Kama umeiona jumapili njema ya leo yeye baraka tele gonga like ❤❤❤❤❤❤❤
@user-qq6mv6vh3e
Ай бұрын
Amin
@user-sk7un6ls2t
Ай бұрын
@@user-qq6mv6vh3e ubarikiwe sana ❤️🥰
@ViannaFransisco
Ай бұрын
Yannn na mwonea macho candy maana 🎉🎉🎉
@user-sk7un6ls2t
Ай бұрын
@@ViannaFransisco yaani
@ZuleikhaShaaban-h3r
Ай бұрын
Aisee umuonee to but iyo nd dawa ya mtu mjinga siku zote wajinga nd waliwao😂😂
@user-ut8xc6es8c
Ай бұрын
Wanaofikiria chisa na masozi watamgeuka candy tujuane
@aishajuma7128
Ай бұрын
Huyo masozi pia ataachwa mataan😂
@MashaMbwana
Ай бұрын
Jaman hiinyimbo ya mapenzi nzr kaimba nani
@MwaliSuleih
Ай бұрын
Kabxaa 😂😂😂😂😂😂 ajipange maan atakosa vyote
@sarahrashidabdallah3109
Ай бұрын
Walikuwa wanaona chisa atawazunguka candy na masosi gonga like hapa 😅😅😅yule marekanii 😅😅😅
@hadejamohammadi9824
Ай бұрын
Wakome
@auntmakochela4202
Ай бұрын
Kabla sijaangalia yaan nilijua awezi kubadili maamuzi na pesa anatokomea nazo😂😂😂😂
@rahimaaaaa5682
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-tx7fd9ws9n
Ай бұрын
😂 nlijua ii itakuja kutokea, candy kitamramba
@HappyJohn-zw5lu
Ай бұрын
Niliwaza toka mwanzo
@nurumgaya1620
Ай бұрын
Jamani cjachelewa sana team zuli na team Kai mpo!? Naombeni like na mimi
@user-zc1qh6ti2p
Ай бұрын
Kuomba like tu kuoga aka
@DahuMatata
Ай бұрын
jamn huy Tasha anajifanya yeye ni magumu sana tunao Amin hakuna mkate mgumu mbele ya chai gonga like
@nyamokizainabu205
Ай бұрын
😂😂😂😂
@puritytatu4249
Ай бұрын
😂😂😂😂😂hamna
@glorynamwenje5816
Ай бұрын
Daaaah yaani hii movie inauzika kimataifa kabisa!! Nimeshawishi marafiki zangu kama wanne wote wanaifuatilia na wameipenda!! Hongereni sana team Busati
@isabellahchuma
Ай бұрын
Wenye wanaunga chsa mkono mko wapi jamani 😅😅😅
@GENzRevolution-s2u
Ай бұрын
Wanaoamini kwamba chisa atafaulu kui-uza nyumba nakuenda marekani gonga like hapa
@ugenny125
Ай бұрын
Eeeeeeee nyie hii movie ni Kali uvumilivu umenishinda imenibidi tu niwaomb like hata 10 japo najuwa nawakosea
@user-zc1qh6ti2p
Ай бұрын
Haya ila ukumbuke na kuoga
@ugenny125
Ай бұрын
Hahaaah@@user-zc1qh6ti2p
@user-dn3sn2fk9v
Ай бұрын
@@user-zc1qh6ti2pndoapo siyo kuomba like kuoga aaah😂😂😂😂😂 nimecheka kifala sana 😂😂😂😂😂
@user-hf7pk2lx4v
Ай бұрын
Kwa kweli kendi hana akili wenye wanakubaliana na mm tujuane kwa likes
@SadamuLyuma
Ай бұрын
Ni kwer kendi Hana hakil
@user-wu7ho7sx8q
Ай бұрын
𝐓𝐞𝐚𝐦 𝐳𝐮𝐮 𝐡𝐨𝐲𝐞𝐞𝐞𝐡
@LamaribamJumbe
Ай бұрын
Oyeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌🏻👌🏻👌🏻💃💃💃💃💃💃💃💃
@ZuleikhaShaaban-h3r
Ай бұрын
❤❤
@Marim-sj7oi
Ай бұрын
❤❤❤🎉🎉
@evalyneacheing-ow2ew
Ай бұрын
Tuko😅😅😅😅😅
@LoveYuda-h5z
Ай бұрын
Candy kapigwa na ktu kizto nyumba hana na mme hana 😂😂😂
@etsareliza6687
Ай бұрын
