Sio siri mie huwa nakufutilia sanaaa Dr sule toka enzi za mihadhara uliyokuwa ukishirikiana na akina mazinge,upo vizuri sanaaa Allah akuzidishie kheir duniani na akhera inshallah
@kimsamir965
4 ай бұрын
Safi sana DR sule nakupenda sana na mungu akuweke kher nying ziwe juu yako mwalimu
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@hassannassoro5542
Ай бұрын
Dr naeeeh et majini shikamooo😂 p1 Sure piga kazi mbona wengine wanakwenda kupaka mafuta kule kawe. Piga kazi na wew 🙏💪
@hubagacheri9172
4 ай бұрын
I am with you on that point ☝️ dua is very important for everything you do in life 💓 may Allah make everything easy for us all
@mashakabundala9955
4 ай бұрын
Aamin yaa Rabir aalamin
@mariamsaidaboud4959
Ай бұрын
Ameen yaa Rabbil Alameen
@wazirihamisi6484
4 ай бұрын
Huyu jamaa mshirikina kweli kweli wallahi yani masheikh wa bidaa mtihani sana alhamdulillah kwa neema ya sunna
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@sammarley1413
Ай бұрын
@@robertgeofrey4118 yesu alikula kipigo Hadi kufa uci tena hukubakiwa ameninginia kwenye mti sasa ww endelea tu kuamini ujinga
@njovuchristopher5162
4 ай бұрын
Hakuna point hapo majini roho chafu unazitumiaje kama wewe mtu wa mungu
@Nasir-zc1mz
4 ай бұрын
Huyu nae mganga yaan hap anachanganya ukwer na uongo kuchanganya watu
@SKELETON-m9e
4 ай бұрын
Kipindi unapinga uwe unatoa na dalili zake kaka usipinge t af ikawa huna ushahidi
@selemanigongi8970
4 ай бұрын
Je hakuna roho chafu za watu mbona wengi, zinaa ,dhulma, Rushwa , kamali ushirikina
@boscojohnny8980
3 ай бұрын
Umeongea vizuri...huyu ni mtu wa mungu wala sio mtu wa Mungu
@KisesaFeruzi-zy9tw
3 ай бұрын
Uyo Jamaal atachomwa uyo aaaaaa!
@IslamAhmed-xd5my
4 ай бұрын
Asalamu aleykum katika utumizi wa kumtumia jini haifai wanazuoni Shafi hambal Ahmed Maliki Hanafi hakuna hata moja wao anakubaliana nahili lakumtimia jini nooooo
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@MariamJuma-nj9fc
4 ай бұрын
Waislam wenzang. Naihusia nafsi yangu pamoja na nafsi zenu , Wa maa khaltul jinna wal insa illa lia'abudun.
@rajabhamis7595
4 ай бұрын
Ukumbuke pia Nabii Suleyman aliwatumikisha majini
@sammotv6920
4 ай бұрын
Yule ni nabii. Na alipewa hayo Mamlaka na ndo mana hata yesu alipewa uwezo wa kuumba baadhi ya vitu na mtume Muhammad SAW alioa waake 11 lakin sisi tunaruhusiwa wake wanne tena kwa mashart kwahyo usifananishe mitume na ssi
@danticboy
4 ай бұрын
Yey aabudu majin bali linamlind ebu mskiliz shekh ban
Mungu wangu hawa ndio viongozi wa WaIslam 😢😢😢 Utajiri wa Majini 🤔 Njooni kwa Bwana Yesu Njia,Ukweli na Uzima wa Milele
@user-kz7nx8xe4e
4 ай бұрын
Kiongozi wa waislamu gani acha upuuzi
@GatekaNene
4 ай бұрын
@ Patrickmaina 5459: Hawa ndo waislamu sasa wengi wanampinga doctor Selle eti sii muislam kisa tu anasema maana halisi ya imani yao na majini sasa sijuwi ni kipi kinaco kuwa ca ukweli kwao maana ukisema ukweli kuwahusu wanakuja kukupig vita basi waacane na hiyo dini ambayo aiwapi amani ndani yao. Wa kisikiya ukweli juu yao inakuwa kama mkuki mkali ndani ya miyoyo yao sasa faida gani ya kuwa kwa dini hiyo?? YESU ni Bwana Mwana wa MUNGU aliye hai Amen
@patrickmaina5459
4 ай бұрын
@@GatekaNene kweli kabisa
@salamasongoro520
4 ай бұрын
Wew apo ndo umechemsha ss kwn hakun wtu wanajiit akina yessu😅😅😅
@GatekaNene
4 ай бұрын
@@salamasongoro520 kuna YESU KRISTO alafu kuna wanao jiita Yesu ulishawahi sikiya mtu akiijita YESU KRISTO tangu hajaj KRISTO na tangu alipo ondoka hapa duniyani???
