Weee mazinge mwenyezi mungu akulinde duniani na akhera akuhifadhi peponi pasina hisabu unatuelimisha saana na kutuzidishia iimaani
@saifSaif-yj9uu
Жыл бұрын
Shukrani Babu mazinge wape dawa dawa Babu mungu akuweke Babu ADI waerewe ao wallah mungu akupe mwisho mwema Babu
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ujipe daawa wewe maana Muhamad hakufufuka ila Yesu alifufuka
@saifSaif-yj9uu
Жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@alisaidabdallah1480
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 yesu hakufa
@user-yz8dw1nv3d
5 ай бұрын
Tunaomba mungu nabidii Hakunabinadamualiyekutana namungu Kwahiyo muwache kuongeya kira siku yesu wengine wanabadiliicha jinalayesu. Kwa hivo tunaelewa vizuli yesu ni. Muokozi na atatuokowa muwache maneno mingi mungu mwenyewe anajuwa. 😊
@FatmaNash-nd5kz
Ай бұрын
Yesu ni muokozi wako wew
@user-bv8gv4yl8c
9 ай бұрын
Uisilamu ndio diniyahaki, ❤ najivunia kua muisilamu
@whitetigerprincy5882
2 ай бұрын
Kiukweli ila tuzidi kuwa watumwa wa waarabu
@fayojarso3777
5 ай бұрын
Jazakumulah kher sheikh mazinge,
@ZigashaneByamungu
Ай бұрын
Mazinge ww ni Atari (mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akuzindishe ❤❤❤ wema
@SUOA-sd4vo
Ай бұрын
Sheikh Madzinge Allah azidi kukiongoza na akuzudishie umri mrefu in Shaa Allah
@DuliBrillant-mr8er
6 ай бұрын
Halaf hamjiulizi kwanin ikifika 25 dec mnaxhangiria kuzaliwa kwake hivi jaman mungu anazaliwa aaaah Nakxhkur sna ALLAH kwa kunijaaalia kua muislam
@JamesArakwiye
2 ай бұрын
Yy
@muzidintvonline818
Жыл бұрын
Hata awe nan yesu hawez kuwa mungu
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ni MUNGU siyo mungu hapo umejishinda mwenyewe
@issafaquedalaura8279
Жыл бұрын
Mazinge Masha Allah Mungu akubariki
@gooleserviceyoutubescandar3450
Жыл бұрын
Alhamdulillah.
@user-ju3dp8cd6g
11 ай бұрын
Allah Grant mazinge great and many days in this world
@AlideanimoqueandameAnimoque
3 ай бұрын
Shekh mazinge ni hatari kweli kweli ni kiboko
@davidmutiso529
9 ай бұрын
Mazinge kama umeshidwa na mada kaa chini umeambiwa saa hii kupitia maandiko ati yesu akiwa nduniani ni mwana wa mungu na kwa kiroho ni mungu mazinge wachana na usanii mchezo wa kuingiza katika ka mada hii
@FatmaNash-nd5kz
Ай бұрын
Wew na Ndacha hamjielewi nyote
@user-px3od7kh6q
Жыл бұрын
Roho wa mungu akuongoze ndacha
@user-sb2tz7sk6t
5 ай бұрын
Hakuna lolote munaforce vitu
@yusufkilangoni4282
Жыл бұрын
Nyinyi wakristo mnajua wazi kama Ndacha anapapatika tu kwa kila mjadala ila njooni kwa njia iliosahihi nao ni dini tukufu ya Kiisilam
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Dini tukufu ya Majini
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Hakuna Muislam atakubali ukweli wa kiroho upande wa Yesu ila upande wa Majini hiyo kwao ni raha na ni sahihi kwa kutegemea Majini na Shetani. Ila Yesu wanamkataa katika ulimwengu wa Kiroho. Kwanini mnaamini ajini kuliko Yesu kiroho? Nyie wote ni wafuasi wa Majini na Shetani Mungu kwenu Hayupo
@meshackchengo7881
Жыл бұрын
Dini ya majini ,subutu
@AdamAdam-vg8do
Жыл бұрын
Alhamdulilahhh
@user-mv4xn2ry8y
8 ай бұрын
Nakuku bli xana ostdhi wangu mazinge
@saleherajabu6890
Жыл бұрын
Ayo maneno angesema yesu sawa,lakini watu ndo wanao sema ,na ukitaka kujua sikiliza mala utasikia,matayo ,yohana ,luka,hao niwatu nandowalesema kuwa yesu nimungu,lakini wakristo wengi au wote amjazijua sifa zamungu ,sifa zamungu nikumba ,kutoa riski ,kua,
@altamando
Жыл бұрын
Kufisha na kuhuisha
@ZablonTaura
5 ай бұрын
Yesu ndio njia mhamad alikuja na din yke lakn sio ya mungu
@daudinyello4033
7 ай бұрын
MUNGU YESU PIA ALIVULIWA NGUO NA KUTESWA MSALABANI NA MUNGU YESU ALISEMA MUNGU WANGU MBONA UMENIACHA?