Napenda hii familia ya mpumbavu mwenzangu 🎉
@user-xq5po1di7w
Ай бұрын
Mambo yanazidi kua moto napenda sana hii move
@busatitv
Ай бұрын
Kabisaa
@sharifanyumayo6314
Ай бұрын
Candi utalia ww na chisa lazima awageuke TU , Na naona maisha ya Kai na zuu yatakuwa poa sana 🎉🎉
@edsonmakweta6347
Ай бұрын
mko vizuri sana busati tv chukueni maua yenu 🌺🌺🌺
@HidayaAbdallah-l2l
Ай бұрын
Mbna bibi leo hna furah au amejua mjukuu ashatolewa usichana wake
Leo mi ndo mekuwa wa mwisho enewei like kwen bc wadau wanguu❤❤❤❤❤
@user-gu2yu2wp1z
Ай бұрын
Kwa kweli Kai maelezo yko kwa bibi n mfano kumsukuma mlevi kwenye simo😂😂😂juu yy ashajua kila kitu,nawapenda snaa ❤big up sna mko fit
@marymele9714
Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@noeliddi82
Ай бұрын
Candy Candy Candy nimekuita mara tatu umezulumiwa😂😂😂😂🎉🎉🎉
@thomasmwaipale2621
Ай бұрын
Weekend inapaswa tuwe tunapewa hata vipande vinne
@JaneroseWarren
Ай бұрын
Umeongea point sana
@JauZaty
Ай бұрын
Nikweli
@user-gx4if4dk3m
Ай бұрын
Umeongea point mkubwa 👊
@FeristerKivembele
Ай бұрын
Iyo kweli kabisa
@RoseNjoka_23
Ай бұрын
Kweli kabisa
@Aishabeiby
Ай бұрын
Kwani jamani like mwazipeleka wapi haya na mi nipewe nione hio raha😂😂😂
@AweiyBeauty
Ай бұрын
Kila kipande nnachomuona mke wa Kiramba bs nafurah yaan nampenda nampenda nampenda huyu dada❤
@user-ro1fg5ur9l
Ай бұрын
Watazamaji wa hii movie weka like kwa wingi🎉🎉🎉
@LamaribamJumbe
Ай бұрын
Pia Faraja ya Hii move wallah ni pambe kweli kwl🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌👌
@MwanamvuaNassoro
Ай бұрын
Yaani chisa ana tamaa sana hadi watu alokua amepanga nao pia anataka kuwalaghai daah 😮😮
@BekatheBoy-gd4oy
Ай бұрын
Nakubal team kai na zuu
@boynhanga4790
Ай бұрын
Jamani leo nimewahi ebu nipatie like zangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@user-zc1qh6ti2p
Ай бұрын
Kuomba like tu kuoga aka
@ruxali4890
Ай бұрын
Ila bibi kashajua asali ishaingiliea🎉❤❤😂 much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-xo7ns7bc8c
Ай бұрын
😂😂😂
@AdamZainab-mb7qj
Ай бұрын
Yaan mtu akiomb like mna mwambia atoe maoni like hazisaidii na akitoa maoni hamumpi like 😢
@Johar903
Ай бұрын
❤❤❤ mambo mazuri maji ya kimwagika ayazoleko bibi amsamehe zuu awape baraka wafunge ndoa baba bibi awasamehee awape baraka
@ImeldaSamson-wm1iz
Ай бұрын
ila nae masoz na iyo saut inaniboa😂😂😂😂😂😂😂 mbaya ataliiii kama chura kameza panz😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@khadijasalim2697
Ай бұрын
😂😂😂
@Shakila-pq2gv
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@WendeMposola
Ай бұрын
Nikajua mi peke angu ndo inaniboa kumbe ni wengi😂😂😂
@NasibuAlly-wb9uv
Ай бұрын
c mlevi😂😂😂😂
@WendeMposola
Ай бұрын
@@NasibuAlly-wb9uv Duh!