@RynoFiree
4 ай бұрын
Yani Dunia imeisha ushirikina unaharalishwa et majini yapo sawa duh 😢😢😢
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Ndiyo sheikh mbobevu Anatoa dawah Hiyo 😢..Ila pengine anajua tusiyoyajua 🤔
@user-jz2fv1qv7j
2 ай бұрын
Eti
@user-iy3fx7cl1j
4 ай бұрын
Mm namuelewa vizur Dokta sule,Na hili swala la kila binadamu anakuwa na jini ama ana rafiki jini ilo ni kweli wala halitaki tochi,tatizo la watu hawana elimu
@arafatali2796
4 ай бұрын
nkweli
@albertbissaga1425
4 ай бұрын
Hayo mnayo nyinyiwaislamu tu.
@saidbakari2408
4 ай бұрын
@@albertbissaga1425wakristo na waislam acheni kuabudu vitu vya watu hizo ni tamaduni za watu karibuni kwenye asili yetu
@kanzucentre3468
3 ай бұрын
Ni kweli lkn sio wa kutuma wala wa kutoa ulinzi , haya ya Sule ni ushirikina
@sammarley1413
Ай бұрын
@@albertbissaga1425 papa juzi juzi tu amesisha mbandikwe nyuma Yan kuanzia sasa kwamujibu wa kabisa na papa ushoga free unasemaje ??? Nikutaftie mume uondowe zogo hapa ???
@dorcasmukhanji5231
4 ай бұрын
Waa Waislamu balaa, mimi niko na Yesu ndani yangu,rudieni Mungu, hakun jini mzuri dunga hii, pepo ni pepo
@rumdeesonsoa1811
4 ай бұрын
Huyo Yesu ulienae ndani yako ndio jini mwenyewe
@prochesernest5439
4 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811wewe ndungu WA majini hachana na majini mapepo wachafu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@vincentcharles4385
4 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 Allah mwenyewe ni jini kamrithisha na swahiba wake Muhammad,yaani mmepigwa kiini macho tu,Amkeni Yehova is watching you,still you’ve time 😎
@GatekaNene
4 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 huoni aibu kusema kuwa YESU ni jini?? loooo
@mubarakiddy-ll5qs
3 ай бұрын
@@vincentcharles4385Hapana kaka... Allah ni kiarabu tuu maana yake ni Mungu mkuu...muumba mbingu na nchi na Kila kitu kaka
@banyankirubusamarc1727
4 ай бұрын
Ushindwe kwa jina la Yesu, nyiye waislamu munaamini katika majini ndoo mu na majini, na mutume wenu alitumwa na mukuu wa majini île Siku maswahaba walimutafuta Waka mukosa Ali itwa na mukuu wa hawo majini akaende aya somee koroani .
