House Girl fans WhatsApp 👇👇 chat.whatsapp.com/CssprKjGJcP3Xcwj3Jlusl
@maysaghjii5058
21 күн бұрын
Candy usimzarau usiemjua
@HopeMmbando-wb8ci
21 күн бұрын
Candy kitamramba mwaka huu haaahha nasubir ya mchana jmn
@user-je4qu7wf4w
21 күн бұрын
Candy kitamrudi mwenyewe
@juliethrobart9430
21 күн бұрын
@@busatitv kwangu mimi mbona hili group la wasp halifunguki? Au likoje?
@madinarobert4944
21 күн бұрын
Huko kunanini kai
@DelphinaJeremiah-ii1rv
21 күн бұрын
Leo candy kayakanyaga bibi zuu kaamua kuonyesha makucha yake🙌🙌🙌 Kama una mkubali bibi gonga like hapa
@user-tq7gp3ue7g
21 күн бұрын
Mnaomba cendy aumbuke mgonge like ata 2 tu
@estherezzy136
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@lucyrif-np8ik
21 күн бұрын
go nishagonga hiyo like😂😂😂😂
@user-tq7gp3ue7g
21 күн бұрын
@@lucyrif-np8ik hauogopi 😂😂😂
@FatmaSalim-dc6zp
21 күн бұрын
Hii movie ina kila kitu ambacho hua ni zahiri kinatokea katika maisha halisi ya wanaadam kila kitu kipo huzuni furaha maradhi uchawi unafki usaliti yani sijui nn kmekosekana mana eliminate ndio tunaipqta sasa sie waangaliaji waomba like tunasubiri movie zenu nasie tuombe like kama mtapenda yaone ovyoo
@user-lz8kb9ds8k
21 күн бұрын
Wakwanzaaaaaaaaa wapi daa zuuuuuu❤❤❤❤❤naonbeni likes zangu from 🇰🇪
@user-uq7cj9vs7x
21 күн бұрын
Kama unaamini zuu atapona wapi like...za zuuu
@user-tw6gb7xz5i
21 күн бұрын
Zuuuh lazma apatkne kam unaamini hilo nnipe like❤❤
@DentaiCheri
21 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@lucyrif-np8ik
21 күн бұрын
❤❤❤❤😂😂
@user-rb1bm2fd6h
21 күн бұрын
Nan amegundua ukigusa like mara tatu inajicopy🙌🙌
@mamume710
21 күн бұрын
Unataka likes tu mxyu 😒
@rubniyi3551
21 күн бұрын
@@mamume710😂😂😂 alakini Kweli 😂
@fatmaubwa-z8s
21 күн бұрын
@@mamume710😂😂😂😂😂
@fatmaubwa-z8s
21 күн бұрын
tumewastukizia😂😂
@prezgal8869
21 күн бұрын
Naijua hiyo
@user-sx6zw1pr1w
21 күн бұрын
Cardy ameyakanyanga yaani bibi kiboko 😂😂😂team zuu tuko na matumaini 💪💪💪
@JacksonNgari-fs2qt
21 күн бұрын
Jaman wakwa leo tuone mwisho wakend walio pamoja na bibi yake zuu nawaomba like zenu
@juliethrobart9430
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@bahatikiwayi8808
21 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fatmaubwa-z8s
21 күн бұрын
utamu umakuja sasa😂😂kesho naona haifiki
@JelemayaMwakiyule
21 күн бұрын
😂😂😂
@user-qz5yg5vv9k
21 күн бұрын
Timu zuu wapi likes jamani❤❤
@Phoebenafula
21 күн бұрын
Nasubiri episode 34 kwa hamu sana, Nataka kuona candy atafanyiwa nini na shoshi, hongera sana leo imekua 🔥🔥🔥❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@StellaKimaro-no6mv
21 күн бұрын
Jaman bora nikose kula ila bando liwepo co kwa hii movie.....🥰🥰🥰