@DidaAlly-iz1it
Ай бұрын
Aiseeeee hii sauti ya zuuh kumita kai jmn mnaiyonaje😂😂😂😂😂 wezangu
@tizojr7003
Ай бұрын
Hatareee
@SharifuChala-iz4xj
Ай бұрын
Leo wa pili jamani naomba like 10
@user-zc1qh6ti2p
Ай бұрын
Sawa ila usisahau kuoga
@AminaKavuo-gj3oc
Ай бұрын
Hahaha hahaha bibi zuuh hanajuwa kapeyana hasali 😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉Bibi hila usijali Kai haezi lala Bila kuonza hasali
@MetrineKhisa
Ай бұрын
Wa pili mm leo jameni😂😂😂 like tano tu nitashimba nayo😢😢😢
@mwl.hassanzanjabeel1621
Ай бұрын
Wakwanza leo mimi nipeni like
@maysaghjii5058
Ай бұрын
Kai unalo 😂😂
@NuruSolomoni
Ай бұрын
Leo nmewhi nipeni like hata moja tyu
@kinananyuni9732
Ай бұрын
Ewooo chisa namarecani tena candy kapigwa na kitu kizito kiburi chote kitamwishia mda si mrefu 😂😂😂
@MwanashaAsha
Ай бұрын
Umeonaee nimechka kabla movie kuisha wallah
@user-tx6ir9oe6u
Ай бұрын
Candy tufiakwa😂😂😂😂wacha kikurambe
@HidayaMbodze
Ай бұрын
Nakwambia kitamramba
@MariamSalim-vk6dw
Ай бұрын
Candy kitamramba weee subiri na uoneee@@HidayaMbodze
@DivineIngabire-lj3sr
Ай бұрын
Ngoja hajauona kitu 😂😂
@AminaNgumba
Ай бұрын
Jmn kai na zuu mmemdharirish baba 😂😂😂😂
@victoriangasa
Ай бұрын
Ndan ya penzi la dada wa kazi ❤❤🎉🎉njoon kit hewan
@user-bg8qi9cx9w
Ай бұрын
Yoooo chisa anawazunguka sana kenthi nirofa
@user-qx2qj1li4q
Ай бұрын
Hongera sana Kai huyo mtoto mlee vizuri maana umeanza wewe zuu mshike kabisa usimachilie Kai hongerani sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@HidayaMbodze
Ай бұрын
Candy kimemramba nyumba yaenda 😂
@yassatv2129
Ай бұрын
Mungu awabariki wote mnafuatilia house girl 🙏
@pilicharo4123
Ай бұрын
mashaallah kipindi kikonamafudzo kwelu🎉🎉🎉
@veronicahmomanyi
Ай бұрын
Teamu zuu mnipee habari vip bb hawezi jua
@MupaMumbo-fi4gu
Ай бұрын
Leo nimekua WA Kwanza nawpendasan❤❤❤❤
@RahimaMct-ik8mr
Ай бұрын
Mzee kumbe kachukia zuu kuumizwa😲🤗🤗🤗🫢😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MauaSaid-t4b
Ай бұрын
Wakwanza like jaman
@user-sr3gq1rl1y
Ай бұрын
Kaz nzur jmn na inatufundisha jmn 👏👏👏
@HellenDaniel-tq4gh
Ай бұрын
Waaah 😂😂😂 aibu naona mm ches
@tizojr7003
Ай бұрын
😂😂😂
@zubedamae-ro1jx
Ай бұрын
😂😂😂 Kai bibi kajua kila kitu tyr 😂😂😂
@busatitv
Ай бұрын
🤣🤣
@aishahamis1609
Ай бұрын
Bibi ana darubini utamwambia nini😂😂😂
@zubedamae-ro1jx
Ай бұрын
@@aishahamis1609 apo ss yy ashajua tw alivyo waona na aata venye anajitetea uyo Kai bibi anajua tw anamuongopea 🤣
@zubedamae-ro1jx
Ай бұрын
@@busatitv 🤣🤣🤣
@husseinasiadmmbaga2683
Ай бұрын
He jamani nimekua wà 31nipen like leo
@Mbuyubiesha
Ай бұрын
Nimewahi jaman laik kidogo
@MilanAnzuruni-gf6pz
Ай бұрын
Mpumbavu Mwenzangu Na wapenda sana Vraiment 😂😂
@user-ml7uo8yg6z
Ай бұрын
Jamani sjawai comment tangu hii movie ianze,ila leo nmefurahi,wapi like za zuu na kai😅😅😅 bodaboda kila siku n wao tu
@puritytatu4249
Ай бұрын
😂😂😂😂mm kama bibi😅haiya weh enda🤣🤣
@DegraceMuvunga
Ай бұрын
Wa kwanza jameni munipe like 10
@AshuraKigoma-vf7wb
Ай бұрын
Whuwiii chisaa anaenda kumpiga cand kitu kizito whuwiii
@user-sc5gt6gs3s
Ай бұрын
Chisa nitaweza nika furai sana haki bini zuu amelisha tambua 😂😂😂
@user-is4ts6gz6t
Ай бұрын
Huyu Mzee nae vp kusikilza mikito ya mkwe wake zuu 😂
@elizabethmwafongo7829
Ай бұрын
😂😂😂na Mimi nimefikilia hivyo
@rajaYohana
Ай бұрын
Hy familia ya mpumbavu mwenzangu ni nzuri kwl wanaume wote mngekua hv tungelilia ndoa wengi
@Johar903
Ай бұрын
Kosa limeshafanyika basi wazazi wate mshirikiane zuu aolewe maisha yaendelee wakipata baraka naamini watafanikiwa maisha na nyumba inauzwa watu marekaniii patamu hapo😂😂😂
Пікірлер: 801