“Leo hii unaweza kumuona Mama amebeba begi zuri ukifikiri ndani begi kuna nini, lakini ukiangalia kuna Maji ambayo amepewa sibui kwa Nabii gani ambayo yamletee Magari, nyumba, utajiri, ana Tango ameombewa sijui aimarishe ndoa, ana Chumvi ya kumwaga ili avute wateja ana vitu vingi..”Mhe. Jesca Msambatavangu Mbunge wa Iringa Mjini alipochangia bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa Fedha 2022/2023.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdate
Негізгі бет Mbunge Jesca: Amebeba Tango la Kuimarisha I
Пікірлер: 9