@user-fq6vh5ks9z
21 күн бұрын
Nimechelea jamani warundi muko wap munipe like ❤❤❤
@irakozeshela1809
21 күн бұрын
tuko hapa
@user-ue4wh6vo4u
21 күн бұрын
❤❤❤ tupo pamoja
@marremarre9498
21 күн бұрын
Nipo lakini sikupi
@CynthiaIrakoze-tj9ve
21 күн бұрын
Tupo
@marymnandi9924
21 күн бұрын
Nyie mnaoomba like acheni upuuzi ni utoto Kuomba omba tu kulike kukoment na kushare haaah😂😂
@carlynemgonja-2004
21 күн бұрын
😂😂Nimecheka kwa sauti
@rexe9651
21 күн бұрын
Hahaha 🤣🤣🤣 jamani wakuige ww tu ju hujaomba lakini umepewa
@user-su5oi5wb6c
21 күн бұрын
Wow nimekua wa kwanza leo kaka kai naomba like hata moja tu jaman 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@NiyomufashaJanviere-nl1vc
21 күн бұрын
Yes ok
@ElizabethBaraka-ml9yy
21 күн бұрын
Ivi.kila.mtu
@richardchristopher7141
21 күн бұрын
Kati ya movie au picha ambazo zimezingatia vigezo Asilimia 97% Kalibia vyote nihiii House Girl Nipicha ambayo imeonesha Jinsi Gani Jamii za Afrika zinavyo potea. Kama tuko pamoja like hapa 🙏
@user-ii1ym5fe7j
21 күн бұрын
Kbs
@coolboymicky3651
21 күн бұрын
Safi nahongera kwakuona elimu iliyopo ndani ya house girl
@user-ii1ym5fe7j
21 күн бұрын
Asant sana
@TedySanga
20 күн бұрын
Uhakikaaa
@ZuhuraMusa-hl3wp
21 күн бұрын
Leo mumeweza at least mumetoa mapema naomba like zenu
@user-wb2wp5pe9p
21 күн бұрын
Jaman wa mwisho Leo naombeni like zangu😂😂😂
@sharifamohammed6317
21 күн бұрын
😂😂😂
@Rizikialiamechannel763
21 күн бұрын
Nyie mbona nipo Hapa Hapa Mmenipiga 😂daaa Ila hya nipeni bas japo moja😂 from Oman 🇴🇲
@CHRISTOPHERKISIMBO
21 күн бұрын
Wakwanza leo naomba like zenu please and please wale wapezi wa zuu na kai na bibi kai , malaika lets go like sasa naitaji ❤❤❤❤❤❤❤❤
@NiyoFrancine
21 күн бұрын
Wa1 ila kama unamkubali kayi like hapa
@StellaKimaro-no6mv
21 күн бұрын
Funs wa zuuh tujuane hapa....😍😍😍❤️❤️❤️💞💞💞💞
@OfficialZuli-ve5kh
21 күн бұрын
Hi
@StellaKimaro-no6mv
21 күн бұрын
@@OfficialZuli-ve5kh mamb
@OfficialZuli-ve5kh
21 күн бұрын
@@StellaKimaro-no6mv poa vip
@OfficialZuli-ve5kh
21 күн бұрын
@@StellaKimaro-no6mv poa mzm
@StellaKimaro-no6mv
21 күн бұрын
@@OfficialZuli-ve5kh nipo pouw cjui ww jmn
@user-cy2rb4pf7e
21 күн бұрын
Nipe like zenu jamani, kutoka mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MagrethYohana-ry5fk
21 күн бұрын
jamn wa kwanz naomb like zangu
@sifamaureen2792
21 күн бұрын
Uzipeleke wapi😂😂❤🎉
@richardchristopher7141
21 күн бұрын
❤❤❤
@LailatAbdallah
21 күн бұрын
Unakul iyo like au mbn husifiii kaz Yao achen kutumia kaz za watu km fursa kwenu mnaboa yaan tumewachok like like t heeeee
@MagrethYohana-ry5fk
21 күн бұрын
@@sifamaureen2792 nazipeleka kw zuu
@PhilosLove-cb1oj
21 күн бұрын
We zann