@SharifuRugema
4 ай бұрын
Vp ungekaa kimya ungepungukiwa na Nini
@MariamAsudi
4 ай бұрын
Samahani kama litakuudhi lakini ukianza kuwatukana waislamu fikiria mara mbilimbili,kwa elimu Gani basi mlio nayo nyinyi , usitudhalilishie Dini yetu kabosa Yani ,mara mia mtukane muislamu ila usiutukane uislamu mara elfu mtukane muislamu ila usijaribu hata kwa bahsti mbaya kututukania mtume!!! ALAFU NASHANGAA YANI WAUMINI WANSTUKANWA PAMOJA NA MTUME WAO ALAFU WAMENYAMAZA 🤔🤔.ALAFU KOOOOMA KAKA Tena mwanzo mwisho kutukana mtume ,,,Aya unayoijuwa ni hiyo tuu yenye mtume alienda kuwasomea majini Quran, ila ayah zingine zinazozungumzia kuwa nyinyi ni makafiri mlio ahidiwa moto huzizungumziii we vpi Qirani yenyewe hujuwi kuiandika alafu unajiproud "(KWA JINA LA YESU)" we ungemjuwa YESU wafkiri ungekuwa mkristo??? Tena koma kututukania mtume kama uko tayari nitafute nikuonyeshe nani wenye elimu bana yetu na nyinyi ☪️☪️☪️ for life
@mwangometabu5461
4 ай бұрын
Wacha ujinga wewe,
@MariamAsudi
4 ай бұрын
@@mwangometabu5461 ndio noache ujinga kisa nazungumza ukweli hata mfanye nini hatuingii kwa lolote.Elimu zenu mdogo mnataka kushindana na sisi mtatupatepi kama ukweli upooo basi uzungumziwe tuu ya nini kujibanabana ?? Hamna lolote kwani mie siezi kuwa mjinga kwani ni mwalimu wenu .Toka lini uliwahii sikoa mwalimu Kawa mjinga kwa wanafunzi wake 🤔🤔🤔 kubalin au pingeni uislamu ndio dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu na ndio iliyoshushwa nayo manabii wote akiwemo YESU na wamwisho Muhammad (S.A.W) Sisi ndio WAUMINI banaaaa
@BakariWinza
4 ай бұрын
Utoto unakusumbua ukikua utaacha
@odhiaodhia9898
4 ай бұрын
Yesu ni Bwana na tunalindwa kwa moto sitamani hayo majini wala si kitu kwangu
@matikomrimi8222
4 ай бұрын
Emu iruhusu akili yako ifanye kazi huo moto ni upi malaika na majini wameumbwa kwa nn si ni kwa moto kwanini akili yako isifanye kazi
@sapduke8691
4 ай бұрын
What is the difference between Jini na Malaika? Where did u get Jesus from? Who were u b4 Jesus the white man?
@MohdAli-cn2cs
3 ай бұрын
Wewe inakutosha uamini kua mungu ni mmoja tu wapekee hana mwana wala hajazaliwa Na nabii issa au wewe unaemwita yesu ni bwana wetu kweli mana yeye ndie mtume wake mungu alie tukuka ila sio mwanae.
@MohdAli-cn2cs
3 ай бұрын
@@matikomrimi8222 Wewe akili yako ndio haijafanya kazi mpaka hapo mana swali lakijinga sana Malaika kaumbwa kwa nuru na majini kwa moto Sasa unafikiri ndio hoja hio kwamba moto haupo au Moto upo na unawaadhibu mpaka majini waovu kama huamini kama moto unamuumiza jini bc hebu mtu mwenzio akupige kibao ivi uwone kama hutoumia na kwann uumie na wewe umeumbwa na udongo😂
@PatriciaAkena
3 ай бұрын
Sisi tunayo roho mtakatifu.. hakuna utuogonza..majini yesu. aliyafukunza
@janepherjackson9693
4 ай бұрын
Kila kiumbe ako na malaika lakini sio jini
@MohdNgwali-f2z
4 ай бұрын
unaakili ww soma hadithi ya mtume alipo muuliza jini (ww Aisha au jini unaekaa nae)
@fundimagari5825
4 ай бұрын
Maraika anakaa na nani? Maraika hana huo mpango wa kukaa na wewe ...iyo ni kazi ya majini...maraika wanaishi mbinguni...wanafikisha ujumbe kwa style yao lakini sio kukaa na wewe
@elishatotolela3843
4 ай бұрын
Mbiguni ni wapi?@@fundimagari5825
@davisngahwela
4 ай бұрын
@@fundimagari5825 mzee uko proud kabisa kwamba majini Yanalinda watu😂 afu usikute ni baba wa familia kabsaa 😂 nyie
@khloevibe7569
3 ай бұрын
@@fundimagari5825bac 2fanye ww una majini sie tuna malaika...
