Ndug zanguni Amani ya Mungu iwe juu yenu, nimefurah tena kukutana tena nanyie mkiwa wazima wa Afya, Ninawapenda saan 😘 😘 😘
@Aishavumbi
10 күн бұрын
Inshallah shkran ❤
@happybalence
10 күн бұрын
Amen na kwako pia🙏
@shelyboyshely2928
10 күн бұрын
Ameen
@buru1235
10 күн бұрын
Amen and Amen and kwako pia
@AishaAisha-ji6ui
10 күн бұрын
Amiin insha Allah kwako pia
@AshaWato
10 күн бұрын
Leo nmewahi watching from 🇰🇪🇸🇦
@JanetRiziki-ut2is
10 күн бұрын
Jamani kilamba pole sana kakangu mpumbavu mwenzako atarudi tue naiman 😢😢😢😢😢
@esterkimalio8846
10 күн бұрын
Chiko na dada msitake kutukera,,,na msijisahaulishe kuwa mlipa talaka zatiti wetu,,tena kwa matusi, kashfa na kejeli nyingi,,,,muacheni tafadhali na mtukome kutusumbua sisi tunataka ndoa mpya😂😂😂
@MalkaNinik
8 күн бұрын
Tena yuwajifanya kama aelewi kama alimkashifu nakumfukuza.kama.mbwa anasahau msemo. Wakusema ukipiga kwateke kinangojwa kwa mikono zatiti ashapatwa namikono
@mumfaraji5034
10 күн бұрын
Huyu Rahma simpendi maana niking'ang'a na story za waganga,mdomo anavyoukenua sasa
@aishaallyaishaally3220
10 күн бұрын
Nice
@VailetAngolile
10 күн бұрын
Leo nimewahi wapendwa naombeni like zenu jomon ❤❤❤🎉🎉
Hv huwa munaangalia scene kabla ya kupost kwel?? Maana vipande vinajirudia hii imekaaje
@كامليا-ر7ز
10 күн бұрын
Kiukwel kiramba unatia huruma😥😥pole Sana mpambavu mwenzangu weka like kwa kiramba mpe tu pole
@AlinaNizigama
10 күн бұрын
Umeona anatia uruma sana jamani😂😂
@marymele9714
10 күн бұрын
We kuweza mpumbavu mwedzake uyo😂
@SabrahNibuka
10 күн бұрын
Pole kilamba ukwaju😢
@SwaidathThabith
10 күн бұрын
Ambao atumalizi move tushaenda kwenye comment dondosha like hapa🤭
@levinaernest4364
10 күн бұрын
😄😄😄
@CatherineBenedict-os1gs
10 күн бұрын
😂😂
@phelistusnamakhabwa951
9 күн бұрын
😂😂😂
@PaulinaFrancis-l6p
10 күн бұрын
Atakae like hii comment mung ampe maisha maref❤❤
@WardaSuleimn
10 күн бұрын
Àsalam aleykum ijumaa Karim kila anayesoma koment hi Allah amfanyie wepesi kwa kila kitu
@zainabzain3434
10 күн бұрын
Allahumma Amiin 🤲
@FatmaMwinjuma-p5u
10 күн бұрын
Amin
@BAKARIHUSSEIN-rh4go
10 күн бұрын
Amiin ya raab
@SadaDjuma-e9b
10 күн бұрын
@@WardaSuleimn Walaykumussalam warahmatullah wabarakatuh ndug yang kipenzi 😘😘😘, Aaaaameeeen kwa sote 🤲🤲
@kamarhelo
10 күн бұрын
Amiin yarraby la araamin shukrani kipenz
@MawazoJustin-fw2ws
10 күн бұрын
Kiramba jamani unatiya uruma Pole sana, wakwanza mm toka sauth africa naombeni like wanao muoneya Kiramba uruma
@UmmiGanja
10 күн бұрын
Candy kitakuramba
@mesamesa3698
10 күн бұрын
Jamani hivi mm cna damu ya kupewa like 😂😂😂 much love 💕 team busati tv
@MwanamisiMuna
10 күн бұрын
😂😂😂😂c bc
@AyshaSalumu
10 күн бұрын
Mnanywea chai izo like jamn
@hamidasaid-oh8fs
10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sifamaureen2792
10 күн бұрын
Mwenye ataoa zatiti,atakuwa amepata Bibi WA hekima🎉🎉🎉kama unaamini fanya ile kitu
@kamarhelo
10 күн бұрын
Kitu ipo hio 😂😂😂😂😂
@joharithabiti334
9 күн бұрын
😅😅😅
@joharithabiti334
9 күн бұрын
@sifamaureen2792+21😅😅
@SadaDjuma-e9b
10 күн бұрын
Zuu,Tasha, Zatiti, Kai Mungu yupo karibu yenu napia ndio mtetezi wenu, mwisho wa njia ni Ndani.
