“Mheshimiwa Naibu Spika leo tumekaa hapa lakini hali ya Watoto wetu si salama hata kidogo, Mheshimiwa Waziri amesema hapa kati ya mashtaka yaliopelekwa Mahakamani yaukatili wa kijinsia asilimia 33% kwa ajili ya Watoto na 67% ni kwa Wanawake, lakini nimuongeze hajasema Wanaume upo ukatili zidi ya Wanaume.”
Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, alisimama bungeni kuchangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya TAMISEMI kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023, iliyowasilishwa leo Bungeni na Mhe. Innocent Bashungwa.
Stori zote tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya KZitem “Clouds Media”
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Негізгі бет Jesca Ashusha Maombi Bungeni I Usishangae Mtoto Wako wa Kiume Anakuja Nyumbani na Mwanaume
Пікірлер: 25