@innocentndikumana8928
4 ай бұрын
Mashallah sheikh Sulle uko vizuri
@SKELETON-m9e
4 ай бұрын
Yupo vizuri sema watu wanapinga ila ushahidi hawana
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@RashidiKoloa
3 ай бұрын
Ulinganizi bila elimu lazima uwemganga umesilimisha wengi mashalla ila yamepomoka matendo yako baada yakua mshirikina dktar sule alla akuongoze utubie kabla kufa
@Mammy-eq7ef
4 ай бұрын
Mm wa kwanza nitakutafuta kwakweli nimepata mafunzo nanimefunguka akilii
@nixonlangat4005
3 ай бұрын
Kuja kwa kristo
@Mammy-eq7ef
3 ай бұрын
@@nixonlangat4005 amen🙏🙏🙏
@MobutuSeseko-p5u
Ай бұрын
Me niko Na Rafiki jini Nampenda sana
@ZainabNyandieka
Ай бұрын
Chief Nisaidie kulielewa
@PaulKisui
4 ай бұрын
hii ni kweli mtu wa Mungu endelea hivohivo
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@nubianqueen6700
4 ай бұрын
The power of controlling the jinn was given to prophet Sulaiman AS alone, and was not given to anyone else after him.
@nuhukenny7183
4 ай бұрын
Dr Sule iko sahihi. Kama nyiye wapinzani muendeleye kupinga
@abdikadirdida7740
2 ай бұрын
Labda kwako
@musticonka484
4 ай бұрын
Sheikh wangu sule nakuelewa sana usemayo ila nawasiwasi kama kwako ipo kibiashara zaidi? Hope haiko ivo maana ni hatari hii sheikh kufundishs watu namna ya kupata mali kupitia majini
@muniraally4091
3 ай бұрын
Shirki tupu
@isaacbuluma
3 ай бұрын
Kama ulipewa mini na mungu mbona ukitumia kibiashara inakuwa shirka. Naamini mungu bila jini mimi
@barakahazard3182
3 ай бұрын
Ila jini nae ni kiumbe ila tu kagewa nguvu tofauti na binadamu
@Issa-ud6sy
4 ай бұрын
Tupe Aya inayo SEMA tuletewe Mali na majini
@zedibansa9615
4 ай бұрын
Wehuna akili nawe tupe Aya inayosema binadam akupemali
@user-iy4uq3zw1b
4 ай бұрын
@@zedibansa9615 Hakuna aya hyo yakumwomba binaadamu Wala jini akupe Mali zaidi ya kumwomba MUNGU
@zedibansa9615
4 ай бұрын
@@user-iy4uq3zw1b kwaiyo ikitokezea akikupa usichukue ama
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@user-jz2fv1qv7j
2 ай бұрын
Ndio, ushirikina tu
@gracew7460
4 ай бұрын
Mungu wake ni shetani
@jannffer
4 ай бұрын
True wakatoa kwa samaki the holy spirit is great can do anything at any time
@RukiaTanzania
2 ай бұрын
Mw mungu ametuumba binadamu na majin kwa ajili ya kumuabudu tu uuu sikwajengine
@muktaromar5501
4 ай бұрын
Asalaam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh bwana Sule. Kutumia majini sawa ila mbona haujasema conditions ama masharti yake?
