Mchungaji nakupenda bure, yaani mimi siyo Msabato, lkn ninafuatilia hizi clip zako nyingi, ninajifunza mambo mengi sana sana, Damu ya Yesu iendelee kukufunika na Ulako wake uendelee kuwa juu yako. Natamani sana kupata nafasi ya kuhudhuria moja ya makongamano yako lkn kwa sasa hizi clip zinanibariki sana. Mungu akubariki
@kingdavid1924
3 жыл бұрын
Mch: umechangia saaana kubadilisha maisha yangu tangu nikufahamu mwaka 2019 nimeona mabadiliko makubwa katika maisha yangu Mungu akubariki sana kazi yako ni njema mno! Natamani na nitafurahi tukikutana Mbinguni.
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
@eddahnyongesa9819
4 жыл бұрын
Napenda sana mahubiri yako God bless u so so so much
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
Yaani mimi ni dhehebu fulani lakini mahubiri yako uwa yananichoma sana moyoni mwangu na kunifungua kujua yote yaliyojificha kuhusu vita ya shetani ya kimya kimya kwa wana wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Anitha Buberwa Amen
@marycheupe8613
4 жыл бұрын
Barikiwa saana mtumishi haki libarikiwe tumbo lililo kuzaa
@kisoimunyithya3893
2 жыл бұрын
Amen mchungaji, tumefundishwa mafundisho ya uongo, eti Mungu wa upendo atachoma watu waliokataa kutubu katika moto wa milele, Sasa Leo kimeeleweka
@lameckmtaka2659
4 жыл бұрын
Umesema kweli mtumishi Mungu akubariki
@joyestherbagarura954
4 жыл бұрын
He is naturally bright!!!!! Mungu atukuzwe!!!!!
@mn9484
4 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuwe na umoja watoto wa Kristo na tuwe na maombi binafsi . Devotion nimejifunza inasaidia sana maana hizi ni siku za mwisho. Somo zuri sana, limenifungua macho zaidi, roho wa Mungu amenena kupitia Mchungaji. Mungu akubariki sana Mchungaji.
Amen amen ukweli sisi wa kiristo hatuna umoja, kitu cha kwanza YESU amerundi neno la upendo wa jirani swali langu kwa kitabu cha kutoka 20 :9 - 11, wakolosai 2 :16-17, Warumi 13 :1-4, 14 :13na Mathayo 5 :17 - 18, 22 :37 - 40,. Tukindumisha upendo katika ukirito hatutakuwa na siku mbili mahana katika amari kumi za MUNGU hakutaja jumamosi wala jumapili ila siku ya saba ni Sabato ya BWANA. Nini mahana ya neno "Sabato "ni Jina ya siku ama ni siku ya" kupumuzika" siku ya Bwana. I love you Mwalimu you are good to make some one to understand quickly where you are going in Christianity life. May God bless you and your family in Jesus name amen
@jamesonzere5255
2 жыл бұрын
Ubarikiwe, na Bwana atukuzwe milele
@ndetitave9074
4 жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia nakupenda Sana unavyuhubili
@hellenratemo2813
Жыл бұрын
Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed ND grown spiritually
@claudinebatamuriza7804
4 жыл бұрын
Mungu akumbaliki pastor 🙏🙏🙏
@rhinakiza
4 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana
@isacknikombolwe8961
3 жыл бұрын
Amina mungu akatufunulie tuyatambue zaidi maandiko yake
@evelynkemmy9980
3 жыл бұрын
Ninapenda sana jinsi unavyomtukuza Mungu.Mungu apewe sifa milele na milele
@t7zkc5tpxgim28
4 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana pastor
@pilotmomes6953
Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri pastor
@huldakirururu8950
4 жыл бұрын
Mungu akubariki mch, baba wambinguni tusaidie tupokee nakuyafanyia kazi katika jina la YESU.
