Professor j, FD q, stamina, mrisho mpoto, KING kiba
@jimmymbella4362
4 жыл бұрын
Mtangazaji naww unaongea ovyo ovyo Sana Kaka bila ata mpangilio daah kuchapia Sasa ndo usiseme🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemaelis3939
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂aliesikia et jux amezaliwa mwaka 1889 twende sawa 😂😂😂👐👐
@maulidimpindo6155
4 жыл бұрын
Uyooo jamaaa kafata storry kutoka mitaani Maana Ana uwakika na asemayo Angewafata wausika kuwaojii nasio kukurupuka kuongea haya sasa jux kazaliwa 1889 uwooo mwaka hata sizani kama bibi yake kazaliwa
@neemaelis3939
4 жыл бұрын
@@maulidimpindo6155 😂😂😂😂😂😂😂😂
@geradyamiry6875
4 жыл бұрын
Mpindo ,1889,mtangazaji ulikua. ni mkataba. Wa Heligoland. Treaty,amezaliwa. 1922
@neemaelis3939
4 жыл бұрын
@@geradyamiry6875 😂😂😂😂😂👐👐👐👐👐
@nzeyimanaabdallah131
4 жыл бұрын
Niko apa🤣🤣🤣
@mosesibrahim4197
4 жыл бұрын
Jamaa punguza uongo basi Aty Vanessa Mzee Aty jux kazaliwa 1889?! Duuh that's too much
@ibrahimlupenza8954
5 ай бұрын
kumbe jux ni zinjathropas na hamsemi🤣🤣🤣🤣
@NikodemMafie
5 ай бұрын
Kwahyo jux ana umri wa miaka 135 Kwa sasa duh! Kweli hatari, unazingua mtangazaji jaribu kua siriaz na unachokifanya
@mulahrashidy9047
4 жыл бұрын
Go straight to the point....unakua na maelezo mengia aisee...but nakubali kaz zako
@NtakirutimanaFabrice-rn4yr
7 ай бұрын
Vanessa Mzee na Babu Jux Shkamon Bibi na Babu 😂😂😂😂😂😂
@shabanimlisho2163
3 жыл бұрын
Kwaiyo jux asaivi atakua Ana miaka mingap ??🤔
@nancymathias2332
4 жыл бұрын
Vanessa mzee Ni Nan lakn jmn jux 1886 unachapia mno khaa
@nickjuma3937
4 жыл бұрын
Mtangazaji hujui kazi yako unameza meza mate kama mnywa gongo!
Mm nmeckia alivyochapia badala aseme mdee kasema Mzee😹😹😹😹
@Ashsultana
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nicholousmtisi6717
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Vanessa mzee
@minzajoji7196
4 жыл бұрын
Jamani hapo kwa mzee kanifulahisha Jaman haaaa😅😅😅😅😅
@nashally6485
4 жыл бұрын
Aseee brooo jux 1889 ctaki kuamni anamiakaa 131
@nobertmarinus286
4 жыл бұрын
Hamna kitu Hapo..unatangaza ama unaongea hakuna mpangilio wa maneno kwa kifupi ht kunyoosha sentensi ya kiswahili ikaeleweka huwezi..bro Rudi kajifunze.
@arqamibnarqam.7185
4 жыл бұрын
Elimu na Akili ni vitu viwili tofauti.
@vedastokeya3344
4 жыл бұрын
Na wala havifanani
@annieplacidia535
4 жыл бұрын
Fact
@taturajabu5977
4 жыл бұрын
Unaweza ukawa na elimu na usijue kuibadili elimu kuwa maisha safi,unaweza ukawa hujasoma ata darasa 1 lakini mambo yakawa mukide
@jumaamanandi4329
4 жыл бұрын
Jux kazaliwa mwaka elfu MOJA MIA NANE 😂😂😂
@mabatizonetz
4 жыл бұрын
hahahah 18..
@sallylutegowape2205
4 жыл бұрын
Hatar
@godfreyngimba8737
4 жыл бұрын
Jux kazaliwa mda mrefu sana hata Vita vya dunia vilikuwa Bado havijafikiriwa kwa hiyo tumpe heshima zake
@celinejulius2286
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@angalikiyanajeanmariemerci4758
Жыл бұрын
Professor jay
@Deddy-i2z
7 ай бұрын
Anachapia sana eee aseme jux kazaliwa 1889 eee
@peteradonga7668
4 жыл бұрын
Uyu Presenter pia Hajasoma Vizuri,pia yeye hana Elimu sana.