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@onesmosizinga7413
4 ай бұрын
Hakuna ukweli hapo
@leko3040
4 ай бұрын
Majini sisi wakristo hatuna holy spirit is with us
@braqutourssafaris4672
4 ай бұрын
Kwa hiyo mule kanisan mnapo ombewa na wengine wakianguka wale pia ni waislamu😅😅
@majutomusegu
3 ай бұрын
Nyinyi.ndio sana
@sammarley1413
Ай бұрын
Kwaajjjjjina la bwana ushhhhhhindwe Toka Toka kwa jjjjjjjina la bwana kina Nani hufanya hivo namnawaombea kin Nani??? Pumbavu mkubwa ww
@barkanassir2528
4 ай бұрын
Umenipunga ustadh wetu ❤❤❤❤❤ kweli kabisa
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@DavidMatata
4 ай бұрын
Surah Al jinni (72) majini wanasema wao ni waislam kwa hiyu Dr.Sule ni jamaa zake... Takbirrr.
@chancekambale3498
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 unawaweza
@vincentcharles4385
4 ай бұрын
Huyo ni mpiga ramli tu
@DavidMatata
4 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Kwei kabisa
@aljalilatiba9873
4 ай бұрын
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@aljalilatiba9873
4 ай бұрын
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@mustafa-sc2gc
Ай бұрын
Dr. Sule, kama Una majini wengi matajiri kwann bado uko maskini??
@sharifahabsi5004
4 ай бұрын
Mashaallah 🎉
@rizikinassor5618
4 ай бұрын
KENGEREE😂😂😂na we sheikh umshirikana😂😂😂😂😂😂😂
@johngeorge4834
3 ай бұрын
😂😂🎉
@oscarngowi4750
4 ай бұрын
Hii ndio tofauti kubwa ya dini ya ukristo na wislamu. Kwa ukristo majini yote ni mabaya yaliasi yakafukuzwa mbiguni yanasubiria Moto siku ya kiama
@NasibuAlban
3 ай бұрын
Acha unafiki qurani inakataza kushirikiana na majini huyu sio dini ni yeye binafsi acha chuki na uislamu mbona ndoa za jinsia moja zinafungwa makanisani mnasambaza ushoga mbona ni wakristo ndio wanafanya hivyo mmekaa kimya tu
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@SaidSaid-rm8wq
4 ай бұрын
Kwa nini tusimtumie Mwenyezi Mungu peke yake bila msaada wa majini wakati yameumbwa kama Sisi
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@josephmarwa4623
3 ай бұрын
Mwawanyima waathiriwa haki zao kesini kwa kuiba mafaili ya kesi
@Putin331
4 ай бұрын
Huyo shee mbwa❤ mwizi
@salumuledisalum8038
4 ай бұрын
sio sheikh huyu ni mpuuzi fulani tu
@harrietkiden7808
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@banyankirubusamarc1727
4 ай бұрын
@@salumuledisalum8038 sule ni sheik tena mukubwa yeye alisimama kwenye mihadahalo mikubwa mikubwa pamoja na mazinge na Saidi kinyogori , tena hawo masheik wakakubali katika midahalo hiyo yakwamba shetani ni mwislamu . Nyie wa waislamu wa dogo wa dogo hamujaenda kusoma dini ndoo hamujui wale masheik wa najuujua wislamu, yani nyie wadogo wadogo ni bubu tu .
@naomicharles5444
4 ай бұрын
Amna kitu apo akunaga jini mzur, misikit yote ina majini
@majutomusegu
3 ай бұрын
Sasa wewe tutakushugulikia
@hubagacheri9172
4 ай бұрын
I agree 💯 with you 💯...
