Hongera zake mkaribisheni Tanzania aje kuwekeza kama Aliko dangote
@hazygardmericho9571
Ай бұрын
masubi your the best
@benancejohn1198
Ай бұрын
Unaweza kusema kwamba kuna watu pesa imewachagua 🤔
@shaviercharvinho18
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ety kama nimezipatia mana mazero nimengi sana😂😂😂😂😂😂
@AlenKinyina
28 күн бұрын
Alafu kuna mtu yuko jela kisa anadaiwa 500,000
@BenjaminMetanyau
Ай бұрын
B mkubwa asiione hii anaweza akaenda kukopa
@JundikiFoodproduction
Ай бұрын
😅
@luisojr3480
28 күн бұрын
Daaaa😂
@awadhally1052
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@universalenergy8060
Ай бұрын
For those trading on tesla stock tomorrow we are flying to the moon making profits.Kushuka its normal there are ups and down on any trading pair in financial markets considering price actions and technical analysis.
@justin-ds2qp
Ай бұрын
Ansate nasikiliza kutota lusaka
@imanuelizeboss4143
16 күн бұрын
utakatishaji wa pesa
@hamadsheni8997
Ай бұрын
HELA ALIZOLIPWA ILIZIISHE KILA CKU ALE BILION 12
@mamilafx1225
29 күн бұрын
Daaaah!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@King_Of_Everything
Ай бұрын
✌️👍👊.
@evelynemugeni2369
Ай бұрын
Tesla Zinatengeneza na madili kutoka congo 🇨🇩 😢
@Deadskytz
26 күн бұрын
People have money 🙌
@lisawilliam2491
Ай бұрын
Hii ndo maana halisi ya alienacho ataongezewa na asienacho atanyanganywa hata icho alicho nacho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bonifacemeela5247
Ай бұрын
Taarifa njema hii Ngoja nimsanue Mama
@emmanuelfari8924
Ай бұрын
😂
@aboudasilver6541
Ай бұрын
Daaah sio mchezo
@Mumewangu
Ай бұрын
Maskin ya mungu tuliozongwa na madeni tunabakia kuguna TU um! Umasikini mbaya jamani. Usikie TU kwa jirani EE MUNGU TUSAIDIE
@user-cw8zn2dn6m
Ай бұрын
Hapana usilalamike kwa kiasi kikubwa hivo!! Imeandikwa hivi, lakini ole wenu ninyi mlio na mali, kwakuwa faraja yenu mmekwisha kuipata, Luka6:24-25. Mathayo 6:24 inasema hamwezi kumtumikia Mungu na mali, yaani hamwezi kuwatumikia mabwana wawili. Kwahiyo hawa watu wenye fedha mingi ujue hawamhitaji Mungu. Lkn mwisho wao ni kilio kisichokuwa na mwisho. Nakuombea uwe masikini tu lkn usikose kuingia katika ufalme wa Mungu. Haleluyaaaa!!
@fasconeroh8740
Ай бұрын
Maden mzigo sana
@martinisadru9899
Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m je sulemani hajaiona pepo, usiwafanye wakristo kuupenda umasikini, zaburi 24;1 - sasa kama vitu vyote ni mali ya bwana wetu YESU KRISTO,, inapaswa wakristo wavimiliki kwa nguvu zote.
@Harexo
Ай бұрын
Kapania kuwa number moja.... 😂
@vibetz9991
Ай бұрын
Na Mimi napata
@Emanueli-vz6fd
Ай бұрын
Kuna watu wanaishi asee
@betinvestment3204
Ай бұрын
Alaf uyu jamaa kwenye interview anasema hana nyumba analala kwa marafiki aisee shkamoo Elon musk
@user-pg2tw8yt4l
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@beingothman
Ай бұрын
Huyu mchaga bhana
@Hassanbaoma
Ай бұрын
Ali masubi unachambua vizuri sana kuliko DJ smaa maana yeye ni kunljisifu kwamba yeye ni mtu wa fact mara sijui fyuzi ambayo Ali masubi haya hayo yeye anapiga kazi tu
@kibwamoko8767
Ай бұрын
Weee ni Mgeni hapa SNS nini? Hapa kuna misingi imewekwa ya uchambuzi, usiropoke ropoke tu Kila mchambuzi hapa SNS ana haiba yake na Mtindo wake wa kuchambua kwa vile anavyoamini, kwahiyo usitake wafanane. Wakifanana haitaleta Ladha. Ni kama unavyoona CNN na BBC zinavyochambua na kutoa habari kwa Kuegemea au kusifia upande wa Marekani na nchi za Ulaya(NATO). Maana huko utakuta asilimia 90% hadi 95% kusifia Marekani na kumponda PUTIN na Urusi yake. Wakisifia Urusi basi jua ni asilimia 5% tu. Nadhani utakuwa umeelewa kuwa DJ SMA yupo kwa ajili kusawazisha, yani anapopondwa Urusi na Magharibi, yeye anakuja anasawazisha.
@HamzaMbasha-xs2ky
Ай бұрын
Yaani jamaa kwa hela hiyo kwa hela zetu...ana uwezo wakuja huku akajimilikisha mkoa wowote akaulisha yeye mweyewe.
@melanialeonard4031
Ай бұрын
Sio mkoa tu ni tanzania nzima bajeti ya mwaka mzima ni tilion 51
@damsonwilson5202
Ай бұрын
Huyo hadili na mkoa ni East Africa kabsa
@yasnshaban9827
Ай бұрын
@@melanialeonard4031na ujue bajet sio ya kula tu ni vitu vyote mf barabara,madawa,shule,vyuo,n.k
@kevinbwoyle16
Ай бұрын
Wakwanza
@iSsaNyamaisa
Ай бұрын
Kwani ukiwa mkulugenzi unalipwa ama unajilipa ?