@fidelismdendemi7675
4 жыл бұрын
hahaaaa
@tantinebettynduwimana380
4 жыл бұрын
Ndo maana wana hipop wanaimba maneno ya busara kumbe wengi wzmesoma👍👍👍👍
@ligemasaguda4154
2 жыл бұрын
Mambo
@dwaynemnyama5791
4 жыл бұрын
Hahahahahaha! Unakula kishako we jux amezaliwa 1889 hahahahahaha! Ananya Nini mpka sasa acha kutudanganya maeeee wweeeeeeeee
@hamidusule3128
2 жыл бұрын
What about Hemmed suleiman..PHD?
@mohammedaliabdallah5508
4 жыл бұрын
Nikki mbishi, Black Rhino na Mh. SUGU aka mr.2
@maulidigadner304
4 жыл бұрын
Kekekekeke nchi jirani ya Nairobi hatari
@mathaniessaukibuti3660
3 жыл бұрын
Kaka una ji Uma Uma Sana hauna uhakika jiangalia mzee wang
@joejamtukufu4299
4 жыл бұрын
Izzo bizness moni central zone mo music
@eliamanimathayo8898
4 жыл бұрын
Kunaa hajaa ya kufanyaa tafitii zaidi kablaaa ya kuletaa habar kwa jamii ...kunaa taarifa nyingi hazipo sawaa
@middleplatnumz3629
4 жыл бұрын
Vanessa mzee oyeeeee😄😄😄😃😃😃😃😂🤔
@babasandra638
4 жыл бұрын
Elfu moja mia NANE😂😂😂😂😂
@dicksonsheja251
4 жыл бұрын
Fid q , black Rino , Mlisho mpoto na utupe pia na elimu ya akina Chic benzi
@youngloyclassic3173
5 жыл бұрын
Jamaa anachapia
@emmydzoo8729
4 жыл бұрын
Diamond ,kasomea mademu school ,sababu mpaka hapo kwaela alizonazo asinge kosa elimu anaendekeza madamu tu
@petermabula7687
4 жыл бұрын
Safi sana bongo nasisi 2pojuu
@alirashid3239
4 жыл бұрын
hahaaa kiba vs mondi ndo elimu za chini kabisa but hela imelala hapo heshima pesa
@taturajabu5977
4 жыл бұрын
Kweli heshima pesa,shikamoo kelele tuu
@richardtemu9431
4 жыл бұрын
Mjomba unachapia Sana uwongo uache
@Forevermoretz
4 жыл бұрын
Wewe veep mtangazaj mbna manen meng sana asee3ee
@dicksonmrema8836
4 жыл бұрын
Aliyesikia vanesa mzee tujuane hapo
@CARL-S_MPESHA
4 жыл бұрын
mimi hapa.... na Jux kuzaliwa 1889?? 😂😂😂
@leonardsimon2148
4 жыл бұрын
Kwataarifa yako wewe msomaji na mtazamaji ni kwamba jux amefikisha umri wa miaka 131 😂😂😂 huyu ndo binadamu Mzee zaidi kwa sasa😂😂😂😂 1889-2020
@jackilinejohn2491
4 жыл бұрын
Uwongo mtupu
@Ashsultana
4 жыл бұрын
Leonard Simon 🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣
@godfreysosthenes4066
4 жыл бұрын
Hahahahhahahahahhahahahahhahahahaha
@hurumaesaukihombo2070
4 жыл бұрын
Hahaaaa!