@hadijatwahadossa
4 ай бұрын
Sule uko vizuri sana ila watu hawataki utupe hii elimu, binafsi nakuamini sana
@Mwanasiti-w2p
2 ай бұрын
Doctor sule nakupenda kwa ajili ya Allah
@abdikadirdida7740
2 ай бұрын
Wewe pia mushirikina
@DesireHenk-pr8qp
4 ай бұрын
Ishaallah mungu akupe maisha marefu kwa elimu ulio tupa alakini uwe unatujibu tukikuakiandia private namba yako
@AlhajiMuhammad-cd3pr
4 ай бұрын
Dr nipe namba yako
@sophiezakaria
4 ай бұрын
Ni ukweli,warabu wana majini ya kuwaletea mali 😂
@sultanaswaleh7813
4 ай бұрын
Nahao wanao lala na joka huko Tz. na kulala na wazee wao na Wana wao na mengine mengi. Ni waarabu hao ?
Ndio maana Zanzibar watoto wa shule,wanapandisha majini makelele,shule nzima,
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Yohana 14 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
@kanzucentre3468
3 ай бұрын
Kwani huyo mganga Sule ni Mzanzibari?
@KenzyKenzo-s5h
Күн бұрын
Waslm kumbe washrkna
@user-cy4xf1eu3q
4 ай бұрын
Kweli Elimu zipo ilo silikatai
@KoomeNzima-e2v
4 ай бұрын
Yesu ni mwana wa mungu
@odhiaodhia9898
4 ай бұрын
Yesu ni Bwana wa yote na ni Mungu
@jamesetyang435
4 ай бұрын
Amen
@user-iy4uq3zw1b
4 ай бұрын
Yesu hawezi kuw Mungu@@odhiaodhia9898
@PastorPhilipMbaabu.
4 ай бұрын
Sisi wakristo hatuna majinn kwani majinn ni mashetani waliolaaniwa na Allah yaani Yesu, Mungu wa milele.
@saidbakari2408
4 ай бұрын
Karibuni kwenye asili yetu waafrika hizo dini zenu uzungu wenu na uarabu utawaponza one day endeleeni kuwa abudu watu waliowapeleka utumwani
@mohcreative
4 ай бұрын
Astakhfirullah. Yesu so Allah ni Mtume Issa
@GatekaNene
4 ай бұрын
@@mohcreative sasa na wewe YESU atakuwaj Issa ao atakuwaj Allah?? Usifananishe YESU KRISTO na vibwega vya ajabu ajabu
@mohcreative
4 ай бұрын
@@GatekaNene Pumzi isikuhadae mkuu, kumbuka Kuna maisha baada ya kifo, rekebisha kauli yko Ili cku yako ikifika kauli io isijekukuponza. Ni wasia tu kam binaadam.
@fantasyfam126
4 ай бұрын
Mnayo majini
@BakiliMohamedi
4 ай бұрын
Doctor Kam unazeeka vibaya
@athumanimgumia7209
10 күн бұрын
Nakumbuka sana mambo ya zamani saana wakati nilipokua mdogo, mfano miaka miwili na nusu hivi ilhali sasa mimi ni mzee, vya sasa sivikubuki navisahau haraka sana, nina tatizo gani maana dakika chache tu nasahau
@madiwamdee4114
4 ай бұрын
Elimu inasumbua watu wengi sana..kutumia kiumbe wa M/Mungu kupata mafanikio kwa idhini ya Allah sio ushirikina
@RukiaTanzania
2 ай бұрын
Lakin tunapoyatumia hayo majini si tunaudhalilisha uislamu jamani 😭
@MussaMajissu
4 ай бұрын
Nakubali ilo
@KambiYusufKambi
3 ай бұрын
Dr.sule na kukubali Sana. Well came to simiyu reginal.
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@Deltarm254
3 ай бұрын
Yaani hivi kama mimi nina jini hili jini ni mvivu sana,haleti hela jameni😂😂😂
@MohdAli-cn2cs
3 ай бұрын
Alete hela kwani wewe umempelekea ata mara moja😂😂😂😂
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@salimkinabo5897
4 ай бұрын
Dr sule hiyo ni elimu ya ukuhani na unajimu..ambayo ni ushirikina na ukafiri..
