Magufuri when he was alive👊👊👊
@edithmakwakwa9489
3 жыл бұрын
Hongera Sana pastor Josephat Gwajima
@christianolyehe6149
3 жыл бұрын
Kwahoja2 gwajima apo ndopenyewe
@anicyaedward5605
3 жыл бұрын
I love his examples
@madamloveness7274
3 жыл бұрын
Gwajima atanifanya nilipende hili walahi😂😂😂😂😂😂😂
@madolaclassic869
3 жыл бұрын
Mungu wa ajabu asa makonda chali kwa kumfanya mwenzie mbaya leo mwenzie juu
@tipherndacute3082
3 жыл бұрын
Gwajim umetoa hotuba nzr Leo hongera kwako bba
@shamimhayat7637
3 жыл бұрын
Gwanjima safi anza kazi
@neemamasimba2981
3 жыл бұрын
Tumeanza kuona vionjo jamani , mbwa akibweka usimtupie mawe we songa mbele jamani nimecheka mpaka
Nikweli ase kwajima hoe jamni utani mbaka bungeni 🤝🤝
@isejemedia6760
3 жыл бұрын
Hiyo ndiyo gwajima,,namuelewa sana,,
@davidandrew9575
3 жыл бұрын
Nitakupenda milele magufuli japo haupo
@happyjuma6718
3 жыл бұрын
Bunge la 12 litakuwa la kihistoria wallahi
@abdullatiframadhani5059
3 жыл бұрын
Hii ndio Tanzania yetu tunayojivunia ya raha, amani,upendo... Najivunia kuwa Mtanzania
@philipoisongalimo2206
3 жыл бұрын
WAAOOOO! Bunge la 12 limenoga
@eliabutitus6182
3 жыл бұрын
Upuuz tu
@presseg.6362
3 жыл бұрын
@@eliabutitus6182 ulivyoona wewe
@KA-yz2ld
3 жыл бұрын
Mzee Magu amejitahidi kiukweli, M/Mungu azidi kumpa nguvu 🙏🏽
@jeremiahmasunzu3437
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza kujipima ktk Miguu ya Uraisi huko Mbeleni ni Kichwa
@regimentish
3 жыл бұрын
Very smart man....he should be your next President
@amosnaqbarxanaabddallah2730
3 жыл бұрын
Nakkbar mchungaji wangu fanya Kaz yako uliyotumwa na selikali,,hapa kazi tu!!!
@selector728
3 жыл бұрын
Nakukubali siyo nakukubari
@kalumbugideon4159
3 жыл бұрын
Hongera Sana Kiongozi wetu Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye utatuvusha Sana.....
@godfreyswai9828
3 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,
@augustinomakoye2396
3 жыл бұрын
Hongera Sana mhe, gwajima
@celestinshayo7295
3 жыл бұрын
Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.
@berthamakortha8387
3 жыл бұрын
Asante sana. Gwajima. Ukweri mtupu usemao
@derickmoshi6409
3 жыл бұрын
Yaaan gwaj umenifurahisha Mungu awaongoze wabunge wote Tanzania nzima mamoja na Rais wetu
@fatumahassan8212
3 жыл бұрын
Nikiwa ktk majukumu yng oman nimefurahi sana siku ya leo
@asharamadhani8548
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/roub2mxmipxkl3o Hahaha
@tatukachingwe7451
3 жыл бұрын
Gwaji boyyyyyyyyyy, ubarikiwe muheshimiwa
@jeniphermelayeki8735
3 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@salminasalim5630
3 жыл бұрын
MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia
@jokivaleofficialmusic1045
3 жыл бұрын
Kabisa kabisa hata mimi nakuunga mkono ndugu!!!
@alexandermapela237
3 жыл бұрын
Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!! It's a good start,kawe mtanufaika hakika.
@iviejustified8109
3 жыл бұрын
Umeongea vizuri Gwajima.... Kila mtu ana uhuru wake na Magufuli kiukweli inaonesha njia
@damianmakala2913
3 жыл бұрын
Huyo ndio Gwaji boy ! Mchungaji
@lucyheigre1974
3 жыл бұрын
Kwa kweli Gwajima atanifanya nilipende bunge la 12,sasa kazi nimeielewa😅😅
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Shida siyo hiyo anaweza kuwa na kipaji cha kuongea ila asiwe na kipaji cha utendaji
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 hicho anacho magu
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 unaelewa nachomaanisha au uropokaji
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 kama siyo mtendaji utajiri aliyo nao ameupataje na vitabu anavyo je vitabu unawezaje kuviandika kama siyo mtendaji wa kazi
@bisekoc.k.jenjela7936
3 жыл бұрын
Hiyo ndiyo faida kuwalea vizuri watu wa jamii yako, watajitolea kwa moyo wote pia watijenga nchi yao na kuilinda.
@adijaamur962
3 жыл бұрын
Raisi magufuri mwenyezimungu akurehemu baba 🤲🤲🤲🤲
@tumaininerei5948
3 жыл бұрын
Kwakuwa wakwamisha maendeleo hawapo tena bungeni na kwakuwa bunge ni la kijani tunasubiri kwa hamu tuone Tanzania iwe kama ULAYA.
