Hongera Sana hamisa kwa ushuja wako , mwanamke mpambanaji mwanao kadharirishwa sana umefanya maamuzi mazuri sana
@santinoplacid7571
2 ай бұрын
bwana weee mwanetu alipigwa hata tuwe wakweli sema amekuwa jasili sana kukataa damu ambayo si yake ni wanaume wachache sana wenye ujasiri huu
@chaucassim4123
2 ай бұрын
Hongera. Sana. Hamisa
@neykidoti102
2 ай бұрын
Nakuunga mkono Mobeto haina haja ya kulazimisha mtoto ni wa mama bna ila nasemaje niko hapa nmekaa, majuto ni mjukuu 🤝
@chayogasperi9783
2 ай бұрын
Kwani yeye ni mtoto wa kwanza kukataliwa , uswahilini huko kuna mabinti kibao wametelekezwa na watoto , au kwa sababu huyu mtoto wa star ??
@ummiissaabdulissaabdul8117
2 ай бұрын
good nakuunga mkono dada hamisa usiwe mpumbavu mtoto wako mwiite tu jina lako bora uzima wake achana na ujinga wa wale wapumbavu
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Kweli
@svt3
2 ай бұрын
Mupumbavu ni alie kubali kukojolewa ovyoovyo na kuzalishwa na wanaume tofauti ambao hakuna kati yao alie tayari kukupa pingu na kukusitiri
@emmadora7848
2 ай бұрын
Kwanza si wanasemaga mtoto wa nje ya ndoa ni wa mama?
@toomaaloufi6221
2 ай бұрын
@@emmadora7848 kabisa kwa waislam sheia hawezi kumrithi hawezi kumuozesha hata km yy ndiye baba
@user-oh9bh9ko8j
2 ай бұрын
@@toomaaloufi6221kwaiyo tifa hatoweza kutolewa hidhin wala kumrithi diamond kwakua ni mtoto wa inje..?
@Mery-st4nu
2 ай бұрын
Sasa kama babake kamkataa yeye mama anauwezo wowote wakufanya minaona hamisa Hana kosa
@frankngajilo7137
2 ай бұрын
Unauhakika wake
@AfuaWhite
2 ай бұрын
Jmn ifikie mahali wasanii waache ushamba unamkataa mtoto kisa ujinga wenu wazazi how comes jmn wanaudhi m mwenyewe namsapoti @hamisamobeto na mama yake❤
@AsdDsa-fi5qk
2 ай бұрын
Tatizo mama diamond alikua masikini
@hirizonetz9558
2 ай бұрын
Huyo mtoto siyo wa diamond ni wa bill nasi unadhan diamond ni mjinga mbona hajakataa wa tanasha?
@mteulemnyama7858
2 ай бұрын
Jamani usilo lijuwa ni saw na usiku wa ngiza.... Uwez kuweka lawama kwa jambo usilo lijuwa kiundani zaidi
@mackysuphian
2 ай бұрын
@@hirizonetz9558mmh saw hamisa maan ww ndio ulie beba hio mimba😂😂
@svt3
2 ай бұрын
@afuawhite: usilazimishe mtu kukubali mtoto asiye wake na iwe funzo kwa wanawake acheni kuvua chupi ovyoovyo kuzalishwa na wanaume tofauti tofauti
@rehemabukuku1008
2 ай бұрын
Ilove you toto wake Hamisa ,,,, mtoto ni taifa la kesho❤❤❤❤❤ hatujui kesho atakua nani
@zahormohd
2 ай бұрын
Mtoto wa nje ya ndoa siku zote ni mali ya mama
@irenekileo7471
2 ай бұрын
Kuna mtoto wa Naseeb ambae ni wa ndan ya ndoa😳😳stupid
@zahormohd
2 ай бұрын
@@irenekileo7471 hao wote kwa sheria ya dini ya uislam sio watoto wake hawatoweza kumrithi kama atafunga ndoa na kupata mtoto kwenye ndoa ndio atakua mtoto halali na ndio dini itampa mamlaka ya kurithi mali
@zahormohd
2 ай бұрын
@@irenekileo7471 kwa vile yeye ni muislam mtoto alimzaa nje ya ndoa sio wake
@zahormohd
2 ай бұрын
@@irenekileo7471 kwetu sisi waislam hatutambui umezaa na fulani tunatambua uliolewa na fulani mkapata watoto
@zahormohd
2 ай бұрын
@@irenekileo7471 kwa mujibu wa uislamu mwanaume anaezini na kumpa mimba mwanamke anahesabiwa sawa na jogoo alipandia kuku wa jirani bila ruhusa, kwa iyo mwenye jogoo hawezi kwenda kudai mayai
@abdallahmmary8591
2 ай бұрын
Sahihi akimwita jina hilo sawa kwani mtoto anaezaliwa na mwanamke ambae amepata mtoto asie na ndoa hy maana ya zinaa ni myoto wa Mama tu
@user-ib2ns8kf9h
2 ай бұрын
Hizo Imani zenu hakuna mtoto asie na baba eti kisa mama hakuwa kaolewa mbona Jakaya anamtambua Rizi kama mwanae na hakuwahi kumuoa mama yake
@lailafakhihaji
2 ай бұрын
Anatambuliwa kidunia tu kidini hatatambulika huo ni msimamo wa dini yetu hakuna mjadala na imo katika vitabu vya dini
@HappinessSawe
2 ай бұрын
As long as Mungu anamtambua inatosha
@hafidhkhamis4943
2 ай бұрын
Kwa sasa, teknolojia ipo ya kutosha ni kupima DNA tu inatoa majibu sahihi na kuondoa ubishi.
