"Leo ukiniambia nguzo za umeme zitanunuliwa nje ya nchi. Una maana vijana wangu wote walioko Iringa, songwe,Tanga wote wamepanda miti wakose fedha watakapokua na hitaji la mapenzi watafanya nini? Kwa sababu kiuakika sasa hivi hakuna mwanamke atakupenda sura kwa sababu wanaume kwanza hawana sura nzuri utampendaje mwanaume sura, mwanaume anapendwa kitu alichonacho anapendwa fedha", Jesca Msambatavangu Mbunge wa Iringa.
- Күн бұрын
MSIKIE HUYU..!! Mbunge alivyocharuka | "Mwanaume anapendwa fedha" | Wanaume kupigwa
- Рет қаралды 3,239
Пікірлер: 1