@adanwario9681
Ай бұрын
MashaAllah
@saidkuwingwa485
Жыл бұрын
Ndacha katika wahadhiri wa kikristo anahoja dhaifu sana hata mimi najibu mfano katoa andiko kuhusu pale Mtume Muhammad S.W alipoulizwa kuhusu roho majibu alikuwa anawapa wengine yeye anasema waislamu
@ibrahimadan6241
Жыл бұрын
Maskini ndacha anatetea dini haifahamu.Waacha waislamu wakufundishe.
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Hatuna dini tuna ufuasi wa Yesu tuu
@themaquin2177
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 jua maana ya dini kwanza ndo utoe hoja.
@sulleyalmass9814
3 ай бұрын
Takbir
@SalamaBusiness
10 ай бұрын
Mwenye eziMungu akuzidishie umbri mrefu
@halimaa9367
Жыл бұрын
We ndacha siusilim tu utapote ukisrsto sio dini
@AAA-zu1vy
Жыл бұрын
Muache tuuuu abaki anakula sadaka ya kanisani atajuta
@altamando
Жыл бұрын
Kristo ni jimbo nchin italy
@jamesombaso9493
Жыл бұрын
ndacha I love your teaching man of God
@AllyIsmail-gi6dl
Жыл бұрын
we huna jipy
@kunuzaljannah506
Жыл бұрын
Hawa ni wale waliopigwa mihuri hata waone ukweli vipi hawaezi kubali
@godisgreat1845
8 ай бұрын
Kumbe wakristo mnamuabu Yessu na yessu anamuabudu Mungu na alikwambieni mumuabudu Mungu nyie mnamuabudu yeye
@salimrw8591
Жыл бұрын
Mungu mwezangu Mungu mwezangu kwann tunaachana😂😂😂😂😂😂😂😂
@heavens9451
5 ай бұрын
Wewe Mwenye hii cmTb Channel. Uko Mpumbavu Dunia Nzima.... Ww Unaona mazinge Amekufa kwa Mada na bado unasema Mazinge Amzina Ndacha.... Mpumbavu Sana Wewe
@FatmaNash-nd5kz
Ай бұрын
Mpumbavu mkubwa ni wew mwenye hujitambui umekorogeka yesu ni mungu na apigwe na akufe 😢 like crias
@AliGamboga
5 ай бұрын
Ndacha wajua ukweli acha kudanganya wenzako kua wazi usipoteshe wengine
@godisgreat1845
8 ай бұрын
Ndacha hamna kitu Mara yessu mungu akizidiwa kwa maandiko anasema yessu mwana wa mungu anathema na akilo za kondoo lakini mwenye akili ha wezi kumuamini huyu kumwita mwalimu
@davidmutiso529
9 ай бұрын
Waislamu wanajua tu adithi za ekaya za abunuasi mambo ya kiroho awajui wanatusumbua kwani atujui wanaongeanga habari ya mungu ngani maana Kuna miungu na sisi tunatafautisha mungu kipitia Yesu klisto Yoana 14:6 kitabu takatifu Cha bibilia kilicho andikwa na manabii kwa huweza wake
@Ryangiggs744
Жыл бұрын
Yesu anaenda chooni analala anakula mungu gn huyo.
@husseinrajabumohamed6462
Жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Alikuja kuwa kama Mwanadamu ili tumpende
@simiyueliz9837
Жыл бұрын
Inawahusu nini ni nyinyi munamuita ama ni sisi nyinyi mufate yenu
@jumatina2234
Жыл бұрын
@@simiyueliz9837 Hatufati tunataka mfahamu kuwa YESU SIYO MUNGU
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
Yesu awe mungu alaf asiijue siku ya mwisho? ni mungu gan huyo asieijua siku ya mwisho???
@ibrahimmsafiri2656
Жыл бұрын
Mealimu ndacha na Wakristo hamtawahi elewa uhalisia wa Yesu Hapa anabisha kabisa Yesu Mungu wakati nimeona Mada Nyingine akibisha Kabisa kuwa Yesu ni MWANA WA MUNGU Sasa swali ni je, Yesu ni mwana wa Mungu ama ndiye Mungu mwenyewe??