@toomaaloufi6221
2 ай бұрын
@@user-ib2ns8kf9h huyo unaesema ww labda c muislam ila hiyo ndio sheria ya kiislam na hata akikubali sheria hawezi kurithi kila mtu na imani ya dini yake
@GodilivaSanya
2 ай бұрын
Kwan kosa likowapi ,jmn mtt mzuri huy❤❤❤
@doricemwakasengo1167
2 ай бұрын
Vizuri sana hamisa mm mwenyewe natumia jina la babu mzaa mama
@user-qo8fn5tk3n
2 ай бұрын
Ongera sana hamissa kwa kubadili ubin wa uyo mtoto❤
@inesstibenda2832
2 ай бұрын
Safi sana Hamisa,Mungu azidi kukuongoza
@hamidaaliomar2212
2 ай бұрын
CONGRATULATIONS 🎊 MISA ❤
@zainabuabdul7852
2 ай бұрын
Acheni kumuongelea huyu mtoto millard ayo 😢😢😢😢
@user-jz2su4co4d
2 ай бұрын
Good hamisa nimekupenda bule saiz baba alazimishwi na mwenyewe mtoto anakua na anayaona
@lyrics_forum
2 ай бұрын
Baadae Mtoto Afanikiwe Baba yake aseme Mimi ni Baba yako, Akataliwe Wananchi waanze kusema Mtoto ni Freemason 😅
@user-uj5wg9mm2t
2 ай бұрын
Saf misaaa❤asiyekupenda achana nae
@gracemahugi4380
2 ай бұрын
Nijambo lakawaida kabisa ht mimi niubini wa babu yangu mzaa mama
@chusseboywcb2808
2 ай бұрын
Wanawake wakibongo tatizo hua hawana true love wana taamaa sanaa ya pesa na elim hawana diamond platnamz amezaa naa wanawake tafauti lakini mwanamke alie msumbua diamond ni wakitanzania kunanini wanawake wakibongo acheni tamaaa mbona tanaasha hakuna shida tukisema tufatilie wanawake wabongo wanatupachika sanaaa watoto bandia kwasababu ya ukosefu wa erim anatembea nahuyu kesho huyu mwisho ajui nani kampatia mimba basi anamua kuumpa ampendae
@ljk4006
2 ай бұрын
Mwenye elimu sasa kaamua kutuandikia😅kaka unasikitisha
@chusseboywcb2808
2 ай бұрын
@@ljk4006 halafu usikute ulie jibu wakiume🤣🤣🤣🤣
@shabanimbugi8372
2 ай бұрын
Ukweli anajua hamisa sisi hayatuhusu
@asinahussein2176
2 ай бұрын
Safi sana Hamisa hongera pia
@ChikuOmmary-ii2xf
2 ай бұрын
Kwani huyo mtoto mbona mnamtia midomo muacheni jamani husda.Kwani baba Ndio Nini mbona watoto wengi hawana baba
@user-ib2ns8kf9h
2 ай бұрын
Aseme baba harisi wa mtoto huu ujinga wa kubambikia watu watoto ni ujinga wa sisi waswahili
@ljk4006
2 ай бұрын
Mnataka aseme mara ngapi!? Na kwa ajili ya nini aswa,,,alishasema n kama baba alikataa basi haina haja ya kumlazimisha,,alichofanya ni sahihi after all mtoto yupo kwenye himaya yake na anamlea mwenyewe,,,inatosha bhna
@HadijaZabroni-pu1lt
2 ай бұрын
Ndoivo wadada tujifunze 😂😂😂 kuzaaa zaaa na watu wasio namaana kisa pesa kuvamia mausiano mengine ya mtu aya ndo malipo yake tumpambanie watoto wetu wanaume wanajua kutukojoza tu😂😂
@hirizonetz9558
2 ай бұрын
Huyo mtoto ni wa bill nasi ye akampa diamond mimba unadhan diamond na pesa zake ashindwe kupima DNA? Mbona hajakataa wa tanasha hawa wasanii wa kike waache uchangudoa
