Hello pastor naitwa irine from Kenya but currently in iraq mahubiri Yako imenitoa mbali sana I want to say thank you for your good job may bless you more and more
@IrineJeptoo-g3s
7 ай бұрын
May God bless you 🙏🙏
@shadrackmagafu5464
7 ай бұрын
Amen Mungu wetu akubariki sana kwa mafundisho mazuri nimebarikiwa sana kila unapohubiri
@MarimaAlez-kc5rj
7 ай бұрын
pr bwana hasifiwe pastor naomba uniombeye niwe mshindi wazambi na nisimame vizuri kiroho kwajina la yesu Amen
@shadrackmagafu5464
7 ай бұрын
Bariki watoto wangu wote wape uponyaji
@janetwambuchi830
7 ай бұрын
Nimejifunza mengi sana tangu nianze kukuskiza pr be blessed 😊
@agnesmushi5709
7 ай бұрын
Baba Mungu akubariki pastor , nimejifunza mengi sana 🙏
@RurbenCastro
2 ай бұрын
Mungu amenibariki kutokana na neno Hili ...kwaivo ni hobi langu kila mtu abarikiwe na neno ili maana lina guru said.
@tukaesanatu2754
7 ай бұрын
usemayo ni kweli kabisa,,namuomba mungu anisaidie nisimsahau,,asante kwa mafundisho yako,,mungu akulinde David
@sabinaleonce8243
7 ай бұрын
Mungu akuinue ktkt viwango vya juu nasi tupate kufunuliwa neno la Mungu
@Esther-t3j2r
7 ай бұрын
Watching from Nakuru Kenya. Thanks a lot Pastor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@eustina0
7 ай бұрын
Mombasa cement Mungu amubariki amekuwa kioo cha msikin kenya
@MussaPanga
7 ай бұрын
Nakupa ya sana pastor BWANA akubariki
@joycethomas6619
7 ай бұрын
Pastor naomba uwaombee watotot wangu wanakuwa wanaugua kila wakati Yesu kristo akatende juu yao,,, amina
@MwamvitaPhilipo
2 ай бұрын
Nazidi kubarikiwa kwa Kila neno la mungu
@EnockMASABO
Ай бұрын
Mchungaji jua kwamba umenivutia katika vipindi vyako niko Burundi❤
@ziporamachilu6877
7 ай бұрын
Nabarikiwa sana na hili somo nakuombea mema mchungaji ww ni mwalimu sahihi
@rahimajuma5306
6 ай бұрын
Mungu skubariki
@robardmutisarobard4605
7 ай бұрын
Amen pastor unarusaidia Sana kutulisha chakula Cha kiroho.MUNGU wa mbinguni asifiwe na akuongezee miaka mingi maana wengine wetu Kama Mimi umenitoa mbali
@faustermtavangu8212
7 ай бұрын
Naomba uiombee familia yangu isimame katika utoaji wa mpango na kusimama ktk Imani kikamilifu..
@ModestMTito
7 ай бұрын
Asanteni Mchungaji kuendelea kutufunukia Siri ya maisha ya ushindi, Kwa kuwa mbaraka Kwa watu wengine Bwana azidi kutujaza Roho Mtakatifu ili atuogoze katika kanuni HII ya mbinuni ya upendo
@hamidammbaga3559
7 ай бұрын
Namtukuza Mungu kwa ajili ya neno hili ambalo limepenya ndani ya nafsi yangu. Mungu akubariki pastor Mmbaga
@fatemajohn3195
7 ай бұрын
Amina na barikiwa sana na mafudisho yako MUNGU akubariki sana pastor
@EucabethMomanyi-v1q
7 ай бұрын
Amen,Mungu akubariki sana mchungaji kwa kazi ambayo unayoifanya pamoja na wale mnaosaidiana nao ilitupate neno hapa mtandaoni ,nimejifunza mengi,Mungu awajaze nguvu na neema yake itoshe
@Edinahnyaboke-b9o
7 ай бұрын
Amen hallelujah
@ziporamachilu6877
7 ай бұрын
Nabarikiwa nibariki na nyumba yangu yote ktk maombi
@olphanyamweya3154
7 ай бұрын
Good morning 🌄 pastor, maisha yangu Iko hapo Kwa miiba nijitoe aje 😭😭😭😭
@ronaldomoso5648
7 ай бұрын
Natuma Ombi langu tena pastor, Mungu anibariki na kazi tangu mwaka jana nilipoteza kazi hadi sahii bado sifahulu,niombe Pastor milango yangu ifunguke.
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO
@janetfrancis7180
7 ай бұрын
Bwana YESU naomba umponye mdogo wangu bawasiri kama ulivyo mponya majipu mtumushi wako Ayubu
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
Mungu akutendee muujiza
@BonfaceOngori-we6hg
6 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe na Mungu atukuzwe
@jamesnyamweya9273
7 ай бұрын
Amen 🙏🇰🇪
@josephrubanda282
7 ай бұрын
Amen
@zeliageorge3311
7 ай бұрын
Amina, Mungu atusaidie kusimama.
