Manshallah shehe sule mungu akupe maisha maref uzidi kuwaelimishe
@stevensosipita
4 ай бұрын
ANAWAELIMISHA AU ANAWAPOTOSHA UMMA AU ANAELIMISHA KUFUGA MAJINI?
@fatmazullu4933
4 ай бұрын
@@stevensosipitaMmh hovyooo🤧🤧
@user-pi4cb1vt9y
4 ай бұрын
Hkika ume nifungua sana kuhusu hayo mafungu ya rizki mimi nlikua nme olewa na tajiri sana na ali mjengea mamangu nyumba ila dada ya mamangu ali niroga nanika shikwa na wazimu na mume wangu aka niacha 2014 nli hangaika sana nika pona 2019 na nka mpata mume wangu ame oa na ana mtoto niliacha ndoa nanika safori niko saudia mpaka sasa nilona nyumba zangu mbili zaku pangisha tuktuk zangu mbili mpya nana rudi kwetu mwezzi wa nane 2025 nikiwa na pesa zangu zaku tosha ila yule dada ya mamangu hana maisha analewa aki lala kila mahali ali repiwa hadi ana ukimwi mimi nli msamehe na niki rudi nta mjengea room moja aji sthiri
@youngsachafurniture5482
4 ай бұрын
Aisee Aisee Aisee
@sabraali1118
4 ай бұрын
Duh maskini kweli shetwani mbaya ila pole na pia hongera
@user-jw7qq1rt4r
4 ай бұрын
Daah binadam tunaroho mbaya sana pole sana dada
@fatmazullu4933
4 ай бұрын
@@user-jw7qq1rt4rila sasa yeye anawaza kumjengea eti😮
@saidbakari2408
4 ай бұрын
Unanifaa kwa moyo ulo nao ukimkosa mtu basi nichek niko Tanga nitakuwa tayar kuoa
@Mammy-eq7ef
4 ай бұрын
Enyewe nimependa ameongea ukweli kabisa yan zipo riziki za halali na ukiomba mungu anajibu 🙏🙏🙏😢😢😢 nashukuru nahichi ninacho pata tyr
@AdowIbrahim-ck3vp
3 ай бұрын
Masha Allah good
@salimumsoloni
24 күн бұрын
Dr mm nakuelewasanatu achawanaokupigamaneno nakukupinga ipoosku
@user-sd5hj2im4q
4 ай бұрын
Tnakuelewa sna sheikh wetu Dr. Sule cc tnajua ww ni elimu na duniani kila kitu ni elimu,, tnajua ata kuzungumzia Nyuki, majini, na malaika yte ni elimu,, lkn mara zte sheikh wa kizungu za khs majini wa naambiwa washikina
@mantosanto3222
3 ай бұрын
Naomba unisaidie kupata ufanisi nimeishi maisha magumu, unapatikana wapi
@mitaocamilliusthegreatest9068
4 ай бұрын
Hakika Mwenyezi Mungu aturehemu usiku na mchana tupate kupone
@user-zb5cj7ft9r
4 ай бұрын
Amin
@user-zb5cj7ft9r
4 ай бұрын
Amin
@user-sg6qz3yw7k
4 ай бұрын
Lakini amesema yule nikiumbe kuna muda anavyo taka kuingiliana anabadilika😂😂
@ShabaniMukose
4 ай бұрын
Hakuna tajiri duniani mtu kama bakhresa ni mtunishi wa umma kama raisi wa nchi. Kwa maana vile vyote anavyo simamia havitumii yeye pekeyake vinatumiwa na wengi. Kwa maana ni kiongozi. Au mthamini! Tajiri ni mungu tu:
@mashakabundala9955
4 ай бұрын
Swadakta ndugu yangu watumishi wa ummah tuu 💯
@MuharamiNgasinda
4 ай бұрын
Sheeehe la dunia hilooo Dr sule
@mitaocamilliusthegreatest9068
4 ай бұрын
Barikiwa sana Dr Sule
@GoodluckLameck-nh9tq
4 ай бұрын
Nimekupenda Dr sule uko poa
@user-rn8lz6pm1x
4 ай бұрын
Dr sulle nahoba Namba yako
@user-lu5vg9kc7y
4 ай бұрын
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu
@MuharamiNgasinda
4 ай бұрын
Maaa shaaa allah
@user-jr5ui3hb7v
4 ай бұрын
Dackta sule mimi naitwa suleimani nyota yangu nimizani naomba kujua iko katika daraja ipi ? (1)au (2)au(3)au (4)?.