@YassinMilaji
Ай бұрын
😂
@davidkihara9890
3 ай бұрын
Asante sana Kwa hii elimu
@MesalimRashid
3 ай бұрын
Asthakafiru llah minkulidhanmbii.
@Twahamwela-ch5lz
4 ай бұрын
Ha ha haha ha huyu mtu anaish nairobi mpaka leo simtaji
@user-zq2be4xr1o
4 ай бұрын
Huyu sule elimu anayo ila anachanga mada
@VailetAthanas
4 ай бұрын
Docta sulle yupo sawa hivi hamuoni mfano wa nabii sulieman bin daudi alivyokuwa anawatmikisha majin mpak lufa kwake na alkuwa binadam kama ss
@user-lt2qh5dj1b
4 ай бұрын
Nakubar mkubwa
@IsaKinyonga
3 ай бұрын
Yani wee mjinga sana
@majutomusegu
3 ай бұрын
Pumbavu wee
@HellenaMky
4 ай бұрын
Waislamu bado. Mnang'ang'ana. Na uisilamu. Amkeni nisku zamwisho. Mfalume wa wafalume. Yuaja. Msje mkafungiwa mlango warehema jamani duguzangu. Amkeni jamani.
@idyjumanne9796
4 ай бұрын
Ww chizi soma vzr ndio utajua dni ipi ya kwl
@mrchinal5407
3 ай бұрын
We tulia ww unajua nn subiri democracy
@tanzaniayetuchannel2196
3 ай бұрын
YESU(AMANI YA MUNGU IWE JUU YAKE) HATA SISI WAISLAM TUNAMSUBIRI NA AMETAJWA KITABUNI KWETU KUWA ATAKUJA NA WAKRISTO WATAKAOKUWEPO WATASILIMU
@mohammadmantiquehussayn
3 ай бұрын
La Hawla Wala Quwata Illa Billah...Huyu Kweli Nuru Ya Dini Ishamtoka....Dk Sulle Mrudie Allah...Dunia Ishakuingia Moyoni......Na Ikakolea
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@oklahommy9838
4 ай бұрын
Sheikh ulipoingia utakwenda kujibu kesho Akhera yaani haya yote kwa sababu ya mambo ya dunia
@bigmanfish6346
4 ай бұрын
Wacheni zenu nendeni mitaani mkafanye daawat watu warudi kwa Allah (swt) Mtume likua akitoka
@SalimKarama-fw7tt
3 ай бұрын
Wa ufawwidhuu Amryy ilallah innallaha baswirul-bil ibaad
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@HellenaMky
4 ай бұрын
We ukome Mimi snajini. Bali ninaye rafiki ambaye niyesu. Ushindwe. Labda waislamu ndomnayo
@KudrahPembe
4 ай бұрын
Koma wewe usimtusi shekhe
@alisuleiman-d7r
4 ай бұрын
Ww tulia mambo ya yesu yametuka wp sasa uko nayo ww juzi sihulinisho😅😅😅😅
@alisuleiman-d7r
4 ай бұрын
@@KudrahPembeakome tena sana
@sammarley1413
Ай бұрын
Yesu mwenyew jini mkubwa anaeshi ughaibuni
@RobasastaMumbere
3 ай бұрын
Huyu mwalimu yuko sahihi kwasababu hivyo ndiyo diniake inavo sema, lakini niungo kwasababu majini wanaishi sayari nyingine tafauti na dunia
@ibrahimMohamed-gj2pq
3 ай бұрын
Kwa tusome mbele ya kupinga.