@salumhamad
21 күн бұрын
wakwanz nipen like zng😅
@user-mv6vi1gv6f
21 күн бұрын
Mwenye atakuja nyuma anipe like jamani 🎉🎉❤🇧🇮🇧🇮
@SalmaKenyatta-cn8tg
21 күн бұрын
mimi hapa team gulf
@user-mv6vi1gv6f
21 күн бұрын
🎉@@SalmaKenyatta-cn8tg
@user-mv6vi1gv6f
21 күн бұрын
@@SalmaKenyatta-cn8tg Thank you
@sifamaureen2792
21 күн бұрын
Sasa kama kila mmoja ni wakwazda,wa pili niyupi tumupe like😂
@LilijohariLilijohari
21 күн бұрын
Mimi apa😊
@famidaally2665
21 күн бұрын
Nibora munipe mm wamwisho😂😂😂😂
@user-qw6wq7in4m
21 күн бұрын
Mimi
@SalmaKenyatta-cn8tg
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ministerlightnessrobert5342
21 күн бұрын
Wakwanza tunae mkubali chiko gonga like ata tano apa
@user-if6yx3ix4r
21 күн бұрын
Sijawai kukoment ila leo naona mwanga waja candy raundi hii huwezi toboa lazima useme tu kula chuma hicho bibi zuu 🎉🎉🎉🎉
@busatitv
21 күн бұрын
🤣🥰🥰🥰
@celinamboga581
21 күн бұрын
Aaah mm ata sijafurahi natakakumuona zuu😂😂😂mm na babake kai tumechoka kungoja😢😢😢
@user-mu4xm4fd5s
21 күн бұрын
❤🎉❤ jamani nawapenda mimi humja wai nipa like hata moja 😢 naomba mwee moja to
@MagrethYohana-ry5fk
21 күн бұрын
zuuuu atapatikana tyu
@husnahusna1544
21 күн бұрын
Waooo mnatuletea Kwa wakati shukran Ila zuu utapona tu mungu yupo ❤❤❤
@TinahDavid
21 күн бұрын
Jaman leo nmekuwa wa kwanza daaah tng nmeanza ndo leo like zenu bx
@MudyAlly-jt5xc
21 күн бұрын
Haya jamani wapenzj wote wa busati usipite.bure hapa bila kulike🥰🥰
@Lily-rn6xc
21 күн бұрын
Ngoja niangalie ntarud kucoment
@user-ze4fq5qz9q
21 күн бұрын
Hata nami jaman like hata mbili
@daazuu4608
21 күн бұрын
Mnaboa bana vipande vyenyewe vidg afu mnarudia sehemu ambazo tushaangalia😏😏😏
@AshaNzara
21 күн бұрын
Jaman 😂😂😂raha kuwai wako wap wakuomba like bla kuangalia movie 🎉🎉🎉🎉❤
@Marim-sj7oi
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Flazodesigner2215
21 күн бұрын
Nakubali bwana munipe like zangu zakutosha Kama unayuwa zuuu atapona
@JoyAisha-og4hs
21 күн бұрын
Yani sichafurahia movie poa yenye mafunzo kama hii mubarikiwe sana waigizaji hapa mumejitahidi Sanaa's Yani
@JoyAisha-og4hs
21 күн бұрын
Musichelewe na episode 34plz
@user-bv2pn1ep8p
21 күн бұрын
Jamani naombeni like za wanachuo wanaofatilia House girl 😂
@Nailah736
21 күн бұрын
Mzigo tayari wacha tukae mwanzo tujue yafuatayo😂😂
@user-wk5yv4um4m
21 күн бұрын
😂😂😂😂 ep 34 wangapi tunaanimi kuwa itakuwa tamu😂😂😂😂
@user-rz7kv9pn8m
21 күн бұрын
🎉🎉🎉acha tuone candy atatoboa kweli,njooni tutizame pamoja
@user-lb9sl5nd9r
21 күн бұрын
Imefika patamu bibi lazima zuu apatikane kunasiku nilifikiria kitu kaa hii bibi ni muchawi atamutokea candy kama jini imekua sasa kichapo chako candy ni bibi wapi nduru wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bonifacekemboi8482