@melanialeonard4031
2 ай бұрын
Niliwaza ivo lazima kashapima DNA hizi mali zitatutoa roho huenda baba mtoto yupo tu mpen mtoto haki yake
@HadijaZabroni-pu1lt
2 ай бұрын
@@hirizonetz9558 kabisa yaani wanapenda mtelemko mwisho wanaumbuka na kusumbua mtoto kisa tamaaa
@sweetiepie3012
2 ай бұрын
Dylan is Kiki 🙌🏾
@chema5961
2 ай бұрын
hamissa💯🤝
@FloraMarinyo
2 ай бұрын
Ina uma sanaaa aisee
@sskondopoleani9616
2 ай бұрын
Lakini haya yana husu nini?? Baba mtoto wake mnamtakia nini? Yaani Hamna kazi kabisa
@aminahassan3588
2 ай бұрын
Bravoo hamisa
@MJ-rr6dy
2 ай бұрын
safi sana, huwezi mpa mtu mtoto ambaye si wake, mond alishapima na akajua
@hijaziswalehe-3968
2 ай бұрын
Ulikuwepo?mxiuuuu
@rizikiabdalla2501
2 ай бұрын
Hongera sana mdogo wangu Hamisa hongera sana sana
@user-br4tl7jv9j
2 ай бұрын
SAFIIII HAMISA YUPO SAWA KHABISA💯
@liannsambu7264
2 ай бұрын
Naimani KAMA HUYU MTOTO KWELI NI WA DIAMOND NA AMEKUWA AKIKATALIWA NA BABA YAKE , Sasa huyu mtoto ndo atakuwa STAR na kama alivyofanyiwa diamond na baba yake na akaja kuwa star diamond asipoangalia anaenda kutekeleza Yale Yale alofanyiwa na baba yake Kwa uzao wake Kwa huyu mtoto na historia itajirudia , AJUE TU YULE ANAYEKATALIWA UWA NDO ANAKUJA KUWA MKOMBOZI so awe makini sana sana
@zainabwage4658
2 ай бұрын
Mtt wa nje ya ndoa ni wamama sasa km kabadil itakuwa vzr
@SofiaAhmad-rp8sm
2 ай бұрын
Umenena dada zainab
@saidsuleiman1912
2 ай бұрын
Na kesho mbele ya Allah ataenda kukudai haki zake kwa kufanya zinaa ukamzaa then haki zake zikapotea ndio maana Allah (SWT) akasema kwenye quran zinaa ni uchafu jiepusheni nayo
@FloraMarinyo
2 ай бұрын
Kwan mondi ameoa ?
@SofiaAhmad-rp8sm
2 ай бұрын
@@FloraMarinyo hapana hajaowa
@RukiaRashid-mb7qc
2 ай бұрын
Sawa tu
@fatumabhallo8518
2 ай бұрын
Njoon kwangu mtoto wangu anajina la ndugu yngu
@aishamwinyi7820
2 ай бұрын
Yuko sawa missa kwa sababu ukiakataliwa katalika hongera missa atakuwa huyo muache achukue hao anaowataka mungu mmoja tuu
@toomaaloufi6221
2 ай бұрын
Sasa atachukuwaje mtt sio wake hao alochukuwa ndio wake hawezi kukataa dam yake itakuwa c wake ndio akakataa
@aishamwinyi7820
2 ай бұрын
@@toomaaloufi6221 inawezekana mana wanawake sisi tuna mambo meng na swali hili hapa kama wake iweje amkatae na kama sio wake iweje mwanzo amkubali daa hapa iko siri missa anaificha
@user-wv1qz3xd8w
2 ай бұрын
Safi san
@japharypendo222
2 ай бұрын
yuko sawa kabisa
@fbr5113
2 ай бұрын
KWANZA KIISLAM KAMA MTOTO NI WA NJE YA NDOA ANATAKIWA KUBEBA UBINI WA MAMA ILA HUYU INAONEKANA MAMA YAKE HANA UHAKIKA NA BABA WA MTOTO MAANA MAMA MTU NI MTU WA WANAUME WENGI.