@jumamussantuiche
Ай бұрын
Biashara ya kwako ujipigi isabu.
@yordanyona1234
Ай бұрын
KIBIASHARA unalipwa
@GeorgeAkasha-zx2rj
Ай бұрын
Mfumo wa Marekani ni mgumu kidogo Kule kila biashara lazima iingie kwenye soko la hisa ili kila mtu anunue, kwahio wanahisa wanateua mkurugenzi na anakuwa na mshahara wake, sema kwa wenzetu mkurugenzi anakuwa na hisa pia kwenye umiliki wa kampuni hivo basi atalipwa mshahara pamoja na hisa zake anazomiliki pia, hivo faida ya kampuni na yeye mkurugenzi atahusika nje ya mshahara kama anamiliki hisa pia.
@boniphace1
Ай бұрын
Bajeti ya Nchi ya miaka 5. Kwa lugha nyingine anaweza iongoza Tanzania kwa pesa yake bila mchango wala mkopo wa nchi yeyote kwa miaka 5😅
@boscomakala.3923
Ай бұрын
Miaka 6 kaka
@BabasahdSahd
Ай бұрын
Ujasoma vizuli hyo pesa ukigawa nkama miaka 87.8😅😅😅cacaculet
@BabasahdSahd
Ай бұрын
Kwamwaka nitilion Moja point tatu gawa malatilioni miamoja kumi na sita😂😂😂ww
@AlenKinyina
28 күн бұрын
Mtuletee habari kama hizi achana na mambo ya Ukraine
@francomwacha2262
Ай бұрын
Khaa!!.. kama cjakosea.. mradi wa umeme wa bwawa la nyerere iligarimu trillions 6.. sasa kwa mradi mkubwa kama ule Ina maana huyu mwamba angeutekeleza na ni kama utoe punje ya Michele kwenye nusukilo😂.. binadam hatuko Sawa aisee
@sultanbakary4292
Ай бұрын
Hawa wabepar Wana Hela sana ni ngumu sana kushindana nao
@FerdinandCharles-ko7de
Ай бұрын
Hapana jamn hi sio haki dunia inapaswa kuangalia hili swala jamaa anacheza faulo
@mndambokilavo2502
Ай бұрын
Hivi ni kwanini makampuni makubwa tanzania hayawi "public"
@mcholimkubwa
Ай бұрын
Ya wenyewe
@agreyaloyce432
Ай бұрын
Mambo ni mengi sana kaka
@JundikiFoodproduction
Ай бұрын
Ni public sema hayajiporomot
@GeorgeAkasha-zx2rj
Ай бұрын
Biashara zetu sio stable mkuu, siasa inaathiri sana uwekezaji wa mitaji.Huku kwetu ukigombana au kumkosoa kiongozi mkubwa na kama ww ni mfanyabiashara basi jiandae kuanza kuporomoka na kunyang'anywa mtaji wako na pesa zako kufungiwa, hivo ndo maana wafanyabiashara wengi na hata Hao hao wanasiasa wanawekeza sana nje ya nchi kuliko ndani ya nchi zao sababu umiliki wa mitaji kwa maisha yako ya kesho ni changamoto sana.Makampuni mengi sana bongo yapo Mfumo wa soko la hisa ila wengi watu au wafanyabiashara hawapendi Kununua hisa kwa sababu biashara sio stable kabisaa maana kila uongozi mpya basi una mambo mapya, yaani kiufupi hakuna katiba au Sheria stable za nchi Bali Kuna stable people.
@rashidmashaka1264
Ай бұрын
Sasa si tajili wa dunia au nakosea
@nassirali7499
Ай бұрын
Ni bajeti ya serikali ya miaka isiyozidi 4.
@jumashedafa
Ай бұрын
Kwa tanzania ni bajeti ya miaka miwili..Japo tunapend kujishush san...Tanzania ni tajir mno ni suala la tecknolojoa na uvumbuzi tu
@samirhumud7408
Ай бұрын
Zaidi ya miaka 5 kwa bajet ya Tz
@kakorejrboyz6447
Ай бұрын
SASA #YANGA_FC AKA #MADENI_FC SI WAENDE WAMKOPE WALIPE MADENI 🔊🔊
@nasibugunda7927
Ай бұрын
😂😂😂
@jamesmmari-st1nt
Ай бұрын
We jamaa bhana elezea vizuri zaidi jamaa amelipwa kwasababu ameiwezesha kampuni ya tesla kutengeneza faida kubwa sana
@thefactbook...1607
Ай бұрын
Haujasikiliza maelezo vzuri.
@hamzahuseni2555
Ай бұрын
Tupe chanzo cha bilionea wa uchina kufilisiwa chanzo nn?
@thefactbook...1607
Ай бұрын
Extortion
@ramadhanmkombelwa3065
Ай бұрын
Huyu Mtangazaji Atasababisha Sifuatilii SNS tena maana sauti yk km.yng vil😂
@user-nz5me8bk7g
Ай бұрын
Daa iyo serekali ya Tanzania haina ela izo
@Emanueli-vz6fd
Ай бұрын
Kabsa😢😢
@atutweve4160
Ай бұрын
Kushabikia Urusi ndo mnajua 😂🤣🤣🤣🤣mnaona mambo hayo
Пікірлер: 70