21 күн бұрын
Nyanya wa zuu ivyo sasa ndio nilikuwa nangojea sana wapi like kwangu
@AnyesiKonga
21 күн бұрын
Sekunde watu washafka selathini
@DiamondMatandala-o7l
21 күн бұрын
Me wakwanza leo jaman like Zang mnipe
@shilashilajackson7879
21 күн бұрын
Bibi kafanya vzur sana leo,nilikua natamani sana hio taimu ya kumusumbua kendal ifike leo imefika😂
@user-uk4fd1rp3w
20 күн бұрын
Jaman hii move inausambaratisha moyo wang, mapenz yote ni Kwa zuu nani anampend zuu njooni tujuwan Kwa like dears
@HillarySendeu-ht3lj
21 күн бұрын
Naamini kabisa kwa uweza wa Mungu zuu atapatikana na kupona pia huyo candy ataumbuka
@user-uy1fr1lj4b
21 күн бұрын
Leo nimewahii jamnn mnipee ata likes moja
@user-fh5ko7he2z
21 күн бұрын
Sijachelewa sana leo ila mbona kama kendi ataumbuka jamani😂😂😂😂 kama waona hivo kama mm basi like jamani team zuu hi
@ShazzLizz
21 күн бұрын
Jamani mbona mnanichukia ivyo mnipee like ata kumi tu
@user-sk7un6ls2t
21 күн бұрын
Wangapi wanaenjoy wimbo wa house girl 😊😂👍
@TitoMichael-np2kh
21 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@ggfwtgg1652
21 күн бұрын
Jmn munanifulahisha watu wa busati TV munadupa kwa wakati maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Swamyhassan_sy
10 күн бұрын
Mnaweza sna tunajifunza vingi sana kwa hii move❤❤❤❤❤❤
@RehemaFuko-yy4yr
21 күн бұрын
Jaman naomben like zangu kwa mar ya kwanza nmewah mapema
@MathayonkindaManela-fq4uo
21 күн бұрын
Kiboko wa kendy bibi Kama bibi dadeki mwisho wa ufalme wa kendy 😅😅
@EdwardLukanda
21 күн бұрын
Wa kwanza leo naomben like jaman
@user-gq1ej7le2j
21 күн бұрын
Bibi hataki mchezo kwa mjukuu wake like nyingi kwa bibi❤❤❤
@TatuBaya-jy8jl
21 күн бұрын
Patamu hpo safii bib zuu nmeipenda hio hongereni nyote Kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉🎉 wee Kai mm nngekua best yko nngekuzaba Kofi ili akili zikkufunguka 😂😂😂😂
@JobWabwoba
21 күн бұрын
Tena nimechelewa kidogo lakini bado niko nyuma ya zuu nipeni likes watu zuu
@RatifaSekamba
21 күн бұрын
Naombeni likes mi wa kwanza leo asanteni kwa kuwahi
@esterkimalio8846
21 күн бұрын
Yaani kai,,,,utakuja kulia kilio cha paka mwizi heeeee hujui tu kitu candy anakusukia
@LovelyCows-dq2uv
21 күн бұрын
Ka2i nzuri sana bibi 2u 🎉🎉🎉🎉🎉 kendi sasa kimean2a kuku ramba
@Mwanamvua-ze5ls
21 күн бұрын
Chengine saa sita usiku jamni nzur sana mungu jalia zuu aonekane
@VillaviaChemutai-if2ry
21 күн бұрын
Wakenya hoye🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SerenakaremboDzombo
21 күн бұрын
Yoooh🎉
@rehemamgeni203
21 күн бұрын
Zuu naomba Like yako nakufatilia hap plzzz mpenz ❤❤❤❤
@MpashiKennedy