@fettykassim8287
4 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaah
@Jackhanstv
4 жыл бұрын
Wanaelimu lakini anaewaongoza ana io elimu yao
@gracejohn886
4 жыл бұрын
Kajux kameula bwana 🤣1889 binadam wa maajabu azeeki aingie kwenye rekod najivunia tz
@alfanishabani2699
3 жыл бұрын
😂😂😂
@kenjipressident8630
4 жыл бұрын
hahahah alie sikiaa jux kazaliwa mwaka 1889 gonga like hapaa
@zainabukhamis9709
2 жыл бұрын
kusom ni moj y kuek maleng kwenye maixh kuhx kityu flan are diamond anakipj but kawez kueka saw maixh yak
@milleniyahmohamedy8787
4 жыл бұрын
Wewe hujui kutangaza
@najmaabby5034
4 жыл бұрын
Duh jux kazaliwa 1889?? Hatari sana
@erickmajula5425
4 жыл бұрын
Jux kazaliwa mwaka 1/September/1889 ww jamaa unapotosha sahihisha aisee
@gracemichael876
5 жыл бұрын
Hahaha aliyeckia jux kazaliwa mwaka 1889 alike hapa
@shedracksanga2095
4 жыл бұрын
Kakosea huyooo
@hadijanjama1193
4 жыл бұрын
1989
@fatemaligalawa4151
4 жыл бұрын
Kachapia saana watatu anasema wapili
@yohanamaugila743
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃kabisa 1889
@ibrahimgwasma235
4 жыл бұрын
Tongue error
@muanashaswaleh5110
4 жыл бұрын
Mwamcheka daimond hakufika mbali lakini amewashinda hela kuliko hao wasomi kuwatajiri sikusoma pekeake
@salumabdallah2211
4 жыл бұрын
Ww Wala haujui wasanii wasomi.eti niki wa 2 cpwaa ndie kichwa Kati ya hao.ulio wataja.
@christopherpaulrwehumbiza4244
4 жыл бұрын
Nairobi nayo ni nchi 😂😂😂
@makamesaheel1236
4 жыл бұрын
Maneno yanakua mengi taja list yako
@ashamkana4072
4 жыл бұрын
Duuu!!! Jux amezaliwa mwaka 1889 we mtangazaji acha janja janja
@toxhervangaspaltz4109
2 жыл бұрын
Umechapia jux kazaliwaaa??
@nyanganatasha7364
4 жыл бұрын
Usanii ni talent
@zakayomarlow7776
4 жыл бұрын
Huo mwaka aliozaliwa jux wewe muongo sana huwezi kutudanganya cc
@joiana4663
6 ай бұрын
Hongera Nicky_wa_pili
@zainabuuledi1523
4 жыл бұрын
Uyu mtangazaj wawap mbona anaboa?
@paschalcosmas6093
4 жыл бұрын
Ila mzee baba ulimi wako unatereza xn punguza kula mrenda
@fatumahassan1371
2 жыл бұрын
😂😂😂
@yumna128
4 жыл бұрын
Jamani jux kazaliwa 1889 duh mtangazaji chenga 😄😄
@anasiamacha2543
4 жыл бұрын
Illa kusema ukwelii mi sijakuelewaa mtangazajii alf cha kukushauri tafta kazi ingine ya kufanyaa
@agnessemmanuel8434
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@saymarsaymar4654
4 жыл бұрын
Mtangazaji unaboa sana, mada nzuri ila unavyotangaza ndio hamna kitu
@edsonerasto3951
4 жыл бұрын
Nick hajapata PHD hua anaahirisha kila mwaka! Amegraduate masters tu
@emanuelmpiga3694
4 жыл бұрын
Mwamba a see jitahidi uweze kutangaza vizurii unazinguaaa
Duuuh jux amezaliwa mwaka 1889 khaaa bongo sihami shobo kibao hadi unachapia
@juliusjuma8691
4 жыл бұрын
Duh!!! Hii noma kwa hyo jux amezaliwa karne ya kumi na Tisa au!!! Hahahahahaha
@rehemagala4957
4 жыл бұрын
Jaman jucx ni mbabu wa Babu dadek
@noahbirigi8650
4 жыл бұрын
Jux kuzaliwa kwake
@rahimudanga2273
4 жыл бұрын
Mungu wangu jux eti mtu wa morogoro na mtwara halafu kazaliwa 1889
@nikusubilaobote5111
4 жыл бұрын
Unataka kujua elimu ya watu ili ikusaidie nn?
@emmanuelnjelekela6299
4 жыл бұрын
Wewe the black lihno wapi ?