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
7 ай бұрын
Mungu awabariki ndugu zangu
@husnabibikhadidjaomari9427
Жыл бұрын
Mazinge baba Mungu akuhifadhi
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Ataishi ila hatapeleka Mtu mbinguni
@AAA-zu1vy
Жыл бұрын
Allahum Amiin
@DuliBrillant-mr8er
6 ай бұрын
Je suis ravi d'être musulman😊😊😊
@rosetteuwase9765
Жыл бұрын
HUYU YESU MUTAMU KABISA
@amisabalongelwa9143
Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@user-cp6fn7dv5w
Жыл бұрын
Subhana llah jamani mungu hakuzaa wala hakuzaliwa hujiongezi t yesu sikazaliwa na mariamu atakuwaje mungu?
@habililailo271
6 ай бұрын
Kila goti litapigwa na kila jicho litamuona akishuka na mawangu na kila ulimi utakili kuwa yesu ni Bwana
@josephkalume8512
5 ай бұрын
Apo Waislamu wanaongeleya Uutu wa YESU Bado uungu wake. Yesu alikuja kama mwanadamu na alipaswa kupitiya desturi na mila ya kiyahudi ili kutimiza maandiko.
@user-fy5pi9li3d
Жыл бұрын
Mazinge Allah akujalie
@user-pz7ro6tq7v
7 ай бұрын
Hakuna muisilam anaye amini mtu anaweza kua mungu
@AllyGrefier-ee2yq
8 ай бұрын
Mazinge ni mambo wa Kristo wanalia
@user-pz7ro6tq7v
7 ай бұрын
Mashaallah
@issackabdi7001
Жыл бұрын
Ndacha ni riziki tu
@user-yv3lo7ny3t
11 ай бұрын
Amken nyiny mazombi ndacha anajua kam yesu si mungu ila yupo hapo kwa maslah yake na kuwaburuza waxojielewa kuthibititisha kama ikiristo si dini ya haki umeon mdahalo gan waislam kutok kuingia ukiristo ila wakiristo ndo wanaingia ktk uislam hio ndo dini ya haki utake ustake
@rachidalicaimoalicaimo2243
Жыл бұрын
Yesu sio mungu
@AAA-zu1vy
Жыл бұрын
Kbs
@mose5839
Жыл бұрын
Ndacha ni tapeli tu huyu jamaa.hata ukimsikiza ana twist maneno..mjinga na asiyesoma ndo anaeza kubaliana nae
@jeanmuzaliwa9023
Жыл бұрын
majinga ni ww ambae mumechangiya dini moja na mapepo,nyie mumedanganywa na majini,nyie waislamu amuna mwalimu anaweza simama na mwalimu ndacha!
@abdallahcharo2798
Жыл бұрын
Mara yesu ni Mungu mara anababa wacha usanii namaneno ya muongo
@trophywilson7211
Жыл бұрын
Hakuna Uongo si Yuko Mbinguni na Alifufuka?je Muhamadi mnayemuombea asamehewe dhambi ndo mzuri huyo??Yesu alikufa ni kweli na Alifufuka Na Yuko Mbinguni
@rahmaqasim5143
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 Alifufuliwa na nani kama si mungu
@mangulimanguli3974
Жыл бұрын
Ivi uyu Ndacha anajielewa kweli?anaonekana ata elim ya Dini hana,
@godisgreat1845
8 ай бұрын
Sasa ibrahimu ndio wa kwanza kuumbwa kwa nini asiseme alikuwepo kabla ya Adam anasema Ibrahim ndio awe Mungu Basi Adam wa mwanzo yeye atakuwa ndio mungu mkuu kuliko Yessu
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
swali kama unakiri yesu alikua na baba!!! sasa unaanzaje kuruka ruka tena kwamba baba ndo huyohuyo Yesu
Acha upumbavu we umekaa hapo hauna Cha kupambania...Yesu aliingia kwenye Masinagogi, Hekalu pia Paulo aliingia kwenye Masinagogi na Hekalu...acha watu wapambanie kweli ya Mungu kaka...