@profs.a5412
2 ай бұрын
Sema hapo Mond alipigwaa saanaa, no need of DNA test😂😂ni kutumia tu hela vibayaa. Unatest nn hapooo kwa mfano
@victorcephas3618
2 ай бұрын
Baba akikataa mtoto ubini anapewa wa babu yake mzaa mama Bi Sandra kamjaza mwanae kamkataa baba yake kamjaza tena kamkataa mwanae so acha maisha yaendelee watu wakiwa na Amani.
@tatubenson9039
2 ай бұрын
Atalipiaga tu bi Sandra one day Mungu anasimamiaga haki always
@abdallahdataguy
2 ай бұрын
umalaya hadi watoto hawajulikani baba zao
@mariamuramadhani4643
2 ай бұрын
Kwaniwewe unamjua baba yako?
@twiseghekisilu8845
2 ай бұрын
We huyo baba yako nyau we!!
@user-cd8ge8mx7p
2 ай бұрын
Unamjua baba yakoooo wewe kamuulize mama vixur
@chayogasperi9783
2 ай бұрын
😂😢😮😅
@julianaedward1284
2 ай бұрын
Baba ako ww unamjua😂
@user-fw5gz2oz6i
2 ай бұрын
Huyo malaika tu hajaja juachochote baba aliyekataa mtoto mungu anamwona
@Kabwela776
2 ай бұрын
Diamond amepangua ameshtukia amesingiziwa mtoto ili alee wanawake watz chupi mkononi sana unaweza kusizingiwa mtoto wakati sio wako tena ukiwa Na maokoto
@FatmaRajab-ll8gw
2 ай бұрын
Ndio vizuri kuliko kudhalilishiwa mtoto
@papaamasauti1973
2 ай бұрын
Ukipande mmoja ni sahihi na kiupande mwengine sio sahihi coz ukifa unazikwa kwa jina lala mama ako kwenye taratibu za uislamu
@stellah11
2 ай бұрын
Watoto wote wa diamond ni wa nje ya ndoa.. diamond hana mtoto mpaka awe amewaoa hao wanawake hata wale wa zari ..watoto wa wa zari ni wa zari..
@user-nm8ym6iq7n
2 ай бұрын
Dimomd sio mjinga mbna watt wte hajawakataaa lkn huyo kakataa had wakaenda DNA wao ndo wana ukweli , ata Jagwa kenya alishawai kusema huyo mtt niwake hao akina maboto kutulia na mwanaume mmoja hyi haipo
@uwimana6533
2 ай бұрын
Mambo nimoto 😂
@rahmatsumo3274
2 ай бұрын
Hakuna makosa Hamisa mobeto yuko sahihi kabisa ata nabii Isa ni Isa bin mariam
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
Hawa WASANII wa bongo wapelekwe mirembe wako wengi hawajielewi 😢😢😢😢😢
@SelestinaHamis-dw1gs
2 ай бұрын
We ndo umpelekwe mirembe
@marcelinasamweli4822
2 ай бұрын
Hata hivyo kisheria ya dini mtoto alizaliwa bila ndoa niwa. Mama kafanya vizuri
@sosthenesmaemba
2 ай бұрын
Hivi ujasili wa kuita mtt wa nje ya ndoa ni WA mama unatoka wapi wapendwa, hayupo mtt asiye na wazazi wawili, je sie amba tuna comment humu je tuna ndoa wote ? Na je wote tuna wtt au hatuna, ? Je huyo wa madjizo ni WA ndoa? Niwaobe wtt msiwaingize ktk ugonvi wa wazazi, waeni wtt haki yao, hata kama hakuna mausiano mazuri kati ya wazazi, mtt amjue Mama na Baba pia, inatosha, ipo ck wtt wakikua wataitaji kujua, nao Wana roho, watatunyoosha ,
@toomaaloufi6221
2 ай бұрын
Sasa Kiwa hamjui ja baba afanyeje?.... Baba ni wengi engine hajulikNi
@iambaizo
2 ай бұрын
Pain of these single momma is wild,Huwez lazmisha mtu amkubali mtoto asiye wake ukiiona hivo ujue sio wake
@kimkimbeth7918
2 ай бұрын
Unavoongea kwa ujasili kama vile wewe ndio ulibeba mimba 😂😂😂
@iambaizo
2 ай бұрын
Huwez kubali ukweli il ukweli ndo huo
@MuhammadHassan-xp6dc
2 ай бұрын
wazazi kuweni makini sana watoto wakiwa wakubwa mtawaathiri kisaikolojia kwa hali hii
@zakayodismas251
2 ай бұрын
Hao wanawakee kama haoo .. mamaaa kagombanaa na mzazi mwenziee anabadilshaa jinaa la mtoto .. skuu babaa mzazii kafarikii ndo inaleteaa shidaa kwenye maswala ya miradhii mtoto anatambulikii tena sbabu ya miasiraa ya mamaa huyuu hamisa kaangaliaa leo ila ajue kuna keshoo huyo mtoto atakuwaaa. Na atajitambuaaa
@upendoabraham2010
2 ай бұрын
Naombeni mwenye kujua anifamihishe process za kubadili jina la mtoto
@allymahiyo2464
2 ай бұрын
Sio mbaya kwanini umpe mtu sio wa kwake?