@user-rn8lz6pm1x
4 ай бұрын
Sheiky sele endeleia kutipa mawaida, Allah atakulipa, Aly mz.
@fatmaahmed8637
4 ай бұрын
HAYO YAPO SHEIKH...NOTE ZINALETWA NDANI KWA MUIJIZA..NINAVYOFIKIRI
@KambanungaAssani
4 ай бұрын
Swadakta Dr Sulle
@omarkapula588
4 ай бұрын
Sio kweli unachanganya mada utupu wa mwanamke unathani kubwa sana wewe ulitoka wapi utupu kutumika vibaya sio sababu ya kusema hauna thamani hapo umekosea omba radhi
The lips of the righteous teach many but fools die for lack of wisdom proverbs 10:21
@kilogreekachananawatuwasio4054
4 ай бұрын
HUYU SHEIKH UNAWEZA WANDISHI WAKAMFWATA WANAMULIZA VINGINE KUJIBU KWAKE KUJISIFIA MAISHA YAKE UNAULIZA KUUSU MWANAMKE KUISHI NA NYOKA UNATOA DAWA ANAJIFANYA ANAJUA MPAKA ANAUZI
@user-vq2pn6qf7n
4 ай бұрын
Daa jamani tuache kuparamia wanawake ,mtakuja kulala na nyoka,ila hera halali ni ipi?
@MuharamiNgasinda
4 ай бұрын
Shee mungu ameruusu utumwa
@hanifahkhamiss8485
4 ай бұрын
😂😂😂😂babu yangu bs kapewa mashariti makubwa zaid😂😂
@saadiwabu3523
3 ай бұрын
Sawa
@DavidMatata
4 ай бұрын
Hiyo Pete uliyoivaa ni Pete ya majini,siyo nzuri!!
@user-pj4mx2ro4h
4 ай бұрын
Ni sahihi DK
@sofitanzanian955
4 ай бұрын
Sule mwenyewe Ana Pete ya ushirikina mhh mnapotowa waja wemwewe unataka sifa
@AthumanMhina-wf9rw
4 ай бұрын
Hahahahaaaaa kwa buku
@user-we6bp2me4j
3 ай бұрын
Dr Sulle na wewe ni tapeli mkubwa
@ferouzmasoud3104
4 ай бұрын
Hata mimi nimeliona hilo yule anataka kutrend tu 🤣
@Mumy564
4 ай бұрын
Masha Allah
@samirrubeya2379
4 ай бұрын
Kiburi kikubwa na Mushrik
@markmwaghogho9226
4 ай бұрын
Vipi kuhusu pete ya kijani uliyovaa? ipo sawa...........mafundisho mazuri
@samirrubeya2379
4 ай бұрын
Nilimuhishimu ila sikujuwa ni mshirikina mkubwa.
@alicedusabe7510
4 ай бұрын
Kasema kuwa kunamuda anajibadirisha akawa kama binadamu kwahio ni jini
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
4 ай бұрын
ila alisema huwa anajibadilisha kwa tukio
@user-qh9jj5xz3p
4 ай бұрын
Ukweli sai waislam tunafanya mambo ambayo Allah kayakataza 😢😢😢
@Official83640
4 ай бұрын
Hakuna kitu sipendi km kutrend kwa vitu vya kipuuzi sasa Shekhe sijui Dr nae anaongia kutrendisha shirk Subhannallah Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah 😢
@Niika870
4 ай бұрын
Yule bint nyoka Tapeli tu mtakuja kusema ,kuishi na nyoka kama chatu kawaida tu mbona,wamuchunguze vizuri mle chumbani anatisha watu , mtu mweny dangu hatangazi wazi,yule ana biashara mbovu nyuma yake hataki watu wamuchunguze chunguze,anajua akisema nyoka watu wataogopa😂😂
@user-mw5xs2wx8n
4 ай бұрын
Tulio toka nje ya Afrika tunaelewa samani ya nyumba za chini ghorofa ni km kibanda
@khadejakhadeja9713
4 ай бұрын
Utupu waa..mwanamke hauna..dhamani kuna waa buku kuna waa chios dhamani. Yaa tupuu.ya mwanamke ni mmiliki mwanamke mwenyewe .anaye utuzee
Пікірлер: 134