@user-yv3lo7ny3t
11 ай бұрын
Ww mkristo ukilima vizur hizo mada bac utajua kama ukristo hamna kitu
@user-es3qt4ch2f
Жыл бұрын
Mazinge video
@user-mv4xn2ry8y
4 ай бұрын
Mazinge kashindikana
@user-yv3lo7ny3t
11 ай бұрын
Ww mkristo ukipima vizur hizo mada bac utajua kama ukristo hamna kitu
@mabwege
Жыл бұрын
Hii ndio kwasababu tunasema wakristo ni makafiri huun ni kufru
@ZablonTaura
5 ай бұрын
Ameulizwa maswal yy yuaongea pumba ata hazielewek
@rehemamgunga8854
2 жыл бұрын
Mimi nataka kujua kama yesu ni Mungu ama nimwana wa Mungu
@sammunialo5463
Жыл бұрын
Rudia kuskiza mdahalo na uweke mbwembwe na ushabiki kando. Just listen keenly dear.
@ibrahimmahinda9547
Жыл бұрын
Yesu si mungu na mungu Hana mwana ... wakristo wenyewe wametofautiana ,wale waliokufuru wataadhibiwa kwa upotevu wao
@elikinebeni4683
Жыл бұрын
Sikiliza neno ,usibishane tu
@smilessimon1666
Жыл бұрын
Yesu ni mungu maana mungu ni trinity ,,mungu Baba ,mungu mwana na mungu roho mtakatifu
@themaquin2177
Жыл бұрын
@@smilessimon1666 duh
@eliyarichard3606
7 ай бұрын
Sheh abudul
@esthersawiga9979
6 ай бұрын
WAZEE WA KUEDITI VICHWA VYA HABARI NA KUKATA VIDEO KULINGANA NA MATAMANIO YENU MUNGU AWASAMEHE
@isaackmlayy6228
Жыл бұрын
Hivi yesu yuko wapi na Muhammad yuko wapi
@themaquin2177
Жыл бұрын
Elewa mada kwanza mada ni kuhusu uungu wa yesu
@salisali3738
Жыл бұрын
Bwana wa bwana ni yesu na bwana wa mabibi ni nani? Ndacha naomba jibu
@mwinyiswaleh8388
Жыл бұрын
Tatizo la wa christo munazungumuza kwa hisia lakini ikija kwa maandiko.hamnakitu.
@scanertv7806
Жыл бұрын
Mnatafuta watu wasiyo na elimu juu ya hilo yawapasa kujua HATA kabla ya kuubwa misingi ya dunia YESU ilikuwako
@bencarson6863
Жыл бұрын
Wenye wanaadika message za kusema ndacha si mukweli ni wanafiki ananukuu hadi Koran.kweli wislamu ni wayahudi wako na masikio na hawasikii
@user-nt4qc4zg7y
8 ай бұрын
Mnafiki ni yeye na wewe usie mjuwa M/Mung wa haki
@JamesArakwiye
2 ай бұрын
T
@user-dx5wo8dy9g
9 ай бұрын
😅Mungu. Akulinde. Shehe. Mazing
@user-nt4qc4zg7y
8 ай бұрын
Amin
@EliezereNshimirimana
4 ай бұрын
Aca kusoma musitalu humoja humoja
@AllyIsmail-gi6dl
Жыл бұрын
Dacha hivi unaakili kwel bhna Dini ya kweli inajulikana Kwanza tambua ukiwa na sherehe ktk Wanyama Dini Gani huwa inajinja hili elewa.......
@shamsaalsalamy5159
2 жыл бұрын
Mie nataka kujua bi mariam alikua nani kabla yesu hajazaliwa au na wale watu walio pita kabla ya yesu kuzaliwa mungu alikua nani? Wewe ndacha hujiulizi ? Na mungu wa nabii Ibrahim alikua nani
@Daniel_kimambo
Жыл бұрын
Jina la YESU ni jina la MUNGU
@nyotafcusewepwani5811
Жыл бұрын
hawa ndugu zetu wakristo hawajui kitu bali kutetea ugal
@princejuma-vx1zk
Жыл бұрын
Wakristo ni makafiri wao kwetu sio ndg mana tumeelekezwa muislam mwenzio ndio ndguyo
@AnuarMakame-iy2gy
6 ай бұрын
Kumbe ni mtoto wa nani kama si maryam
@alimajaliwa6049
Жыл бұрын
Babu unatishi ...
@augustomariosama1542
Жыл бұрын
Ndacha hajitambui
@user-zs1hk3no3f
5 ай бұрын
MucHunganjl 😂ndacha unatosha mungu akumbalki sana martin kutoka mpeketoni
@YakuchomaMwenyebatu
5 ай бұрын
Bongo
@paulmsape163
Жыл бұрын
Me nijuavyo mimi kitu mnachobishana hapo ni bule,mwishoni wanakubali ndie ataye rudi kutoa hukumu, sasa huwa wanabisha nini
@themaquin2177
Жыл бұрын
Hukumu anatoa Mwenyezi Mungu pekee
@altamando
Жыл бұрын
Kutoa hukumu kwa nani????