@AbdulKitalula
3 ай бұрын
Allah ndio tegemezi letu waislamu
@robertgeofrey4118
3 ай бұрын
Unabishana na sheikh mbobevu 🤔
@johngeorge4834
3 ай бұрын
😂😂😂
@SamiaRamadan-us4zp
4 ай бұрын
Naam kbs ni uelew tu na elim
@LizenMaker
4 ай бұрын
Amina
@OsmanXossen
3 ай бұрын
Dr Suleman ww ni mshirikina period
@stanleyjuma4377
4 ай бұрын
Nakupenda sana Dr Sule, una hekima mfuti
@GoldenchipsChips
4 ай бұрын
😂😂jamaa liongo ili daah
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
Africa tumepumbazwa kwa kuaminishwa na wazungu(dini) kwamba elimu zao technolojia alafu za kwetu ni ushirikina na uchawi, ili tuendelee kuwa tegemezi kwao na mafukala😂
@halimamwingu4478
4 ай бұрын
Sheikh uwe unatoa na dalili kutoka kwenye vitabu ya Mungu. Lakn ukisema tu majini kuyatumia halali tunakuwa hatukuelewi maana wengi elimu finyu ya dini. Tupe aya na hadith kwa kila nukta. Vinginevyo mh!
@KuluthumuMsuwakollo
4 ай бұрын
We mdada wa mbengo kuna mtu anaitwa daruweshi kimicha mwite umuhoji juu ya aliyoyaongelea dr sule alafu nakwambia kwann nmemwambia utamfute hyo mtu ukitaka no niambie ntakupa uwende kumuhoj
@stuartsika3051
4 ай бұрын
Mambo Kuluthumu, nilipenda kumfahamu daruweshi nitamfikiaje!?
@OwenShabani
Ай бұрын
Asww,kaka naomba number sim
@WenainiVictor
3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅Walai Mimi Sina jini katika Maisha yangu,,,,,Waaahhhh, mafundisho Gani haya
@freenaturetv
3 ай бұрын
MITI ILETAYO MIKOSI INAYOTUMIWA NA WACHAWI MAJINI NA MASHETANI
@IliveforAllah
4 ай бұрын
Unapotoza watu. Ndo mwisho wake unamshirikisha mungu. Anaetoa Mali. Anaesuluhisha mambo ni Allah . Huo ni ushirikina tu .
@khamisseif9870
28 күн бұрын
Dah nilikuwa namkubali sana ila saiv mtihani
@listerferdinand9653
4 ай бұрын
ALLAH anajua kuumbua watu ukifanya siri dhambi ikakua ALLAH anakuweka wazi. Ukiswali nyuma ya huyu mtu huna swala ewe muislam. Huyu leo kautangaza uganga wake 1. Anachinja kwa ajili ya majini ila sio kwa ajili ya ALLAH 2.anadai Dua zake kwa ALLAH ilihali katikati yake na ALLaH kuna majini 3. Kutegemea msaada kwa kiumbe kwa mambo ambayo anayaweza ALLAH peke yake mfano rizki,mvua,shifaa ni SHIRKI kubwa. Hakuna jambo kaongea kwa ushahidi wa aya na mafundisho ya mtume. Jiwekeni mbali na huyu mtu asipotubia akafa katika hali hii ataenda motoni
@SwaumuMohammed-w2l
4 ай бұрын
Tusio kua Na elimu tunajifunza kwako shekhe
@fatmajuma2940
4 ай бұрын
Ayo unayosema shehe yapo sana ni kwel taaluma hiyo imejificha sana mpaka mtu aijue
@AliMohamed-w3b
2 ай бұрын
Wakuombwa ni Allah na sio majini, Iyaaka nabudu waiyaka nastain
@SeifJuma-yt1pk
4 ай бұрын
Na mungu sio mjinga kiasihivyo kumpa binadamu aliemuumba jioni never
@gracew7460
4 ай бұрын
Hakuna jini mzuri wote ni mapepo watumishi wa shetani. Malaika wa Mwenye Enzi Mungu alieumba mbingu na ardhi.
Пікірлер: 636