@graceniyonzima3130
4 жыл бұрын
Vanessa Mzee🤣🤣🤣🤣
@adimonmichael8312
4 жыл бұрын
Acha uongo brother ujui kitu acha kutudangany mnatumlizia tu bando
@yustakilenga1786
4 жыл бұрын
Yusta kilenga hongera Kaka mwana fa
@rabiarabiaiddi1791
4 жыл бұрын
Mtangazaji umekunywa chai Kweli leo? maana una mix mambo balaa😁😁😁
@ashurahaji-gx1oo
4 ай бұрын
Mmhhh mtangazaji anakera kumsikiliza
@mwamfise2314
4 жыл бұрын
Kutangaza bado Rudi mazoezin
@edsonerasto3951
4 жыл бұрын
Duh! Fanya research bro! Mimi mars,moni centralzone, niki mbishi,aika&narheel,mo music,roma... Hawa hukuwaona???
@boyjopar8717
4 жыл бұрын
Bila kumsahau Bonta, re doctor!!!
@aidanjulius3033
4 жыл бұрын
Duh kumbe moni centralzone jamaa kasoma sana yule??
@edsonerasto3951
4 жыл бұрын
Yeah kapiga kitabu! Moni central zone,maua sama pia,stereo na silmsal.... Cpwaa wapo kibao tu
@nickjuma3937
4 жыл бұрын
Unaposema Roma amesoma kwenye chuo kikuu kabisa sijui tukuelewe vipi!!🙈🙈🙈🙈
@allysimon2800
4 жыл бұрын
Unazngua jux alizaliwa 1889
@mubbahbaro3344
4 жыл бұрын
Hongera
@julianamisasi8901
4 жыл бұрын
Sauti yako inaudhi sana
@peterbartalomengowi2913
4 жыл бұрын
Nice
@daudimpulumba6742
4 жыл бұрын
Ss na elimu zao kubwa mbona hata miziki yao haifanikiwi
@ibrahimgwasma235
4 жыл бұрын
Jamaa ni mwongo Sana eti hata kujua Kiingereza ni kusoma eti ,,,
@sophiarichardjmnrubynkpend6960
4 жыл бұрын
Uongo xax
@NR-ll4sr
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@alikokayange1089
2 жыл бұрын
Jux kweli mwaka1889?acha uongo!.
@kheiromar2068
4 жыл бұрын
Hao wote kawazd kw maendleo na ubora katk kaz,au wew unasemaje?
@ahmadymuhina3100
4 жыл бұрын
vanessa mzeee🙌🙌🙌
@neemaelis3939
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂mecheka san
@ommytv9424
4 жыл бұрын
Jaman mi nacheka kwakwer anachapia huyu
@leevanbrightt325
4 жыл бұрын
jux babuu
@jacksonpeter1595
4 жыл бұрын
whuzu umemsahau moshi cooperative university
@mariamukajiru1898
4 жыл бұрын
HAO WENYE ELIMU NDOGO NDIO WAMEWEKEZA KWA KIWANGO KIKUBWA NA KUAJIRI WA- TZ WENZAO, TUSIKARIRI SIFA YA ELIMU YA KWENYE MAKARATASI.
@jumakatema6348
4 жыл бұрын
Mbona kama umemponda sana tid? Kama ngeli ni rugha nyepesi mbona ww kiswahili tu unasoma kwa tabu?
@jumaseif8321
4 жыл бұрын
Jalibu kutafiti vizuli jux hana umli hio wa kuzaliwa 1889.mbona fala ivo acha kutudanganya
@adamkapolo8817
2 жыл бұрын
Mtangazaji bado sana hamna kitu hapo kasome
@saidsoud5967
4 жыл бұрын
Jux 1889 hii kumbe jamaa siwakarne hii..na bado anaonekana hajazeeka
@angelaugustino3341
4 жыл бұрын
Said Soud unazingua 1889
@saidsoud5967
4 жыл бұрын
@@angelaugustino3341 amesema 1889
@annyrutty657
4 жыл бұрын
Said Soud 😅😅😅
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Mmmh we na nae pongo kweli kwaiyo MTU wa miaka ya 80 ndo mzee je watu wa miaka ya 60 si ndo utawaona babu na bibi nawakati MTU wa miaka ya 80 anashea story na watu wa miaka ya 90 na wanaendana fresh tu
@shigangamussa2967
4 жыл бұрын
How Jux kazaliwa 1889 How Mzee, Ndugu mtangazaji tuweke sawa hapo tafadhal
@adamunyeme7372
3 жыл бұрын
umemsahau NANDY naye ni msanii ayekwenda while na anaelimu ya juu
Пікірлер: 585