@husseinilyas8570
2 ай бұрын
Hio ndio dini inasema mtoto wa nje ya ndoa mamake ndio babake
@TanzaNitro
2 ай бұрын
Dini gani?
@toomaaloufi6221
2 ай бұрын
@@TanzaNitro ya kiislam
@queenlinda255
2 ай бұрын
Mi naona sawa tu si baba amekataa mtoto sasa afanyaje.
@lordsm.k-db3wy
2 ай бұрын
Platinum kashajiridhisha sio mwanae Ukiona Hivyo.
@user-ge3ni4qn4u
2 ай бұрын
Nipe huyo mtoto msimtese nyinyi ni watu wazima, mtoto anahitaji faraja,nipeni Mimi Mchungaji John malale
@RoseKesi-zj4yy
2 ай бұрын
Ata Ada yake unaeza ilipa au unaropoka Tu alokwambia anateswa na nani
@anciladelay6316
2 ай бұрын
Sahihi hata mm nitafanya hvyo kwa baba wa aina hiyo
@Agath45
2 ай бұрын
Ni sawa maana babake amtaki
@naimasbuguza2395
2 ай бұрын
Mna muumiza mtoto kihisia, umri wake ni mkubwa alafu mnamsubua.... Then punguzen kudanga sannah, olewa kisha ndio uzae ili kumstiri mtoto.
@isaacsimon3580
2 ай бұрын
Mpaka mwanaume akatae mtoto kuna vingi nyuma ya pazia, ila kitanda hakizai halamu iko siku yataisha pale tu mtoto akikua na akaamua kuchagua baba ama mama
@laurencemassawe9100
2 ай бұрын
Umalaya wa uyo dada unamsumbua sizani diamond abague damu yake hamisa anajua baba wa mtoto
@itanzaniaAS
2 ай бұрын
Mtoto kama mama hajui babake anakuwa mtoto wa upande wa MAMA. IMEISHA HIYO
@ndalusanzekassim5902
2 ай бұрын
Anajuwa ni wa Dimond ila kakataa ndio maana hamlazkmishi tuoshoe hapo.
@itanzaniaAS
2 ай бұрын
@@ndalusanzekassim5902 DNA Ikisema basi. Sio mtoto wa diamond alitaka ambambikie
@Officialjidaa-sn9cs
2 ай бұрын
😂😂😂badili na sura kabisaaaa
@aishajuma18
2 ай бұрын
Sasa sura si wanamsema hajafanana na mondi ni Sawa Tu akibaminayo
@Officialjidaa-sn9cs
2 ай бұрын
@@aishajuma18 mbona wengn tulikataliw na tunasuvive mpka saiz na life inaend hamisa anajichosha nini mond alikataaliw na baba Ake na yeye kamkataa mwanae kisu juu ya kisu
@user-kf5vo6qp2r
2 ай бұрын
Mtoto si wa Diamond kwa nini anjisukuma kwa Diamond, bandilisha kabisa na uende ukahangaikie na huko.
@noel3290
2 ай бұрын
She was obsessed with zari🤣after zari stopped hyping diamond the fun died. Dlyan was also a suggestion for nillan and she took it then 🤣 what changed? Why don’t she keep the same energy Karma babe. Take an L and seat over there
@santinoplacid7571
2 ай бұрын
Dah ila kulea mtoto ambaye sio wakwako inauma sana coz tunayaona huku mtaani wanaume wanaume wanavyopitia kipindi unakuwa hauna namna...ila mwanetu mondi amekuwa jasiri sana kwa hili
@zuwenasaleh9613
2 ай бұрын
Maskin jamani 😢 .... inauma sana
@user-lx8nl8hh3f
2 ай бұрын
Bahati mbaya mond hasemi kitu
@priscakwannhamfungimipakam9231
2 ай бұрын
Inaumiza sana wewe mwenyewe ukikataliwa na mwanaume inaumiza sembuse mtoto
Пікірлер: 228