@godfreynyansira4273
3 жыл бұрын
Nmekuelewa gwajima, ,,...Magufuli amewapa likizo isiyo na malipo
@lakuchumpa9724
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣alivyotaja mabeberu kuna libeberu limekasirika hapo 😆😆
@rajabumbogo959
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😅😅😅😅🤣🤣😂😂😂😂😂
@rajabumbogo959
3 жыл бұрын
Kaka nimeliona😀
@maidasaid9449
3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄
@jayelias1654
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Mbweha wamekusanyana bila ushindi
@michaelkn2639
3 жыл бұрын
Mungu akupe neema baba uwe raïsi wa tanzania
@christinamngara8277
3 жыл бұрын
intelligent people kama Gwajima niwachache sana
@eliasmrema2512
3 жыл бұрын
Perfect.
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Labda intelligent kwa ccm
@bernardoleonard7331
3 жыл бұрын
@@emmapaul1766 kweli siyo ccm tu wanasiasa wote Hapa nchini wachache ni intelligent hata uko chadema act cuf n.k
@zakarialuhemeja444
3 жыл бұрын
Gwajima maneno yako yana upako aisee. Mbavu zimeuma kwa sababu ya kicheko
@bobwhite9252
3 жыл бұрын
Ila gwajiboy anajua kuongea aisee..
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Hadi vinanoga
@gracesiwale7066
3 жыл бұрын
Watu walikuwa awamuelew kwenye kampeni sasa waanze kumuelewa
Go back and listen to Tanzania yangu mp3 kzitem.info/news/bejne/26uG4KZrkIp4aHY And you will understand
@wardajoseph6909
3 жыл бұрын
Sana tu hili ndio mbunge lkn lile lililopita la kina halima na zitto na mbowe huwa najiuliza walikuwa watoto wadogo fujo tu
@sifawayesu4193
3 жыл бұрын
Magufuri ni raisi wa AFRIKA!!!!!
@saumuhassan6365
3 жыл бұрын
Njooni uku, Bungeni kumenoga.
@kareemnduma2278
3 жыл бұрын
Nakuja me chumba kipp
@citybenedictor572
3 жыл бұрын
HahahahahHa haya
@evelynebwire7684
3 жыл бұрын
Sipati picha moto wa Gwajima na King Msukuma
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
Nice hapo mmoja anatumia hirizi mwengine Mungu wa kweli.
@sallydaniely6574
3 жыл бұрын
Magufuli juuu
@aminaomary5567
3 жыл бұрын
Gwanjima hapatoshi,umeniacha hoo🙏🙏🙏🙏
@saidhassan1096
3 жыл бұрын
nasubir mbunge wangu wa kawe awe waziri...
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Mbunge wetu
@nsiamassawe3075
3 жыл бұрын
Akipata uwaziri nitakutafuta
@martinanappa9627
3 жыл бұрын
Hiyo ipo njiani
@samsonimarwa8622
3 жыл бұрын
Nilitegemea mchungaji ngwajima atanza hata kwa kuombea walio jichanganya kumbe anaita watu kuwa wabwek siasa imeisha inatakiwa maendeleo
@tumainichannele1998
3 жыл бұрын
@@samsonimarwa8622 kweli kabisa unaakili mwana!
@solomonmpuluma282
3 жыл бұрын
Gwajima oyeeeee! Upo vizuri Bishop.
@christinamngara8277
3 жыл бұрын
Gwajima oyeee
@mirajimbegu8351
3 жыл бұрын
Mbona anaongea kibeberu si aongee kiswahili
@meshackmanofgod8151
2 жыл бұрын
Asante sana gwajima rais anaefuata baada ya mamasamia
@bobwhite9252
3 жыл бұрын
Nmemuona beberu anasikiliza kwa umakin wa hal ya juu
@ziadasadiki8196
3 жыл бұрын
☝️☝️☝️😂😂😂❤
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@franklaurent4042
3 жыл бұрын
katulia huyo
@deusdeodavid5360
3 жыл бұрын
Beberu sio mzungu tu bro
@deusdeodavid5360
3 жыл бұрын
Unapo sema "kula" badala ya "kura" kwa hao wageni wanao sikiliza kwa vifaa vya kutafsiri lugha sijui vinakua vinasemaje huko.
@joymsupagladysijeya8384
3 жыл бұрын
Gwanjima Ana Akili anajua kujieleza 🤣🤣😍😍😍👍👍
@alexlingwendu6780
3 жыл бұрын
Walipanua Masikio.hahahaha.
@mosesmwasiposya7883
3 жыл бұрын
Hongera Rais Magufuli, Hongera muheshimiwa ask. J. Gwajima, Hongera CCM Chama la mfano ndani na nje ya bara la Africa na ulimwenguni kote. Kwa kujipambanua na kujiweka Sawa. Mungu ibariki Tanzania na Africa kwa ujumla wake.
@celestinemahande5168
3 жыл бұрын
Tulikuwa tumechelewa sana kupata watu kama kinagwajima
@janethjustin5256
3 жыл бұрын
This is GWAJIMA I wanted to hear is voice from the Parliament👏👏👏 😁😁
@africanhappyadventure6951
3 жыл бұрын
Kazi Imekutana na mwenyeweee Mcchungaji umepe kijiti cha kuwa mwanasiasa siunataka shidaaa wewee..Ngoja tusubiri Hiyo Feb
@ywconline2817
3 жыл бұрын
gwajima utadhani amewai kukaa bungeni miaka 50 anajitanua safi kabisa anajiamini
Пікірлер: 964