@RajabRadhid
10 күн бұрын
Kilamba na mpumbavu mwenzake nawapenda
@AnnaAmanda-v4q
10 күн бұрын
Ambao tunawaza kendi atakuwa amehusika kumteka mpumbavu mwenzangu like kidogo tujuane 😂😢😢😢
@levinalitanda8166
10 күн бұрын
Jaman bb zuli yuko wapi? Binafsi ningeomba bb zuli awasaidie kai na zuli, kilamba na mkewe na tasha na zatt please bb awasaidie
@نيجي-ن1د
10 күн бұрын
Kabisa
@نيجي-ن1د
10 күн бұрын
Nakuunga mkono wakomeshwe hawa vinyangarika
@SnicthGoma
10 күн бұрын
Mimi wa kwaza leo naomba like jamani much love from Kenya 🇰🇪 to congo
@hinakhan3562
10 күн бұрын
much love from Kenya to Saudi Arabia.Tuko dni kama bacteria😂😂
@user-Ambani
9 күн бұрын
@@hinakhan3562😂😂😂😂
@tigejuma9865
10 күн бұрын
Mbn n kama na muhofia kai..!! N kama ako na Siri kubwa xna kuhusu matekaji ya mke wa kilamba...juu picha alio mfanyia tasha..kumkaba..it's a red flag..😢😢
@GreatestSwordsman
10 күн бұрын
Hapana kai alikuwa anampima tasha kama anaweza kupambana
@HalimaMuyonga
10 күн бұрын
Wameanza kuingiza mambo mengi.... Pia malizeni . Imekuwa ndefu mpaka imeanza kuboa
@KhamisJuma-ni1vk
10 күн бұрын
Kai Mchukue Wewe Uyo Kilamba Ukakaenae After that Yule Fanya Kazi, Wako Unamwambia Ake Karibu Sana n Kilamba Hili Amfariji Kwaiki Kipindi Wapitia Napia Utakua Umemzuiwiya Uyo Mfanya Kazi wako Kwa Mambo Anayo Takakuyapanga Au Kuya fanya.. Hila Shukrani Zangu Kwa, that Kwenu Nyote One love
@MercySilvester
10 күн бұрын
Kwani papaaa mipango yake atakayo kumfanyia candy haitimii😂😂 Kila siku na akuna lolote ana fanya
@Haw3-v4y
10 күн бұрын
Zuu neda bibi awatabirie kutekwa rafiki yko
@FaisalAlrefai-u2y
10 күн бұрын
Pole sana kilamba 😢😢😢
@mohamedlopa8410
10 күн бұрын
Ambao tupo macho mbaka mda huu tujuane hapa kwa like ❤❤❤❤🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
@VanessaZumbe
10 күн бұрын
Lala😂😂😂
@mohamedlopa8410
10 күн бұрын
😮sina usingiz
@PhilbertHabonimana-o1z
10 күн бұрын
Jamani kilamba atiahuruma mpumbafumwenzangu jamani naomba like
@SiaGervas
10 күн бұрын
Mpumbav mwenzangu kachoka ple San utampata mpumbav wetu usijl😂😂😂😂😂😂 wana familia tunaandmn lin..?
@AngeArakaza-i1s
10 күн бұрын
Leo wa ine lake zangi jameni
@NgalamnyaziScolasticah
10 күн бұрын
Nani kateka Jasmin lkn 😢 kiramba anayia huruma jamani, mungu mlinde jasmine mahali alipo inshallah
@samsonkaboko5137
10 күн бұрын
Vipi kama candy anahusika na utekeaji
@KageneMireille-zz7qc
10 күн бұрын
Wakwanza kutoka Burundi🎉🎉🎉🎉
@B.M-ix4rz
10 күн бұрын
Watu hamlalii
@JoselineJuma-r7o
10 күн бұрын
House girl inafanya tunakesha kama wachawi😂😂😂
@aishaomar2287
10 күн бұрын
Wasema polepole😊
@PaulineNasoro
10 күн бұрын
Pole sana kilamba 😢😢😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MagiMagi-zk3es
10 күн бұрын
Wanao amini batuli hatajulikana na mipango yake tujuane kwa like tukisonga
Пікірлер: 404