@MohamedIsmail-do5mq
Жыл бұрын
Uyu ndacha bado anajuwa wakristo ni wajinga kama yeye kwahyo yesu nimungu ambaye kabebwa miez 9 kapta kwenye uke wa mwanamke katailiwa ana kula ana endachoon kunya kama mim tu jaman kunamjinga bado
@Daniel_kimambo
Жыл бұрын
Jina la YESU ni jina la MUNGU
@neemapeter1153
Жыл бұрын
Wenzenu wanatafuta kuuona ufalme wa mbinguni kuna wenye laana wamekazana kupeleleza dini za wenzenu haki mlaaniwe mapepo nyie
@ibrahimkhamala9238
Жыл бұрын
AllahuAkbar
@abubakarymaulidy5681
Жыл бұрын
Acha panic ata ufe ufufuke dini ni moja tu duniani
@abdallabauro6129
Жыл бұрын
Ndacha anapiga kelele ili apate sadaka za wakiristo
@AbukariBilali
6 ай бұрын
Jesus is not God Luke (luka) 18:18
@langatgideon6599
Жыл бұрын
Waslamu wajinga Kama Muhammad
@samuelondieki9164
Жыл бұрын
Huyu yesu nimtamu kweli kabiza mbaka mnapigania uungu wake fuata yeye pekee yake njia
@MANSA_MAGANGA
Жыл бұрын
Inna Lilah wainna ilaihi rajiun
@salumseif6927
Жыл бұрын
Sasa Mungu ana baba na kama ana baba Mungu hasa ni yupi kati ya yesu na baba wa yesu. Je vip Yesu awe Mungu na wakati ana baba. Baba na mtoto mkubwa na yupi na anayejua zaidi?
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Nyie waisalmu wote mbn kama mnateseka sana kwan tatizo nn af hamuelewi lolote kuhusu yesu kristo jaman huyu cyo mtu wa kawaida kama hawa waislamu wenye akili ndogo wanavyoteseka akati wanakubali kuwa uyu yesu kristo cyo wa kawaida
@alsamali6964
Жыл бұрын
Si mtu wa kawaida sawa lakini hawezi kua mungu
@allyramadhan5239
Жыл бұрын
Kama Yesu ndie Mungu wa Wakristo basi alie mtahiri naye anaitwa nani?
@alsamali6964
Жыл бұрын
@@allyramadhan5239 Luka 2:7 yesu. alivishwa nguo za kitoto. 1. Ni nguo gani hizo alizovishwa? 2. Alivishwa nguo kwa sababu gani?
@johnsulle4679
Жыл бұрын
@@allyramadhan5239 hilo ata cyo swali mwanetu uliza swali la kushiba ujibiwe kwa ufasaha af hakuna mkristo aliesema yesu ni mungu ila tunasema yesu ni njia ya uzima au bc njia ya kwenda kwa mungu bora nikujib ivo ili nyie msio na uelewa wa rohoni muelewe angalau
@saumswaleh9352
Жыл бұрын
Kama anazaliwa 😂😂😂😂
@sammunialo5463
Жыл бұрын
Mazinge is just being petty and displaying his highest level of ignorance. Basing on his arguments, shows that he was not following what Ndacha was teaching. And muslims are blindly cheering him. Huu ni msiba.
@rehmathatim6715
Жыл бұрын
msiba mkubwa ni kumfanya binaadamu mungu
@rahmaqasim5143
Жыл бұрын
Msiba mkubwa ni nyinyi wapotefu na hamtaki ukweli
@saumswaleh9352
Жыл бұрын
Hamna kutokujua hapa ...Kama mungu alizaliwa basi pia wewe mungu😂😂😂😂
@Omrankasiga
Жыл бұрын
bibilia inasema mungu mpumbavu
@daudijumarajabu2458
Жыл бұрын
You know nothing kazi ya kuungaunga maandiko na waandishi wasio sahihi kama huamin fuatilia kisa cha yesu kwa injiri zote aliwekwa asalaban mda gan, alibeba nan msalaba, na story ya kufufuka ndo uone uongo
@biswalhadogani-ry1ti
Жыл бұрын
Weee mazinge mwenyezi mungu akulinde duniani na akhera akuhifadhi peponi pasina hisabu unatuelimisha saana na kutuzidishia iimaani
@princejuma-vx1zk
Жыл бұрын
Yesu ni mwana wa mungu mweny uungu ko karithi uungu 😂😂😂😂😂😂😂 ukristo ni ukafiri
Пікірлер: 185