@mrredbtv5283
3 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@sheilaombongi8086
4 жыл бұрын
Amina sana pastor, mungu atusaidiye tuwe wamoja kwa kiroho amen
@shummudy3163
4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kufunua mambo hayo
@mashaelieazer6120
4 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa bwana
@albatybbarikiwasanaprmbaga7773
4 жыл бұрын
Barikiwa sana pr naelewa sana mahubiri yako
@viviansalem2611
3 жыл бұрын
Amen amen
@BwJnyamari
3 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa somo hili.
@jacksonmoturi9114
4 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kwako. Mungu akubariki Pr.
@jescaabraham1314
4 жыл бұрын
MUNGU akubariki pastor najifunza 👏
@mvaramchome6909
4 жыл бұрын
Kiukweli pastor kusaidiana inahitaji maombi sana kwasababu tukisaidiana ni kweli kuna majivuno sasa umoja utaletwa na maombi ingekua vizuri viongozi wakiongeza msisitizo kuhimiza watu katika maombi ili tuwe na UMOJA
@mussacharles5311
5 ай бұрын
Napenda sana kufundishwa na wewe,na nikweli unadigili.
@jescacharles4188
4 жыл бұрын
Pr kila nikikusikiliza huwa napata kitu kipya kila siku kwakweli mungu azidi kuwa nawewe
@jonathanjacob173
4 жыл бұрын
Pastor mbaga utabaki kuwa juuu
@danymwiyale1358
4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@dorcasrhobi8211
Жыл бұрын
AMEN
@gracezunda3312
4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na masomo haya mchungaji
@amirismail6015
3 жыл бұрын
Aman
@amirismail6015
3 жыл бұрын
Amen
@mbbars2740
3 жыл бұрын
🌎🌍🌏
@mariafrancempawa9213
3 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji
@maelkivunge8186
4 жыл бұрын
5 Yes I agree
@andreaobadia8996
4 жыл бұрын
Mtumishi nabalikia Sana maubili yako mungu akutie nguvu Sana
@mandwashija4992
4 жыл бұрын
asante kwa somo zuri pr
@mbbars2740
3 жыл бұрын
🕳amen 🕳
@alexmanyama7607
4 жыл бұрын
N kweli pr kiongozi ni lazima awe mfano Bora kwa kila jambo
@mwambakibucheche1119
4 ай бұрын
Amina
@shimwekagwiza3731
4 жыл бұрын
Aminaa
@mlokokweli1985
4 жыл бұрын
Wee Mola, Mungu wetu dumisha umoja
@eliasharun3273
4 жыл бұрын
Tunabarikiwa na Mahubiri.
@divvanajohnson4895
2 жыл бұрын
Yani asikwambie mtu huwezi fanya chochote Vila roho kukuongoza au Kama uwepo wake upo mbali….
@phinawatwego7260
3 жыл бұрын
Aminaaaaaaa
@yvonneamekakaombeniwimbomu8312
4 жыл бұрын
Kweli kabisa upendo ume kosekana ndani ya wa kristo.
@geraldmkoma3516
4 жыл бұрын
God bless you PR
@Werema3760
3 жыл бұрын
Mama white ndio nan ktk biblia make namsikiaga tu! Au nimwandishi wa vitabu kama waandishi wengine? Au mtume na nabii?
@damianlugendo9161
4 жыл бұрын
Saf
@eliakanyika8443
4 жыл бұрын
Huyu paster namwelewaga sana
@marycheupe8613
4 жыл бұрын
Hako karoho ka utenganisho kashinde mfululizo
@emmanuelmbwambo6571
2 жыл бұрын
SAWA commander 🤔.
@mbukesimuli4646
4 жыл бұрын
Amen somo zuri saaana
@michaelassam5789
4 жыл бұрын
26:40 cijaelewa hii bado. Kwa maana makanisani kuna ripoti ambayo walimu wanakusanya. Hiki kipengele kipo. Imekaaje hapo
@bensonminja1289
4 жыл бұрын
Mchungaji hapo kwenye moto wa milele bado sijaelewa
Пікірлер: 73