21 күн бұрын
❤❤Nazipenda saana movie zenu nakizuri munatoa haraka haraka na enough time thank you good job
@busatitv
21 күн бұрын
🥰🥰🥰🙏🙏
@macrinafuraha-zg3mi
21 күн бұрын
Wapi nduru nimewahi leo wa kwanzaaà🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣kujeni tuone zuuu akipona 😂😂😂😂😂😂😂
@user-dw7su2nh9r
21 күн бұрын
Nimechelewa kidogo hata3 😢 basi
@Aziza..Shaban
21 күн бұрын
Wooow❤❤❤kai weka hata dakika 30 bro. Filamu tamu sana😊Mungu awatie nguvu
@hanifahanifa7708
21 күн бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza jamani😂 napenda love story
@JumaAmani-uh4vq
21 күн бұрын
Leo nimewaacha makusudi muwahi no kwasababu nyote uwa ni wa kwanza 😂😂😂😂😂ukiwa wa 300 uwa uoni kwa au auelewi
@janetnasimiyu8646
21 күн бұрын
Hii imenifurahiaha kidogo imenpa matumaini kuwa zuu atapona good job guys much love from kenya
@FaridaMahami-zw1mv
21 күн бұрын
Kaz nzuriiii sanaaa,hongereniii🎉❤
@janethkimath5275
21 күн бұрын
Ila nyie mko na shida gan jamn?
@RehemaElendela
21 күн бұрын
Mimi wa kwanza Naomba like ❤❤❤❤
@asmamohd5769
21 күн бұрын
Jamani kumbe imekuja na hamujaniita kesho siwapi pipi zangu tena tem shaghala nyie musha ona uku kitu kisha kuja mda kumbe😢😢😢😢😢 like basi
@Mwana85Mwana85-wz1ol
21 күн бұрын
Kai kai acha ushaga msikilize bwana mpago ww bibi mau yako 🌹💐🏵️🏵️ nimependa hyoo bibi
Sasa saai kendi kimekuramba,Bibi ya zuu sio mchache, waaaah congratulations guys,mnajua Kazi.Mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kupambana jamani 🙏🪴💞
@japhethngui6139
21 күн бұрын
First to view....nipeni likes .....team kai
@JastonnaruweniJaston-cu5rm
21 күн бұрын
Leo mmewahisha sanaa nawakubali
@TumainiJaphary
20 күн бұрын
Yajayo yanafulaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ii tamthilia tam san cjui mwisho wa candy utakuwaj
@nadzuwazidi
21 күн бұрын
Namini daa zuu atapatikana na atapona anayeamani gongalike🎉🎉🎉🎉
@MariamSalim-vk6dw
21 күн бұрын
Kila mmoja n wa kwanza na anaomba like mbona msitoe maoni kulingana na move yenyewe
@ZubaidahMacks
21 күн бұрын
Mimi😅
@Amina-lz1ht
21 күн бұрын
Wakwanza Leo like zangu
@user-su5oi5wb6c
21 күн бұрын
😂😂😂😂 candy kimekuramba leo na bdo ndo kwanza move yinaanzia hpo wenye wanamkubali bibi like hapa jaman ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-oe7xe1dv3w
21 күн бұрын
Mm niwa mwisho😅nipeni hizo like 😅😅nyanyake zuu ameamua kuvaa sura ya kazi🤜🤜🤜
@user-qv7dm4ok6g
21 күн бұрын
Tujuwane wale tunao fatilia hii house girl
@RehemaElendela
21 күн бұрын
Nawapenda sana nawakubali 🎉🎉🎉🎉🎉
@HappyJumwa-h9e
21 күн бұрын
Waash mambo yamebadilikaa ..... 😮😮😮Bibi ya zuu kaamuaaa anataka mjukuu wake ..candy candy tafta plam b 😅😅😅
Пікірлер: 947