@josephatkaitira6100
7 ай бұрын
Ushuhuda wangu siku 1 niliingia katika jaribu la Kwenda kwa Mganga baada ya kutapeliwa gari yanguu lakini rafiki Mmoja akanambia twende Kusini kuna Mtaalam anaweza kukufanyia na mali zako zikarudi nilikubali!!! Ila nilipotoka hapo Roho yangu iliumaa sana nilipiga magoti nikaomba Msamahaa mbele zangu nikiamini Mungu atanitendea japo mpka leo sijalipata gari langu lakini naamini ipo siku litarudi
@golasrichard4400
7 ай бұрын
Be blessed pr
@sabinaleonce8243
7 ай бұрын
Amina
@robardmutisarobard4605
7 ай бұрын
I'm Richard mutisya from Nairobi Kenya pipeline area
@SafiKatungu-i2m
7 ай бұрын
Jambo Pastor. Naomba maombi kwa ajili ya kaka yangu mdogo ambaye amekumbwa na uvutaji wa bangi na madawa ya kulevya huko Congo na hata amebatizwa kanisani lakini hajabadilika.
@carolinederi5690
7 ай бұрын
Ni kweli mtumishi am from Mombasa kila jumapil family nying huenda apo mahali ( kwa Pere) wanapewa chakula karibia mikoa mitano huilisha na kma mko wengi kw family waeza maliza week nzima hamnunui chakula dukani😂 Ukienda upande wa barabara ni yey upande wa museum ni yey, mahospitali ni yeye... Mungu aendlee kumtunza baba huyu🙏
@KendiLydia-tf2ii
2 ай бұрын
🙌🙌🙏
@Calton898
7 ай бұрын
Amen 🙏
@lucykarii6860
7 ай бұрын
Pr utusaidie kuomba tuna case kaka yetu mkubwa alichukua loan n shamba letu tulijua lilipo wekwa gasetini kupigwa mnada,Mungu atujalie iishe sbb atakulipa wakili imekuwa ngumu kw sasa
@mokamikoko9742
7 ай бұрын
Poleni sana
@viddamgeneka8881
6 ай бұрын
Oh maskin. Mungu atawasaidia
@dorcasrhobi8211
5 ай бұрын
Mungu awasaidie
@JoyceMalogoi
Ай бұрын
Barikiwa Sana PR,nakushirkisha kumuombea Baba yangu amekua na tatizo la mguu hatakukatwa baadhi ya vidole na sasa bado yuko Bugando Hospital,Bwana amponye kiroho na kimwili.
@eunicenyandega
7 ай бұрын
Pastor..siku moja nilikusikiliza ulikua unahubiri kuhushu Imani ukasema ulikua unasema Ile gari ni yangu, kwa kweli Hilo neno nilifanyia zoezi mwishowe mungu alinibariki nikapata gari..KDB
@eunicenyandega
7 ай бұрын
I say thank you may the God continue bless you abundantly..kupitia wewe mungu amenitoa mbali..na ninaamini ananipeleka mbali zaidi
@eustina0
7 ай бұрын
Aminaaa
@MaheriGati
5 ай бұрын
Ushukuriwe MUNGU muuba mbingu na nchi kwajiri ya mtumishi wako mbaga nilipo sikiliza kwenye you tube mahubiri ya ushuhuda wako nikaamini nikabatizwa 2020 nikakata tamaaa leo ameniinua tena baba yangu uliye juu nikutumikie sasa maana hili somo limenigusa mimi
@ChristinaKatutwa
7 ай бұрын
Walioanzisha vipindi vya dini shuleni na vyuoni wabarikiwe
@tsongonadine386
7 ай бұрын
Amena
@MortonKaunda
7 ай бұрын
Mchungaji naomba uponyaji katika Familia yangu
@josephinesanita4904
5 ай бұрын
Pst Bwana asifiwe, mm nko na swali, je mkristo anafaa kutoa rushwa wakati anatafuta kazi
@essymutseke
7 ай бұрын
Tayari kusikia neno la Mungu
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
KARIBU
@JacklineMoti
7 ай бұрын
Waiting for
@Margrethmyovela-jw2xr
7 ай бұрын
Naihitaj nipate kuhama ofisi ninayo fanya kazi kwa jina la yesu
@janetfrancis7180
7 ай бұрын
Muombe Mungu akupe office sahihi
@yakobofumbuka-ry4mh
7 ай бұрын
Barikiwa
@StivinSamwel
7 ай бұрын
Pr pia naomba masomo ya.kufanya.kazi kwa bidii iliyaendelee kututia nguvu vijana
@lucykarii6860
7 ай бұрын
Amina amina
@paschal04tv84
7 ай бұрын
🙏
@emilyasati2357
7 ай бұрын
Naomba pastor no ya whatsapp, be blessed
@ElijahMosong
7 ай бұрын
Emeeeeni
@JasmnBeenad
7 ай бұрын
Niombee mchungaj niweze kupona matenzi yalio kuwa yananiuma kupitia neno lako llkuwa lnasema usihofu majibu ya daktar yanasema nn ww mtumainie mungu pasta nimepona namba uniombee yasirud tena Amina
@alicemwaka3762
7 ай бұрын
Emeeen
@lynnijayiongadi8134
7 ай бұрын
🙏 🙏 🙏 🙏
@essymutseke
7 ай бұрын
Still waiting
@BrianSilomba-h7w
7 ай бұрын
Hakika MUNGU anasema na mimi Yesu anisaidie kupata kumfanya kuwa wa kwanza
@neemaisaac8356
7 ай бұрын
Namba havionekani vizuri madishi ni kidogo sana siono
Пікірлер: 89